Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

2013
Hivi akili yako ipo sawa kweli mbona mwawa na tabia ya kuku mwala kwa kujipangusa?!

Embu jibu ulichoulizwa kisha upewe utakacho,

Mwajitia mwaweza jibu hoja wakati mu weupe mithili ya karatasi,

Mada ya msingi mwishaanza iharibu, sasa twelekezeni njia ya mjadala nzuri ni ipi?!

Pana suali huhitajia jibu ili mtoa hoja aweze elewa kama waelewa ama kakuacha na kama hujui sema tu sijui,

Na pana sehemu swali lahitajia swali si jibu ili jibu utoe wewe na endapo utakuwa umekosea walimu wanakuweka sawa,
Kama alivyokuwa akifanya bwana Yesu

Sasa utaratibu wako ni upi ama hujui watu wanafuatilia kila kitiwacho hapa?

Hebu kuweni na haya basi mwajitia aibu watu gani msohaya ninyi?




Mujitahid Wabara,

Al Jumaa Kareem!

Wallahi,mie hufuatilia kwa karibu mno hizi bayana zako,nakoshwa mno na hizo lahaja na istilahi utumiazo.

Sidhani kama huyo ujaribuye zungumza nae hata kama akufahamu unenani!? Kwi! Kwi!

Ni mughali kwa sasa kupata japo thuluthi ya wenye kuzungumza Kiswahili chenye ladha....lakini pia ndo twarejea kule kule kwa yule Nyerere,maana yeye ndo alotaifisha mpaka lugha yetu na ati kuifanza ni "Lugha ya Taifa"!? Kwi! Kwi! Kwi!

Kila nikusomapo nabubujikwa na machozi,maana wanikumbusha lafidh mwanana za Wazee Wetu maskini.

Napata khisia yakuwa wewe mwenzangu itakua lazim ni muungwana alokamilika wa ki-Mtang'ata!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta sana.
 
Sheikh Mohamed Said,

Al Jumaa Kareem.

Tafadhali,kwa niaba ya Wanajamvi na ndugu zangu soote twakusihi urejee hapa barzan kuzidi kutusomesha.

Pole
kwa karaha kiduchu hapa jamvini,zitokazo kwa wale wasokubali ukweli wako mchungu. Twajua yakuwa wajaribu kufanza kila hila na dhuluma,ili huu mnakasha ufungiwe kama kila mingineyo uianzishayo.

Pia tunaziona provocations zao zoote...

Tafadhali Sheikh ndugu yetu,rejea tupate Ilm yako nadhimu...sisi tuhapa kukusoma wewe tu wala si mwingine.

Kipata fursa tafadhali anzia na hilo suali alokuwekea hapo Ayatollah Chamviga,kuhusu huyo Bwana Cecil Matola nafikiri!?...maana kila mara huyo Mag3, anakutuhumu yakuwa ati "humtaji"/humpendi huyo Cecil kwa sababu tu ya dini yake!?

Ahsanta.
 
Shariff Ritz,

Jaribu kumpa salaam Muheshimiwa "Dr" Slaa,mwambie yakuwa jamaa wengi wanamtafuta mbona anazima simu yake/zake za kiganjani siku hizi na hapatikani wala hajibu kabisa!?

Kwa kifupi tunataka kujua je ni kweli yeye Muheshimiwa Dr Slaa,Mbowe na Babu yao Mtei walishiriki katika kupanga na kuchakua katiba ya Chadema!?

Pia atufahamishe kwanini Mbowe amefumbia macho kitendo cha yule jambaziwa magari wa Arusha/Mbunge wa Wakristo wa Arusha aka Chadema Lema, kumpiga na kumuadhiri vibaya mno tena hadharani Mwenyekiti wa Chadema wa Mkoa Arusha!?...

Inajulikana pia huyo huyo Lema,tayari alishamtishia maisha Mwenyekiti wa Mkoa kabla ya hapo,taarifa zipo Police,lakini Mbowe alipojulishwa hizi taarifa muda mrefu pia alizinyamazia,labda pia na kuzipuuzia!?

Je Chadema hawajui yakuwa huyo Lema pia anatafutwa huko UK kwa kesi ya ubakaji...je sharia/kanuni za Chama/kikundi chao cha Wakristo aka Chadema zinasemaje kuhusu hilo!?

