Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Dr Kahtaan

Salaam,shukran.

Tunakusoma kwa utuvu mno,najua kuna "Wabondei virongwe" humu hawakubaliani na hojazo,lakini hata upande wao wa hiyo shilingi ni dhaifu mno...hoja zake/zao ni muflis! Kwi! Kwi! Kwi!

Wao wanachojua ni maneno mengi tu...yaani matarumbeta!

Hizo datas/statistics ilitakiwa walete wao na kuweza pia ku-substantiate/defend...ili kupinga baadhi tu ya hayo malalamiko yetu,lakini pia umewafanzia Ihsan ya kuwawekea japo kiduchu.

Embu wakatuletee statistics zozote zile kutoka kwenye any leading Institutions or strategic government organ/departments,khalaf tuone nafasi zoote muhimu zinashikwa na nani!? Itakuwa ndo walewale tu,khalaf watu hawahawa ndo wanataka ati sisi tuwasikilize yakuwa "hakuna" MfumoKristo!?

Excuse yao kubwa,watakwambia mpaka leo 50 long years after "Uhuru",Waislam bado hatujasoma na wala hatuna uwezo/haturuhusiwi kushika nafasi hizo! Kwi! Kwi! Kwi!

Embu kwa mfano watuletee hapa takwimu za kutoka TRA,Makao makuu ya pale Uhamiaji,watupe Idadi yoote ya mabalozi wetu walioko nje na ndani ya nchi yetu,khalaf watwambie wangapi ni Waislam na wangapi ni watu wa MfumoKristo!?

Watupe statistics ya makamanda woote kwenye ngazi za juu za kwenye jeshi la Polisi na JWTZ.... kwa upande wa jeshi la Polisi tuanzie sub Inspectors na JWTZ tuanzie kwenye full Colonel!?

Wizara moja tu nawapa challenge wakachungulie;Wizara ya Maliasili na Utalii...pale kwa yule Muislam wasompenda Kagasheki!? Kwi! Kwi! Kwi!

Yaani ukitaka kujua jinsi mfumoKristo unavyo-function hapo Tanzania basi pia chungulia Wizara kama hizi.

Pamoja na huyo Kagasheki kufurukkuta kwake koote,lakini wamembana na kumzunguka Wizara nzima utafikiri "sangara wachimvi"! Kwi Kwi! Kwi!

Ndio maana ya huo Mfumo;yaani hata ukiwa mtendaji fulani mkuu,lakini huwezi asilan ku-function au ku-implement ideas zako zozote...ukichungulia kidogo nje tayari watu wa MfumoKristo wamesha-leak kila kitu kwenye media au kwa wenzao na kukuhujumu kwa kukutafutia kashfa na majungu ya kuchonga! Kwi! Kwi! kwi!

Kwa ufupi hiyo nchi imekwisha,tena imekwisha vibaya mno...yaani ni time-bomb!

Waislam,wameshaonewa mno na kudhihakiwa vya kutosha...wamejitahidi/wanajitahidi vya kutosha kutoa malalamiko yoote kwa kina kwenye kuhusika tena kwa awamu zoote,lakini hakuna majibu yenye maana!?

Wanufaika na MfumoKristo;wao hawataki asilan kujua matatizo ya Waislam au hata kujaribu kuyasikiliza kwa ustaarabu...wao kazi yao ni kujaribu kuwaonyesha hao Waislam yakuwa ati "hakuna" huo MfumoKristo na tatizo kubwa ni sisi wenyewe Waislam!? Kwi! Kwi! Kwi!

Yaani kwa mtu yeyote mwenye uwezo wa kuangalia kwa mbali,utaona kabisa hizo excuses na "explanations" za hao wafaidika na MfumoKristo hazina tafauti kabisa na zilezile comments/arguments zilizokua zikitolewa na wale Makaburu wa South Afrika dhidi ya Blacks South Afrikan au Amerikan Government dhidi ya Afrikan Amerikans/blacks during Civil Rights Movement!

Hii ndo legacy alotuachia yule Nyerere. Nastaajabu mno kuona Serikali maskini na ilochoka kama ya Tanzania, ati inakataza watu wake wanyonge leo kwenda kujitafutia rizk...badala yake wapumzike kumkumbuka yule Nyerere!? Kwi! Kwi! Kwi!

Tumkumbuke vipi mtu alotuachia; legacy mbovu ya chuki,udini,dhulma,rushwa iso mipaka,ukabila/ukanda,hali mbovu ya uchumi isokua na mfano!?

Kuna mangi ya kunena,lakini kwa sasa tuachie kwa hapa!

Ahsanta.

Cc;Ritz,AdiosAmigo,Tayeb

Ahsante al habib gombesugu umenipa zawadi nzuri ya idd hii!
Shukran kwa bayana hii.
 
Last edited by a moderator:
mtu mzima nimefurahishwa sana na maelezo yako. na nadhani hili ulifanyalo hapa NDIO DHUMUNI HALISI LA JUKWAA HILI.{kubadilishana hoja}.

Hapo kwenye red ntajaribu kufafanua kama ifuatavyo;-

Sidhani kama wewe binafsi umeshawahi kuudadavua vema HUU MFUMO KRISTO KAMA ULIVYO.

NAKUOMBA UFUATANE NA MIMI KTK TAKWIMU ZIFUATAZO:-

kwanza kabisa hebu turudi nyuma kidogo!

Katika mwaka wa 1981 kumenukuliwa ktk kitabu kiitwacho " DEVELOPMENT AND RELIGION IN TANZANIA" by R.Bagan UKURASA WA 335 MATAMSHI YA NYERERE KAMA IFUATAVYO;-

"..I AM LAYMAN BUT I TRY TO DO WHAT I CAN AND WILL NOT GO AGAINST MY OWN CHURCH, I WANT TO GIVE CHURCH A BETTER CHANCE HERE, TELL THE BISHOPS THAT I HAVE ESTABLISH IN TANU A DEPARTMENT IN POLITICAL AND EDUCATIONS AND I HAVE PUT A LUTHERAN MINISTER INCHARGE, HE WAS NOT A GREATER POLITITION BUT A CHOSE HIM BECAUSE OF HIS STRONG CHRISTIAN FAITH "


MAANA YAKE" MIMI SI MJUZI WA DINI LKN HUWA NAFANYA KILE NIWEZACHO NA KAMWE SIWEZI KWENDA KINYUME NA KANISA LANGU, NATAKA KULIPA KANISA NAFASI BORA HAPA, WAAMBIE WACHUNGWAJI NIMEANDISHA IDARA KTK TANU IITWAO SIASA NA ELIMU NA NIMEMTEUA WAZIRI WA DHEHEBU LA KILUTHERAN KUWA MSIMAMIZI, NA HAKUWA MWANA SIASA HODARI BALI NIMEMCHAGUA KWA UIMARA WA IMANI YAKE YA KIKRISTO."

Sasa hapa tu Mtu Mzima unaona waziwazi kuwa RAIS WA NCHI anaanzisha wizara KWA AJILI YA KILIPA NAFASI BORA KANISA na kumkabidhi Mtu, si kwa uhodari wake KISIASA, LA HASHA BALI KWA UIMARA WA IMANI YAKE YA KIKRISTO.

Tukiendelea na takwimu sasa;-

takwimu hizi NI MPAKA 2011,


CHEO JUMLA YA NAFASI SERIKALINI WAKRISTO WAISLAMU UKAMISHNA- 1 WAKRISTO 1 WAISLAMU 0

WAKURUGENZI 9 WAKRISTO 7 WAISLAMU 2

NAIBU WAKURUGENZI 8 WAKRISTO 7 WAISLAMU 1

WAKAGUZI WAKUU WA KANDA. 11
WAKRISTO 10 WAISLAMU 1

MAAFISA ELIMU WA MIKOA 21

WAKRISTO 16 WAISLAMU 5

MAAFISA ELIMU WA WILAYA 125

WAKRISTO 102 WAISLAMU 23

UONGOZI WA TAASISI VYUO VIKUU 25

WAKRISTO 23 WAISLAMU 2

WAKUU WA SHULE DARESALAAM 11

WAKRISTO 11 WAISLAMU 0

WAKUU SHULE ZA KATA 215

WAKRISTO 200 WAISLAMU 15


SASA Mtu Mzima HEBU TUHAMIE KWENYE NGAZI ZA JUU SERIKALINI!.

Tuanze na NECTA (BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA} LILILOANZISHWA 21/11/1973.

NAFASI YA WENYEKITI WA BARAZA HILI TOKA LIMEANZISHWA NI KAMA IFUATAVYO;-

1973-1977 PIUS MSEKWA.

1977-1980 I.M.KADUMA

1980-1988 N.A KUHANGA.

1988-1992 PROFESA G.R.V MMARI.

1992-1999 M.L. LUHANGA

1999-2004 PROFESA G.R.V.MMARI.

2004-2007 E.MWAIKAMBO

2007-2011 R,A,MKANDALA.



Kwa kifupi toka baraza la mitihani la taifa mpaka leo HAKUNA MUISLAMU ALISHAWAHI KUWA MWENYEKITI WA BARAZA HILO!!


HIZI NI TAKWIMU NIMEMALIZIA MPAKA 2011. Na sidhani kama kuna haja ya kukuongezea DATA ZAIDI! ZA MANAIBU NA KUENDELEA MBELE! ALMOST WOOTE NI WAKRISTO.

