Akili ni nywele.
Just saying....
NISSAA 4:76 ; Maana asabaka mi hasanaatin faminallah, wa maasabaka. Min sayyi atin famin nafsik. Wa arsalna akalimnaas rasuulaa. Wakafaabillah shahidaa.
wema uliokufikia unatoka kwa mwenyezi Mungu. Na ubaya uliokufikia unatoka nafsini mwako........... (Mwenyewe umefanya mambo hata yakakufika hayo) nasi tumekupeleka kwa watu kuwa mtume wa Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha (hapahitajiwi shahidi mwingine.
hapa tujuze mambo gani yalimfika????
Wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe akamhadithia; na pale pale homa kubwa kabisa ikampanda akataka afunikwe maguo. Mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga
hivi unajua yakwamba yesu ana uwezo wa kufukuza mashetani???????????????
Surat or the Book of Al-IMURAN verse 45:
The angel Djibril came to Miriam and told her, the child that you will give birth to will have authority on Earth and in Heaven. Verse 49, Jesus went to the Israelites and told them, I created you and I have the ability to heal illnesses, skin diseases, the blind and resurrect the dead.
mkuu sitaki hayo maneno mengine naomba unipefasiri ya hii ayati nayomwelezea jesus christ peace upon him bila kuacha kuzingatia penye red, kwani hapo ndo pamuhimu. ukishindwa hilo rungu peleka butiama ama kavunjie kuni watu wale ugali
Kijana kama huelewi lugha za maandiko hebu msikilize Bwana Yesu anavyosema hapa ktk andiko;-
Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo.-Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake; kwa maana anapiga kelele nyuma yetu. Akajibu, akisema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Naye akaja akamsujudia, akisema, Bwana, unisaidie. akajibu, akasema," Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia MBWA!
Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata MBWA hula makombo yaangukayo mezani za bwana zao.
Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.Mathayo 15.21-28
Sasa hapa tunajifunza kuwa YEYOTE ASIYE MYAHUDI AMBAE ANATAKA KUMFUATA YESU ameitwa na Yesu kuwa ni MBWA!
Sasa kwa wewe kutaka kutafsiri maneno utakavyo wewe Hebu tufahamishe hapa "ulitaka Yesu aseme vipi? Au ulitaka aseme "SI VIZURI KUWAHUBIRIA WASIO WAISRAELI"?
Yesu kawaita MBWA! and thats it! We ulitaka kugeuza hayo ni matatizo yako!
Unajua ufahamu wa mwanaadamu unategemea sana na kile chakula anachokula kila mara!
Na nyie wagalatia mmeamrishwa kula MKATE WA BWANA! AU SIO?
Sasa hebu tuangalie andiko linasemaje kuhusu huu mkate??
Tazama kitabu cha Nabii Ezekieli, sura ya 4, aya ya 12 inasema hivi:
Nawe (Ezekieli) utakula kama mkate wa shayiri, nawe utakioka mbele ya macho yako juu ya MASHONDE yatokayo katika mwanadamu.
Bwana akasema, Hivyo ndivyo wana wa Israeli watakavyo kula chakula chao, hali kimetiwa UNAJISI, kati ya mataifa nitakayowafukuza.
Sasa kijana 2013 unafahamu maana ya MASHONDE!?
Tukiangalia kwenye tafsiri ya maneno magumu ktk biblia kurasa ya tafsiri tunaona kuwa;'
MASHONDE NI MAVI MAKAVU!
Sasa ndugu mgalatia! Moja ya ibada yako ni KULA Mkate uliotengenezwa kwa MAVI MAKAVU YA BINAADAMU!
Hivi kweli wewe unaweza kujadiliana na watu wanakula PILAU YA MBUZI NA FALUDA!?
teh teh teh teh!
faizafoxy hivi unajua wanawake wengi wataenda jehanum.
Usia, usiri na upendo wa baba kwa binti/mwana
Katika Sahih Muslim juzuu I hadith 133 Mohammad alimwambia mwanae Fatuma Iokoe nafsi yako kutoka kwenye moto, niombe chochote unachotaka kutoka kwenye mali yangu kwa hakika mimi sitokufaa na chochote mbele ya Mwenyezi Mungu, Iokoe nafsi yako na Moto.