Je ni kweli Muheshimiwa Dr Slaa,ni kweli alifukuzwa kwenye kazi/shughuli za Upadri baada ya kushutumiwa na kuthibitika kwa kesi ya kumbaka mchungwaji wa kike/Sister aliekua mtumishi mwaminifu wa Roho Mtakatifu!?

Kwanini Ben 8 O'clock,ameshindwa/anashindwa kujibu tuhuma za kuchakachuliwa katiba ya Chadema na matokeo yake anaendeleza harakati za kumchafua Naibu Katibu Mkuu wa Kikundi/Chama chao...Mbunge Zitto Kabwe!?

Ni hayo machache tu kwa sasa,na kuanzia jioni hii nahamia rasmi "jukwaa la siasa" kukutana na Mag3!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ninafarajika mno kuona/kusikia yakuwa Waislam wengi mno,wameelimika vya kutosha kuhusu maslahi yao na hizo local politics, pia na ile Political Block ya Waislam hapo Tanzania inazidi kuimarika na kujitambua.

Kwa kifupi,tutahakikisha hao Chadema hawashiki nchi hiyo hata siku moja ati kwa kupitia kura za Waislam,abadan,asilan!

Hao Chadema kama tuonavyo hii Islamophobia yao humu Jf...kwa kifupi mimi binafsi nimetishika pasi kiasi! Na ndo hali halisi ndani ya mioyo yao na pia ndo hidden agenda ya hicho kikundi/"Chama" chao cha kibaguzi na Kikristo.

CCM,pamoja na makosa yao maduchu maduchu,lakini huwezi hata siku moja kufafananisha na udhalimu na chuki za Chadema dhidi ya Uislam/Waislam!?...

CCM ni chama chetu Waislam,na kimetoka ndani ya struggle na sacrifices za Wazee Wetu,hatuwezi kukitupa CCM hata siku moja.

Tutakachofanza ni kukirekebisha na kukipa ultimatum zetu,ili kisiendelee to take Muslim Voters for granted...it's about time now that CCM realize and acknowledge the reality.

Kwa kifupi,CCM na Waislam ni kama vile mguu wenye kovu,je utaukata na ni wako!?...CCM ni jasho la Wazee Wetu,tangia enzi TAA,TANU...japo yule Nyerere alijaribu kupachika agendas zake za MfumoKristo.

Waislamu/Muislam yeyote popote ulipo,jihadharini mno na propagandas za kikundi cha Wakristo wabadhilifu na wenye chuki aka Chadema...hicho "Chama"/kikundi kina agenda tafauti na hatari mno kwa jamii ya Kiislam hapo Tanzania.

Tunazijua contacts zao zoote za nje,NGOs na Vyama vibaya mno dhidi ya maslahi ya Waislam hao Chadema wanavyoshirikiana navyo.

Muislam,popote pale ulipo,tafadhali jitambue kuanzia sasa hivi...wewe na family yako,Chadema ni hatari kwako na maisha/maendeleo yako.


Ahsanta.

Ps; "Wamachame wanashangilia wanaposikia jina la Nyerere linatajwa makanisani,lakini WanaMkuranga wanazomea wanaposikia jina la Nyerere Misikitini". - By Nguruvi3, Chadema Political Strategist


Cc;Jason Bourne,Chamviga

Takbiir! Allah akbar huu ni msumali wa moto kwenye kidonda.
 
Sheikh Mohamed Said,

Al Jumaa Kareem.

Tafadhali,kwa niaba ya Wanajamvi na ndugu zangu soote twakusihi urejee hapa barzan kuzidi kutusomesha.

Pole
kwa karaha kiduchu hapa jamvini,zitokazo kwa wale wasokubali ukweli wako mchungu. Twajua yakuwa wajaribu kufanza kila hila na dhuluma,ili huu mnakasha ufungiwe kama kila mingineyo uianzishayo.

Pia tunaziona provocations zao zoote...

Tafadhali Sheikh ndugu yetu,rejea tupate Ilm yako nadhimu...sisi tuhapa kukusoma wewe tu wala si mwingine.