Hapa nilitaka kukuonjesha kidogo tu UONE NAMNA MFUMO KRISTO ULIVYO WABANA WAISLAMU KWA MIAKA MINGI SANA HASSA KWENYE NYANJA YA ELIMU.

Watu wengi wasio na elimu hukimbilia kusema kuwa WAISLAMU HAWAJASOMA! KWA HIVYO HAWASTAHIKI NAFASI KAMA HIZI!!
Ukitizama hoja hii utakuwa kuwa SIO KWELI KABISA! Tunao MAPROFESA WENGI TU WA KIISLAMU TANZANIA AMBAO HAWAKUPEWA NAFASI HATA KIDOGO HASA KTK NYANJA HII MUHIMU YA ELIMU.

NA HILI NI MOJA YA SERA ZA MFUMO KRISTO,


Ukishaweza kubana watu kwenye elimu basi ni raisi sana kuwamiliki utakavyo.

Hitimisho langu;

Suala la MFUMO KRISTO si suala la kuupuzia na kulidharau kwa sababu wananchi wenye imani za kiislamu wameshaliona hili, na vitu kama hivi visipo kemewa na kufutwa ktk jamii, basi tujiandae na umwagikaji wa damu, manake hilo ndio huwa hatuma ya DHULMA.

AHSANTE.
gombesugu Ritz Tayeb Nonda


Ningependa kuchukua fursa hii kushukuru kwa Majibu yako. Pia naomba radhi kuchelewa Kujibu si kwa makusudi bali ni kotokana na majukumu.

Nikirejea kwenye kujibu hoja yako nitakujibu kwa kifupi tu kwamba nukuu uliyoitoa inaweza ikawa iliandikwa kwa malengo maalum kuwavuruga watanzania. Haiwezekani jambo kubwa Kama Hilo linukuliwe na chanzo Kimoja.Kama ni msomi huwezi hata siku moja kuamini jambo na kulitangaza bila kuangalia vyanzo vingine. Vipo vitabu vingi tu vimeandikwa na Vipo sokoni lakini si kila kitabu kina sifa ya kutumika kama kigezo cha historia ya uongozi wa nchi. Vipo vitabu vilivyoandikwa kwa ajiri ya propaganda Vipo vilivyoandikwa kama maoni ya Mtu.

Jambo la kushangaza ni kwamba TANU ilikuwapo kuanzia 1954 hadi 1977. Ni kwa nini kitabu hicho kiandikwe 1981?. Miaka yote hiyo hakukuwa na wasomi waliosikia hilo ndani na nje ya TANU?.

Kama nimekosea nisahihishe. Huyo mwandishi uliyemnukuu sio mwislamu, yawezekana ni mkristo au ni Mtu wa dini zingine. Unataka tuamini tangu mwaka 1954 had 1977 hakukuwa na wasomi wa kiislam ambao wangeona hilo ni kosa?


Kuhusu takwimu ulizotoa ningetaka kwanza nikukumbushe kwamba si kila Mtu ambaye si mwislamu basi in mkristo na Wala si kila Mtu aitwaye jina la kiarabu ni muislam.

Pili hiyo taasisi Moja uliyotoa Kama mfano ni sehemu ndogo sana Kati ya taasisi za umma, umeichagua makusudi ili kukidhi mahitaji ya hoja yako kwa sababu zipo taasisi nyingi zinazoongozwa na waislam kwa muda mrefu

Tatu Tanzania Vyuo vikuu vya umma havijafikia 25 labda kama nimekuwa Mtu mzima kiasi cha kupitwa na wakati kitakwimu nitashukuru kama ungenisaidia kuweka orodha hapa. Ninavyofahamu Sehemu kubwa ya Vyuo vikuu ni vya kidini na binafsi na wana taratibu zao za ajira

Nne Dini ya Mtu sio sifa mojawapo ya kupewa kazi. Ni ujinga (sio upumbavu) hata kufikiria tu kumwajiri Mtu kwa sababu ya dini take au Kabila lake.
Kinachotakiwa kuangaliwa ni sifa za kiutendaji.

Mwisho ningependa kuwashauri waislam Wenzangu tusiangalie tulipoanguka. Tuangalie tulipojikwaa. Lazima tukubali kwamba wazee wetu wengi miaka hiyo ya 47 (si wote) walitilia maanani sana elimu ya dini kuliko elimu dunia.
Sasa kitakwimu tu ikitangazwa kazi 1 waombaji waislam 2, wakristo 10, wa dini za asili 5, hawa wawili wanayo nafasi kitakwimu lakini ni ndogo sana.

Nyie kizazi cha sasa pelekeni watoto shule waweze kushindana kwenye soko la ajira. Tumekwisha anza sasa kuelekea nyakati ambazo ajira nyingi zinatolewa na sekta binafsi. Huko hawaangalii takwimu kwamba sasa tuna wakristo 20 na wahindu 10 basi tuajiri waislam Hilo halipo. Wanasoma CV kama inavutia unaitwa kwenye usaili ukichemka wanatupa kwenye ndoo taka hawaangalii Huyu ni Hassan au Petro.

Mwisho kazi yoyote utakayoipata kwa upendeleo wa kikabila, undugu au udini haina heshima.
Ukiwa na vigezo vya ajira huwezi Kukosa kazi ndani au nje ya nchi.
 
@gombesugu, ahlan wahsalan muungwana.
Pole kwa hamaki na kauli za staftashi, tafadhali pata funda la maji kitako utulize jaka moyo.

Ninaposoma majibu ya kejeli na matusi hujiridhisha hoja zangu zimeeleweka kwa nguvu zake.
Zinajibiwa kwa kejeli kwasababu ndilo jibu lililopo la karibu.

Nimesema ajitokeze mtu anithibitishie kuwa waliopigania uhuru wakiwa na majina ya kiislam wote walikuwa waislam! Hakuna aliyetokea kwasababu mnafahamu wazi kuwa kuitwa Hussein hakumfanyi mtu awe mwislam.

Hoja yangu ipo wazi kabisa. Hakuna sababu ya msingi na ya maana kwa waislam kudai mashujaa wa Uhuru watambuliwe wakati ambapo Waislam hao hao wameshindwa kuwatambua.

Nikaweka hoja za kwanini chuo cha Alharamaini kisiitwe Abdul Sykes, Cha Dodoma kisiitwe K.Kleist n.k. ili kuanza kuwaenzi kwanza kabla ya kwenda kwenye medani ya kitaifa. Charity begins at home.

Ukiita shule kwa jina la Al Farook ambalo ni jina la Kiarabu tu na pengine maana yake ni ndogo sana ukaacha kuita Mshume Kiyate highschool unajidhulumu kabla hujadhulumiwa.

Please try to think beyond your nose!If you cannot dignify your own heroes ironically you hold someone accountable for the same, that's insane to be honest with you.

Nimewauliza, Nyerere amekufa miaka 14 leo hii.
Barbara ya Bagamoyo imepewa jina la Kibaki na kuua. Aliyefanya hivyo ni madiwani wa Dar, Mkuu wa mkoa wa Dar pamoja na Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Kwasababu tu huwa hamna hoja ya maana mumeshindwa kuwa hold accountable wahusika mnatafuta jina la Nyerere kabuirini. Jk, Said Meshaki na madiwani wapo! kwanini mumtafute Nyerere kaburini. Waulizeni hao

Ndivyo ilivyo kwa Oceam Road, hatukusikia Mohamed Said au wengine wenye vichwa kama chake wakisema lolote. Tunamsikia akisemea Nairobi. He did not say anything to JK kwasababu. Leo tunasikia mfumo Kristo ukilaumiwa na Nyerere akiwa kaburini 14 yrs.

Mfumokristo ni dhana inayotengenezwa na Waislam wenyewe. Nitawaambia ukweli hata kama una umma.,
Leo watu wanasugu vichwa barbara zipewe majina!
Wenye akili wanasugua vichwa wafanye nini kuongeza shule, vyuo n.k.

Baada ya miaka 5 it's vicious circle kwasababu kuna mambo yanahitaji weledi. Huwezi kuwa Engineer au Daktari kwa kuteuliwa. Tutasikia wakilalamika JF mfumo kristo. Wamesahau kuwa hawakuwa na muda wa kupambana na mfumo, walitumia muda huo kujadili majina ya marehemu na kama yapewe mitaa! insane!

Kelele za kutambuliwa mashujaa zimesikika na medali zimetolewa. Sijui hilo limesaidiaje jamii ya watu wa Mkuranga wenye shule na mwalimu mkuu msaidizi ni Kiranja. ( Ogah lete habari ile ya Mkuranga)

Watu wanafikiria namna ya kufanya vyuo vyao vitambuliwe duniani, wenzetu mupo bize kutafuta majina na kumshambulia Nyerere. Hakuna anayejiuliza kwanini Morogoro University haipo katika vyuo bora 200 Africa.