Romans 10:10: If you believe in your heart and confess with your mouth that Jesus is the Messiah you shall be saved, but every spirit that confesses not (notice silence doesnt even do the trick) that Jesus Christ is come in the flesh is not of God, but is the spirit of antichrist. In verse 6: Hereby know we the Spirit of Truth and the spirit of error.
NA HAPO NDIO TOFAUTI KUBWA KATI YETU SISI NA NYIE!!
Nyie kupeana pepo ni kama kumsukuma mlevi!
Yaani we ukizini halafu ukaenda kwa mchungwaji ukamueleza yoote uliyofanya na mke wa jirani yako basi anakwambia "nenda kwa amani mwanangu! Bwana amekusamehe na uzima wa milele unao!!
Mnfnsssssss!
Yaani mbakaji kumsamehe mbakaji ni kitu cha kawaida kabisa kwenu!
Na kwa sababu nyie mnaweza kumpa binaadamu cheo cha uungu! Hii ndio sababu MNADHANI KUWA KILA AMFUATAE YESU BASI ANA GUARANTEE KUPATA UZIMA WA MILELE!
Kama we unadhani hivyo basi ina maana YESU MWENYEWE ANA GUARANTEE ZAIDI AU SIO?
SASA HEBU TUANGALIE JE! YESU ALIKUWA NA CONFIDENCE KWA MUNGU KAMA WEWE!?
Luka 22.42-43.
Yesu alipokimbilia kwenye Mlima wa Zaituni na huku akisakwa na Mayahudi alijitenga na wanafunzi wake. Huko faraghani aliomba hivi:Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke. Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.
HAPA TUNAONA KUWA YESU ANAOMBA MSAADA KWA MUNGU NA HANA HAKIKA KAMA ANACHOKIOMBA KITAKUWA ISPOKUA ANATEGEMEA MAPENZI YA MUNGU!
Pili Mapenzi ya Mungu ni mbali na yale ya Yesu. Yesu hataki kuuliwa, ananyenyekea na kuomba kwa Bwana wake: "uniondolee kikombe hiki" cha mauti.-
Sasa wewe 2013 aliyekwambia UKIMPOKEA YESU TU BASI UNA GUARANTEE YA UZIMA WA MILELE NI NANI!?
AU UTASEMA PAULO!!
teh teh teh teh! Manake nyie na huyo paulo ni kama mlevi na glasi. Hawachezi mbali mbali!
hayo mengine uliyoyaandika hapo chini yamekaa ki-layman zaidi. nenda chuo cha baibo pale makumira tengeru arusha upate maujuzi, usikariri tu, please!!!
nimeshakuuliza tumia quran uniambiye babaake yesu alikuwa nani ili tujue kama ni binadamu kama sisi na iweje aweze kufufua watu na kwanini awaambie wayahudi kuwa amewaumba kwanini shetani asemwe kwenye quran kuwa amemjeruhi kila mtu isipokua alishindwa kumjerui yesu kristo,kwanini shetani amshindwe yesu kristo pekeyake na iweje koran iseme yesu hana dhambi iweje kama yeye ni binadamu akose dhambi????
[/FONT][/COLOR]kama quran haikupi majibu hayo basi jua kuna shaka hapo
warumi 13:12 Usiku umeendelea sana, mchana umekaribia, basi na tuyavue matendo ya giza, na kuzivaa silaha za nuru.
Wakristo wasomi na wacha mungu ni kwa mashonde au...?amekupa andiko la hayo mashonde na ww mpe andiko la hicho chakula cha msibani.😀😀😀penye blue;
ha ha mbuzi na faluda!!what is that??????!!!!!!!!!!
mkuu inaonyesha pia unawaza kula xana, nijuavyo ukiona toto linakulakula utakuta hata shuleni akili zimedumaa. usipende xana kula. kama huamini fanya uchunguzi kwa mataira utagundua yote yanapenda kulakula kupita kiasi. wakristo ni wasomi na wachamungu hii sio tu maneno yangu yameandikwa hadi kwenye quran tukufu. ukristo unaendeshwa :car:kisayansi na kistaarabu. yesu kristo wa ukweli, ndio siri ya mafanikio ya ukristo duniani.:msela:
penye red::boom:mkuu mbona hapa unajisema wewe mwenyewe mkuu, ukristo Uuu wazi Xaaaaaaaaaaaaana.
inamaana hujui kile mnachokula:hungry: kilichochanganywa kwenye ubweche mnapotokea msibani mkuu? unataka nizungumze kila kitu hapa mkuu. unajua kwanini hamuugui ni nadhani kwakuwa mnakula cha moto, hivi mpaka umri huo umeshakula sahani ngapi za cho😛uke: haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
tuache haya manake naona natapika tu, nakuakikishia yesu ni mungu, love it or not na anakuja kuhukumu ulimwengu. ndiye muumbaji, chukua hilo rungu ulilopewa kawape mama lishe wakatekate waweke sufuria juu yake watumie kama kuni wapike msosi ule, tena kilicho chakula tu, na usile na mikono tumia kijiko, ume hata vijiti ukiwa umekaa kwenye kiti na sio kwenye mkeka. upate mavitamini na maprotini.
Nimecheka sana jamaa anauliza Faluda ni nini.Wakristo wasomi na wacha mungu ni kwa mashonde au...?amekupa andiko la hayo mashonde na ww mpe andiko la hicho chakula cha msibani.😀😀😀
Nimecheka sana jamaa anauliza Faluda ni nini.
you have a point, mkuu amenipa andiko, but nijuavyo mimi siwezi kuijua dini bila kuzungumzia matendo.(biblia yatuambia utawajua kwa matendo yao) ukiona alshababu wanauwa wasio na hatia huku wakimsifu mungu basi tunajua ndio sehemu ya iman yao yaani mungu anayeagiza kuua wengine na si kuwakomboa kwa kuwakhabarisha neno lake, hjivyo si vizuri kumuhusisha mtu na kile asichofanya hata kama umekiona kwenye andiko, kwani pengine kila andiko lina maana yake, kama nilivyouuliza khatan iweje black waachwe wajifie wakijeruiwa vitani ilhali waarabu hawajaagizwa waachwe? akasema black pale haimaanishi mwafrika bali ni neno nightmare na kuongeza kuwa black ina maana nyingi. hivyo nikajua anabisha kwasababu pengine anaelewa hivyo ama anaona imani yake inayumbishwa hivyo kwa namna yoyote lazima aitetee,Wakristo wasomi na wacha mungu ni kwa mashonde au...?amekupa andiko la hayo mashonde na ww mpe andiko la hicho chakula cha msibani.😀😀😀
you have a point, mkuu amenipa andiko, but nijuavyo mimi siwezi kuijua dini bila kuzungumzia matendo. ukiona alshababu wanauwa wasio na hatia huku wakimsifu mungu basi tunajua ndio sehemu ya iman yao yaani mungu anayeagiza kuua wengine na si kuwakomboa kwa kuwakhabarisha neno lake, hjivyo si vizuri kumuhusisha mtu na kile asichofanya hata kama umekiona kwenye andiko, kwani pengine kila andiko lina maana yake, kama nilivyouuliza khatan iweje black waachwe wajifie wakijeruiwa vitani ilhali waarabu hawajaagizwa waachwe? akasema black pale haimaanishi mwafrika bali ni neno nightmare na kuongeza kuwa black ina maana nyingi. hivyo nikajua anabisha kwasababu pengine anaelewa hivyo ama anaona imani yake inayumbishwa hivyo kwa namna yoyote lazima aitetee,
nimemuuliza iweje yesu awaambie wayahudi kuwa amewaumba ilihali mnasema sio mungu? hapa hajawahi kunipa jibu. kwahiyo mambo yanaonekana sio shwari kujibu kitu kama hiki. ni changamoto kwake??? kwani ametumia muda mwingi ku-fabricate mistari mingi ya kwenye bibilia ili kumhalalisha muhamad na kusema yesu sio mungu. and yet hajasema baba yake yesu alikuwa nani? hajasema iweje shetwain awajerui binadamu wote na kumshindwa yesu,iweje yesu hakuwa na dhambi, iweje aponye na kufufua watu, iweje siku ya kiama aje kuhukumu ulimwengu???
above all fumbo la uungu wa yesu lipo dhahiri kwenye bibilia takatifu iliyovuviwa (inspired holy bible)
Nimecheka sana jamaa anauliza Faluda ni nini.
