Shariff Ritz,
Jaribu kumpa salaam Muheshimiwa "Dr" Slaa,mwambie yakuwa jamaa wengi wanamtafuta mbona anazima simu yake/zake za kiganjani siku hizi na hapatikani wala hajibu kabisa!?
Kwa kifupi tunataka kujua je ni kweli yeye Muheshimiwa Dr Slaa,Mbowe na Babu yao Mtei walishiriki katika kupanga na kuchakua katiba ya Chadema!?
Pia atufahamishe kwanini Mbowe amefumbia macho kitendo cha yule jambaziwa magari wa Arusha/Mbunge wa Wakristo wa Arusha aka Chadema Lema, kumpiga na kumuadhiri vibaya mno tena hadharani Mwenyekiti wa Chadema wa Mkoa Arusha!?...
Inajulikana pia huyo huyo Lema,tayari alishamtishia maisha Mwenyekiti wa Mkoa kabla ya hapo,taarifa zipo Police,lakini Mbowe alipojulishwa hizi taarifa muda mrefu pia alizinyamazia,labda pia na kuzipuuzia!?
Je Chadema hawajui yakuwa huyo Lema pia anatafutwa huko UK kwa kesi ya ubakaji...je sharia/kanuni za Chama/kikundi chao cha Wakristo aka Chadema zinasemaje kuhusu hilo!?
Je ni kweli Muheshimiwa Dr Slaa,ni kweli alifukuzwa kwenye kazi/shughuli za Upadri baada ya kushutumiwa na kuthibitika kwa kesi ya kumbaka mchungwaji wa kike/Sister aliekua mtumishi mwaminifu wa Roho Mtakatifu!?
Kwanini Ben 8 O'clock,ameshindwa/anashindwa kujibu tuhuma za kuchakachuliwa katiba ya Chadema na matokeo yake anaendeleza harakati za kumchafua Naibu Katibu Mkuu wa Kikundi/Chama chao...Mbunge Zitto Kabwe!?
Ni hayo machache tu kwa sasa,na kuanzia jioni hii nahamia rasmi "jukwaa la siasa" kukutana na Mag3!? Kwi! Kwi! Kwi!
Ninafarajika mno kuona/kusikia yakuwa Waislam wengi mno,wameelimika vya kutosha kuhusu maslahi yao na hizo local politics, pia na ile Political Block ya Waislam hapo Tanzania inazidi kuimarika na kujitambua.
Kwa kifupi,tutahakikisha hao Chadema hawashiki nchi hiyo hata siku moja ati kwa kupitia kura za Waislam,abadan,asilan!
Hao Chadema kama tuonavyo hii Islamophobia yao humu Jf...kwa kifupi mimi binafsi nimetishika pasi kiasi! Na ndo hali halisi ndani ya mioyo yao na pia ndo hidden agenda ya hicho kikundi/"Chama" chao cha kibaguzi na Kikristo.
CCM,pamoja na makosa yao maduchu maduchu,lakini huwezi hata siku moja kufafananisha na udhalimu na chuki za Chadema dhidi ya Uislam/Waislam!?...
CCM ni chama chetu Waislam,na kimetoka ndani ya struggle na sacrifices za Wazee Wetu,hatuwezi kukitupa CCM hata siku moja.
Tutakachofanza ni kukirekebisha na kukipa ultimatum zetu,ili kisiendelee to take Muslim Voters for granted...it's about time now that CCM realize and acknowledge the reality.
Kwa kifupi,CCM na Waislam ni kama vile mguu wenye kovu,je utaukata na ni wako!?...CCM ni jasho la Wazee Wetu,tangia enzi TAA,TANU...japo yule Nyerere alijaribu kupachika agendas zake za MfumoKristo.
Waislamu/Muislam yeyote popote ulipo,jihadharini mno na propagandas za kikundi cha Wakristo wabadhilifu na wenye chuki aka Chadema...hicho "Chama"/kikundi kina agenda tafauti na hatari mno kwa jamii ya Kiislam hapo Tanzania.
Tunazijua contacts zao zoote za nje,NGOs na Vyama vibaya mno dhidi ya maslahi ya Waislam hao Chadema wanavyoshirikiana navyo.
Muislam,popote pale ulipo,tafadhali jitambue kuanzia sasa hivi...wewe na family yako,Chadema ni hatari kwako na maisha/maendeleo yako.
Ahsanta.
Ps; "Wamachame wanashangilia wanaposikia jina la Nyerere linatajwa makanisani,lakini WanaMkuranga wanazomea wanaposikia jina la Nyerere Misikitini". - By Nguruvi3, Chadema Political Strategist
Cc;Jason Bourne,Chamviga