Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle


Ahsante al habib gombesugu umenipa zawadi nzuri ya idd hii!
Shukran kwa bayana hii.
 
Last edited by a moderator:


Ningependa kuchukua fursa hii kushukuru kwa Majibu yako. Pia naomba radhi kuchelewa Kujibu si kwa makusudi bali ni kotokana na majukumu.

Nikirejea kwenye kujibu hoja yako nitakujibu kwa kifupi tu kwamba nukuu uliyoitoa inaweza ikawa iliandikwa kwa malengo maalum kuwavuruga watanzania. Haiwezekani jambo kubwa Kama Hilo linukuliwe na chanzo Kimoja.Kama ni msomi huwezi hata siku moja kuamini jambo na kulitangaza bila kuangalia vyanzo vingine. Vipo vitabu vingi tu vimeandikwa na Vipo sokoni lakini si kila kitabu kina sifa ya kutumika kama kigezo cha historia ya uongozi wa nchi. Vipo vitabu vilivyoandikwa kwa ajiri ya propaganda Vipo vilivyoandikwa kama maoni ya Mtu.

Jambo la kushangaza ni kwamba TANU ilikuwapo kuanzia 1954 hadi 1977. Ni kwa nini kitabu hicho kiandikwe 1981?. Miaka yote hiyo hakukuwa na wasomi waliosikia hilo ndani na nje ya TANU?.

Kama nimekosea nisahihishe. Huyo mwandishi uliyemnukuu sio mwislamu, yawezekana ni mkristo au ni Mtu wa dini zingine. Unataka tuamini tangu mwaka 1954 had 1977 hakukuwa na wasomi wa kiislam ambao wangeona hilo ni kosa?


Kuhusu takwimu ulizotoa ningetaka kwanza nikukumbushe kwamba si kila Mtu ambaye si mwislamu basi in mkristo na Wala si kila Mtu aitwaye jina la kiarabu ni muislam.

Pili hiyo taasisi Moja uliyotoa Kama mfano ni sehemu ndogo sana Kati ya taasisi za umma, umeichagua makusudi ili kukidhi mahitaji ya hoja yako kwa sababu zipo taasisi nyingi zinazoongozwa na waislam kwa muda mrefu

Tatu Tanzania Vyuo vikuu vya umma havijafikia 25 labda kama nimekuwa Mtu mzima kiasi cha kupitwa na wakati kitakwimu nitashukuru kama ungenisaidia kuweka orodha hapa. Ninavyofahamu Sehemu kubwa ya Vyuo vikuu ni vya kidini na binafsi na wana taratibu zao za ajira

Nne Dini ya Mtu sio sifa mojawapo ya kupewa kazi. Ni ujinga (sio upumbavu) hata kufikiria tu kumwajiri Mtu kwa sababu ya dini take au Kabila lake.
Kinachotakiwa kuangaliwa ni sifa za kiutendaji.

Mwisho ningependa kuwashauri waislam Wenzangu tusiangalie tulipoanguka. Tuangalie tulipojikwaa. Lazima tukubali kwamba wazee wetu wengi miaka hiyo ya 47 (si wote) walitilia maanani sana elimu ya dini kuliko elimu dunia.
Sasa kitakwimu tu ikitangazwa kazi 1 waombaji waislam 2, wakristo 10, wa dini za asili 5, hawa wawili wanayo nafasi kitakwimu lakini ni ndogo sana.

Nyie kizazi cha sasa pelekeni watoto shule waweze kushindana kwenye soko la ajira. Tumekwisha anza sasa kuelekea nyakati ambazo ajira nyingi zinatolewa na sekta binafsi. Huko hawaangalii takwimu kwamba sasa tuna wakristo 20 na wahindu 10 basi tuajiri waislam Hilo halipo. Wanasoma CV kama inavutia unaitwa kwenye usaili ukichemka wanatupa kwenye ndoo taka hawaangalii Huyu ni Hassan au Petro.