The angel Djibril came to Miriam and told her, the child that you will give birth to will have authority on Earth and in Heaven. Verse 49, Jesus went to the Israelites and told them, I created you and I have the ability to heal illnesses, skin diseases, the blind and resurrect the dead.Wewe kusema kuwa eti kuwaona alshababu wakiua huku wakimsifu mungu kukakufanya wewe uamini kuwa UISLAMU NDIO UNAO AMRISHA HIVYO!
Ni sawa na kuona wale majambazi hapo nchi wakiu watu na kudhulumu wengine halafu ukasema SERIKALI YA TANZANIA NDIVYO INAVYORUHUSU WATU WAKE WAFANYE HIVYO!
Huo mi ujinga kupita kiasi!
Wewe kama umekwenda shule UNGETIZAMA NDANI YA KITABU CHA HAO WAISLAMU UKAONA JE! KUNA SEHEMU HUYO MUNGU WA WAISLAMU KAWAPA RUKHSA YA KUUA OVYO!?
Na kumbuka sisi waislamu sio kama nyinyi! Amri ya KUPIGANA NA KUJITETEA TUNAYO! Na atakaye kuja kutupiga na kutudhulumu haki zetu TUMEPEWA RUKHSA YA KUJITETEA! NA KIPIGANA,
Ule upuuzi wa "akupigae la kushoto mpe la kulia kaeni nao nyie ambao ni waongo wakubwa! Leo hii DUNIA watengeneza silaha za maangamizo wanaongozwa na KIONGOZI WA KIGALATIA!
Yalaiti kama hao makafiri wasingekuwa wanatengeneza hizo silaha leo ulimwengu ungepua idadi ya watu wanaokufa!
Na Kuhusiana na suala ya Yesu kutokuwa na baba ndio kunako kufanya wewe UMUITE MUNGU!
Nimekupa mfano wa MTU ASIYE NA BABA WALA MAMA! AITWAE "ADAM"!
Mbona huyo humuiti MUNGU??
Na kuhusu UWEZO WA KUFUFUA WAFU!
Unashangaa Yesu kufufua/kuhuisha wafu?
Ikiwa kwa sababu ya kufufua wafu hawaitwi miungu, basi Yesu pia hana haki yoyote ya kuitwa Mungu.
-Biblia inasema:
1. Elisha alifufua mtoto aliyefariki.
(2 Wafalme 4:35).
2. Maiti alifufuka kwa kuguswa na mifupa ya Elisha. (2 Wafalme 13:3:21).
3. Ezekiel alifufua jeshi kubwa. (Ezekiel 37:10)
MBONA ELISHA NA EZEKIELI HUWAITI MIUNGU!??
Na kama suala la YESU KUITWA MWANA WA MUNGU!
Andiko linasema;-
Luka anatusimulia katika Injili yake alivyohubiri Yesu:
Bali wapendeni adui zenu, tendeni mema, na kukopesha msitumaini kupata malipo, na thawabu yenu itakuwa nyingi; nanyi mtakuwa wana wa Aliye juu, kwa kuwa yeye ni mwema kwa wasiomshukuru na waovu.
Luka 6.35
Hapo twaona Yesu anawaambia wafwasi wake kuwa katika malipo ya watendao mema na kuwapenda maadui zao ni kuwa watakuwa "WANA WA ALIYE JUU" yaani Mwenyezi Mungu.
Katika Injili ya Mathayo Yesu anasema:-Heri wapatanishi;
-Maana hao wataitwa WANA WA MUNGU.
Mathayo 5.9
Hapo 2013 unaona kuwa Kwa mujibu wa ANDIKO HATA WEWE NA HITLER NA USAMA BIN LADEN WOOTE NI WANA WA.MUNGU!!
SASA wacha hao wana wa mungu!
Kuna MTU KAITWA MUNGU NDANI YA BIBLIA LKN NYIE HAMUMUITI MUNGU! KWA NINI??
Hebu soma ANDIKO HAPA CHINI:-
Naye (Haruni) atakuwa msemaji wako kwa watu, hata yeye atakuwa mfano wa kinywa kwako, nawe (Musa) utakuwa mfano wa MUNGU kwake.
Kutoka 4.16
Angalia tena isemavyo Zaburi:
Mimi nimesema, Ndinyi miungu, Na wana wa Aliye juu, nyote pia.
Zaburi 82.6
Sasa hapa tunaona wazi kabisa kuwa HAMNA SABABU YYT YA MAANA YA NYIE KUAMUA KUMUITA YESU MUNGU.
MMEAMUA TU KWA UJINGA ALIOKULETEENI PAULO! LKN ANDIKO LIKO WAAZI KABISA!
Halafu mkiletewa maandiki namna hii mnakimbilia kusema"Ahh hapo bwana kahtaan hujaelewa! "
Sasa mimi siandiki KICHINA HAPA! NA KM WEWE UNAFAHAMU KISWAHILI NA MIMI PIA NAJUA!
Sasa wacheni kumsingizia YESU KITU AMBACHO HAJASEMA!
Mtakufa MAKAFIRI! NA HII NI HATARI MNO!
Unajua ufahamu wa mwanaadamu unategemea sana na kile chakula anachokula kila mara!
Na nyie wagalatia mmeamrishwa kula MKATE WA BWANA! AU SIO?
Sasa hebu tuangalie andiko linasemaje kuhusu huu mkate??
Tazama kitabu cha Nabii Ezekieli, sura ya 4, aya ya 12 inasema hivi:
Nawe (Ezekieli) utakula kama mkate wa shayiri, nawe utakioka mbele ya macho yako juu ya MASHONDE yatokayo katika mwanadamu.
Bwana akasema, Hivyo ndivyo wana wa Israeli watakavyo kula chakula chao, hali kimetiwa UNAJISI, kati ya mataifa nitakayowafukuza.
Sasa kijana 2013 unafahamu maana ya MASHONDE!?
Tukiangalia kwenye tafsiri ya maneno magumu ktk biblia kurasa ya tafsiri tunaona kuwa;'
MASHONDE NI MAVI MAKAVU!
Sasa ndugu mgalatia! Moja ya ibada yako ni KULA Mkate uliotengenezwa kwa MAVI MAKAVU YA BINAADAMU!
Hivi kweli wewe unaweza kujadiliana na watu wanakula PILAU YA MBUZI NA FALUDA!?
teh teh teh teh!
pengine kwakuwa ni andiko tumekula:spit: nanyi mwakula kwa vitendo kabisa. :croc:Dr. kahtaan,
Wallahi nimecheka pasi kiasi teh teh teh!
Laiti hawa viumbe/wagalatia wangekufahamu, basi wangeachana na hayo makhanatha yao na kurejea kwenye mada kuu.
Nawaonea huruma sana kwa jinsi unavyo watia majiti teh teh teh tena yale hasa ya rohoni!
Teh teh teh!
We maneno meeengi kumbe hoja yako NI KUSEMA YESU MUNGU SIO!?
SASA HEBU TUULIZE HILO HILO ANDIKO JE! YESU MUNGU??
Kwanza angalia tofauti ya Yesu na Mungu;
Yakobo 1:13). Mungu hajaribiwi na Shetani.-
(Mat 4:1). Lakini Yesu alijaribiwa na Iblisi.
(Isaya 40:28).Mungu hachoki.
(Yoh. 4:6)Lakini Yesu-alichoka
(Ezekiel 28:8-9).Mungu hauwawi
(Matendo 5:30)Lakini Yesu aliuwawa
Mungu hafi (Daniel 6:26)
.Lakini Yesu alikufa (Mat.27:50)
(1Wafalme 8:39)Mungu anajua kila kitu.Lakini Yesu hakujua kila kitu (mti wa mtini).(Mat. 21:18-19)-
Ilhali haukuwa msimu wa matunda
-(Marko 11:13)Mungu hali,
lakini Yesu aliona njaa na akala.(Marko 11:12; Luka 11:37-38, 24:42-43)
(Zaburi 121:3-4).Mungu hasinzii.
-Lakini Yesu alilala fofofo.(Marko 4:37-38; Mat. 8:23-25).
Halafu Unashangaa Yesu kufufua/kuhuisha wafu?
Ikiwa kwa sababu ya kufufua wafu hawaitwi miungu, basi Yesu pia hana haki yoyote ya kuitwa Mungu.-
Biblia inasema:1. Elisha alifufua mtoto aliyefariki. (2 Wafalme 4:35).
2. Maiti alifufuka kwa kuguswa na mifupa ya Elisha. (2 Wafalme 13:3:21).
3. Ezekiel alifufua jeshi kubwa. (Ezekiel 37:10)
Halafu, mbona hujamalizia andiko?
Andiko liko hivi:Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena.-Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu.
Kiingereza:
No man taketh it from me, but I lay it down of myself. I have power to lay it down, and I have power to take it again.This commandment have I received of my FATHER!!!!!!!!
.Kwa maana hiyo, Yesu anaweza kujitoa uhai na kujirudishia kwa uwezo alopewa na Baba(Mungu)
Lakini hichi sio cha kushangaza maana hata Mfalme Daudi/King David alipewa uwezo wa kudhibiti na kuamrisha viumbe kuanzia wadudu, majini mpaka WADUDU!
Sasa mbona woote hao huwaiti miungu!?
mkuu kuna mambo mawili ningependa muyaache kabisakwaninni kikwazo kwa wengine kujiunga nanyi, moja la hicho chakula, na la pili amalo ni muhimu zaidi, kwani la kwanza mtu anaweza kukwepa kula istoshe sio lazima, lakini hili la pili linapelekea kuonekana shetani amewazidi nguvu, hili la kujilipua na wasio na hatia, huku mkiungana na kupeana sapoti kuendeleza ugaidi duniani,linawafanya binadamu kupoteza utu wake aliopewa na mungu, kama mnadhani halitokani na imani yenu basi muanzishe council kwa hao wenzenu wanaotumia njia hiyo kama sehemu ya ibada.japo napata hofu kuwa hakuna njia ya moja kwa moja ya nyinyi kuiona mbingu kiulaini zaidi, kama hiyo ya kufanya biashara na allah kupitia kuu roho za wengine kwa mnapovaa mabomu na kujilipua dhidi ya non believers. najua hata mkiwa-council hao al shababu hawatakubali kwani wana hamu na pombe ya peponi kwakuwa wamenyimwa hii ya duniani na hawana uhakika na njia nyingine ya kuiona mbingu. frankly speaking, hakuna kitu kinawaudhi wakristo na atheist woote ulimwenguni kama hicho cha ugaidi. nina dada yangu ameolewa kama mke wa 4 na alqaeda mmoja tajiri sana, nasikitika nadhani uzuri wake, kipato chake cha kidogo kitokanacho na kazi ya utrafki kinachoendana na ngazi ya elimu yake ya fomfoo vilimponza, hatujawahi kumtembelea, kwani mumewe anatembea na bastola na hakuna njia ya kumtenganisha nae.tumemwachia mungu japo tunamshauri xana arudi shule..akasomeNingekua mimi ni huyu kiumbe 2013 ningeona haya na kunyoosha mikono juu kwa hizo bayana za Dr. kahtaan
Walishashindwa Makasisi kwa hizo hoja za Yesu mwana wa Maria/Maryam
Halafu wewe tena unarejesha mada hiyo kwa Dr kahtaan teh teh teh!
Si muda mrefu huyu mchungwaji 2013 ataingia kwenye dini yetu ya haki!
Waislam tuseme Insha Allah!