Kipata fursa tafadhali anzia na hilo suali alokuwekea hapo Ayatollah Chamviga,kuhusu huyo Bwana Cecil Matola nafikiri!?...maana kila mara huyo Mga3, anakutuhumu yakuwa ati "humtaji"/humpendi huyo Cecil kwa sababu tu ya dini yake!?

Ahsanta.

Gombesugu,
Si kweli kuwa mimi simpendi Cecil Matola.

La hasha lakini Matola hana jambo la kusikika katika historia ya Tanganyika.

John Iliffe alihariri kitabu, ''Modern Tanzanians,'' ambamo mlikuwa na biography
za Watanganyika waliofanya makubwa katika Tanganyika.

Cecil Matola hakuwa mmoja wao.

Kulikuwa na mradi wa Oxford University Press, New York na Harvard ulioitwa
Dictionary of African Biographies (DAB) na mimi nashukuru nilishiriki kama mmoja
wa waandishi.

Jina la Matola halikuwapo.
Huu ndiyo ukweli.

Lakini ikiwa Mag3 analo la kusema kuhusu Matola ambalo wanahistoria limewapita
hii ni nafasi yake ya kuueleza ukumbi.
 
Wewe hutaelewa hata ufundishwe na mtume wako acha binadamu,amri kumi za Mungu zipo hadi misikitini na mnazitii,hakuna haja kupigania.Soma vizuri interest za Kony acha unafiki wa hoja




Steyn,

Did you know that,the Divine Trinity of Ra,Osiris and Isis existed in Ancient Egypt over 3000BC!?

The "Trinity" fable isn't unique to Christianity...the Divine Trinity of Brahma,Viishnu and Siva existed in Ancient Hindu 4000BC.

Such legends inspired the alleged "Trinity"of Christianity.

Christians often refer to their god as "El- Shaddai"/"Sky Father",right!? Kwi! Kwi! Kwi!

Yet El Shaddai was the pagan god worshipped by the Cannanites over 3000BC.

Under the reign of Pope Damascus(366-384),women and children were bought and sold as sex slaves to increase funding for the Church!

Every past culture had a "Saviour for mankind"...Egypt had Horus,Hindus had Krishna.

Jesus "story" was simply re-told in a Christian version.

The "resurrection" of Jesus was a common Pagan myth of the Early ages...over 18 pagan "Sons of gods" were also said to have resurrected too!? Kwi! Kwi! Kwi!

Bible verse of Samuel(16: 1-23) tells how god allegedly told Samuel to lie and say he came to "sacrifice for the Lord"!?

The Bible endorses lies. The Bible claims the Tower of Babel almost "reached Heaven"!? Kwi! Kwi!

Yet space rockets which travel to the moon and beyond never reached heaven!?

No matter how "educated" you are,if you still regard the Bible as the word of God,this day and age...you are obviously not educated enough!

Ahsanta.

Ps;I don't expect your response though,just a little polite,friendly talk to You.


Cc;Maulana Dr Kahtaan

 
Gombesugu,
Si kweli kuwa mimi simpendi Cecil Matola.

La hasha lakini Matola hana jambo la kusikika katika historia ya Tanganyika.

John Iliffe alihariri kitabu, ''Modern Tanzanians,'' ambamo mlikuwa na biography
za Watanganyika waliofanya makubwa katika Tanganyika.

Cecil Matola hakuwa mmoja wao.

Kulikuwa na mradi wa Oxford University Press, New York na Harvard ulioitwa
Dictionary of African Biographies (DAB) na mimi nashukuru nilishiriki kama mmoja
wa waandishi.

Jina la Matola halikuwapo.
Huu ndiyo ukweli.

Lakini ikiwa Mag3 analo la kusema kuhusu Matola ambalo wanahistoria limewapita
hii ni nafasi yake ya kuueleza ukumbi.




Sheikh Mohamed Said,

Shukran kubwa mno,kwa kuitikia wito wetu sisi nduguzo soote na Wanajamvi wengineo woote.

Yoote ulosema nakufahamu kwa undani mno...nilikhis yakuwa huyo Bwana Cecil angekua hana mangi mno
kwenye history...lakini Wazee Wetu wakinena,"dawa ya Mrongo ni kumrongoza".