Mwisho kazi yoyote utakayoipata kwa upendeleo wa kikabila, undugu au udini haina heshima.
Ukiwa na vigezo vya ajira huwezi Kukosa kazi ndani au nje ya nchi.
 
Thanks to you Nguruvi3, you have said it all...I cant even contemplate why somebody would have the nerve to once again bring this hogwash here at a time when our nation is faced with so many challenges like how we are ever going to wrestle our country back, out of the hands of people whose behaviour is no different from that of a pack of hyenas out to tear it apart.

It comes as no surprise that people like gombesugu, who dont give a hoot about the fate of the majority of our countrymen who are languishing in abject poverty, ignorance and disease, are at the forefront defending malicious, poisonous and sedicious writings, utterances and propaganda of a depraved individual all out to plant seeds of hatred... under the cover of religion?

Mohamed Said is the product of a people that completely failed to go with the times and when they finally woke up they learned that the world had moved on. Instead of accepting the fact that the clock cannot never be turned back and so move on, their frustration has driven them to insanity and, blinded by religious zealotry, they see enemies everywhere but amongst themselves.

Mohamed Said is an angry, bitter and confused individual whose relevance only prevails thanks to the blind following of a misguided few. Like Mohamed Said they believe they deserved to be the offsprings of rulers, kings and presidents and that it was Mwalimu who stood between their partriachs and the throne and so thwarted their ambitions they felt were well within their grasp!

What perplexes the majority of the peace loving wananchi is how this individual, who earns his living writing and preaching religious intolerance, enjoys such a free reign in a country that respects the rule of law and order. How can any sane mind accuse the topmost four leaders of this nation, who are all Muslims, of working in cahoot with Christians to suppress members of their own faith?

This question brings to mind a very sinister motive behind it all, the role being played by the ruling party, CCM. At the very time when an important issue, like the drafting a new constitution, should occupy the mind of every partriot, people like Mohamed Said are let free to criss-cross the country diverting peoples attention! Everybody knows that CCM and a new constituion are not the best of Friends, so whatz up?

Finally I take this opportunity to call on my fellow Tanzanians to beware the ill motives of this dangerous individual called Mohamed Said. The country is starting to experience the dangers of letting him run loose and reaping the fruits of his wicked teachings, which I am 100% sure are not shared by most of the Muslim population in this country, it is a one man jihad that banks on irascibe response from irascible people.
 

Basi sawa mkuu,ulale salama kwa Neema ya Yesu
 

Umetuandikia utumbo mreeeeefu ulijaa mavi matupu!

Aliyekwambia wewe kuwa sisi shida yetu ni kutoa majina ya barabara na majina ya shule kwa ajili ya kuwaenzi hao mashujaa ni nani??

Au kwa upeo wa fikra zako chache ulidhani hio ndio njia pekee ya kuenzi mashujaa!?

Unaongelea suala la kuwa Nyerere kaingia ktk historia na hilo haliwezi kubadilika! Hivi wewe huwa unafikiri kabla ya kuandika hapa??

Was hitler in history too!? Can anybody change that?? Your mate Nyerere will stay in the dark side of the history!! He was a murderer and a human right abuser!

Amedhulumu watanzania wasio na idadi na kama mzee wako alikuwa ni ktk wale wachache walio pewa mali iliyo taifishwa na yule kibwengo basi endelea kurithi dhulma lkn usijaribu kutetea!

Unaropoka kuhusu waislamu kuto kusoma na hali unajua kabisa or may be not! Kuwa huyo kibwengo namna alivyo wabana waislamu ktk nyanja ya elimu!

Wewe ni ktk wale vibaraka wachache wa serikali ile dhalim! Ambao wamefaidika ktk ile dhulma waliofanyiwa wengi na huenda wazazi wako wakawa na matumbo yaliojaa hio dhulma ambayo inakupa wewe nguvu ya kuitetea!
Siku.itafika utapo simama mbele ya Muumba ndipo wewe na huyo Nyerere mtakapo weza kuwafahamisha wanyonge je ! Kwa nini nyumba zao zilichomwa kwa kukataa sera ya vijiji vya ujamaa?
Kwa nini waliporwa mali zao na majumba yao ktk sera za utaifishaji?
Kwanini wanyonge walifungwa vizuizini miaka chungu mzima bila kupewa haki ya kupitia mahakamani?
Huenda hilo domo lako refu likafafanua japo kiduchu!
Laana ya mungu iwadondokee wote wenye kutetea dhulma!

Hebu msikilize huyo maluuni hapa!

Watch "chuki za nyerere dhidi ya waislamu" on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=ecwbdSFCkhQ&feature=youtube_gdata_player
 
Last edited by a moderator:

ni wendawazimu kumnakiri mohamed said, uislam umemfanya chizi , aliwahi kuleta ubishi humu jamvini eti kwa nini sabuni iitwe roberts wakati wanaugua upele ni kina omar.
 
Crackpot, Satan's Art of Deception.
 
pengine mtumzima ningeomba ujibu hoja: kuwa swala la uhuru haliwezekani kutenganishwa na dini.

Asante
Nafikiri nilitoa Majibu japo kwa Jumla. Nikirejea sehemu hiyo nilisema kwamba ni kweli Watu wa dini mbalimbali katika sehemu zao za ibada misikitini, makanisani n.k walizitumia kama sehemu za kupeana ujumbe na hamasa juu ya kupigania uhuru. Lakini mambo hayo yalifanyika katika mikusanyiko mbalimbali na nikatoa mfano kwenye vilabu vya pombe. Pia lazima tufahamu kwamba watu hawa wa madhehebu au dini za kigeni (namaanisha wakristo na waislam) walikuwa sehemu ndogo sana ya jamii ya watanganyika kipindi hicho kabla ya uhuru na hata sasa.

Kwa kumalizia naomba kusisitiza kwamba ni Makosa makubwa kwa kikundi chochote kutaka kuhodhi na kujivika sifa kwamba bila kikundi hicho kusingekuwa na uhuru.
 
Mtu Mzima kama nilivyo sema mwanzo wa malumbano haya! Mimi hupenda kuja na takwimu ambazo zina ushahidi.
Sasa unaposema ziko idara nyingine NYETI KAMA HII YA ELIMU ILIYO ONGOZWA NA WAISLAMU MIAKA MIINGI! BASI NINGEFURAHI KAMA UTALETA HIZO TAKWIMU HAPA!

Kuhusu mimi kuchagua wizara ya ELIMU!
Nimechagua kukuonyesha data za wizara hii kwa sababu HAKUNA WIZARA MUHIMU KTK NCHI YYT DUNIA KAMA WIZARA YA ELIMU!

Sasa ukija hapa na data za wizara ya mifugo au maendeleo vijijini au wizara ya mipango miji Sidhani kama utaweza kulinganisha hatta kidogo na wizara hii.
Kama nilivyoonya mwanzo kuwa wasio kuwa na ufahamu mara zote hukimbilia kusema waislamu hawakusoma kwa sababu 1.2.3.4 na kuendelea! Na hilo umelisema hapo juu! Halafu hapo hapo unasema kulikuwa na wasomi wengi tu wa kiislamu ambao walikuwapo wakati huo na ukauliza ni kwanini wao wasiliandike hilo alilo litamka nyerere?

Umeuliza kuhusu idadi ya vyuo! Kuliko mimi kuanza kukuorodheshea kimoja kimoja! Kwa nini wewe usiende kuhakiki mwenyewe kuhusu hizi data nilozo kupa??
La mwisho. Ili kukuonyesha kuwa si waislami pekee wenye kufahamu udhalimu wa Nyerere na serikali yake wakati huo!

Hebu pitia kidogo hii link hapa chini.

Ludovick Mwijage: The Dark Side of Nyerere's Legacy - https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=36839
Ludovick Mwijage: The Dark Side of Nyerere's Legacy

Cc gombesugu
 
Last edited by a moderator:

Unataka kulishusha kanisa lilumbane na mbwa kwa ajili ya haki ambayo ni obsolete kwa sasa, hahahahahaha, kwi kwi kwi; this what we believe baby;

Better give your path to a dog than be bitten by him in contesting for the right. Even killing the dog would not cure the bite.
 