Hitimisho ni kuwa
1. Kwanza, historia ya mwanadamu inaandikwa na mwanadamu kwa wakati na matukio.
Nyerere historia yake imeshaandikwa duniani. Hakuna anayeweza kuifuta au kuilingnisha na ya mtu mwingine. Ni ya Nyerere! period.Jitihada za kumpaka matope hazifanyi wengine wang'are.
Abdul Sykes atabaki kuwa raia na ukweli kuwa hakuwahi kuwa Rais wa Tanganyika utabaki pale pale hata kama unauma kama nyuki. Ni maumivu ya kuvumiliana

2. Anzeni kuenzi mashujaa kabla hamjaenda katika jukwaa la kitaifa.
Kama unadhani Jabal hilal ni bora kuliko Idd Faiz Mwafongo that should be your problem.
Hili la majina ni tatizo la utumwa wa kiakili.Waambieni madiwani wabadili majina, Tandamti iitwe Farijala, Twigwa uitwe Tatu Said n.k. Halafu mkae kitako mjiulize baada ya majina kubadilika, maisha ya jamii yamebadilika?

3. Stop the vicious circle of ignorance. Miaka 30 MS analalamika nanyi pia mnachukua kijiti kulalamika miaka 30 mingine. Inaudhi wasomi wanajadili trivial things kama majina ya mitaa na kuacha tatizo la elimu na umasikini katika jamii ile ile inayotaka majina! white elephant!

Kaeni chini mjiulize, kwanini kuna massive failure katika shule za Dar na kuna success Kirinjiko Secondari under the same environment! Kwanini chuo cha Morogoro hadi sasa hakijaweza kuchomoza katika anga za kimataifa hapa East Africa au Africa. Kuna tatizo gani na lisahishiswe vipi.

Mnaposhinda katika internet mki entertain frustration za Mohamed Said kutokuwa meneja wa bandari, si tu hamuitendei haki jamii bali mnazidi kuidhalilisha.

Huwezi kujadili nyuzi nzima kuhusu stupid and trivial thing halafu uka depict positive image ya society. Frustration za MS si tatizo la kitaifa ni tatizo lake, you guys you're easily drawn in.
Mnashindwa kujibu hoja kwasababu you've been drawn in like chicken.
Wake up!

cc Al akhy Tayeb, ukhti Faiza Fox, maulana Ritz, Al Habib kahaatan
Mag3 @Jokakuu Wickama AshaDii Mtu Mzima
Thanks to you Nguruvi3, you have said it all...I cant even contemplate why somebody would have the nerve to once again bring this hogwash here at a time when our nation is faced with so many challenges like how we are ever going to wrestle our country back, out of the hands of people whose behaviour is no different from that of a pack of hyenas out to tear it apart.

It comes as no surprise that people like gombesugu, who dont give a hoot about the fate of the majority of our countrymen who are languishing in abject poverty, ignorance and disease, are at the forefront defending malicious, poisonous and sedicious writings, utterances and propaganda of a depraved individual all out to plant seeds of hatred... under the cover of religion?

Mohamed Said is the product of a people that completely failed to go with the times and when they finally woke up they learned that the world had moved on. Instead of accepting the fact that the clock cannot never be turned back and so move on, their frustration has driven them to insanity and, blinded by religious zealotry, they see enemies everywhere but amongst themselves.

Mohamed Said is an angry, bitter and confused individual whose relevance only prevails thanks to the blind following of a misguided few. Like Mohamed Said they believe they deserved to be the offsprings of rulers, kings and presidents and that it was Mwalimu who stood between their partriachs and the throne and so thwarted their ambitions they felt were well within their grasp!

What perplexes the majority of the peace loving wananchi is how this individual, who earns his living writing and preaching religious intolerance, enjoys such a free reign in a country that respects the rule of law and order. How can any sane mind accuse the topmost four leaders of this nation, who are all Muslims, of working in cahoot with Christians to suppress members of their own faith?

This question brings to mind a very sinister motive behind it all, the role being played by the ruling party, CCM. At the very time when an important issue, like the drafting a new constitution, should occupy the mind of every partriot, people like Mohamed Said are let free to criss-cross the country diverting peoples attention! Everybody knows that CCM and a new constituion are not the best of Friends, so whatz up?

Finally I take this opportunity to call on my fellow Tanzanians to beware the ill motives of this dangerous individual called Mohamed Said. The country is starting to experience the dangers of letting him run loose and reaping the fruits of his wicked teachings, which I am 100% sure are not shared by most of the Muslim population in this country, it is a one man jihad that banks on irascibe response from irascible people.
 
Ningependa kuchukua fursa hii kushukuru kwa Majibu yako. Pia naomba radhi kuchelewa Kujibu si kwa makusudi bali ni kotokana na majukumu.

Nikirejea kwenye kujibu hoja yako nitakujibu kwa kifupi tu kwamba nukuu uliyoitoa inaweza ikawa iliandikwa kwa malengo maalum kuwavuruga watanzania. Haiwezekani jambo kubwa Kama Hilo linukuliwe na chanzo Kimoja.Kama ni msomi huwezi hata siku moja kuamini jambo na kulitangaza bila kuangalia vyanzo vingine. Vipo vitabu vingi tu vimeandikwa na Vipo sokoni lakini si kila kitabu kina sifa ya kutumika kama kigezo cha historia ya uongozi wa nchi. Vipo vitabu vilivyoandikwa kwa ajiri ya propaganda Vipo vilivyoandikwa kama maoni ya Mtu.

Jambo la kushangaza ni kwamba TANU ilikuwapo kuanzia 1954 hadi 1977. Ni kwa nini kitabu hicho kiandikwe 1981?. Miaka yote hiyo hakukuwa na wasomi waliosikia hilo ndani na nje ya TANU?.

Kama nimekosea nisahihishe. Huyo mwandishi uliyemnukuu sio mwislamu, yawezekana ni mkristo au ni Mtu wa dini zingine. Unataka tuamini tangu mwaka 1954 had 1977 hakukuwa na wasomi wa kiislam ambao wangeona hilo ni kosa?


Kuhusu takwimu ulizotoa ningetaka kwanza nikukumbushe kwamba si kila Mtu ambaye si mwislamu basi in mkristo na Walachia si kila Mtu aitwaye jina la kiarabu ni muislam.

Pili hiyo taasisi Moja uliyotoa Kama mfano ni sehemu ndogo sana Kati ya taasisi za umma, umeichagua makusudi ili kukidhi mahitaji ya hoja yako kwa sababu zipo taasisi nyingi zinazoongozwa na waislam kwa muda mrefu

Tatu Tanzania Vyuo vikuu vya umma havijafikia 25 labda kama nimekuwa Mtu mzima kiasi cha kupitwa na wakati kitakwimu nitashukuru kama ungenisaidia kuweka orodha hapa. Ninavyofahamu Sehemu kubwa ya Vyuo vikuu ni vya kidini na binafsi na wana taratibu zao za ajira

Nne Dini ya Mtu sio sifa mojawapo ya kupewa kazi. Ni ujinga (sio upumbavu) hata kufikiria tu kumwajiri Mtu kwa sababu ya dini take au Kabila lake.
Kinachotakiwa kuangaliwa ni sifa za kiutendaji.

Mwisho ningependa kuwashauri waislam Wenzangu tusiangalie tulipoanguka. Tuangalie tulipojikwaa. Lazima tukubali kwamba wazee wetu wengi miaka hiyo ya 47 (si wote) walitilia maanani sana elimu ya dini kuliko elimu dunia.
Sasa kitakwimu tu ikitangazwa kazi 1 waombaji waislam 2, wakristo 10, wa dini za asili 5, hawa wawili wanayo nafasi kitakwimu lakini ni ndogo sana.

Nyie kizazi cha sasa pelekeni watoto shule waweze kushindana kwenye soko la ajira. Tumekwisha anza sasa kuelekea nyakati ambazo ajira nyingi zinatolewa na sekta binafsi. Huko hawaangalii takwimu kwamba sasa tuna wakristo 20 na wahindu 10 basi tuajiri waislam Hilo halipo. Wanasoma CV kama inavutia unaitwa kwenye usaili ukichemka wanatupa kwenye ndoo taka hawaangalii Huyu ni Hassan au Petro.

Mwisho kazi yoyote utakayoipata kwa upendeleo wa kikabila, undugu au udini haina heshima.
Ukiwa na vigezo vya ajira huwezi Kukosa kazi ndani au nje ya nchi.

Basi sawa mkuu,ulale salama kwa Neema ya Yesu
 
@gombesugu, ahlan wahsalan muungwana.
Pole kwa hamaki na kauli za staftashi, tafadhali pata funda la maji kitako utulize jaka moyo.

Ninaposoma majibu ya kejeli na matusi hujiridhisha hoja zangu zimeeleweka kwa nguvu zake.
Zinajibiwa kwa kejeli kwasababu ndilo jibu lililopo la karibu.

Nimesema ajitokeze mtu anithibitishie kuwa waliopigania uhuru wakiwa na majina ya kiislam wote walikuwa waislam! Hakuna aliyetokea kwasababu mnafahamu wazi kuwa kuitwa Hussein hakumfanyi mtu awe mwislam.

Hoja yangu ipo wazi kabisa. Hakuna sababu ya msingi na ya maana kwa waislam kudai mashujaa wa Uhuru watambuliwe wakati ambapo Waislam hao hao wameshindwa kuwatambua.

Nikaweka hoja za kwanini chuo cha Alharamaini kisiitwe Abdul Sykes, Cha Dodoma kisiitwe K.Kleist n.k. ili kuanza kuwaenzi kwanza kabla ya kwenda kwenye medani ya kitaifa. Charity begins at home.

Ukiita shule kwa jina la Al Farook ambalo ni jina la Kiarabu tu na pengine maana yake ni ndogo sana ukaacha kuita Mshume Kiyate highschool unajidhulumu kabla hujadhulumiwa.

