Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Naunga mkono hoja ya Ritz umpe ofa afungue uzi halafu atualike tutaenda na mikoba yetu huku kiustarabu kabisa na mwisho tutafika.

Maalim wangu CHAMVIGA nimempa ofa lkn kaikataa!
Sasa awache kulalamika na kuanza fitna ya kuwapaka waungwana mafuta kwa mgongo wa chupa!
Mi huwa nachafuka sana na watu wenye sura mbili!
Na mikoba yangu yoote iko wazi hapa!
Kama ataendelea na hizi propaganda za kiirani mi ninazo za kianswari!
Tutafanya kubadilishana tu!
 
Last edited by a moderator:

Al habib shariff Ritz huyu Nguruvi3 naona kavaa ile miwani kama pirate! Imezibwa upande mmoja! Na bahati mbaya ule upande anaoona yuko kahtaan na swahiba zake!
Teh teh
 
Last edited by a moderator:
Nimekuchokoa mpaka umetoka shimoni!

Teh teh teh teh!

Sina haja ya kubishana na wewe! We hija yako karbala. Mi ni totally different!
Cc CHAMVIGA Ritz

That remains to be seen assuming there is a hole. Ya Rasullulah, pray for our Najd!!!
 
Last edited by a moderator:
All Maulana and others side.

As year 1434 is gonna be an end and well! Enter in new year with new hopes and plans let, pray to Allah for A Blessed and Wonderfull New year with peace and All our dreams come true.

Ameen and Happy New Year Islamic Year 1435.
 

ameen!
 
Wewe huna dini lakini adui wako ni uislamu tena wasuni?! This is fantastic and very interesting.

Chamviga,
Wala aujakosea,
Nawachukia sunni kwaajili ya ugomvi wao. Mazani hata Taqiyya Shia wanayotumoa ni kwaajili sunni wasijue wanachokiamini. Ndio maana wanatumia kuruani ya sunni lakini wanaamini imechakachuliwa. Hawasemi imani yao kwasababu wanawaogopa sunni. Siunaona hata kahtaan anafanya kejeri ya shia kuenda hija karbala na sunni kweda hija mecca.
Kwa ujumla sunni ndio wanaongoza kwa ugomvi. Hata jamaa waliouwa mgambo tanga nimesikia walisema wao ni sunni kama sijakosea.
 

WE ni ktk wale vibaraka wasio na malipo! ohh nimeskia bla..bla..bla..! basi elimu hutaki uhodari wako ni kutuleteaq habari za kusikia!!

Kapate elimu kwanza ndio uje kwenye baraza la waungwana! mara sunni wanaongozaaa bla..bla.. shia wanaimba bla bla bla !

Huna elimu ya dini wala ya dunia, basi tu na wewe umo! ukitumwagia mapovu hapa!
back to the topic now!!
 
Wickama ni shia????? 😳 nakuonea huruma sana. Yaani huwa unajipiga mijeledi? 😥
 
Last edited by a moderator:

Sawa nimekuelewa nisalimie imamu wenu aliyejificha mapangoni huko iraq tangu karne ya swahaba na quruani yenu ya fatwima r.a.
 
Wickama ni shia????? 😳 nakuonea huruma sana. Yaani huwa unajipiga mijeledi? 😥

Teh teh teh teh!
Akhui faby huwa unakuja na makombora jumla!
Muonee huruma kidogo! Halikuwa lengo lake! Kilichomponza ni zile baskeli za bure!
Muombee dua iko siku ataelekea kibla tu! Sio karbala.
 
Last edited by a moderator:
Ameen Ritz.
 
Last edited by a moderator:

Babu yako alikuwa anafanya nini wakati babu zetu walikuwa wanapigania Uhuru wa Tanganyika? Usituambie alikuwa Malawi.

bado hujajibu.

Nyerere ameandikwa kwenye historia kuwa ni mkatoliki mzuri sana na akilisaidia sana kanisa, msome Bergen na Sivalon, reference zimewekwa humu kwenye posts zingine.

Nimekuuliza ni vipi leo kanisa katoliki limpe "uwenye heri" Rais aliyeongoza nchi isiyo na dini (kwa muono wako) na vipi litake kumpa utakatifu mtu ambae hajahubiri dini kwa miaka yote aliyoiongoza nchi isiyo na dini? au hayajui hayo?
 




Wickama,

Kwa kifupi,mangi yakukutayo kwenye mnakasha huu na ule ulopita pia ni ya kujitakia wewe mwenyewe.

Nimeichungulia kiduchu juu hiyo bayana yako...umeandika mangi mno na kutia nakshi kwa nambari,lakini haitosaidia kitu.

Hizo zoote ni triangular excuses/explanation with no relevance or even substance.

Nilishawahi mara kadhaa kukuambia yakuwa makosa yako,niyakua bila ya kujali yakuwa wewe ni Mkristo au Muislam...lakini wapenda mno kitu kiduchu unaanza ku-justify kwa kunukuu aidha Quraan au Khadith,na khasa pale anapotajwa yule Nyerere.

Hivi hujistaajabu yakuwa kwenye minakasha yoote ndo wewe pekee ujiitae ati ni "Muislam" lakini huonyeshi hata punje au dalili za ku-sympathise/empathy kwa madhila au dhuluma zozote dhidi ya Waislam!?

Nilikuuliza mara kadhaa mpaka nikastaajabu,hivi kwanini uliona ni lazim uulizie vitu trivial kama sigireti aliopewa/alizovuta Nyerere,na kuonyesha ati ni "usengenyaji"!?

Labda ni sawa...sasa palikua na umuhimu upi wa kutumia khadith za Mtume au Family yake,tena kwa kuuliza suali duchu kama lile dhidi ya Sheikh Mohamed Said!?

Hivi unakhis yakuwa Sheikh Mohamed Said hawezi kukufahamu uulizacho bila ya wewe kutumia hizo nukuu za Khadith au Quraan!?

Nafikiri ulichofaulu mpaka sasa ni kuwa-trap a bit into your game/play hawa ndugu zangu,Maulana Dr Kahtaan,Ayatollah,Chamviga na Shariff Ritz and as a result they responded quite rightly,though with some sectarian elements.

Hata hivyo nawaunga mkono woote jinsi walivyokujibu.

Mimi binafsi siamini na wala hainishughulishi yakuwa wewe ni dini gani!?

Lakini kama ni "Muislam",pia ndo uzuri zaidi...japo nakhis kutokana na attitude yako,itakua umo kati ya wale insane/self-hate Muslims.

Hawa self-hate,wamo kwenye takriban dini zoote,Jews,Christians,Hindus na wengineo wengi tu!

Wickama,usijaribu kabisa ati kutaka kuonyesha yakuwa wewe ni victim, na ati ndo "Mzalendo" kuliko wengineo,hili si kweli.

Wala hakuna yeyote mwenye kupinga kauli au opinions zako...

Tatizo ni yakuwa,wewe huijui history na madhila/dharuba walopitia Waislam katika nchi hiyo hata kiduchu.

Badala ya huo "uzalendo" unaodai ndo unao,wewe unachofanza hapa ni kuonyesha kumuabudu huyo Nyerere blindly...yaani kwa upofu mwingi mno...nakhis hapa unaingiza ile tribe affiliation,sasabu wewe ni wa Tarime na mwenzio ni wa Butiama!...nyoote ni wa Mara.

Kumbuka yakuwa kuna Wakristo wengi tu,tena wasomi na waadilifu kwenye dini yao,hata huo wakti wa Nyerere,lakini wao pia walikua wakifahamu na kuchukizwa na yale madhila,dharuba na nakma zilizokuwa wakipata Waislam au walizopitia.

Sasa wewe unaedai yakuwa ati ni "Muislam",yawaje hujui haya majambo...wewe ni "Muislam" gani!?

Ndo maana,waona mimi siku zoote nakuheshimu kama huna dini au Mkristo na Mtanzania mwenzangu...ambalo nafikiri ni jambo jema zaidi!?

Sijashuhudia hata siku moja kuona wewe Wickama,ukaona huzuni au kukemea japo kiduchu na kwa ustaarabu/upole,pale anapokashifiwa Mtume au Uislam!?

Na unajua kwa yakini matusi na kashfa na Islamophobia zoote kwenye hii minakasha,ambayo yoote mimi nawe binafsi tumeshiriki pamoja!?...mara zoote hao Waislam wanaodaiwa ati "wanatukana",hasha,wala si kweli nawe pia wafahamu hili.

Mara zoote hao Waislam,hulazimika kutoa majawaba,baada ya kushindwa kustahamili matusi yaso hoja dhidi ya Imani yao tukufu.

Kigezo chema...anzia upya Thread hii tangia mwanzo,khalaf tajionea mwenyewe "kisa na mkasa",na wapi zogo hili loote lilipoanzia.

Mara ngapi mwenyewe binafsi,nilikusihi ya kwamba turejee kwenye mada nawe ikawa unalazimisha mifano ya khadith dhidi ya kauli za Sheikh Mohamed Said...ati "kusengenya" na ule upuuzi wa "sigireti za Nyerere"!?

Wewe unajua Nyerere kawafanzia madhara na dhulma zipi Waislam hapo Tanzania!?

Mara zoote comments zako,ni yakuwa Waislam waache "uvivu",wapende kusoma na ati wende kujenga mashule/maskuli Mkuranga!?...sasa vipi tutakutafautisha wewe na Nguruvi3 na kikundi chenu cha Chadema!? Yaani hizo rhetoric na attitude zenu hazina tafauti asilan!

Unachotakiwa kufanza ni kuwasihi wanajamvi wakupe ushahidi nawe upinge au utoe maoni yako kwa hoja...lakini ufanzacho ni kumridhisha huyo mlaanifu wako Nguruvi3 na unafiki wake!?

Kwa kifupi wewe ni mtu wa ajabu...hao woote unaodai ati "wanakutusi",nafikiri wewe binafsi ndo una-encourage and you are responsible for your own demise.

Kwa mara nyingine tena,tafadhalini turejee kwenye mada.

Ahsanta.
 




Mag3,

Nimeisoma hiyo bayana yako.

Naona umekua too defensive kwanini!?

Hizo "harakati" ulizotaja wewe za Cecil Matola mbona hazionekani,la zaidi umeonyesha/umerukia masuala ya Ukristo kushughulika/"kusaidia" Watumwa!?

Huoni yakuwa umeruka na kukimbia hata mada/ulichoulizwa!?

Hizo harakati za kisiasa za huyo Cecil Matola kiduchu,ulizozionesha hapo juu na quotes zako dhaifu...mbona hazina tafauti asilan na yale yale alokua akitufahamisha Sheikh Mohamed Said siku zoote kuhusu huyo jamaa yako Cecil Matola!?

Tena kwa kumpa credit yake Sheikh Mohamed Said maskini,yeye ndo kamuelezea na kumkweza uzuri mno huyo Cecil Matola wako kuliko hata wewe/nyie weneywe.

Khalaf pia punguza kufanzia ghilba Wanajamvi wenzio,si unakumbuka kule kwenye mnakasha ulopita ulidanganya kama hivi ikafikia ukasutwa/ukasudukiwa mtu mzima...watoto wa Marehemu Lawi Sijaona wakawa wanawasumbua mno kwa simu maskini Shariff Ritz na Al Murid THE BIG SHOW...ikalazim wewe binafsi ukimbie jamvi/mnakasha na hukurejea tena!?

Kwanini unadai ati Wayao ndo Watanganyika "khalis"!? Tangia lini,huoni yakuwa huo ni urongo huo!?

Itakuwaje Myao au Mngoni ndo awe Mtanganyika khalis...kwa historia ipi na kigezo kipi!?

Punguza kupotosha Wanajamvi,maana ndo dasturi yako!

Kwa kifupi,kinachoonyesha hapo ni yakuwa huyo jamaa yako Matola alikua ni Mwalim tu zaidi kuliko hizo mbwembwe nyingine unazotaka kutuaminisha. Ndo maana ukaambiwa yakuwa historia yake kisiasa ilikua ni fupi mno na wala si ya kutisha!

Nakumbuka Shariff Ritz,pia mara kadhaa aliwahi kukuuliza juu yakuwa ututajie hiyo nyumba ya Matola,ilikua maeneo/mtaa upi hapo Kariakoo!? Naona mpaka leo umebana kimya,au hujui!?

Kama huna jawaba kwenye minakasha,ni uzuri na ustaarabu kutwambia wenzio...wala si jambo la kukufanza kutahayuri na kujibanza.

Nashukuru yakuwa,hayo mangine kuhusu huyo mnafiki wa Kibondei Martin Kayamba na Uislam wa Chief Kimweri,na pia kutanasar kwa Chief Makwaia na nduguye,yoote tayari Sheikh Mohamed said ameshakufahamisha kwa kina.

Ahsanta.
 





Sheikh Mohamed Said,

Asalaam Alaykum.

Shukran kwa bayana hii ilo njema.

Nakumbuka hizo khabar za huyo mnafiki wa Kibondei Martin Kayamba,ulishawahi kutufahamisha kipindi fulani.

Pia hivi vitimbi na unafiki wa ndugu zetu wa Kibondei hii ni open secret...khabar zao zajulikana kwingi mno khasa pale walipokua wakipakatana na wale Makasisi wa Kijarumani...huku wakifanziwa "fadhila" nyingi kwa kuwageuka wenzao!

Tafadhali,kipata fursa japo kiduchu tuwekee hapa jamvini kwa kina,"mipini" ya Chief Kimweri wa Vuga au kina Abdallah Ngwale na Ali Songea kuhusu ile khabar ya "Vita vya Majimaji".

Unajua baadhi ya wanae/mabint wa Chief Kimweri,aliwaozesha pale Kwale/Tanga na ndipo wakatokea kina Sheikh Chui Bin Mbuyu Bin Ali.

Na wengine waliolewa pale Mwarongo/Tongoni Tanga...ndo ukaona watu wa mwambao/pwani hizo wana mahusiano makubwa,ya karibu na ya kitambo kingi mno na wale ndugu zao wa pale Kilindi/Wakilindi.

Pia inasikitisha mno,maana katika historia na ukweli uliofichwa kwa makusudi na MfumoKristo,ni hiyo "Vita ya Majimaji" na Mashujaa wake.

Ahsanta.
 





So you want to talk bout "Mazingaombwe" now,yeah!?

Ok,lets start from here then;

When the Emperor Constantine(325AD) wanted to unite Rome,he simply fused Paganism with Christianity to appease both Pagan/Christian communities.

The Vatican itself was constructed upon the ruins of an Ancient Pagan sanctuary...thus,Christianity has its roots in Paganism.

This recent religion(Christianity) is neither new nor strange,as it is merely a pale reflection of earlier Pagan beliefs - Celsus(360AD).

The "Resurrection" of Jesus was a known Pagan myth of the early ages.

Over 18 Pagan "Sons of gods" were said to have "resurrected" before him.

Pope Urban ordered the deaths of over 10million people during his reign and is listed on TIME magazine's "Most Evil Men In History" -1976.

Emperor Constantine
(325AD) changed the Christian "Holy day" to Sunday to tally with that of the Roman Pagan sun god- Sol Invictus.

Biblical "Jesus" descended from a generation of of 12,had 12 Disciples and dined with them at a "last super"...so did Krishna-4000BC!

During the Inquisition,an entire Carthan village of women and children numbering 120,000 were completely murdered by Catholic Knights.

In order to encourage Slave Trade,Pope Nicholas V lied that "God" told him in a dream it was alright for Christians to buy and sell heathens!

...If needed will continue!

Ahsanta.
 

Gombesugu,
Ahsante sana.

Nadhani umeona kuwa paper ya ugaidi imeondolewa hapa.
Lakini mzalendo.net wameidaka na iko hapo.

Ingia mzalendo.net
Search: Mohamed Said

Paper itakuja In Sha Allah.
 
Gombesugu,
Ahsante sana.

Nadhani umeona kuwa paper ya ugaidi imeondolewa hapa.
Lakini mzalendo.net wameidaka na iko hapo.

Ingia mzalendo.net
Search: Mohamed Said

Paper itakuja In Sha Allah.

Shaikh Muhammad Saeed
Assalaamu alaykum warahmatullaah,
Shaikh kwanza natumia fursa hii kukupa pole kwa baadhi ya watu kujaribu kutaka kukukatisha tamaa, na pili fursa kama hini natumia pia kukupongeza kwa watu kuonesha kuwa wewe u-mtu muhimu,

Sina haja ya mifano mingi naomba niazime hiyo ilofutwa na hatimaye ni sawa na kusema hakijafutwa kwani mzalendo.net yapatikana,

Ndo utajakuta na nnaamini mwenyewe hutahayyar kwani pana maneno ya kiongozi wetu mkuu alisha nena kuwa

Sema haqq ijapo yauma,

Ahsanta.
 
Wickama ni shia????? 😳 nakuonea huruma sana. Yaani huwa unajipiga mijeledi? 😥

Al akhiy faby,
Assalaamu alaykum,
Ndo naingia hapa jamvini na nnaanza ziona zenu mal habeeb nukta,

Teh teh teh ....!
Yaani nimeheka sana, hivi hapa Tanzania pia yuna Mashia? Samahani kama ntakuwa nimeanza na swali vibaya!

Ila nadhani hapa si pahala pake lakini kwakuwa hao mabwana wadhani hapa ni pahala pake nami fursa kama hini nimeianza kwa ulizo kama hilo na hapo ndo tutakuwa twaenda na waleta mada sawa,

Halafu ndo twende kuleee upande wa Jukwaa la dini,

Ahsanta al akhiy,
 
Last edited by a moderator:
Hiki hapa chini ni majibu ya huyo jama kwa huyu hapa juu

Huyu hapa chini hajijui kuwa kwa maneno yake haya anaufanya Uislam kuwa ni dini ya kipagani
Anapayuka tu bila hata kujua lolote

Waislam ni matatizo matupu
Hawajijui kabisa





Again,you fool Idiot,I never expected you to easily decode my post anyway!

Now this is another one for you,Miss Eiyer...are you ready pretty face!?

"When foolishness is rewarded,wisdom becomes useless" - Cesare Borgia.

Did you know who is this!?

Cesare Borgia
was the son of Pope Alexander VI.

Infact,he was the Popes most loved and illegitimate son.(at one time papacy members were allowed to marry) Kwi! Kwi! Kwi!

Pope Alexander VI was known for having multiple mistresses and in 1476 bore a son named Cesare Borgia.

Cesare was Alexanders favoured son and by the age of 15 had already become the Bishop of Pamplona.

By his 18th. birthday he was a Cardinal.

Borgia
also had an older brother named Giovanni,who was Captain General of the Papacy Military Forces.

Cesare
envied his brother position and many Scholars believe he envied it so much that he had his own brother assassinated in order to obtain the office.

Other records show the brothers slept with the same mistress,the wife of their younger brother Goffredo.

Many believe the inflamed love triangle between the brothers and their so called mistresses is that led to young Giovanni's demise.

Following Giovanni's assassination,Cesare Borgia resigned his position as Cardinal and became Captain General of the Papacy Military.

During his time,the Catholic Church was waging war on Islam and Cesare was about to play a vital role in the history of the Church.

At the time,the Muslims had successfully made their way to Germany and taken control of Turkey.

This threatened the Churches stronghold over the Empire.

During the same period,the image of Jesus was that of a Muslim and the Church was having a hard time selling its ideologies in the region.

Some Scholars say they devised a plan to correct this issue and used Cesare Borgia as its tool.

Consequently,some historians say the himself Pope came up with a plan to have every painting of the original Messiah destroyed.

Next,Alexander VI commissioned Leonardo Di Vinci to reinvent "Jesus" in the image of his own beloved Son,Cesare Borgia!

Now,will you acknowledge this fact and STOP worshiping that silly picture of a white man/an illegitimate child aka "Jesus"!?

Ahsanta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…