Son! You are singing a recorded song here!
Just go and ask your grand pa!
Who planted all those fruits you mentioned in your recorded song! Fruits like poverty and ignorance!!?
Was it me or you!? Or was it the same hyena NYERERE whom for some reason's he looks like an ANGEL TO YOU!
Are you blind? Or is a combination of blind and ignorance makes you who you are? I really struggling to understand!

I might be talking to a little 10 yrs boy or girl who doesnt know much anyway!

So if you dont mind me asking! How old are you.my child??
 
Nilifahamu kuwa hoja zangu hazijibiki na zinasimama kama zilivyo. Kinachofuata sasa ni spinning. Sidhani mtu anayekuwambia ukweli anachuki na wewe au imani yoyote. Tatizo hamtaki kusikia ukweli mnataka kufarijiana kwa maneno ya kupumbazana.

Aliyebadili barabara ya Bagamoyo ni Jakaya Mrisho Kikwete, mbunge wa zamani wa Chalinze na Mzaliwa wa Bagamoyo.Muulizeni kwanini amefuta jina la historia. Huu ni ukweli msiotaka kuusema mnajificha nyuma ya kaburi la Nyerere.

Aliyebadili Ocean rd na kuwa Barack Obama ni JK, mbunge wa Chalinze na mwenyeji wa Bagamoyo.
JK alikuwa member wa Saigon ambayo member wengi ni wazawa wa Jiji .Sehemu ya member wa Saigon wanatengeneza chama cha wazawa wa Dar chini ya akina Kitwana Kondo, Idd Simba, Ramadhan Maadabida n.k.

Historia ya Jiji inaonyesha waliowahi kuongoza yupo Kitwana Kondo, Sykes, Adam Kimbisa, Abou Juma n.k. Kubadilishwa barabara ya bibititi kuwa UWT kulifanywa chini ya uangalizi wa madiwani na meya mzawa.

Juzi Jakaya Kikwete alipobadilisha majina, alifanya hivyo mbele ya Sadick Meshack mkuu wa Mkoa.
Akina SYkes, Kimbisa, KK, Idd , Sophia Simba, Ramadhan Madabida, (Mohamed Said Salum Abdallah Mwekapopo Muyukwa) wameshuhudia. Hakuna aliyenyanyua kinywa wanakimbiliNairobi kueneza uongo

Leo mnaelezwa ukweli mnashindwa kujibu halafu mnasema imani inashambuliwa. P
lease wake up!Mnashindwa kujibu mumejificha nyuma ya computer mkimsumanga Nyerere kaburini.

Mnaona haya msivyokuwa na haya kuwaeleza wanaofanya hayo, mnasubiri mtafute mtu wa kusingizia mfumo Kristo! Nonsense!

Hamuwezi kuwaenzi mashujaa mnaodhani ni wenu mnataka waenziewe kwingine. Badili jina la chuo cha Alharamanini na muite K.Sykes Mbuwane college of Education. Sijui kama hiyo ityabadili uelewa wa wanafunzi lakini kwa vile inaonekana ni factor muhimu sana MS na weznake watimiziwe matakwa na kiu zao

Badili jina la Chuo cha Morogoro na muite Abdul Sykes University.
Kama hilo litapandisha daraja la chuo nawaunga mkono kinyume chake ni upotezaji wa muda na pengine kukosa cha kujadili kuhusu maendeleo.

Sasa nikupe shule maana ninyi ndio wale mnaoamaka asubuhi mkiwa na hukumu zenu mnachotafuta ni aya ili kukamilisha haja zenu. Uislam ni amani na salama.

Jino kwa jino au jicho kwa jicho hufanyika pale tu taratibu za kiislam zitakapokuwa zimetimizwa na ndipo
tunapata neno Fatwa. Kinyume cha taratibu tunapata Alshabaab, Talibani n.k .
Sijui kama wewe unafuta taratibu au ndio Jino kwa jino kwavile tu umesikia ipo mahali.

Nimepigilia misumari na ninaendelea,wenzangu hamjibu hoja, mumejikita katika matusi.
Kwavile mnatukana mtu mwenye akili nzuri akisoma atagundua tofauti miongoni mwetu.
Najua inauma lakini sindano inauma ni dawa.




 

  • Name : kahtaan
  • Join Date : 11th July 2009
  • Location : Ughaibuni
  • Posts : 3,084
  • Rep Power : 0
  • Likes Received: 672
  • Likes Given: 300
Need I say more? Phew! If only idiocy was painful kahtaan, you'd be writhing in agony. You know what? I will give you a pass, it's not worth it.
 

Teh teh teh teh!
Sasa sijui anae zunguka pale pale ni nani??
Hii ni mara ya ngapi unataja brbr na alharamain!!

Is that the only thing you know!?

Teh teh teh teh!

Inferiority complex is a nasty disease!
 
Daktari Kahtaan, tafadhali muungwana. Jina la udaktari ni kubwa wengi hutegemea mambo yanayolingana na jina hilo. Nakusihi ulitendee jina hilo haki.

Daktari Kahtaan, historia ya Nyerere imeshaandikwa a imekamilika kwasababu hayupo mwaka wa 14. Iwe nzuri au mbaya hilo ni jambo lingine. Historia yake Mwalimu haitafutwa kwa hadithi za kutunga au za kuzusha. Na wala haiwezekani mtu mwingine aitumie historia hiyo kupanda ngazi. Jitihada za MS kumfanya Abdul Sykes Rais wa kwanza wa Tanganyika kwa kumzulia Nyerere kashfa na dhalili bado hazitafuta hitsoria yake mbaya au nzuri.

Daktari, mimi sina lolote katika serikali na wala sikuwahi kufaidika na dhulma yoyote.
Nilichowahi kufaidika nacho ni jitihada za wazazi wangu walionieleza kuwa hatima ya maisha yangu ipo mikononi mwangu. Wakaniambia niwe na wivu wa maendeleo kwa kutazama wenzangu. Nisiwafanyie kijicho kwa maendeleo yao na nijiulize kwanini sifanikiwi badala ya kuunda majungu. Hao ndio nitakuwa nao mbele ya muumba.

Pengine upeo wangu mdogo unakasoro katika kuwaenzi mashujaa kama unavyonena. Udogo wa fikra zangu ni pale ninaposoma malalamiko ya Mohamed Said kuhusu barabara ya Makamba hadi kuiandika katika makala zake.
Daktari kwani wewe una maoni gani kuhusu kuwaenzi mashujaa wa taifa hili?

Ninakumbuka wamepewa medali baadhi yao kwa kutambua mchango wao, sijui ungependelea nini kifanyike zaidi ili kutoa heshima stahiki kwao. Nadhani hapo ndipo tunatakiwa tujikite badala ya kuongelea mambo ya 'utumbo mreefu''. Hata hivyo kumbuka kuwa utumbo unaliwa inategemea mtu na ni makosa kudhani utumbo ni kitu kibaya. Wenzetu wazungu wanasema ' Nyama kwako sumu kwa mwenzio'

Tuendelee na mnakasha kwa staha bila jwazba, munkari au kejeli. Sisi watu wa pwani huo ndio utamaduni wetu.

'Ahsantum'

 
Teh teh teh teh!Sasa sijui anae zunguka pale pale ni nani??Hii ni mara ya ngapi unataja brbr na alharamain!!Is that the only thing you know!?Teh teh teh teh!Inferiority complex is a nasty disease!
Daktari Khataan, kwani wewe unadhani mashujaa wa taifa hili waenziwe vipi? Kuna kitu gani kimekosekana hadi tujadili kwa urefu kiasi hiki! Kwanini watu wasifunguke kuhusu kile wanachoona kinapaswa kufanywa?

Dakatari, nikushukuru sana kwa kauli yako ya inferiority complex is a nasty disease. Hakika ulichokisema ni kuntu nami nakipa heko. Ninashindwa kuelewa kwanini watu wanakuwa na inferiority hasa hili la mashujaa. Kwani vikiandikwa vitabu vinavyowahusu bila udanganyifu au uchochezi kuna tatizo gani?

Ukisikia mtu anaongelea mfumokristo ujue ana ugonjwa wa inferiority complex. Mfumo huo haupo isipokuwa inferiority complex ndiyo inautengeneza. Ukishajihisi unaonewa hata kama hakuna uonevu basi kitakachokuwa kinakuonea ni indferiority complex ambayo ni nasty diseasa kwa mujibu wako.

Ukiona mtu anapanga safu ya watu wenye vyeo na kudai yeye hajapewa shea ujue ana ugonjwa wa inferiority.
Kwanini ujadili mawaziri wawili, au makatibu wakuu ambao idadi yao haifiki 300, wakati huo huo usijadili kuhusu shule ya Mkurunga yenye wanafunzi 200 na mmoja wao ni makamu wa shule!

Daktari huoni kujadili vyeo badala ya matatizo ya umasikini kwa ujumla wetu ni inferiority complex.
Huoni kulalama kuwa mzee Mwafongo hajapewa mtaa ni sehemu ya inferiority complex
Huoni kuandika mambo ya kumshusha Nyerere ili Abdul achukue nafasi yake ni sehemu ya inferiority complex

Nashukuru sana umeliona hili na hakika sina tatizo na wewe tena katika mjadala.
Kumbe unajua tatizo lipo wapi kwabahati mbaya hujui nani ana tatizo hilo. Nakusihi uliangalie vema tatizo ulilo li define vizuri sana halafu ujiulize lipo wapi.

Ahsanta mkuu Daktari Kahtaan.
 
@Mtu Mzima , kama umenisoma nimeluliza swali na hakuna aliyejibu isipokuwa matusi tu. Matusi ni silaha rahisi na muhimu sana kwa asiye na hoja. Inajaribu kuziba ombwe la hoja.
Nimeuliza hivi, naomba nitihbitishiwe kuwa kila aliyekuwa na jina la Hussein au Mwanaidi wakati huo alikuwa Mwislam!

Tatizo lililopo ni kujaribu kuhodhi shughuli za kupigania uhuru wa nchi hii ili zitumike kujenga hoja ya kwanini kundi fulani linahitaji kupendelewa. Hii ni mbegu aliyoipanda MS inayochanua kwa kasi. Tunasema hivi harakati za uhuru zilianza nchi kote kwa makundi mbali mbali. Kwamba, kwa hadhi ya jiji la Dar kuwa kituo cha kuongoza harakati hilo ni mjaaliwa na kwavile limetokea tunaheshimu michango ya kila mmoja.

Ndugu zangu wengine siwaelewi wanataka kitu gani. Japo namshukuru sana Al Akhy sheh Mohame Saidi Salum Abdalla Mwekapopo muyukwa kwa kuweka wazi kuwa babu yake aliongoza migomo. Yeye alihudhuiria shule tena akiwa na akili kuwazidi wengine. Haelewi kwanini hakupewa nafasi ya kuwa mkurugenzi bandarini au shirika la reli. Japo namwelewa kwa frustration kwasababu familia ya Mwapachu, Rupia, Lugazia, Tsere na wengine mashallah watoto na wajukuu zao wapo katika nafasi na hawakuathrika na mfumo.

Pengine ndiyo maana hatusomi wanataka nini hasa! kifanyike kwa wapigania uhuru ambao wengine ni baba zao.

 
Pro-Chadema mnachekesha sana sisi dini yetu imetukataza kuwa waoga ni haram kumkimbia mtu.

Al akhy hapo umenena ni haram kabisaa nawasoma taratibu na ukweli utabaki kuwa ukweli ngoja niendelee kupata maalumati.
Cc gombesugu.
 
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…