Please try to think beyond your nose!If you cannot dignify your own heroes ironically you hold someone accountable for the same, that's insane to be honest with you.

Nimewauliza, Nyerere amekufa miaka 14 leo hii.
Barbara ya Bagamoyo imepewa jina la Kibaki na kuua. Aliyefanya hivyo ni madiwani wa Dar, Mkuu wa mkoa wa Dar pamoja na Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Kwasababu tu huwa hamna hoja ya maana mumeshindwa kuwa hold accountable wahusika mnatafuta jina la Nyerere kabuirini. Jk, Said Meshaki na madiwani wapo! kwanini mumtafute Nyerere kaburini. Waulizeni hao

Ndivyo ilivyo kwa Oceam Road, hatukusikia Mohamed Said au wengine wenye vichwa kama chake wakisema lolote. Tunamsikia akisemea Nairobi. He did not say anything to JK kwasababu. Leo tunasikia mfumo Kristo ukilaumiwa na Nyerere akiwa kaburini 14 yrs.

Mfumokristo ni dhana inayotengenezwa na Waislam wenyewe. Nitawaambia ukweli hata kama una umma.,
Leo watu wanasugu vichwa barbara zipewe majina!
Wenye akili wanasugua vichwa wafanye nini kuongeza shule, vyuo n.k.

Baada ya miaka 5 it's vicious circle kwasababu kuna mambo yanahitaji weledi. Huwezi kuwa Engineer au Daktari kwa kuteuliwa. Tutasikia wakilalamika JF mfumo kristo. Wamesahau kuwa hawakuwa na muda wa kupambana na mfumo, walitumia muda huo kujadili majina ya marehemu na kama yapewe mitaa! insane!

Kelele za kutambuliwa mashujaa zimesikika na medali zimetolewa. Sijui hilo limesaidiaje jamii ya watu wa Mkuranga wenye shule na mwalimu mkuu msaidizi ni Kiranja. ( Ogah lete habari ile ya Mkuranga)

Watu wanafikiria namna ya kufanya vyuo vyao vitambuliwe duniani, wenzetu mupo bize kutafuta majina na kumshambulia Nyerere. Hakuna anayejiuliza kwanini Morogoro University haipo katika vyuo bora 200 Africa.

Hitimisho ni kuwa
1. Kwanza, historia ya mwanadamu inaandikwa na mwanadamu kwa wakati na matukio.
Nyerere historia yake imeshaandikwa duniani. Hakuna anayeweza kuifuta au kuilingnisha na ya mtu mwingine. Ni ya Nyerere! period.Jitihada za kumpaka matope hazifanyi wengine wang'are.
Abdul Sykes atabaki kuwa raia na ukweli kuwa hakuwahi kuwa Rais wa Tanganyika utabaki pale pale hata kama unauma kama nyuki. Ni maumivu ya kuvumiliana

2. Anzeni kuenzi mashujaa kabla hamjaenda katika jukwaa la kitaifa.
Kama unadhani Jabal hilal ni bora kuliko Idd Faiz Mwafongo that should be your problem.
Hili la majina ni tatizo la utumwa wa kiakili.Waambieni madiwani wabadili majina, Tandamti iitwe Farijala, Twigwa uitwe Tatu Said n.k. Halafu mkae kitako mjiulize baada ya majina kubadilika, maisha ya jamii yamebadilika?

3. Stop the vicious circle of ignorance. Miaka 30 MS analalamika nanyi pia mnachukua kijiti kulalamika miaka 30 mingine. Inaudhi wasomi wanajadili trivial things kama majina ya mitaa na kuacha tatizo la elimu na umasikini katika jamii ile ile inayotaka majina! white elephant!

Kaeni chini mjiulize, kwanini kuna massive failure katika shule za Dar na kuna success Kirinjiko Secondari under the same environment! Kwanini chuo cha Morogoro hadi sasa hakijaweza kuchomoza katika anga za kimataifa hapa East Africa au Africa. Kuna tatizo gani na lisahishiswe vipi.

Mnaposhinda katika internet mki entertain frustration za Mohamed Said kutokuwa meneja wa bandari, si tu hamuitendei haki jamii bali mnazidi kuidhalilisha.

Huwezi kujadili nyuzi nzima kuhusu stupid and trivial thing halafu uka depict positive image ya society. Frustration za MS si tatizo la kitaifa ni tatizo lake, you guys you're easily drawn in.
Mnashindwa kujibu hoja kwasababu you've been drawn in like chicken.
Wake up!

cc Al akhy Tayeb, ukhti Faiza Fox, maulana Ritz, Al Habib kahaatan
Mag3 JokaKuu Wickama AshaDii Mtu Mzima

Umetuandikia utumbo mreeeeefu ulijaa mavi matupu!

Aliyekwambia wewe kuwa sisi shida yetu ni kutoa majina ya barabara na majina ya shule kwa ajili ya kuwaenzi hao mashujaa ni nani??

Au kwa upeo wa fikra zako chache ulidhani hio ndio njia pekee ya kuenzi mashujaa!?

Unaongelea suala la kuwa Nyerere kaingia ktk historia na hilo haliwezi kubadilika! Hivi wewe huwa unafikiri kabla ya kuandika hapa??

Was hitler in history too!? Can anybody change that?? Your mate Nyerere will stay in the dark side of the history!! He was a murderer and a human right abuser!

Amedhulumu watanzania wasio na idadi na kama mzee wako alikuwa ni ktk wale wachache walio pewa mali iliyo taifishwa na yule kibwengo basi endelea kurithi dhulma lkn usijaribu kutetea!

Unaropoka kuhusu waislamu kuto kusoma na hali unajua kabisa or may be not! Kuwa huyo kibwengo namna alivyo wabana waislamu ktk nyanja ya elimu!

Wewe ni ktk wale vibaraka wachache wa serikali ile dhalim! Ambao wamefaidika ktk ile dhulma waliofanyiwa wengi na huenda wazazi wako wakawa na matumbo yaliojaa hio dhulma ambayo inakupa wewe nguvu ya kuitetea!
Siku.itafika utapo simama mbele ya Muumba ndipo wewe na huyo Nyerere mtakapo weza kuwafahamisha wanyonge je ! Kwa nini nyumba zao zilichomwa kwa kukataa sera ya vijiji vya ujamaa?
Kwa nini waliporwa mali zao na majumba yao ktk sera za utaifishaji?
Kwanini wanyonge walifungwa vizuizini miaka chungu mzima bila kupewa haki ya kupitia mahakamani?
Huenda hilo domo lako refu likafafanua japo kiduchu!
Laana ya mungu iwadondokee wote wenye kutetea dhulma!

Hebu msikilize huyo maluuni hapa!

Watch "chuki za nyerere dhidi ya waislamu" on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=ecwbdSFCkhQ&feature=youtube_gdata_player
 
Last edited by a moderator:
**Mkuu chabusoUmenifanya niende LIBRARY na kutafuta habari za Historia hii;

Written by Mohamed Said;

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

What is saddening about the history of Tanganyika’s struggle for independence is the fact that, more than four decades after achieving freedom, that important period of the people’s resistance to foreign domination has yet to be written about.

The few attempts made so far to write that history have focused on hero worship and idolising Nyerere.

What we thus have is a one-sided official history full of distortions and even half-truths.

Meanwhile, vital documents and photographs of the times still remain in private hands and will soon be destroyed or lost for ever.

It is now 50 years since the Tanganyika African National Union made the historic decision in Tabora in 1958to take part in the first general election to the Legislative Council under extremely discriminatory conditions — an ultimately wise decision that came to be known as Uamuzi wa Busara.

In that election, seats were contested not only along racial lines but also saw the locking out of candidates who did not have a formal education or were not employed in a recognised profession.

But what incensed the people most was the condition that Africans would have to vote for a European, an Asian and an African. Mohamed Said’s new book tells the story of that election.

The conditions set by the colonial government seemed on the face of it unacceptable for Tanu.

The conference deliberations in Tabora, a small town in the then Western Province, threatened to split the party into two camps —moderates in favour of participating in the elections; and radicals calling for a total boycott.

But Tanu and indeed Nyerere survived an internal crisis that swiftly took on religious and racial undertones.

Radicals like Sheikh Suleiman Takadir, chairman of the Tanu Elders, and Zuberi Mtemvu, then Tanu organising secretary, were all set to stage a coup against Nyerere and take over the party.

And they would have succeeded were it not for the ingenuity of Mwalimu and a group of Tanu members from Tanga handpicked by Nyerere to confront the onslaught.

There are no existing records to give us an insight into Nyerere’s own position on the tripartite voting nor is there any indication that he even discussed the issue at the headquarters privately with Sheikh Takadir and Mtemvu, or close associates Idd Faiz, Haidar Mwinyimvua, Dossa Aziz, Bibi Titi Mohamed and the Tanu propagandist Ramadhani Mashado Plantan, owner of the radical paper Zuhra – Nyererere’s mouthpiece. Indeed, it would seem Nyerere played his cards close to his chest right up to the voting.

So, what was Nyerere’s strategy — the one he never revealed even privately in later life?

The book attempts to solve this mystery through interviews with Tanu veterans, fleshing out a picture of Nyerere “riding” the wave of opposition within Tanu and neutralising radicals like Mtemvu and Sheikh Takadir.


That was the first test of his capabilities as a leader of a mass party and the young Nyerere passed with flying colours.

The writer takes the reader through a labyrinth of intrigues, plots and counter plots that eventually led to Tanu and Nyerere triumphing in the tripartite voting over the Tanganyika United Party — a political grouping dominated by whites that had been cobbled together by the government to counter Tanu.

Nyerere’s opponents resigned from Tanu, with Zuberi Mtemvu forming the African National Congress and Ramadhani Mashado Plantan and a group of Muslims forming the All Muslim National Union of Tanganyika — raising the spectre of racial and religious conflict.

Mtemvu’s policy was Africa for Africans while Plantan’s group wanted assurances about the future of Muslims in free Tanganyika.

These long forgotten players in Tanganyika politics seem to live again in the pages of this book.

What Said brings out, though, is how Nyerere and Tanzania weathered this delicate passage thanks to the many Muslims patriots who remained committed to the original vision.

Said has moving stories to tell of patriotism and sacrifice.

There is the story of Tanu stalwart Mzee Mshume Kiyate, whose contribution as party financier and close friend of Nyerere’s family has never been acknowledged.

Kiyate was a prominent fishmonger at Kariakoo in Dar es Salaam when he met Nyerere in early 1950s; he was to become friend and mentor to the young leader.

Also forgotten are patriots like Said Chamwenyewe, who presented Tanu’s appeal to the United Nations Visiting Missions to the Mandate Territories when it visited Tanganyika in 1955.

Chamwenyewe had earlier mobilised the first Tanu members from Rufiji in 1954, visiting villages on a bicycle to campaign for Tanu, collecting funds from members and turning the money over to Tanu treasurer Idd Faiz Mafongo without asking anything for himself. Nothing is today known about the fate of these people.

The book contains a number of rare photographs collected from private hands.

There are pictures of a young Nyerere surrounded by Muslims townsmen in kanzu and other paraphernalia — people like Issa Nassir, Sheikh Haidar Mwinyimvua, Mwinjuma Mwinyikambi, Jumbe Tambaza, Sheikh Suleiman Takadir, Mshume Kiyate, Said Chamwenyewe and many others.

There is one touching photograph of Nyerere with Mzee Mshume Kiyate taken soon after the army mutiny of January 20, 1964, showing Mshume covering Mwalimu with a piece of cloth traditionally worn by people from the coast known as “kitambi” or “msuli

The gesture was a show of support by Tanu elders in the face of the mutiny that almost overthrew Nyerere’s government. Mzee Mshume died in the early 1970s, alone, poor and forgotten.


The book ventures into the uncharted terrain of Islam as an ideology of colonial resistance, depicting the central role of Muslims in the struggle against the British, a topic still considered a no-go zone in Tanzania.

The writer portrays Nyerere in a light unfamiliar even to his fervent admirers, narrates how during the tripartite voting campaigns the young leader participated in Islamic rituals specifically conducted to safeguard him and the movement against enemies.

Mohamed Said deserves kudos for documenting this important chapter in the history of nationalism in Tanganyika.

He puts meat on the skeleton of Tanu’s history in a book that, once you start reading, you will not put down until you get to the end.




ni wendawazimu kumnakiri mohamed said, uislam umemfanya chizi , aliwahi kuleta ubishi humu jamvini eti kwa nini sabuni iitwe roberts wakati wanaugua upele ni kina omar.
 
Thanks to you Nguruvi3, you have said it all...I cant even contemplate why somebody would have the nerve to once again bring this hogwash here at a time when our nation is faced with so many challenges like how we are ever going to wrestle our country back, out of the hands of people whose behaviour is no different from that of a pack of hyenas out to tear it apart.

It comes as no surprise that people like gombesugu, who dont give a hoot about the fate of the majority of our countrymen who are languishing in abject poverty, ignorance and disease, are at the forefront defending malicious, poisonous and sedicious writings, utterances and propaganda of a depraved individual all out to plant seeds of hatred... under the cover of religion?

Mohamed Said is the product of a people that completely failed to go with the times and when they finally woke up they learned that the world had moved on. Instead of accepting the fact that the clock cannot never be turned back and so move on, their frustration has driven them to insanity and, blinded by religious zealotry, they see enemies everywhere but amongst themselves.

Mohamed Said is an angry, bitter and confused individual whose relevance only prevails thanks to the blind following of a misguided few. Like Mohamed Said they believe they deserved to be the offsprings of rulers, kings and presidents and that it was Mwalimu who stood between their partriachs and the throne and so thwarted their ambitions they felt were well within their grasp!

What perplexes the majority of the peace loving wananchi is how this individual, who earns his living writing and preaching religious intolerance, enjoys such a free reign in a country that respects the rule of law and order. How can any sane mind accuse the topmost four leaders of this nation, who are all Muslims, of working in cahoot with Christians to suppress members of their own faith?

This question brings to mind a very sinister motive behind it all, the role being played by the ruling party, CCM. At the very time when an important issue, like the drafting a new constitution, should occupy the mind of every partriot, people like Mohamed Said are let free to criss-cross the country diverting peoples attention! Everybody knows that CCM and a new constituion are not the best of Friends, so whatz up?

Finally I take this opportunity to call on my fellow Tanzanians to beware the ill motives of this dangerous individual called Mohamed Said. The country is starting to experience the dangers of letting him run loose and reaping the fruits of his wicked teachings, which I am 100% sure are not shared by most of the Muslim population in this country, it is a one man jihad that banks on irascibe response from irascible people.
Crackpot, Satan's Art of Deception.
 
pengine mtumzima ningeomba ujibu hoja: kuwa swala la uhuru haliwezekani kutenganishwa na dini.

Asante
Nafikiri nilitoa Majibu japo kwa Jumla. Nikirejea sehemu hiyo nilisema kwamba ni kweli Watu wa dini mbalimbali katika sehemu zao za ibada misikitini, makanisani n.k walizitumia kama sehemu za kupeana ujumbe na hamasa juu ya kupigania uhuru. Lakini mambo hayo yalifanyika katika mikusanyiko mbalimbali na nikatoa mfano kwenye vilabu vya pombe. Pia lazima tufahamu kwamba watu hawa wa madhehebu au dini za kigeni (namaanisha wakristo na waislam) walikuwa sehemu ndogo sana ya jamii ya watanganyika kipindi hicho kabla ya uhuru na hata sasa.

Kwa kumalizia naomba kusisitiza kwamba ni Makosa makubwa kwa kikundi chochote kutaka kuhodhi na kujivika sifa kwamba bila kikundi hicho kusingekuwa na uhuru.
 
Ningependa kuchukua fursa hii kushukuru kwa Majibu yako. Pia naomba radhi kuchelewa Kujibu si kwa makusudi bali ni kotokana na majukumu.

Nikirejea kwenye kujibu hoja yako nitakujibu kwa kifupi tu kwamba nukuu uliyoitoa inaweza ikawa iliandikwa kwa malengo maalum kuwavuruga watanzania. Haiwezekani jambo kubwa Kama Hilo linukuliwe na chanzo Kimoja.Kama ni msomi huwezi hata siku moja kuamini jambo na kulitangaza bila kuangalia vyanzo vingine. Vipo vitabu vingi tu vimeandikwa na Vipo sokoni lakini si kila kitabu kina sifa ya kutumika kama kigezo cha historia ya uongozi wa nchi. Vipo vitabu vilivyoandikwa kwa ajiri ya propaganda Vipo vilivyoandikwa kama maoni ya Mtu.

Jambo la kushangaza ni kwamba TANU ilikuwapo kuanzia 1954 hadi 1977. Ni kwa nini kitabu hicho kiandikwe 1981?. Miaka yote hiyo hakukuwa na wasomi waliosikia hilo ndani na nje ya TANU?.

Kama nimekosea nisahihishe. Huyo mwandishi uliyemnukuu sio mwislamu, yawezekana ni mkristo au ni Mtu wa dini zingine. Unataka tuamini tangu mwaka 1954 had 1977 hakukuwa na wasomi wa kiislam ambao wangeona hilo ni kosa?


Kuhusu takwimu ulizotoa ningetaka kwanza nikukumbushe kwamba si kila Mtu ambaye si mwislamu basi in mkristo na Walachia si kila Mtu aitwaye jina la kiarabu ni muislam.

Pili hiyo taasisi Moja uliyotoa Kama mfano ni sehemu ndogo sana Kati ya taasisi za umma, umeichagua makusudi ili kukidhi mahitaji ya hoja yako kwa sababu zipo taasisi nyingi zinazoongozwa na waislam kwa muda mrefu

Tatu Tanzania Vyuo vikuu vya umma havijafikia 25 labda kama nimekuwa Mtu mzima kiasi cha kupitwa na wakati kitakwimu nitashukuru kama ungenisaidia kuweka orodha hapa. Ninavyofahamu Sehemu kubwa ya Vyuo vikuu ni vya kidini na binafsi na wana taratibu zao za ajira

Nne Dini ya Mtu sio sifa mojawapo ya kupewa kazi. Ni ujinga (sio upumbavu) hata kufikiria tu kumwajiri Mtu kwa sababu ya dini take au Kabila lake.
Kinachotakiwa kuangaliwa ni sifa za kiutendaji.

Mwisho ningependa kuwashauri waislam Wenzangu tusiangalie tulipoanguka. Tuangalie tulipojikwaa. Lazima tukubali kwamba wazee wetu wengi miaka hiyo ya 47 (si wote) walitilia maanani sana elimu ya dini kuliko elimu dunia.
Sasa kitakwimu tu ikitangazwa kazi 1 waombaji waislam 2, wakristo 10, wa dini za asili 5, hawa wawili wanayo nafasi kitakwimu lakini ni ndogo sana.

Nyie kizazi cha sasa pelekeni watoto shule waweze kushindana kwenye soko la ajira. Tumekwisha anza sasa kuelekea nyakati ambazo ajira nyingi zinatolewa na sekta binafsi. Huko hawaangalii takwimu kwamba sasa tuna wakristo 20 na wahindu 10 basi tuajiri waislam Hilo halipo. Wanasoma CV kama inavutia unaitwa kwenye usaili ukichemka wanatupa kwenye ndoo taka hawaangalii Huyu ni Hassan au Petro.

Mwisho kazi yoyote utakayoipata kwa upendeleo wa kikabila, undugu au udini haina heshima.
Ukiwa na vigezo vya ajira huwezi Kukosa kazi ndani au nje ya nchi.
Mtu Mzima kama nilivyo sema mwanzo wa malumbano haya! Mimi hupenda kuja na takwimu ambazo zina ushahidi.
Sasa unaposema ziko idara nyingine NYETI KAMA HII YA ELIMU ILIYO ONGOZWA NA WAISLAMU MIAKA MIINGI! BASI NINGEFURAHI KAMA UTALETA HIZO TAKWIMU HAPA!

Kuhusu mimi kuchagua wizara ya ELIMU!
Nimechagua kukuonyesha data za wizara hii kwa sababu HAKUNA WIZARA MUHIMU KTK NCHI YYT DUNIA KAMA WIZARA YA ELIMU!

Sasa ukija hapa na data za wizara ya mifugo au maendeleo vijijini au wizara ya mipango miji Sidhani kama utaweza kulinganisha hatta kidogo na wizara hii.
Kama nilivyoonya mwanzo kuwa wasio kuwa na ufahamu mara zote hukimbilia kusema waislamu hawakusoma kwa sababu 1.2.3.4 na kuendelea! Na hilo umelisema hapo juu! Halafu hapo hapo unasema kulikuwa na wasomi wengi tu wa kiislamu ambao walikuwapo wakati huo na ukauliza ni kwanini wao wasiliandike hilo alilo litamka nyerere?

Umeuliza kuhusu idadi ya vyuo! Kuliko mimi kuanza kukuorodheshea kimoja kimoja! Kwa nini wewe usiende kuhakiki mwenyewe kuhusu hizi data nilozo kupa??
La mwisho. Ili kukuonyesha kuwa si waislami pekee wenye kufahamu udhalimu wa Nyerere na serikali yake wakati huo!

Hebu pitia kidogo hii link hapa chini.

Ludovick Mwijage: The Dark Side of Nyerere's Legacy - https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=36839
Ludovick Mwijage: The Dark Side of Nyerere's Legacy

Cc gombesugu
 
Last edited by a moderator:
Hata siasa ni dini, kama huijui maana ya dini inabidi kwanza uijue maana ya dini. Ngoja nikupe darsa dogo;

Dini ni njia na muongozo wa kupitia katika mfumo wa maisha ya kila siku, safari uliyokuwa nayo duniani hadidu rejea yake ndio dini yako, kwa hiyo kama wewe unaamini Uislaam ndio dini (njia yako), Kama unaamini Ukristo ndio dini (njia yako), kama Unaamini Upagani, Uhindi, Ubuddha, Mti, kenge, kondoo, panya, sayansi, katiba, basi hiyo unayoamini kuwa ni rejea yako ya mwisho ya kukuongoza katika uyafanyayo kila siku ndio dini (njia yako).

Hapa kinachoongelewa ni siasa na role ya Waislaam na Uislaam katika "Tanzania freedom struggle", au una usongo kwa kuwa unajuwa kuwa Kanisa halikuwemo katika "freedom struggle"?

Unataka kulishusha kanisa lilumbane na mbwa kwa ajili ya haki ambayo ni obsolete kwa sasa, hahahahahaha, kwi kwi kwi; this what we believe baby;

Better give your path to a dog than be bitten by him in contesting for the right. Even killing the dog would not cure the bite.
 
Thanks to you Nguruvi3, you have said it all...I cant even contemplate why somebody would have the nerve to once again bring this hogwash here at a time when our nation is faced with so many challenges like how we are ever going to wrestle our country back, out of the hands of people whose behaviour is no different from that of a pack of hyenas out to tear it apart.

It comes as no surprise that people like gombesugu, who dont give a hoot about the fate of the majority of our countrymen who are languishing in abject poverty, ignorance and disease, are at the forefront defending malicious, poisonous and sedicious writings, utterances and propaganda of a depraved individual all out to plant seeds of hatred... under the cover of religion?

Mohamed Said is the product of a people that completely failed to go with the times and when they finally woke up they learned that the world had moved on. Instead of accepting the fact that the clock cannot never be turned back and so move on, their frustration has driven them to insanity and, blinded by religious zealotry, they see enemies everywhere but amongst themselves.

Mohamed Said is an angry, bitter and confused individual whose relevance only prevails thanks to the blind following of a misguided few. Like Mohamed Said they believe they deserved to be the offsprings of rulers, kings and presidents and that it was Mwalimu who stood between their partriachs and the throne and so thwarted their ambitions they felt were well within their grasp!

What perplexes the majority of the peace loving wananchi is how this individual, who earns his living writing and preaching religious intolerance, enjoys such a free reign in a country that respects the rule of law and order. How can any sane mind accuse the topmost four leaders of this nation, who are all Muslims, of working in cahoot with Christians to suppress members of their own faith?

This question brings to mind a very sinister motive behind it all, the role being played by the ruling party, CCM. At the very time when an important issue, like the drafting a new constitution, should occupy the mind of every partriot, people like Mohamed Said are let free to criss-cross the country diverting peoples attention! Everybody knows that CCM and a new constituion are not the best of Friends, so whatz up?

Finally I take this opportunity to call on my fellow Tanzanians to beware the ill motives of this dangerous individual called Mohamed Said. The country is starting to experience the dangers of letting him run loose and reaping the fruits of his wicked teachings, which I am 100% sure are not shared by most of the Muslim population in this country, it is a one man jihad that banks on irascibe response from irascible people.

Son! You are singing a recorded song here!
Just go and ask your grand pa!
Who planted all those fruits you mentioned in your recorded song! Fruits like poverty and ignorance!!?
Was it me or you!? Or was it the same hyena NYERERE whom for some reason's he looks like an ANGEL TO YOU!
Are you blind? Or is a combination of blind and ignorance makes you who you are? I really struggling to understand!

I might be talking to a little 10 yrs boy or girl who doesnt know much anyway!

So if you dont mind me asking! How old are you.my child??
 
Nguruvi3,

Tulizana hauna jipya nakushauri kitu kimoja unapoteza muda wako na nguvu zako bure kupambana na Uislam wewe pambana na CCM siyo kupambana na Uislam wamepita wenzako toka karne ya saba sembuse wewe Nguruvi3 leo karne ya 21 teh teh teh! tena unapambana na Uislam huku umejificha nyuma ya laptop.

Uislam ndiyo dini yenye nguvu yenye ubavu wa kusimama dhidi ya mawimbi ya upagani na ukiburi wa kutomwamini Mungu, moja ya tabia za Uislam ni kuamsha kipaji chako cha kufikiri na kuelewa.

Wewe siyo wa kwanza kutokwa na povu wapo Chadema wenzako kina Mag3 na wengine wengi huwa nacheka sana eti mnategemea Dr. Slaa atakuwa rais wa Tanzania.

Uislam uko kivitendo zaidi, ukikupa muongozo katika nyanya ya maisha ikiwa pamoja na tabia, taadhima, na kuheshimiana.

Namshukuru Mwenyezi Mungu kila siku kwa kunizawadia tunu hii ya Uislam.

Nguruvi3 hauna hoja za kujibiwa wewe una chuki na Uislam na Waislam ili lipo wazi labda kwa wageni wasiokujua, mimi ni Muislam, kwa sababu ndiyo dini inayofundisha jicho kwa jicho na jino kwa jino, inakufundisha kuheshimu kila mtu, na kujali haki za wote lakini pi inafundisha iwapo mtu akitokea akakukanyaga kwa kukuonea pambana naye mpaka dakika ya mwisho. Wewe ni mtu usiyesimamia chochote basi utaanguka kwa chochote.
Nilifahamu kuwa hoja zangu hazijibiki na zinasimama kama zilivyo. Kinachofuata sasa ni spinning. Sidhani mtu anayekuwambia ukweli anachuki na wewe au imani yoyote. Tatizo hamtaki kusikia ukweli mnataka kufarijiana kwa maneno ya kupumbazana.

Aliyebadili barabara ya Bagamoyo ni Jakaya Mrisho Kikwete, mbunge wa zamani wa Chalinze na Mzaliwa wa Bagamoyo.Muulizeni kwanini amefuta jina la historia. Huu ni ukweli msiotaka kuusema mnajificha nyuma ya kaburi la Nyerere.

Aliyebadili Ocean rd na kuwa Barack Obama ni JK, mbunge wa Chalinze na mwenyeji wa Bagamoyo.
JK alikuwa member wa Saigon ambayo member wengi ni wazawa wa Jiji .Sehemu ya member wa Saigon wanatengeneza chama cha wazawa wa Dar chini ya akina Kitwana Kondo, Idd Simba, Ramadhan Maadabida n.k.

Historia ya Jiji inaonyesha waliowahi kuongoza yupo Kitwana Kondo, Sykes, Adam Kimbisa, Abou Juma n.k. Kubadilishwa barabara ya bibititi kuwa UWT kulifanywa chini ya uangalizi wa madiwani na meya mzawa.

Juzi Jakaya Kikwete alipobadilisha majina, alifanya hivyo mbele ya Sadick Meshack mkuu wa Mkoa.
Akina SYkes, Kimbisa, KK, Idd , Sophia Simba, Ramadhan Madabida, (Mohamed Said Salum Abdallah Mwekapopo Muyukwa) wameshuhudia. Hakuna aliyenyanyua kinywa wanakimbiliNairobi kueneza uongo

Leo mnaelezwa ukweli mnashindwa kujibu halafu mnasema imani inashambuliwa. P
lease wake up!Mnashindwa kujibu mumejificha nyuma ya computer mkimsumanga Nyerere kaburini.

Mnaona haya msivyokuwa na haya kuwaeleza wanaofanya hayo, mnasubiri mtafute mtu wa kusingizia mfumo Kristo! Nonsense!

Hamuwezi kuwaenzi mashujaa mnaodhani ni wenu mnataka waenziewe kwingine. Badili jina la chuo cha Alharamanini na muite K.Sykes Mbuwane college of Education. Sijui kama hiyo ityabadili uelewa wa wanafunzi lakini kwa vile inaonekana ni factor muhimu sana MS na weznake watimiziwe matakwa na kiu zao

Badili jina la Chuo cha Morogoro na muite Abdul Sykes University.
Kama hilo litapandisha daraja la chuo nawaunga mkono kinyume chake ni upotezaji wa muda na pengine kukosa cha kujadili kuhusu maendeleo.

Sasa nikupe shule maana ninyi ndio wale mnaoamaka asubuhi mkiwa na hukumu zenu mnachotafuta ni aya ili kukamilisha haja zenu. Uislam ni amani na salama.

Jino kwa jino au jicho kwa jicho hufanyika pale tu taratibu za kiislam zitakapokuwa zimetimizwa na ndipo
tunapata neno Fatwa. Kinyume cha taratibu tunapata Alshabaab, Talibani n.k .
Sijui kama wewe unafuta taratibu au ndio Jino kwa jino kwavile tu umesikia ipo mahali.

Nimepigilia misumari na ninaendelea,wenzangu hamjibu hoja, mumejikita katika matusi.
Kwavile mnatukana mtu mwenye akili nzuri akisoma atagundua tofauti miongoni mwetu.
Najua inauma lakini sindano inauma ni dawa.




 
Son! You are singing a recorded song here!
Just go and ask your grand pa!
Who planted all those fruits you mentioned in your recorded song! Fruits like poverty and ignorance!!?
Was it me or you!? Or was it the same hyena NYERERE whom for some reason's he looks like an ANGEL TO YOU!
Are you blind? Or is a combination of blind and ignorance makes you who you are? I really struggling to understand!
I might be talking to a little 10 yrs boy or girl who doesnt know much anyway!
So if you dont mind me asking! How old are you.my child??

  • Name : kahtaan
  • Join Date : 11th July 2009
  • Location : Ughaibuni
  • Posts : 3,084
  • Rep Power : 0
  • Likes Received: 672
  • Likes Given: 300
Need I say more? Phew! If only idiocy was painful kahtaan, you'd be writhing in agony. You know what? I will give you a pass, it's not worth it.
 
Nilifahamu kuwa hoja zangu hazijibiki na zinasimama kama zilivyo. Kinachofuata sasa ni spinning. Sidhani mtu anayekuwambia ukweli anachuki na wewe au imani yoyote. Tatizo hamtaki kusikia ukweli mnataka kufarijiana kwa maneno ya kupumbazana.

Aliyebadili barabara ya Bagamoyo ni Jakaya Mrisho Kikwete, mbunge wa zamani wa Chalinze na Mzaliwa wa Bagamoyo.Muulizeni kwanini amefuta jina la historia. Huu ni ukweli msiotaka kuusema mnajificha nyuma ya kaburi la Nyerere.

Aliyebadili Ocean rd na kuwa Barack Obama ni JK, mbunge wa Chalinze na mwenyeji wa Bagamoyo.
JK alikuwa member wa Saigon ambayo member wengi ni wazawa wa Jiji .Sehemu ya member wa Saigon wanatengeneza chama cha wazawa wa Dar chini ya akina Kitwana Kondo, Idd Simba, Ramadhan Maadabida n.k.

Historia ya Jiji inaonyesha waliowahi kuongoza yupo Kitwana Kondo, Sykes, Adam Kimbisa, Abou Juma n.k. Kubadilishwa barabara ya bibititi kuwa UWT kulifanywa chini ya uangalizi wa madiwani na meya mzawa.

Juzi Jakaya Kikwete alipobadilisha majina, alifanya hivyo mbele ya Sadick Meshack mkuu wa Mkoa.
Akina SYkes, Kimbisa, KK, Idd , Sophia Simba, Ramadhan Madabida, (Mohamed Said Salum Abdallah Mwekapopo Muyukwa) wameshuhudia. Hakuna aliyenyanyua kinywa wanakimbiliNairobi kueneza uongo

Leo mnaelezwa ukweli mnashindwa kujibu halafu mnasema imani inashambuliwa. P
lease wake up!Mnashindwa kujibu mumejificha nyuma ya computer mkimsumanga Nyerere kaburini.

Mnaona haya msivyokuwa na haya kuwaeleza wanaofanya hayo, mnasubiri mtafute mtu wa kusingizia mfumo Kristo! Nonsense!

Hamuwezi kuwaenzi mashujaa mnaodhani ni wenu mnataka waenziewe kwingine. Badili jina la chuo cha Alharamanini na muite K.Sykes Mbuwane college of Education. Sijui kama hiyo ityabadili uelewa wa wanafunzi lakini kwa vile inaonekana ni factor muhimu sana MS na weznake watimiziwe matakwa na kiu zao

Badili jina la Chuo cha Morogoro na muite Abdul Sykes University.
Kama hilo litapandisha daraja la chuo nawaunga mkono kinyume chake ni upotezaji wa muda na pengine kukosa cha kujadili kuhusu maendeleo.

Sasa nikupe shule maana ninyi ndio wale mnaoamaka asubuhi mkiwa na hukumu zenu mnachotafuta ni aya ili kukamilisha haja zenu. Uislam ni amani na salama.

Jino kwa jino au jicho kwa jicho hufanyika pale tu taratibu za kiislam zitakapokuwa zimetimizwa na ndipo
tunapata neno Fatwa. Kinyume cha taratibu tunapata Alshabaab, Talibani n.k .
Sijui kama wewe unafuta taratibu au ndio Jino kwa jino kwavile tu umesikia ipo mahali.

Nimepigilia misumari na ninaendelea,wenzangu hamjibu hoja, mumejikita katika matusi.
Kwavile mnatukana mtu mwenye akili nzuri akisoma atagundua tofauti miongoni mwetu.
Najua inauma lakini sindano inauma ni dawa.





Teh teh teh teh!
Sasa sijui anae zunguka pale pale ni nani??
Hii ni mara ya ngapi unataja brbr na alharamain!!

Is that the only thing you know!?

Teh teh teh teh!

Inferiority complex is a nasty disease!
 
Umetuandikia utumbo mreeeeefu ulijaa mavi matupu!
Aliyekwambia wewe kuwa sisi shida yetu ni kutoa majina ya barabara na majina ya shule kwa ajili ya kuwaenzi hao mashujaa ni nani??

Au kwa upeo wa fikra zako chache ulidhani hio ndio njia pekee ya kuenzi mashujaa!?
Unaongelea suala la kuwa Nyerere kaingia ktk historia na hilo haliwezi kubadilika! Hivi wewe huwa unafikiri kabla ya kuandika hapa??

Was hitler in history too!? Can anybody change that?? Your mate Nyerere will stay in the dark side of the history!! He was a murderer and a human right abuser!

Amedhulumu watanzania wasio na idadi na kama mzee wako alikuwa ni ktk wale wachache walio pewa mali iliyo taifishwa na yule kibwengo basi endelea kurithi dhulma lkn usijaribu kutetea!

Unaropoka kuhusu waislamu kuto kusoma na hali unajua kabisa or may be not! Kuwa huyo kibwengo namna alivyo wabana waislamu ktk nyanja ya elimu!

Wewe ni ktk wale vibaraka wachache wa serikali ile dhalim!
Ambao wamefaidika ktk ile dhulma waliofanyiwa wengi na huenda wazazi wako wakawa na matumbo yaliojaa hio dhulma ambayo inakupa wewe nguvu ya kuitetea!

Siku.itafika utapo simama mbele ya Muumba ndipo wewe na huyo Nyerere mtakapo weza kuwafahamisha wanyonge je ! Kwa nini nyumba zao zilichomwa kwa kukataa sera ya vijiji vya ujamaa?
Kwa nini waliporwa mali zao na majumba yao ktk sera za utaifishaji?
Kwanini wanyonge walifungwa vizuizini miaka chungu mzima bila kupewa haki ya kupitia mahakamani?
Huenda hilo domo lako refu likafafanua japo kiduchu!
Laana ya mungu iwadondokee wote wenye kutetea dhulma!

Hebu msikilize huyo maluuni hapa!
Daktari Kahtaan, tafadhali muungwana. Jina la udaktari ni kubwa wengi hutegemea mambo yanayolingana na jina hilo. Nakusihi ulitendee jina hilo haki.

Daktari Kahtaan, historia ya Nyerere imeshaandikwa a imekamilika kwasababu hayupo mwaka wa 14. Iwe nzuri au mbaya hilo ni jambo lingine. Historia yake Mwalimu haitafutwa kwa hadithi za kutunga au za kuzusha. Na wala haiwezekani mtu mwingine aitumie historia hiyo kupanda ngazi. Jitihada za MS kumfanya Abdul Sykes Rais wa kwanza wa Tanganyika kwa kumzulia Nyerere kashfa na dhalili bado hazitafuta hitsoria yake mbaya au nzuri.

Daktari, mimi sina lolote katika serikali na wala sikuwahi kufaidika na dhulma yoyote.
Nilichowahi kufaidika nacho ni jitihada za wazazi wangu walionieleza kuwa hatima ya maisha yangu ipo mikononi mwangu. Wakaniambia niwe na wivu wa maendeleo kwa kutazama wenzangu. Nisiwafanyie kijicho kwa maendeleo yao na nijiulize kwanini sifanikiwi badala ya kuunda majungu. Hao ndio nitakuwa nao mbele ya muumba.

Pengine upeo wangu mdogo unakasoro katika kuwaenzi mashujaa kama unavyonena. Udogo wa fikra zangu ni pale ninaposoma malalamiko ya Mohamed Said kuhusu barabara ya Makamba hadi kuiandika katika makala zake.
Daktari kwani wewe una maoni gani kuhusu kuwaenzi mashujaa wa taifa hili?

Ninakumbuka wamepewa medali baadhi yao kwa kutambua mchango wao, sijui ungependelea nini kifanyike zaidi ili kutoa heshima stahiki kwao. Nadhani hapo ndipo tunatakiwa tujikite badala ya kuongelea mambo ya 'utumbo mreefu''. Hata hivyo kumbuka kuwa utumbo unaliwa inategemea mtu na ni makosa kudhani utumbo ni kitu kibaya. Wenzetu wazungu wanasema ' Nyama kwako sumu kwa mwenzio'

Tuendelee na mnakasha kwa staha bila jwazba, munkari au kejeli. Sisi watu wa pwani huo ndio utamaduni wetu.

'Ahsantum'

 
Teh teh teh teh!Sasa sijui anae zunguka pale pale ni nani??Hii ni mara ya ngapi unataja brbr na alharamain!!Is that the only thing you know!?Teh teh teh teh!Inferiority complex is a nasty disease!
Daktari Khataan, kwani wewe unadhani mashujaa wa taifa hili waenziwe vipi? Kuna kitu gani kimekosekana hadi tujadili kwa urefu kiasi hiki! Kwanini watu wasifunguke kuhusu kile wanachoona kinapaswa kufanywa?

Dakatari, nikushukuru sana kwa kauli yako ya inferiority complex is a nasty disease. Hakika ulichokisema ni kuntu nami nakipa heko. Ninashindwa kuelewa kwanini watu wanakuwa na inferiority hasa hili la mashujaa. Kwani vikiandikwa vitabu vinavyowahusu bila udanganyifu au uchochezi kuna tatizo gani?

Ukisikia mtu anaongelea mfumokristo ujue ana ugonjwa wa inferiority complex. Mfumo huo haupo isipokuwa inferiority complex ndiyo inautengeneza. Ukishajihisi unaonewa hata kama hakuna uonevu basi kitakachokuwa kinakuonea ni indferiority complex ambayo ni nasty diseasa kwa mujibu wako.

Ukiona mtu anapanga safu ya watu wenye vyeo na kudai yeye hajapewa shea ujue ana ugonjwa wa inferiority.
Kwanini ujadili mawaziri wawili, au makatibu wakuu ambao idadi yao haifiki 300, wakati huo huo usijadili kuhusu shule ya Mkurunga yenye wanafunzi 200 na mmoja wao ni makamu wa shule!

Daktari huoni kujadili vyeo badala ya matatizo ya umasikini kwa ujumla wetu ni inferiority complex.
Huoni kulalama kuwa mzee Mwafongo hajapewa mtaa ni sehemu ya inferiority complex
Huoni kuandika mambo ya kumshusha Nyerere ili Abdul achukue nafasi yake ni sehemu ya inferiority complex

Nashukuru sana umeliona hili na hakika sina tatizo na wewe tena katika mjadala.
Kumbe unajua tatizo lipo wapi kwabahati mbaya hujui nani ana tatizo hilo. Nakusihi uliangalie vema tatizo ulilo li define vizuri sana halafu ujiulize lipo wapi.

Ahsanta mkuu Daktari Kahtaan.
 
Asante
Nafikiri nilitoa Majibu japo kwa Jumla. Nikirejea sehemu hiyo nilisema kwamba ni kweli Watu wa dini mbalimbali katika sehemu zao za ibada misikitini, makanisani n.k walizitumia kama sehemu za kupeana ujumbe na hamasa juu ya kupigania uhuru. Lakini mambo hayo yalifanyika katika mikusanyiko mbalimbali na nikatoa mfano kwenye vilabu vya pombe. Pia lazima tufahamu kwamba watu hawa wa madhehebu au dini za kigeni (namaanisha wakristo na waislam) walikuwa sehemu ndogo sana ya jamii ya watanganyika kipindi hicho kabla ya uhuru na hata sasa.

Kwa kumalizia naomba kusisitiza kwamba ni Makosa makubwa kwa kikundi chochote kutaka kuhodhi na kujivika sifa kwamba bila kikundi hicho kusingekuwa na uhuru.
@Mtu Mzima , kama umenisoma nimeluliza swali na hakuna aliyejibu isipokuwa matusi tu. Matusi ni silaha rahisi na muhimu sana kwa asiye na hoja. Inajaribu kuziba ombwe la hoja.
Nimeuliza hivi, naomba nitihbitishiwe kuwa kila aliyekuwa na jina la Hussein au Mwanaidi wakati huo alikuwa Mwislam!

Tatizo lililopo ni kujaribu kuhodhi shughuli za kupigania uhuru wa nchi hii ili zitumike kujenga hoja ya kwanini kundi fulani linahitaji kupendelewa. Hii ni mbegu aliyoipanda MS inayochanua kwa kasi. Tunasema hivi harakati za uhuru zilianza nchi kote kwa makundi mbali mbali. Kwamba, kwa hadhi ya jiji la Dar kuwa kituo cha kuongoza harakati hilo ni mjaaliwa na kwavile limetokea tunaheshimu michango ya kila mmoja.

Ndugu zangu wengine siwaelewi wanataka kitu gani. Japo namshukuru sana Al Akhy sheh Mohame Saidi Salum Abdalla Mwekapopo muyukwa kwa kuweka wazi kuwa babu yake aliongoza migomo. Yeye alihudhuiria shule tena akiwa na akili kuwazidi wengine. Haelewi kwanini hakupewa nafasi ya kuwa mkurugenzi bandarini au shirika la reli. Japo namwelewa kwa frustration kwasababu familia ya Mwapachu, Rupia, Lugazia, Tsere na wengine mashallah watoto na wajukuu zao wapo katika nafasi na hawakuathrika na mfumo.

Pengine ndiyo maana hatusomi wanataka nini hasa! kifanyike kwa wapigania uhuru ambao wengine ni baba zao.

 
Pro-Chadema mnachekesha sana sisi dini yetu imetukataza kuwa waoga ni haram kumkimbia mtu.

Al akhy hapo umenena ni haram kabisaa nawasoma taratibu na ukweli utabaki kuwa ukweli ngoja niendelee kupata maalumati.
Cc gombesugu.
 
Daktari Kahtaan, tafadhali muungwana.

Tuendelee na mnakasha kwa staha bila jwazba, munkari au kejeli. Sisi watu wa pwani huo ndio utamaduni wetu.

'Ahsantum'




Nguruvi3 uungwana ni vitendo mkuu!
Na tofauti yangu mimi na mgalatia ni kuwa mimi ukinipiga shavu la kushoto! Basi mi nakupiga la kushoto hilo hilo!
Sikugeuzii la kulia!
Tunapo ingia ktk mnakasha kama huu, basi ustaarabu unatakiwa uonyeshwe pande zote mbili.
Lkn kama kuna viumbe wanakuja humu na midomo kama choo?
Ndugu yangu na mimi pia naweza kujigeuza kama wao kwa muda! Ili wafahamu mimi si wakudharaulishwa!
Nimetoa hoja zangu na kuziwekea ushahidi!
Anakuja mtu na kejeli na maneno mabovu!
Sasa mtu huyu anataka nimuimbie kwaya??
Historia iko waazi. Nyerere hakuwa muungwana wa kweli!
Alikuwa mdhulumati wa haki za watu!
Nakubali kabisa kuwa kuna mazuri kafanya, LAKINI KWA KUNDI LA WATU FULANI TU! TENA WA MADHEBU YA KIKRISTO.

Na juu ya yote Ubaya wake UMESHINDA UZURI WAKE.
Nadhani umenielewa kidogo.
Ahsante
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom