Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Naunga mkono hoja ya Ritz umpe ofa afungue uzi halafu atualike tutaenda na mikoba yetu huku kiustarabu kabisa na mwisho tutafika.

Maalim wangu CHAMVIGA nimempa ofa lkn kaikataa!
Sasa awache kulalamika na kuanza fitna ya kuwapaka waungwana mafuta kwa mgongo wa chupa!
Mi huwa nachafuka sana na watu wenye sura mbili!
Na mikoba yangu yoote iko wazi hapa!
Kama ataendelea na hizi propaganda za kiirani mi ninazo za kianswari!
Tutafanya kubadilishana tu!
 
Last edited by a moderator:
Wewe mnafiki sana yaani yanayoandikwa yote kuhusu dini umemuona kahtaan peke yake mpaka ukamwambie Mohamed Said matusi wanaotukanwa Waislam kwako ni sawa.

Hawa CattleRustler Mlaleo andate mbona haujamwambia Mohamed Said hawakataze ukitaka kuwa hakimu mzuri kusimamia haki usiwe mnafiki.

kahtaan anawajibu kama roho inakuuma kumsoma ingia uwasaidie wenzako kupambana naye usimuingize Mohamed Said kwenye huu upuuzi wenu, tena wengine tumeamua kujizuia mtu anakuja humu jamvi anasema wazi mimi ndiyo kiboko ya Waislam anaanza kutukana kahtaan akimjibu wewe roho inakuuma. Simama kwenye haki utaheshimika.

Al habib shariff Ritz huyu Nguruvi3 naona kavaa ile miwani kama pirate! Imezibwa upande mmoja! Na bahati mbaya ule upande anaoona yuko kahtaan na swahiba zake!
Teh teh
 
Last edited by a moderator:
Nimekuchokoa mpaka umetoka shimoni!

Teh teh teh teh!

Sina haja ya kubishana na wewe! We hija yako karbala. Mi ni totally different!
Cc CHAMVIGA Ritz

That remains to be seen assuming there is a hole. Ya Rasullulah, pray for our Najd!!!
 
Last edited by a moderator:
All Maulana and others side.

As year 1434 is gonna be an end and well! Enter in new year with new hopes and plans let, pray to Allah for A Blessed and Wonderfull New year with peace and All our dreams come true.

Ameen and Happy New Year Islamic Year 1435.
 
all maulana and others side.

As year 1434 is gonna be an end and well! Enter in new year with new hopes and plans let, pray to allah for a blessed and wonderfull new year with peace and all our dreams come true.

Ameen and happy new year islamic year 1435.

ameen!
 
Wewe huna dini lakini adui wako ni uislamu tena wasuni?! This is fantastic and very interesting.

Chamviga,
Wala aujakosea,
Nawachukia sunni kwaajili ya ugomvi wao. Mazani hata Taqiyya Shia wanayotumoa ni kwaajili sunni wasijue wanachokiamini. Ndio maana wanatumia kuruani ya sunni lakini wanaamini imechakachuliwa. Hawasemi imani yao kwasababu wanawaogopa sunni. Siunaona hata kahtaan anafanya kejeri ya shia kuenda hija karbala na sunni kweda hija mecca.
Kwa ujumla sunni ndio wanaongoza kwa ugomvi. Hata jamaa waliouwa mgambo tanga nimesikia walisema wao ni sunni kama sijakosea.
 
Chamviga,
Wala aujakosea,
Nawachukia sunni kwaajili ya ugomvi wao. Mazani hata Taqiyya Shia wanayotumoa ni kwaajili sunni wasijue wanachokiamini. Ndio maana wanatumia kuruani ya sunni lakini wanaamini imechakachuliwa. Hawasemi imani yao kwasababu wanawaogopa sunni. Siunaona hata kahtaan anafanya kejeri ya shia kuenda hija karbala na sunni kweda hija mecca.
Kwa ujumla sunni ndio wanaongoza kwa ugomvi. Hata jamaa waliouwa mgambo tanga nimesikia walisema wao ni sunni kama sijakosea.

WE ni ktk wale vibaraka wasio na malipo! ohh nimeskia bla..bla..bla..! basi elimu hutaki uhodari wako ni kutuleteaq habari za kusikia!!

Kapate elimu kwanza ndio uje kwenye baraza la waungwana! mara sunni wanaongozaaa bla..bla.. shia wanaimba bla bla bla !

Huna elimu ya dini wala ya dunia, basi tu na wewe umo! ukitumwagia mapovu hapa!
back to the topic now!!
 
Wickama ni shia????? 😳 nakuonea huruma sana. Yaani huwa unajipiga mijeledi? 😥
 
Last edited by a moderator:
Chamviga,
Wala aujakosea,
Nawachukia sunni kwaajili ya ugomvi wao. Mazani hata Taqiyya Shia wanayotumoa ni kwaajili sunni wasijue wanachokiamini. Ndio maana wanatumia kuruani ya sunni lakini wanaamini imechakachuliwa. Hawasemi imani yao kwasababu wanawaogopa sunni. Siunaona hata kahtaan anafanya kejeri ya shia kuenda hija karbala na sunni kweda hija mecca.
Kwa ujumla sunni ndio wanaongoza kwa ugomvi. Hata jamaa waliouwa mgambo tanga nimesikia walisema wao ni sunni kama sijakosea.

Sawa nimekuelewa nisalimie imamu wenu aliyejificha mapangoni huko iraq tangu karne ya swahaba na quruani yenu ya fatwima r.a.
 
Wickama ni shia????? 😳 nakuonea huruma sana. Yaani huwa unajipiga mijeledi? 😥

Teh teh teh teh!
Akhui faby huwa unakuja na makombora jumla!
Muonee huruma kidogo! Halikuwa lengo lake! Kilichomponza ni zile baskeli za bure!
Muombee dua iko siku ataelekea kibla tu! Sio karbala.
 
Last edited by a moderator:
All Maulana and others side.

As year 1434 is gonna be an end and well! Enter in new year with new hopes and plans let, pray to Allah for A Blessed and Wonderfull New year with peace and All our dreams come true.

Ameen and Happy New Year Islamic Year 1435.
Ameen Ritz.
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha mbali kwa kuniuliza kama naona soni. Nikikutajia jina la familia yangu utapata jibu maana inajulikana. Ila tabia ya kujisifu kwakutumia jina la baba au babu yako naona nidalili ya uzaifu. Ila ushauri wangu ni mdogo. Acha tabia ya kushambulia dini za watu wengine kwa sababu dini zote zinavitu vya ajabu. Ndio maana nimejifunza kuthamini dini za kiafrika hata kama zina mambo ya kutambika. Ushauri wa bure kama unadini yako basi hilo nilako private. Ila kama unataka kuja uku jf basi uwe tayari kukosolewa na nime kupa mfano wa Adult breast feeding na nikaweka na reference alafu unajifanya ujaona. Bora ukabila kuliko udini

Babu yako alikuwa anafanya nini wakati babu zetu walikuwa wanapigania Uhuru wa Tanganyika? Usituambie alikuwa Malawi.

bado hujajibu.

Nyerere ameandikwa kwenye historia kuwa ni mkatoliki mzuri sana na akilisaidia sana kanisa, msome Bergen na Sivalon, reference zimewekwa humu kwenye posts zingine.

Nimekuuliza ni vipi leo kanisa katoliki limpe "uwenye heri" Rais aliyeongoza nchi isiyo na dini (kwa muono wako) na vipi litake kumpa utakatifu mtu ambae hajahubiri dini kwa miaka yote aliyoiongoza nchi isiyo na dini? au hayajui hayo?
 
Sheikh wangu;

Shukran zikuendee kunipandisha daraja. Hopefully you are sincere.

1. It is true tangu uzi huu uanze watu wengi ni majeruhi wa matusi yako. Myself included. Here is a simple challenge show a posting yangu NAKUTUKANA.

2. Tangu awali nilikuwa kwenye track ya uzalendo na uhuru wa tanganyika na afrika. i have stated my position ni ya kizalendo and i offered no apologies na hata Mzee MS anajua huo ndio msimamo wangu and sijawahi kujutia kutukanwa juu ya hilo and i find no contradictions.

3. sijawahi kuona tatizo kama wewe au wenzako mnaona liberation ya nchi hii ni achievement ya moslems peke yao. Mimi siwapi support kwa vile i have to explain role ya kina Bhoke Munanka, Kyaruzi, Mzee Rupia, Mareale and many others ambao walikuwa non-moslems

4. tulitoa rai, is it logical kusema general Marwa alipoingia na kuteka kasri ya Idd Amin ni honesty kesho nikiandika juu ya mchango wa dhehebu la "mennonite katika ku-liberate mji kampala?) tukakosa majibu. Sheikh Chamviga, was exteremly sincere kusema kuwa wazee hawa walikuwa WAZALENDO wa KIISLAMU

5. Sasa kama kulisema hili kwako ndilo master key ya kutukana watu nadi kuwaingiza kwenye madhehebu unayoyataka, hapa tunasema GO AHEAD. Hakuna cha Elimu ya ghaibu.

6. Tangu awali huu haukuwa mnakasha wa dini. Proof ni hii.

a. Ni dini ipi ili komboa Kenya (uislamu/ukiristo)
b. Ni dini gani ilikomboa Vietnam?
c. Geronimo wakati anapigana na wazungu kule marekani ni mchango wa dini gani?
d. Mao-Tse-Tung na Japan?
e. Dar-Fur wanataka kujikomboa kutoka kwa wenzao wa dini gani?
f. Vita vya Ireland? ni dini gani?
g. South Africa ilikombolewa na dini gani?

Mwisho ni kuwa nashukuru kuniarifu umeshauriwa na Ritz uanzishe au nianzishe uzi wa maswala ya dini tujimwage kulumbana. Binafsi sitafanya hivyo kwa kuzingatia kwamba; 1. umeshanikosea heshima 2. nakuhisi huna subira ya kusikiliza maoni tofauti 3. unatumia maneno ambayo ni kero na masimango makubwa kwa wana wa wenzio kama huyo uliyesema mtoto... wa shehe....wa sio riziki huku ukijua unasengenya mtu tena kwenye open line ya internet 4. sitathubutu kuanzisha thread ambayo itawapa fursa watu aina yako kuzitusi dini zingine hususan hao unawaita wagalatia ili niende kinyume na amri ya mtume (saw) juu ya agizo na mkataba aliofunga nao. Mkataba huu kwa sasa upo Instambul museum lakini search kwenye internet (promise of prophet Muhammad to christians) ujipatie download. Kama ingekuwa kuandaa mjadala wa public tunaonana usoni na wao pia. SAWA.

Ukiona umechoka kunitusi pumzika




Wickama,

Kwa kifupi,mangi yakukutayo kwenye mnakasha huu na ule ulopita pia ni ya kujitakia wewe mwenyewe.

Nimeichungulia kiduchu juu hiyo bayana yako...umeandika mangi mno na kutia nakshi kwa nambari,lakini haitosaidia kitu.

Hizo zoote ni triangular excuses/explanation with no relevance or even substance.

Nilishawahi mara kadhaa kukuambia yakuwa makosa yako,niyakua bila ya kujali yakuwa wewe ni Mkristo au Muislam...lakini wapenda mno kitu kiduchu unaanza ku-justify kwa kunukuu aidha Quraan au Khadith,na khasa pale anapotajwa yule Nyerere.

Hivi hujistaajabu yakuwa kwenye minakasha yoote ndo wewe pekee ujiitae ati ni "Muislam" lakini huonyeshi hata punje au dalili za ku-sympathise/empathy kwa madhila au dhuluma zozote dhidi ya Waislam!?

Nilikuuliza mara kadhaa mpaka nikastaajabu,hivi kwanini uliona ni lazim uulizie vitu trivial kama sigireti aliopewa/alizovuta Nyerere,na kuonyesha ati ni "usengenyaji"!?

Labda ni sawa...sasa palikua na umuhimu upi wa kutumia khadith za Mtume au Family yake,tena kwa kuuliza suali duchu kama lile dhidi ya Sheikh Mohamed Said!?

Hivi unakhis yakuwa Sheikh Mohamed Said hawezi kukufahamu uulizacho bila ya wewe kutumia hizo nukuu za Khadith au Quraan!?

Nafikiri ulichofaulu mpaka sasa ni kuwa-trap a bit into your game/play hawa ndugu zangu,Maulana Dr Kahtaan,Ayatollah,Chamviga na Shariff Ritz and as a result they responded quite rightly,though with some sectarian elements.

Hata hivyo nawaunga mkono woote jinsi walivyokujibu.

Mimi binafsi siamini na wala hainishughulishi yakuwa wewe ni dini gani!?

Lakini kama ni "Muislam",pia ndo uzuri zaidi...japo nakhis kutokana na attitude yako,itakua umo kati ya wale insane/self-hate Muslims.

Hawa self-hate,wamo kwenye takriban dini zoote,Jews,Christians,Hindus na wengineo wengi tu!

Wickama,usijaribu kabisa ati kutaka kuonyesha yakuwa wewe ni victim, na ati ndo "Mzalendo" kuliko wengineo,hili si kweli.

Wala hakuna yeyote mwenye kupinga kauli au opinions zako...

Tatizo ni yakuwa,wewe huijui history na madhila/dharuba walopitia Waislam katika nchi hiyo hata kiduchu.

Badala ya huo "uzalendo" unaodai ndo unao,wewe unachofanza hapa ni kuonyesha kumuabudu huyo Nyerere blindly...yaani kwa upofu mwingi mno...nakhis hapa unaingiza ile tribe affiliation,sasabu wewe ni wa Tarime na mwenzio ni wa Butiama!...nyoote ni wa Mara.

Kumbuka yakuwa kuna Wakristo wengi tu,tena wasomi na waadilifu kwenye dini yao,hata huo wakti wa Nyerere,lakini wao pia walikua wakifahamu na kuchukizwa na yale madhila,dharuba na nakma zilizokuwa wakipata Waislam au walizopitia.

Sasa wewe unaedai yakuwa ati ni "Muislam",yawaje hujui haya majambo...wewe ni "Muislam" gani!?

Ndo maana,waona mimi siku zoote nakuheshimu kama huna dini au Mkristo na Mtanzania mwenzangu...ambalo nafikiri ni jambo jema zaidi!?

Sijashuhudia hata siku moja kuona wewe Wickama,ukaona huzuni au kukemea japo kiduchu na kwa ustaarabu/upole,pale anapokashifiwa Mtume au Uislam!?

Na unajua kwa yakini matusi na kashfa na Islamophobia zoote kwenye hii minakasha,ambayo yoote mimi nawe binafsi tumeshiriki pamoja!?...mara zoote hao Waislam wanaodaiwa ati "wanatukana",hasha,wala si kweli nawe pia wafahamu hili.

Mara zoote hao Waislam,hulazimika kutoa majawaba,baada ya kushindwa kustahamili matusi yaso hoja dhidi ya Imani yao tukufu.

Kigezo chema...anzia upya Thread hii tangia mwanzo,khalaf tajionea mwenyewe "kisa na mkasa",na wapi zogo hili loote lilipoanzia.

Mara ngapi mwenyewe binafsi,nilikusihi ya kwamba turejee kwenye mada nawe ikawa unalazimisha mifano ya khadith dhidi ya kauli za Sheikh Mohamed Said...ati "kusengenya" na ule upuuzi wa "sigireti za Nyerere"!?

Wewe unajua Nyerere kawafanzia madhara na dhulma zipi Waislam hapo Tanzania!?

Mara zoote comments zako,ni yakuwa Waislam waache "uvivu",wapende kusoma na ati wende kujenga mashule/maskuli Mkuranga!?...sasa vipi tutakutafautisha wewe na Nguruvi3 na kikundi chenu cha Chadema!? Yaani hizo rhetoric na attitude zenu hazina tafauti asilan!

Unachotakiwa kufanza ni kuwasihi wanajamvi wakupe ushahidi nawe upinge au utoe maoni yako kwa hoja...lakini ufanzacho ni kumridhisha huyo mlaanifu wako Nguruvi3 na unafiki wake!?

Kwa kifupi wewe ni mtu wa ajabu...hao woote unaodai ati "wanakutusi",nafikiri wewe binafsi ndo una-encourage and you are responsible for your own demise.

Kwa mara nyingine tena,tafadhalini turejee kwenye mada.

Ahsanta.
 
Asante FaizaFoxy, mimi siye mwana historia na si mwandishi by profession na muda kusema kweli ni tatizo kubwa kwangu...hata hivyo kabla sijajibu swali lako ningependa ufahamu kuwa wengi wa vijana wasomi wa mwanzoni mwa miaka ya 1920 kuendelea walikuwa ni wahitimu wa shule maarufu iliyoitwa Kiungani kisiwani Zanzibar. Mwaka 1866 dhehebu la Kikristo, UMCA, lilinunua sehemu ya ardhi nje kidogo ya mji wa Zanzibar na kujenga hosteli kubwa katika juhudi zao za kuwapa hifadhi wahanga wa Utumwa. Baada ya miaka saba, 1873 walijenga Kanisa lao la kwanza mjini Zanzibar lililojulikana kama Christ Church Cathedral na kufungua kituo cha afya mwaka 1877 ambacho kiliweza kuwa hospitali kamili mwaka 1893.

UMCA ilianzisha shule Kiungani iliyojulikana kama St. Andrew’s College, U.M.C.A. lakini baadaye kwa sababu mbalimbali ilibidi wahamie bara kama inavyosimuliwa hapa;


Kwa nini nasimulia haya? Ni kwa sababu ukitaka kuwajua watu ambao ungeweza kuwaita "elite" wa mji wa Dar es Salaam kwa nyakati hizo, wasomi wa wakati huo wanachukua daraja la kwanza. Cecil Matola alikuwa ni moja wa alumni wa Kiungani na Mwalimu Mwandamizi katika shule ya serikali mjini Dar es Salaam. Wahitimu wa Kiungani walijulikana ndani na nje ya nchi na kulingana na simulizi za John Iliffe ambayo Mohamed Said anazinukuu kila mara, nanukuu; Cecil Matola was a senior African Teacher at the Dar es Salaam School which made him almost an ex officio leader of the capital's educated Africans. Nyakati hizo Ualimu ulikuwa ni profession yenye heshima kubwa katika jamii na haikuwa ajabu kwa mtu maarufu kama Cecil Matola kuchaguliwa kuwa Raisi wa kwanza African Association mwaka 1929.

African Association ilianzishwa kwa baraka za aliyekuwa Gavana wa Tanganyika David Cameron na mkutano wake wa kwanza ulifanyika nyumbani kwa Raisi wake muasisi Cecil Matola. Hii ilifanyika kwa sababu tatu; kwanza hapakuwepo na klabu ama nyumba iliyotosheleza kama ya Cecil Matola, pili hakuwepo mtu aliyeheshimika kama yeye na tatu Cecil Matola alikuwa Mtanganyika halisi, Myao. Mpaka anakuwa Raisi wa AA, alishafanya kazi sehemu mbali mbali ndani na nje ya Tanganyika na kukutana na wasomi mbalimbali wenye mawazo mapya. Sababu kuu ya Mohamed Said kutotaka kujua historia ya Cecil Matola ni kwamba inawaweka wazee wake mamluki wa Kimanyema, Kizulu na Kinubi pakavu. Watu mamluki waliopigana vita dhidi ya Watanganyika wakiwa upande wa Mkoloni eti ndio waongoze harakati dhidi ya mkoloni, wapi na wapi!

Chama cha kwanza kabisa cha wasomi na kilichowakutanisha Waafrika, wafanyakazi na wafanya biashara, kilianzishwa mjini Tanga na Mtanganyika wa kwanza mhitimu wa Kiungani Zanzibar aliyekuwa na cheo cha juu kabisa serikalini mwaka 1922, Martin Kayamba. Kwa bahati mbaya sana Mohamed Said katika kuhangaikia namna ya kuwakweza wazee wake ambao hawakuwa na uwezo wala sifa za kiuongozi amejikita sana katika kuwachafua wengine. Ikumbukwe maraisi wa AA, TAA na baadaye TANU walikuwa ndio wenyeviti na watendaji wakuu wa hivyo vyama lakini kwa Mohamed Said, maraisi hawa hawakuwa chochote na sifa zote anawapa eti makatibu. Cecil Matola alikuwa ni Raisi muasisi na Mtendaji Mkuu wa AA hadi anafariki katika mazingira yasiyoeleweka wakati huo tayari AA wana nyumba ambayo kiwanja chake walipewa na Gavana David Cameron mtaa wa New Street.

Kusema kweli kukosekana kwetu wengine kwenye huu mjadala kunatokana na kukosa muda lakini nina hakika tupo wengi wenye historia inayopingana na hizi hadithi za mtaani za Mohamed Said...a fellow so obsessed with hatred, so bent on distorting facts and so bent on sowing seeds of discord he will stop at nothing till he accomplishes his evil plans but thank God, that chance he wont get, not on our watch...we wont allow him or his stooges/cronies. Mohamed Said hawezi hata kusema ni lini Mzee Kleist Sykes aliuacha Ukristo na kuingia Uislaam, hawezi kusema lini Chief Kidaha Makwaia aliuacha Uislaam na kuingia Ukatoliki na hawezi kuacha kuonesha chuki yake kwa msomi Martin Kayamba mjukuu wa Chifu Kimweri Zanyumbai Mfalme wa Wakilindi waliowatawala Wasambaa na makabila mengi ya Tanga hata kabla ya Wajerumani.

Kwa leo yatosha FaizaFoxy, ni muda tu unakosekana...

CC: Nguruvi3




Mag3,

Nimeisoma hiyo bayana yako.

Naona umekua too defensive kwanini!?

Hizo "harakati" ulizotaja wewe za Cecil Matola mbona hazionekani,la zaidi umeonyesha/umerukia masuala ya Ukristo kushughulika/"kusaidia" Watumwa!?

Huoni yakuwa umeruka na kukimbia hata mada/ulichoulizwa!?

Hizo harakati za kisiasa za huyo Cecil Matola kiduchu,ulizozionesha hapo juu na quotes zako dhaifu...mbona hazina tafauti asilan na yale yale alokua akitufahamisha Sheikh Mohamed Said siku zoote kuhusu huyo jamaa yako Cecil Matola!?

Tena kwa kumpa credit yake Sheikh Mohamed Said maskini,yeye ndo kamuelezea na kumkweza uzuri mno huyo Cecil Matola wako kuliko hata wewe/nyie weneywe.

Khalaf pia punguza kufanzia ghilba Wanajamvi wenzio,si unakumbuka kule kwenye mnakasha ulopita ulidanganya kama hivi ikafikia ukasutwa/ukasudukiwa mtu mzima...watoto wa Marehemu Lawi Sijaona wakawa wanawasumbua mno kwa simu maskini Shariff Ritz na Al Murid THE BIG SHOW...ikalazim wewe binafsi ukimbie jamvi/mnakasha na hukurejea tena!?

Kwanini unadai ati Wayao ndo Watanganyika "khalis"!? Tangia lini,huoni yakuwa huo ni urongo huo!?

Itakuwaje Myao au Mngoni ndo awe Mtanganyika khalis...kwa historia ipi na kigezo kipi!?

Punguza kupotosha Wanajamvi,maana ndo dasturi yako!

Kwa kifupi,kinachoonyesha hapo ni yakuwa huyo jamaa yako Matola alikua ni Mwalim tu zaidi kuliko hizo mbwembwe nyingine unazotaka kutuaminisha. Ndo maana ukaambiwa yakuwa historia yake kisiasa ilikua ni fupi mno na wala si ya kutisha!

Nakumbuka Shariff Ritz,pia mara kadhaa aliwahi kukuuliza juu yakuwa ututajie hiyo nyumba ya Matola,ilikua maeneo/mtaa upi hapo Kariakoo!? Naona mpaka leo umebana kimya,au hujui!?

Kama huna jawaba kwenye minakasha,ni uzuri na ustaarabu kutwambia wenzio...wala si jambo la kukufanza kutahayuri na kujibanza.

Nashukuru yakuwa,hayo mangine kuhusu huyo mnafiki wa Kibondei Martin Kayamba na Uislam wa Chief Kimweri,na pia kutanasar kwa Chief Makwaia na nduguye,yoote tayari Sheikh Mohamed said ameshakufahamisha kwa kina.

Ahsanta.
 
Mag3,
Ukiwa unataka kumpambanisha Cecil Matola na babu zangu haitakuwa haki.

Cecil Matola hakujaaliwa umri mrefu alikufa mwaka 1933 kwa hiyo hakufanya
mengi ukilinganisha na babu zangu.

Lakini mbona umemtaja Matola peke yake.
Vipi kuhusu Mdachi Shariff na Nichodemus Ubwe?

Lipo bandiko hapa JF katika kirago hiki hiki kuhusu Kleist Sykes kama nilivyoandika
katika mradi wa Oxford na Harvard.

Angalia mchango wa Kleist ambao ulikuja kuchukuliwa na wanae pale yeye alipokufa
mwaka 1949.

Kleist wanae wawili ni waasisi wa TANU.

Unataka nikupe habari za Martin Kayamba?

Kwenye kitabu, ''Modern Tanzanians,'' Iliffe katika kuwajulisha wasomaji wake Martin
Kayamba ni nani kamueleza kwa njia ya mfano tena katika ufunguzi kama kibaraka wa
Waingereza.

Sasa soma hapo chini usikie wenzake walikuwa wanamuonaje.

Katika kitabu changu hivi ndivyo nilivyomuandika Martin Kayamba:

''In a cruel and cynical obituary on the death of Martin Kayamba,[1] Fiah lamented
that Africans did not benefit from Kayamba’s education nor from his post as a clerk to
Assistant Chief Secretary.'' [2]

Yapo mengi ningependa uyajue kuhusu Martin Kayamba.
Endela kunisoma hapa nilivyoweleza Martin Kayamba katika kitabu changu:

''There was a very big difference between the Tanganyika Territory Civil Servants’ Association
(TTACA), founded in 1922 by Martin Kayamba, and the Dockworkers’ Union, both in leadership
and in direction.

TTACA was a harmless genuine welfare association, free from any conflict with the colonial
administration.

It was ‘a club for clerks and teachers, with newspapers and a football team, encouraged by
the government.’' [1]

Bado sijamalizana na wewe Bwana Mag3.

Ukitaka kustarehe na Martin Kayamba soma kitabu chake, ''The Autobiography of Martin Kayamba,
‘'The Story of Martin Kayamba Mdumi, MBE, of the Bondei Tribe,'' katika Margery Perham, (ed)
Ten Africans, pp.175-272 uone jinsi babu yako anavyolamba viatu vya Waingereza.

Ukishasoma kitabu hiki rudi hapa jamvini nakusubiri.

Martin Kayamba mjukuu wa Chief Kimweri.
Kimweri alikuwa Muislam.

Ludwig Krapf alipofika kwa Chief Kimweri 1848 kamkuta Kimweri kastaarabika kavaa kanzu na kilemba yuko
katika mahakama yake anahukumu anajua kusoma na kuandika Kiarabu.

Hakuwa peke yake akijua kuandika.

Wanae na Waislam wengine Vuga na katika utawala wake wote walikuwa wameelimika.
Hasad ilimsonga roho Krapf.

Alikuja kwenye ''dark continent'' kakuta mengine kabisa.
Uislam umeenea na watu wanajua kusoma na kuandika msingi wa kujifunza kusoma ni madras.

Wakoloni walipoichukua Tanganyika kitu cha kwanza ilikuwa kupiga marufuku hati za Kiarabu.
Kingine kilichofuata ni kuwaritadisha akina Martin Kayamba.

Kayamba akawa Mzungu hata kumshinda Mwingereza mwenyewe.

Mwisho napenda kukufahamisha kuwa Kleist Abdallah Sykes alizaliwa Muislam na kazikwa Kisutu Makaburi
ya Waislam.

Nitakuongezea kuhusu Chief Kidaha.
Aliyeritadi kuingia Ukristo si yeye peke yake.

Mdogo wake Hussein vilevile aliritadi.
Na hawa wote mimi nimeowaona.

Hussein alikuwa rafiki wa mmoja wa baba zangu.
Chief Kidaha aliritadi mwaka 1945.

Ukitaka kisa hiki sema nitakiweka hapa jamvini.

Nakunja jamvi kwa bashraf hii hapo chini.

Kama mwenye chuki na Martin Kayamba si mimi bali ni John Iliffe aliyemwita Kibaraka.

Mwenye chuki ni Erika Fiah aliyemwita kibaraka wa Waingereza tena kwenye taazia na kusema kuwa
kazi kubwa aliyoimudu Martin Kayamba ni kufuga kuku Muheza baada ya kustaafu kazi.

[1] Iliffe, ‘Tanzania Under British Rule’ in B.A. Ogot and J. Kieran (Eds) Zamani:
A Survey of East African History
, East African Publishing House, 1968 p. 22 quoted in
African Studies Working Paper No. 8, April, 1979, by G.W. Reeves.



[1] See Iliffe, ‘The Spokesman: Martin Kayamba’ in Iliffe (Ed), Modern Tanzanians,
op. cit. pp. 66-94.

[2] Kwetu, 29 June, 1940.





Sheikh Mohamed Said,

Asalaam Alaykum.

Shukran kwa bayana hii ilo njema.

Nakumbuka hizo khabar za huyo mnafiki wa Kibondei Martin Kayamba,ulishawahi kutufahamisha kipindi fulani.

Pia hivi vitimbi na unafiki wa ndugu zetu wa Kibondei hii ni open secret...khabar zao zajulikana kwingi mno khasa pale walipokua wakipakatana na wale Makasisi wa Kijarumani...huku wakifanziwa "fadhila" nyingi kwa kuwageuka wenzao!

Tafadhali,kipata fursa japo kiduchu tuwekee hapa jamvini kwa kina,"mipini" ya Chief Kimweri wa Vuga au kina Abdallah Ngwale na Ali Songea kuhusu ile khabar ya "Vita vya Majimaji".

Unajua baadhi ya wanae/mabint wa Chief Kimweri,aliwaozesha pale Kwale/Tanga na ndipo wakatokea kina Sheikh Chui Bin Mbuyu Bin Ali.

Na wengine waliolewa pale Mwarongo/Tongoni Tanga...ndo ukaona watu wa mwambao/pwani hizo wana mahusiano makubwa,ya karibu na ya kitambo kingi mno na wale ndugu zao wa pale Kilindi/Wakilindi.

Pia inasikitisha mno,maana katika historia na ukweli uliofichwa kwa makusudi na MfumoKristo,ni hiyo "Vita ya Majimaji" na Mashujaa wake.

Ahsanta.
 
Really?

Hebu niambie kuhusu mi'raj ya Mohammad!

Aliendaje Peponi kupitia Msjid al Aqsa wakati huo msikiti haukuwepo enzi ya uhai wa Mohammad?

Madai hayo yapo kwenye Quran na hadith pia
Quran 17:1

Sahih Bukhari, Volume 4, Book 55, Number 636:

Sio mazingaomwe hayo?





So you want to talk bout "Mazingaombwe" now,yeah!?

Ok,lets start from here then;

When the Emperor Constantine(325AD) wanted to unite Rome,he simply fused Paganism with Christianity to appease both Pagan/Christian communities.

The Vatican itself was constructed upon the ruins of an Ancient Pagan sanctuary...thus,Christianity has its roots in Paganism.

This recent religion(Christianity) is neither new nor strange,as it is merely a pale reflection of earlier Pagan beliefs - Celsus(360AD).

The "Resurrection" of Jesus was a known Pagan myth of the early ages.

Over 18 Pagan "Sons of gods" were said to have "resurrected" before him.

Pope Urban ordered the deaths of over 10million people during his reign and is listed on TIME magazine's "Most Evil Men In History" -1976.

Emperor Constantine
(325AD) changed the Christian "Holy day" to Sunday to tally with that of the Roman Pagan sun god- Sol Invictus.

Biblical "Jesus" descended from a generation of of 12,had 12 Disciples and dined with them at a "last super"...so did Krishna-4000BC!

During the Inquisition,an entire Carthan village of women and children numbering 120,000 were completely murdered by Catholic Knights.

In order to encourage Slave Trade,Pope Nicholas V lied that "God" told him in a dream it was alright for Christians to buy and sell heathens!

...If needed will continue!

Ahsanta.
 
Sheikh Mohamed Said,

Asalaam Alaykum.

Shukran kwa bayana hii ilo njema.

Nakumbuka hizo khabar za huyo mnafiki wa Kibondei Martin Kayamba,ulishawahi kutufahamisha kipindi fulani.

Pia hivi vitimbi na unafiki wa ndugu zetu wa Kibondei hii ni open secret...khabar zao zajulikana kwingi mno khasa pale walipokua wakipakatana na wale Makasisi wa Kijarumani...huku wakifanziwa "fadhila" nyingi kwa kuwageuka wenzao!

Tafadhali,kipata fursa japo kiduchu tuwekee hapa jamvini kwa kina,"mipini" ya Chief Kimweri wa Vuga au kina Abdallah Ngwale na Ali Songea kuhusu ile khabar ya "Vita vya Majimaji".

Unajua baadhi ya wanae/mabint wa Chief Kimweri,aliwaozesha pale Kwale/Tanga na ndipo wakatokea kina Sheikh Chui Bin Mbuyu Bin Ali.

Na wengine waliolewa pale Mwarongo/Tongoni Tanga...ndo ukaona watu wa mwambao/pwani hizo wana mahusiano makubwa,ya karibu na ya kitambo kingi mno na wale ndugu zao wa pale Kilindi/Wakilindi.

Pia inasikitisha mno,maana katika historia na ukweli uliofichwa kwa makusudi na MfumoKristo,ni hiyo "Vita ya Majimaji" na Mashujaa wake.

Ahsanta.

Gombesugu,
Ahsante sana.

Nadhani umeona kuwa paper ya ugaidi imeondolewa hapa.
Lakini mzalendo.net wameidaka na iko hapo.

Ingia mzalendo.net
Search: Mohamed Said

Paper itakuja In Sha Allah.
 
Gombesugu,
Ahsante sana.

Nadhani umeona kuwa paper ya ugaidi imeondolewa hapa.
Lakini mzalendo.net wameidaka na iko hapo.

Ingia mzalendo.net
Search: Mohamed Said

Paper itakuja In Sha Allah.

Shaikh Muhammad Saeed
Assalaamu alaykum warahmatullaah,
Shaikh kwanza natumia fursa hii kukupa pole kwa baadhi ya watu kujaribu kutaka kukukatisha tamaa, na pili fursa kama hini natumia pia kukupongeza kwa watu kuonesha kuwa wewe u-mtu muhimu,

Sina haja ya mifano mingi naomba niazime hiyo ilofutwa na hatimaye ni sawa na kusema hakijafutwa kwani mzalendo.net yapatikana,

Ndo utajakuta na nnaamini mwenyewe hutahayyar kwani pana maneno ya kiongozi wetu mkuu alisha nena kuwa

Sema haqq ijapo yauma,

Ahsanta.
 
Wickama ni shia????? 😳 nakuonea huruma sana. Yaani huwa unajipiga mijeledi? 😥

Al akhiy faby,
Assalaamu alaykum,
Ndo naingia hapa jamvini na nnaanza ziona zenu mal habeeb nukta,

Teh teh teh ....!
Yaani nimeheka sana, hivi hapa Tanzania pia yuna Mashia? Samahani kama ntakuwa nimeanza na swali vibaya!

Ila nadhani hapa si pahala pake lakini kwakuwa hao mabwana wadhani hapa ni pahala pake nami fursa kama hini nimeianza kwa ulizo kama hilo na hapo ndo tutakuwa twaenda na waleta mada sawa,

Halafu ndo twende kuleee upande wa Jukwaa la dini,

Ahsanta al akhiy,
 
Last edited by a moderator:
Hiki hapa chini ni majibu ya huyo jama kwa huyu hapa juu

Huyu hapa chini hajijui kuwa kwa maneno yake haya anaufanya Uislam kuwa ni dini ya kipagani
Anapayuka tu bila hata kujua lolote

Waislam ni matatizo matupu
Hawajijui kabisa





Again,you fool Idiot,I never expected you to easily decode my post anyway!

Now this is another one for you,Miss Eiyer...are you ready pretty face!?

"When foolishness is rewarded,wisdom becomes useless" - Cesare Borgia.

Did you know who is this!?

Cesare Borgia
was the son of Pope Alexander VI.

Infact,he was the Popes most loved and illegitimate son.(at one time papacy members were allowed to marry) Kwi! Kwi! Kwi!

Pope Alexander VI was known for having multiple mistresses and in 1476 bore a son named Cesare Borgia.

Cesare was Alexanders favoured son and by the age of 15 had already become the Bishop of Pamplona.

By his 18th. birthday he was a Cardinal.

Borgia
also had an older brother named Giovanni,who was Captain General of the Papacy Military Forces.

Cesare
envied his brother position and many Scholars believe he envied it so much that he had his own brother assassinated in order to obtain the office.

Other records show the brothers slept with the same mistress,the wife of their younger brother Goffredo.

Many believe the inflamed love triangle between the brothers and their so called mistresses is that led to young Giovanni's demise.

Following Giovanni's assassination,Cesare Borgia resigned his position as Cardinal and became Captain General of the Papacy Military.

During his time,the Catholic Church was waging war on Islam and Cesare was about to play a vital role in the history of the Church.

At the time,the Muslims had successfully made their way to Germany and taken control of Turkey.

This threatened the Churches stronghold over the Empire.

During the same period,the image of Jesus was that of a Muslim and the Church was having a hard time selling its ideologies in the region.

Some Scholars say they devised a plan to correct this issue and used Cesare Borgia as its tool.

Consequently,some historians say the himself Pope came up with a plan to have every painting of the original Messiah destroyed.

Next,Alexander VI commissioned Leonardo Di Vinci to reinvent "Jesus" in the image of his own beloved Son,Cesare Borgia!

Now,will you acknowledge this fact and STOP worshiping that silly picture of a white man/an illegitimate child aka "Jesus"!?

Ahsanta.
 
Back
Top Bottom