Nisingalipenda kunena mangi mno kwani umehitimisha kwa hili...yaani Waswahili hunena yakuwa,"umeukata ule mzizi wa fitna"!

Insha Allah,Mola takuzidishia kwa kila lenye kheir nawe,na takuondoshea hasada zoote na zishindwe hata kukukurubia asilan!

Ahsanta.
 
Sheikh Mohamed Said,

Shukran kubwa mno,kwa kuitikia wito wetu sisi nduguzo soote na Wanajamvi wengineo woote.

Yoote ulosema nakufahamu kwa undani mno...nilikhis yakuwa huyo Bwana Cecil angekua hana mangi mno
kwenye history...lakini Wazee Wetu wakinena,"dawa ya Mrongo ni kumrongoza".

Nisingalipenda kunena mangi mno kwani umehitimisha kwa hili...yaani Waswahili hunena yakuwa,"umeukata ule mzizi wa fitna"!

Insha Allah,Mola takuzidishia kwa kila lenye kheir nawe,na takuondoshea hasada zoote na zishindwe hata kukukurubia asilan!

Ahsanta.

Ndugu yangu Gombesugu,
Ahsante na Amin, Amin, Amin.

Tumo humu kuelimishana kwa staha na ustaarabu.
 
Gombesugu,
Si kweli kuwa mimi simpendi Cecil Matola.

La hasha lakini Matola hana jambo la kusikika katika historia ya Tanganyika.

John Iliffe alihariri kitabu, ''Modern Tanzanians,'' ambamo mlikuwa na biography
za Watanganyika waliofanya makubwa katika Tanganyika.

Cecil Matola hakuwa mmoja wao.

Kulikuwa na mradi wa Oxford University Press, New York na Harvard ulioitwa
Dictionary of African Biographies (DAB) na mimi nashukuru nilishiriki kama mmoja
wa waandishi.

Jina la Matola halikuwapo.
Huu ndiyo ukweli.

Lakini ikiwa Mag3 analo la kusema kuhusu Matola ambalo wanahistoria limewapita
hii ni nafasi yake ya kuueleza ukumbi.

Maalim Mohamed Said, naomba mualiko huu kwa Mag3 niusambaze pia kwa Nguruvi3, Yericko Nyerere, Mzee Mwanakijiji na wenzao wote, mjumuike mtupatie historia ya Cecil Matola zaidi ya tuijuayo kutoka kwa Maalim Mohamed Said.

Thanks in advance.
 
Last edited by a moderator:
Mujitahid Wabara,

Al Jumaa Kareem!

Wallahi,mie hufuatilia kwa karibu mno hizi bayana zako,nakoshwa mno na hizo lahaja na istilahi utumiazo.

Sidhani kama huyo ujaribuye zungumza nae hata kama akufahamu unenani!? Kwi! Kwi!

Ni mughali kwa sasa kupata japo thuluthi ya wenye kuzungumza Kiswahili chenye ladha....lakini pia ndo twarejea kule kule kwa yule Nyerere,maana yeye ndo alotaifisha mpaka lugha yetu na ati kuifanza ni "Lugha ya Taifa"!? Kwi! Kwi! Kwi!

Kila nikusomapo nabubujikwa na machozi,maana wanikumbusha lafidh mwanana za Wazee Wetu maskini.

Napata khisia yakuwa wewe mwenzangu itakua lazim ni muungwana alokamilika wa ki-Mtang'ata!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta sana.

Nawe al-akhiy,
Gombesugu
Hawa jamaa pana kila sababu ya kubanana nao ili nasi tuweze kurejeza sifa na hadhi ya Uislamu na Waislamu katika nchi yetu,

Qur aani imetusifu sie Waislaamu kuwa ni wenye akili na Muislamu haghafiliki moja kwa moja labda mnaafiq,

Naendelea kumsoma Aljmudeer Muhammad Saeed na bayana zake ziso na pinzani,

Ahsanta,
 
Eiyer,
Msingi wa mnakasha huu hapa JF ni kitabu changu ikiwa hukuwa unafahamu.

Kumbe kitabu hujasoma umeingia tu na kuanza kujadili.
Hapana ubaya.

