Teh teh teh teh!
We huna haja ya kumwambia mtu wewe ni mkristo!
Harufu peke yake inajulisha kuwa wewe umesha pakwa !😀😀😀
Swali hujajibu!
UKATOLIKI NI NINI?
Na kama hujui sema!
Mchungwaji nuksi wewe!!
Teh teh teh
Maulana Dr
Kahtaan,
Juma'a Al Kareem!
Shukran nyingi mno kwa majawaba murua umpayo huyo mlemavu wa fikra
Eiyer na hao
misukule wenzie...yaani wanifanza nicheke pasi kiasi! Kwi! Kwi! Kwi!
Wajua huyo mlemavu wa fikra
Eiyer,yeye binafsi na
kikundi chake ndo wameamua kuleta hivyo visuali vya
kashfa na ufedhuli kwa
Uislam,kitu ambacho ilikua ni nje kabisa na hii
mada tuzungumziayo hapa barzan.
Tumefanza kila jitihada,ustaarabu mwingi na
stahamala,kuwasihi ili tuzungumzie masuala ya hii mada/
historia ya
Waislam kama ilivyoletwa hapa jamvini,bila ya kwenda nje mno ya
mada!?
Staajaba kubwa,ati wao ndo wakazidi kutuletea hayo
makhanatha yao,na mwishowe huyo kirongwe
Eiyer ndo yeye binafsi akaanzisha mpaka ati khabar za
mazingaombwe!?
Nasi tunaleta hayo hayo
mazingaombwe,ati wanaanza kuwa
defensive na pia ku-
play victim kama dasturi yao!...wengine ,ooh! hapana mimi si
Mkatoliki,mwingine ooh! mimi si Mkristo bali naamini
u-Afrika zaidi! Kwi! Kwi! Kwi!
Akaja mwingine,ati ooh! mimi si
Chadema,lakini nawapenda saana
Waislam na kwenye
family yangu pia kuna Waislamu!? Kwi! Kwi!...
We've heard all this shit before!
Sasa huyo msukule
Eiyer,mfahamishe yakuwa sisi tunajibu kutokana na ile
pattern ya ule utumbo wa visuali vyao,ambavyo vingi kwanza vipo nje ya
mada!?
Au wao wanafikiri,watu tuulizapo
Ukatoliki ndo nini,ati sisi ndo hatuujui huo
Ukatoliki wao,au tafauti mbali mbali zilizopo baina ya hayo
madhahabi ya
Kikristo humu duniani!?...sisi huwa tunaweka tu
ulimbo kiduchu,kwa
walemavu wa fikra kama huyo
Eiyer Kwi! Kwi!
Mpe salaam,yakuwa mimi binafsi nishahudhuria mpaka zile sherehe za yule
marehemu Black Jesus,pale
Panama,tena nikiwa mgeni mwalikwa wa
Kanisa na
Kasisi wake. Na hizi sherehe
kubwa mno zipo pale kila mwaka! Kwi! Kwi!
Kuna mtu gani dunia hii leo asojua
uchafu na
unyama mwingi mno ulofanzwa kupitia kwenye mgongo wa
Kanisa,khasa wale
Vatican!?
Mfano kiduchu;mauaji ya halaiki
for Centuries,unafiki wa
Vatican na
Pope during
WWII na ile
anti-semitism yao,ubakaji wa wachungwaji/watoto wadogo wa kiume ufanywao na
Viongozi wa Kanisa kila kukicha humu
dunia nzima,udhalim na ushiriki kamilifu ulofanzwa na hilo
kanisa Katoliki kwenye ile nakma ya
Whites/European Slave Trade aka "Trans-Atlantic Slave Trade"...haya majambo yoote na mangine mangi pita kiasi yapo wazi na
recorded historically kupitia kwa
Scholars/Historians wengi mashuhuri/mahiri tena
Wakristo wenzao
watiifu kabisa.
Tuyaache haya,maana kama alivyotwambia dada'etu Hajat
Faizafoxy,wasijetufanza tukenda nje mno ya
mada yetu ,maana ndo
kusudio lao.
Shughuli ni yako wewe Maulana,maana
punda hendi ila kwa majigumi na mateke ya roho! Kwi! Kwi!
Nimefurahika tumezungumza japo kiduchu.
Ahsanta.