Sasa wewe huoni ikiwa utakuwa umekisoma kitabu utakuwa katika hali nzuri
ya kuchangia?

Kuhusu uoga hiyo si sifa yangu.

Mzee hebu tuassume kuwa sijasoma kitabu chako
Halafu ninakuuliza maswali ambayo wewe ndie mwenye kitabu na hayo maswali ninayokuuliza majibu yake unayo na pia yapo kwenye kitabu chako

Sasa kama majibu yake yapo kwenye kitabu hii maana yake majibu yako unayo wewe
Kujibu kwako maswali yangu hapa kutaonesha kuwa kile ni kitabu makini na kinatoka kwa mtu makini
Lakini unaposhindwa au kuacha kujibu eti hadi nikisome ndipo nipate majibu utakuwa unafanya mchezo wa kitoto

Ni mchezo wa kitoto kwa kuwa kama wewe ndie mwandishi wa kitabu na unauhakika kuna majibu nikitu gani kinakufanya usinijibu maswali yangu sasa?
Huwezi kuona kuwa kujibu kwako maswali yangu nitajua kuwa kuwa huenda kwenye kitabu chako kuna majibu ya baadhi ta maswali yangu na ukanihamasisha kukisoma?

Lakini kama hutaki kunijibu maswali yangu hapa itaonesha mambo mawili
1:Huyu mtu hana majibu
2:Huenda ni mbabaishaji tu

Sasa kama ni hivyo huoni kuwa sitakuwa na sababu ya kukisoma kitabu chako?
Hakutakuwa na sababu kwa kuwa mwandishi wa kitabu hicho ambae ni wewe umeshindwa kujibu maswali ambayo ni simpo sana je kwenye kitabu chako kutakuwa na mpya gani?

Nitakitafuta kitabu chako kwa sababu gani hasa?
 
Wewe hutaelewa hata ufundishwe na mtume wako acha binadamu,amri kumi za Mungu zipo hadi misikitini na mnazitii,hakuna haja kupigania.Soma vizuri interest za Kony acha unafiki wa hoja
Hiki hapa chini ni majibu ya huyo jama kwa huyu hapa juu

Huyu hapa chini hajijui kuwa kwa maneno yake haya anaufanya Uislam kuwa ni dini ya kipagani
Anapayuka tu bila hata kujua lolote

Waislam ni matatizo matupu
Hawajijui kabisa

Steyn,

Did you know that,the Divine Trinity of Ra,Osiris and Isis existed in Ancient Egypt over 3000BC!?

The "Trinity" fable isn't unique to Christianity...the Divine Trinity of Brahma,Viishnu and Siva existed in Ancient Hindu 4000BC.

Such legends inspired the alleged "Trinity"of Christianity.

Christians often refer to their god as "El- Shaddai"/"Sky Father",right!? Kwi! Kwi! Kwi!

Yet El Shaddai was the pagan god worshipped by the Cannanites over 3000BC.

Under the reign of Pope Damascus(366-384),women and children were bought and sold as sex slaves to increase funding for the Church!

Every past culture had a "Saviour for mankind"...Egypt had Horus,Hindus had Krishna.

Jesus "story" was simply re-told in a Christian version.

The "resurrection" of Jesus was a common Pagan myth of the Early ages...over 18 pagan "Sons of gods" were also said to have resurrected too!? Kwi! Kwi! Kwi!

Bible verse of Samuel(16: 1-23) tells how god allegedly told Samuel to lie and say he came to "sacrifice for the Lord"!?

The Bible endorses lies. The Bible claims the Tower of Babel almost "reached Heaven"!? Kwi! Kwi!

Yet space rockets which travel to the moon and beyond never reached heaven!?

No matter how "educated" you are,if you still regard the Bible as the word of God,this day and age...you are obviously not educated enough!

Ahsanta.

Ps;I don't expect your response though,just a little polite,friendly talk to You.


Cc;Maulana Dr Kahtaan

 
Eiyer
Kwetu sisi ilmu ni lazima/ faradhi na si khiyari, jambo ambalo kwako ni kinyume,

Kwa hivyobasi ukiona katika sisi mtu anakujibu jua anajiamini katika kile alicho jibu lakini kwa sababu elimu yako ni ile ya kuambiwa fungua ukurasa fulani nawe wafungua bila kuhoji, wadhani utaweza kutuelewa kirahisi?!

Ila kwa dhati nakuambia tunakujibu kwa sababu si lazima ati uongoke wewe laa hasha! bali huenda wakabahatika baadhi ya wanajamvi humu wakaiona haki stahiki nao wakaifuata,

Kwa ufinyu wako wa uelewa huenda ukadhani twapoteza muda laa! Sisi twashusha ithbaati za kukuonesheni yale matusi yenu kuwa Waislaamu hawakusoma wala hawataki kusoma ili sasa mkae mkao wa tahadhari,

Hapa hamchomoki,

Teh teh teh...!!

Huko kwenye haki ni wapi?
 
Mzee hebu tuassume kuwa sijasoma kitabu chako
Halafu ninakuuliza maswali ambayo wewe ndie mwenye kitabu na hayo maswali ninayokuuliza majibu yake unayo na pia yapo kwenye kitabu chako

Dah, wanajamii huu kama si upunguani ni nini?

Anaandika kuwa "sijasoma kitabu chako" halafu anaandika "hayo maswali ninayokuuliza majibu yake unayo na pia yapo kwenye kitabu chako".
 
Dah, wanajamii huu kama si upunguani ni nini?

Anaandika kuwa "sijasoma kitabu chako" halafu anaandika "hayo maswali ninayokuuliza majibu yake unayo na pia yapo kwenye kitabu chako".

Teh teh teh teh!

Ukhti FaizaFoxy wallahi umenivunja mbavu hapa!

Basi hayo ndio matunda ya ugalatia!

Huyo baba upako Eiyer anaandika kama kaazima ubongo kwa jirani!
Teh teh teh teh!
Lahaula wala kuwwata !!
 
Last edited by a moderator:
Mzee hebu tuassume kuwa sijasoma kitabu chako
Halafu ninakuuliza maswali ambayo wewe ndie mwenye kitabu na hayo maswali ninayokuuliza majibu yake unayo na pia yapo kwenye kitabu chako

Sasa kama majibu yake yapo kwenye kitabu hii maana yake majibu yako unayo wewe
Kujibu kwako maswali yangu hapa kutaonesha kuwa kile ni kitabu makini na kinatoka kwa mtu makini
Lakini unaposhindwa au kuacha kujibu eti hadi nikisome ndipo nipate majibu utakuwa unafanya mchezo wa kitoto

Ni mchezo wa kitoto kwa kuwa kama wewe ndie mwandishi wa kitabu na unauhakika kuna majibu nikitu gani kinakufanya usinijibu maswali yangu sasa?
Huwezi kuona kuwa kujibu kwako maswali yangu nitajua kuwa kuwa huenda kwenye kitabu chako kuna majibu ya baadhi ta maswali yangu na ukanihamasisha kukisoma?

Lakini kama hutaki kunijibu maswali yangu hapa itaonesha mambo mawili
1:Huyu mtu hana majibu
2:Huenda ni mbabaishaji tu

Sasa kama ni hivyo huoni kuwa sitakuwa na sababu ya kukisoma kitabu chako?
Hakutakuwa na sababu kwa kuwa mwandishi wa kitabu hicho ambae ni wewe umeshindwa kujibu maswali ambayo ni simpo sana je kwenye kitabu chako kutakuwa na mpya gani?

Nitakitafuta kitabu chako kwa sababu gani hasa?

Teh teh teh teh!
Kwi kwi kwi kwi kwi!
Ahhhh jamani kuna viumbe wengine wapo hapa duniani kumaliza oxygen tu!
Na kujaza server ya JF!

Yaani hii forum ingekuwa mtu akiongea utumbo anapigwa faini!
Basi we mzee wa upako Eiyer ungekuwa MUFLIS Zamaaani!

Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
BABA PAROKO! teh teh teh teh! mzee wa CHABO!

Una laana wewe! Umeambiwa mara ngapi ukasome kitabu cha mzee MS lkn bado unakija na viswali vyako vya kipuuzi,

Hapa hatuhubiri, Nenda huko kwa wale wanaosamehe dhambi waasherati kwa tshs 150/= na hali ya kuwa wao wenyewe ni wabakaji!!

Kabla hujaanza kuchokoa usio yajua, Mi nakushauri UANZE NA BASIC!
Ushauri fasta huu apa,
Maswali ya kipuuzi ambayo hadi leo yanakosa majibu?
Kama ni kweli ya kipuuzi hujui kuwa unamtusi huyo mzee wako?
Mtu anaeshindwa kujibu maswali ya kipuuzi si anakuwa yeye ni zaidi ya huo upuuzi?
Anzeni na wale wanakondoo wa kike wanaokuja kanisani na MINI SKIRT AU G STRING! Waambieni wanasababisha mfadhaiko kwa wachungwaji< Matokeo yake UBAKAJI UNAONGEZEKA,

Hili hata wewe mwenyewe umelidhihiri hapa, SI UNAKUMBUKA ILE AVATAR YA YULE DADA ILIVYO KURUSHA ROHO!! MPAKA UKAOMBA AINUE MIGUU ILI UONE MALI GHAFI YOTE!!

teh teh teh teh teh
Tatizo kubwa na nyie Waislam ni kuwa hamjui kabisa kuwa dini yenu ina matatizo kuliko hata tatizo lenyewe
Haina tofauti na NAZISM

Wewe unaona wanawake kuingia na vimini nihatari kuliko wanachofanya Boko haram
Wewe unaona wanawake kuingia na vimini ni hatari kuliko wanachokifanya Al-Qaida
Wewe unaona wanachokifanya wanawake kwa kuingia kanisani na vimini ni hata ri kuliko walichokifanya Al-Shabaab pale West Gate

Au ni kwasabau walisema kuwa Waislam watoke?
Killing unbeliver is halal au sio?
Like this verse state here:

Quran (4:89) - "They but wish that ye should reject Faith, as they do, and thus be on the same footing (as they): But take not friends from their ranks until they flee in the way of Allah (From what is forbidden). But if they turn renegades, seize them and slay them wherever ye find them; and (in any case) take no friends or helpers from their ranks."


Wewe umekalia kuona vimini tu

Unasema ubakaji unaongezeka,si bora hata hao wanafanya lakini wanajua kuwa ni kosa kuliko yule aliyekabaka katoto ka miaka 9 halafu eti mnamuita ni mfano wa kuigwa

Pathetic!
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh teh!
Kwi kwi kwi kwi kwi!
Ahhhh jamani kuna viumbe wengine wapo hapa duniani kumaliza oxygen tu!
Na kujaza server ya JF!

Yaani hii forum ingekuwa mtu akiongea utumbo anapigwa faini!
Basi we mzee wa upako Eiyer ungekuwa MUFLIS Zamaaani!

Teh teh teh teh!

Hujui kama unaendelea kumtusi huyo mzee wenu
Kama una hekima ni bora ukaacha kumtusi!
 
We mwenye kuelewa unaifahamu AMRI YA KWANZA INASEMA NINI?
Ngoja nikufundishe kidogo!

INASEMA;-

Usiwe na miungu mingine ila mimi." - Kutoka 20.3

Sasa hio Miungu mitatu mmetoa wapi??

Nyie ni waongo tena mnafanya ukafiri mkubwa. ambao mnamsingizia mpaka Mungu uongo!

Hata haya hamuoni! Kusema kuwa mungu ni mzungu.

Mnfnsssssssssssssss!

Laanatullahi alal kafiriin.

Hata Nyie Mnamsingizia Allah Uongo kuwa ni Mungu wakati yeye Allah wa Mecca Alikataa kuwa yeye si Mungu muhaahahaha.... Mungu ni Mmoja tu... na Yesu alisema yeye ni Mwana wa Mungu hiyo ni Siri ambayo hauiweka Wazi utakuja kuijulia ukiwa Mtakatifu huko Mbinguni...

Kuwa Muislam ni Janga la kuishi Ujingani
 
Dah, wanajamii huu kama si upunguani ni nini?

Anaandika kuwa "sijasoma kitabu chako" halafu anaandika "hayo maswali ninayokuuliza majibu yake unayo na pia yapo kwenye kitabu chako".

FaizaFoxy

Umepasua mbavu na hizi bayana zako teh teh teh kwi kwi kwi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom