Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Kijana Tatizo lako elimu!
Kama hujausoma uislamu huwezi kuuelewa! Na sio lzm uende shule kuubwa kufahamu basic concept ya uislamu.
Hayo mambo ya mijusi sijui kupenda kiarabu na mengineyo uliyosema hayahusiani hata kidogo na UISLAM HALISI.
Na inavyoonekana UKRISTO PIA HUUJUI!
We hushangai ni kwanini biblia kila siku inaregebishwa na kufutwa au kuongezwa sheria?
Tuangalie mfano wa ULAJI WA NGURUWE!!

Biblia ya ASILI inasema

" Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. Msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.
(Mambo ya Walawi 11.7-8)

Kwa hiyo naliwaambia wana wa Israeli, Msile damu ya mnyama wa aina yo yote; kwa kuwa uhai wa wanyama wote ni katika hiyo damu yake; atakayeila awaye yote atakatiliwa mbali. Tena kila mtu atakeykula nyamafu, au nyama aliyeraruliwa na wanyama, kama ni mzalia, kama ni mgeni, atafua nguo zake, na kuoga majini, naye atakuwa najisi hata jioni; ndipo atakapokuwa safi.(Walawi 17.14-15)

Halafu angalia KITABU HICHOHICHO KILIVYO CHAKACHULIWA!

PAULO ANASEMA;-

Msikieni:Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri; maana Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.
.(1 Wakorintho 10.25-26)

Hapa ukiuliza kwa nini kitabu kimoja KINA SHERIA MBILI TOFAUTI.
YA KWANZA ASEME MUNGU!
YA PILI ASEME PAULO.

Halafu wakristo woote WAMEAMUA KUMFUATA PAULO NA KUMPUUZA MUNGU??
Unajibiwa kuwa hio ya MUNGU NI YA ZAMANI! Na hio ya PAULO NDIO YA SASA!!

MFANO WA PILI;- ULIBERALI

Biblia ya ASILI INASEMA:-

Mambo ya walawi 20:13
-"Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.

ANDIKO HILO HILO LINASEMA'

""Usimuhukumu mtu maana na wewe usije Hukumiwa!"

NA WIKI KAMA 3 ZILIZOPITA YULE POPE kiongozi wa wakatoliki ametangaza rasmi kuwa WALIBERALI HAWAFAI KUHUKUMIWA NA YEYE HANA MATATIZO YYT NAO!!

Na MALKIA WA UINGEREZA AMBAE NDIO MUWAKILISHI WA KANISA AMETIA SAINI SHERIA YA WALIBERALI KUOANA MAKANISANI NA SEHEMU YYT NA NDOA YAO IKUBALIKE KI SHERIA.

SASA UNAONA WAZI KABISA KUWA BIBLIA IMECHAKACHULIWA KUSUDI ILI IONEKANE INA UPENDO ZAIDI. lkn ukweli ni kuwa BIBLIA INA SHERIA ZA KIKATILI KULIKO QURAAN.

Na hapa chini NAKUWEKEA SHERIA ZA KIKATILI KABISA AMBAZO ZIMO NDANI YA BIBLIA LKN KWENYE QURAAN HAKUNA.!!!

Kill Witches-(WACHAWI WAUWAWE)

-You should not let a sorceress live.--(Exodus 22:17 )

Kill Fortunetellers---(WAPIGA RAMLI WAUWAWE)

-A man or a woman who acts as a medium or fortuneteller shall be put to death by stoning; they have no one but themselves to blame for their death.- (Leviticus 20:27 NAB)

-Death for Hitting Dad-(AMPIGAE BABA YAKE MZAZI AUWAWE)!

-Whoever strikes his father or mother shall be put to death.--(Exodus 21:15 NAB)

-Death for Cursing Parents---(MWENYE KUWALAANI WAZAZI WAKE AUWAWE)

-1)-If one curses his father or mother, his lamp will go out at the coming of darkness.--(Proverbs 20:20 NAB)--

- 2)-All who curse their father or mother must be put to death.- They are guilty of a capital offense.- (Leviticus 20:9 NLT)

Death for Fornication--(MZINIFU AUWAWE)

A priest's daughter who loses her honor by committing fornication and thereby dishonors her father also, shall be burned to death.- (Leviticus 21:9 NAB)-

HII HAPA NI SHERIA YA KUUA KILA ASIE KUWA MKRISTO!!

Death to Followers of Other Religions--

Whoever sacrifices to any god, except the Lord alone, shall be doomed.--(Exodus 22:19 NAB)-

Kill Nonbelievers---

Hii inasema kina Kiranga na Ibambasi na wapagani wasio amini mungu yyt LAZIMA WAUWAWE.

-They entered into a covenant to seek the Lord, the God of their fathers, with all their heart and soul; and everyone who would not seek the Lord, the God of Israel, was to be put to death, whether small or great, whether man or woman.- (2 Chronicles 15:12-13 NAB)-


HII HAPA WEWE PAMOJA NA Nyakageni NA 2013 NA Mlaleo NA Eiyer HAWA WOTE WALITAKIWA WAFE! Ni MANABII WA UONGO!

Kill False Prophets----

If a man still prophesies, his parents, father and mother, shall say to him, "You shall not live, because you have spoken a lie in the name of the Lord."- When he prophesies, his parents, father and mother, shall thrust him through.--(Zechariah 13:3 NAB)-


HII HAPA ITABIDI MUUE WATU WA MIKOA YOTE HUKO TZ KWA SABABU KUNA DINI NYINGINE KAMA ZA KIHINDU WANAZO ABUDU MIUNGU WENGINE!!

Kill the Entire Town if One Person Worships Another God--

--Suppose you hear in one of the towns the LORD your God is giving you that some worthless rabble among you have led their fellow citizens astray by encouraging them to worship foreign gods.- In such cases, you must examine the facts carefully.- If you find it is true and can prove that such a detestable act has occurred among you, you must attack that town and completely destroy all its inhabitants, as well as all the livestock.- Then you must pile all the plunder in the middle of the street and burn it.- Put the entire town to the torch as a burnt offering to the LORD your God.- That town must remain a ruin forever; it may never be rebuilt.- Keep none of the plunder that has been set apart for destruction.- Then the LORD will turn from his fierce anger and be merciful to you.- He will have compassion on you and make you a great nation, just as he solemnly promised your ancestors.- "The LORD your God will be merciful only if you obey him and keep all the commands I am giving you today, doing what is pleasing to him."- (Deuteronomy 13:13-19 NLT)-

HII INASEMA KILA ALIEOA AKAKUTA MKEWE SIO BIKRA BASI LZM AMUUE!!
SASA TUMUULIZE SISTER King'asti JE ATAIKUBALI HII SHERIA?? AU KAMA VIPI AOLEWE NA MUISLAM TU!

Kill Women Who Are Not Virgins On Their Wedding Night---

-But if this charge is true-(that she wasn't a virgin on her wedding night), and evidence of the girls virginity is not found, they shall bring the girl to the entrance of her fathers house and there her townsman shall stone her to death, because she committed a crime against Israel by her unchasteness in her father's house.- Thus shall you purge the evil from your midst.-
(Deuteronomy- 22:20-21 NAB)


SASA Mgibeon nimekutajia sheria nyingi tu hapo ambazo ZIMO KWENYE BIBLIA LKN HAKUNA HATTA MOJA YA NAMNA HIZO NDANI YA QURAAN YA WAISLAMU.

Sasa kusema kwako kuwa"" MUNGU WA BIBLIA ANA UPENDO WA HALI YA JUU SANA"" ni UONGO ULIO WAZI KABISA!

NA KAMA UKIUSOMA UISLAMU BASI LZM USKIE RAHA TU!
JARIBU UINE MWENYEWE! WACHA KUSKILIZA MANENO YA MITAANI NA KWENYE TV NA RADIO.!!

Sasa TAZAMA WAGALATIA WATAKAVYO KUJA HAPA! NA YALE MANENO YAO YA KIPAROKO!
ohhh hizo sheria za wayahudi! Ohh hizo zimepitwa na wakati! Ohh Yesu kafundisha upendo!!
HAPO JUU UMEONA KUNA DALILI YOTE YA KUPENDANA??

Ahsanta.

Hii ni HATARI! Naomba wakristo wote wausome huu uzi wa Dr. Kahtaan kwa umakini mkubwa halafu wachukue maamuzi ya kuingia uislamu ili wakanusurike na adhabu ya allah huko twendako. Akhera hakuna mapumzika kama wengi wasio waislamu/makafiri wanavyodanganyana. Huko kuna mema na maovu. ukiwa na mema mengi utazawadiwa pepo na ukiwa na maovu mengi jahannam ni mafikio yako. Lakini lazima uwe muislamu kwanza. Daktuur kahtaan endelea kuwazindua hawa watu wajue huko waliko siko. Mimi huwa nashangaa utakuta maprofesa na madaktari hawauoni uongo kama huu unaowabainishia hapa. Dr. kahtaan hebu nisaidie ni kwa nini baadhi ya wasomi hawauoni udanganyifu huu wa biblia???... elimu unayoitoa hapa inanijenga zaidi kiiimani. endelea kutupa ilm.
 
Hii ni HATARI! Naomba wakristo wote wausome huu uzi wa Dr. Kahtaan kwa umakini mkubwa halafu wachukue maamuzi ya kuingia uislamu ili wakanusurike na adhabu ya allah huko twendako. Akhera hakuna mapumzika kama wengi wasio waislamu/makafiri wanavyodanganyana. Huko kuna mema na maovu. ukiwa na mema mengi utazawadiwa pepo na ukiwa na maovu mengi jahannam ni mafikio yako. Lakini lazima uwe muislamu kwanza. Daktuur kahtaan endelea kuwazindua hawa watu wajue huko waliko siko. Mimi huwa nashangaa utakuta maprofesa na madaktari hawauoni uongo kama huu unaowabainishia hapa. Dr. kahtaan hebu nisaidie ni kwa nini baadhi ya wasomi hawauoni udanganyifu huu wa biblia???... elimu unayoitoa hapa inanijenga zaidi kiiimani. endelea kutupa ilm.

al habib akhyi mfumo Kuna sababu nyingi za watu KUTOKUOONA UKWELI LKN SABABU KUBWA NI MBILI!

Mtume wetu Muhammad {amani ya Allah iwe juu yake} alisema " watu wengi watazikataa amri za Mungu kwa kuipenda dunia na starehe zake za muda mfupi!

Na wacha hawa wa wakati wetu! wako wale waliopata bahati ya kukaa na kuishi na MTUME WETU MTUKUFU na pia kwa tama zao za dunia WAKAKATAA UKWELI!

Ya pili ni KUTOKUJUA!!
Ndio sababu mko maulamaa kama nyie hapa kuwakumbusha hawa ndugu zetu kuwa Huko waliko kutawapeleka ktk Adhabu isio na mfano!

Tunamuomba Mungu mkarim awaonyeshe waja wake njia ilio sahihi
.
AMEEN.
 
Last edited by a moderator:
Kijana Tatizo lako elimu!
Kama hujausoma uislamu huwezi kuuelewa! Na sio lzm uende shule kuubwa kufahamu basic concept ya uislamu.
Hayo mambo ya mijusi sijui kupenda kiarabu na mengineyo uliyosema hayahusiani hata kidogo na UISLAM HALISI.
Na inavyoonekana UKRISTO PIA HUUJUI!
We hushangai ni kwanini biblia kila siku inaregebishwa na kufutwa au kuongezwa sheria?
Tuangalie mfano wa ULAJI WA NGURUWE!!

Biblia ya ASILI inasema

" Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. Msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.
(Mambo ya Walawi 11.7-8)

Kwa hiyo naliwaambia wana wa Israeli, Msile damu ya mnyama wa aina yo yote; kwa kuwa uhai wa wanyama wote ni katika hiyo damu yake; atakayeila awaye yote atakatiliwa mbali. Tena kila mtu atakeykula nyamafu, au nyama aliyeraruliwa na wanyama, kama ni mzalia, kama ni mgeni, atafua nguo zake, na kuoga majini, naye atakuwa najisi hata jioni; ndipo atakapokuwa safi.(Walawi 17.14-15)

Halafu angalia KITABU HICHOHICHO KILIVYO CHAKACHULIWA!

PAULO ANASEMA;-

Msikieni:Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri; maana Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.
.(1 Wakorintho 10.25-26)

Hapa ukiuliza kwa nini kitabu kimoja KINA SHERIA MBILI TOFAUTI.
YA KWANZA ASEME MUNGU!
YA PILI ASEME PAULO.

Halafu wakristo woote WAMEAMUA KUMFUATA PAULO NA KUMPUUZA MUNGU??
Unajibiwa kuwa hio ya MUNGU NI YA ZAMANI! Na hio ya PAULO NDIO YA SASA!!

MFANO WA PILI;- ULIBERALI

Biblia ya ASILI INASEMA:-

Mambo ya walawi 20:13
-"Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.

ANDIKO HILO HILO LINASEMA'

""Usimuhukumu mtu maana na wewe usije Hukumiwa!"

NA WIKI KAMA 3 ZILIZOPITA YULE POPE kiongozi wa wakatoliki ametangaza rasmi kuwa WALIBERALI HAWAFAI KUHUKUMIWA NA YEYE HANA MATATIZO YYT NAO!!

Na MALKIA WA UINGEREZA AMBAE NDIO MUWAKILISHI WA KANISA AMETIA SAINI SHERIA YA WALIBERALI KUOANA MAKANISANI NA SEHEMU YYT NA NDOA YAO IKUBALIKE KI SHERIA.

SASA UNAONA WAZI KABISA KUWA BIBLIA IMECHAKACHULIWA KUSUDI ILI IONEKANE INA UPENDO ZAIDI. lkn ukweli ni kuwa BIBLIA INA SHERIA ZA KIKATILI KULIKO QURAAN.

Na hapa chini NAKUWEKEA SHERIA ZA KIKATILI KABISA AMBAZO ZIMO NDANI YA BIBLIA LKN KWENYE QURAAN HAKUNA.!!!

Kill Witches-(WACHAWI WAUWAWE)

-You should not let a sorceress live.--(Exodus 22:17 )

Kill Fortunetellers---(WAPIGA RAMLI WAUWAWE)

-A man or a woman who acts as a medium or fortuneteller shall be put to death by stoning; they have no one but themselves to blame for their death.- (Leviticus 20:27 NAB)

-Death for Hitting Dad-(AMPIGAE BABA YAKE MZAZI AUWAWE)!

-Whoever strikes his father or mother shall be put to death.--(Exodus 21:15 NAB)

-Death for Cursing Parents---(MWENYE KUWALAANI WAZAZI WAKE AUWAWE)

-1)-If one curses his father or mother, his lamp will go out at the coming of darkness.--(Proverbs 20:20 NAB)--

- 2)-All who curse their father or mother must be put to death.- They are guilty of a capital offense.- (Leviticus 20:9 NLT)

Death for Fornication--(MZINIFU AUWAWE)

A priest's daughter who loses her honor by committing fornication and thereby dishonors her father also, shall be burned to death.- (Leviticus 21:9 NAB)-

HII HAPA NI SHERIA YA KUUA KILA ASIE KUWA MKRISTO!!

Death to Followers of Other Religions--

Whoever sacrifices to any god, except the Lord alone, shall be doomed.--(Exodus 22:19 NAB)-

Kill Nonbelievers---

Hii inasema kina Kiranga na Ibambasi na wapagani wasio amini mungu yyt LAZIMA WAUWAWE.

-They entered into a covenant to seek the Lord, the God of their fathers, with all their heart and soul; and everyone who would not seek the Lord, the God of Israel, was to be put to death, whether small or great, whether man or woman.- (2 Chronicles 15:12-13 NAB)-


HII HAPA WEWE PAMOJA NA Nyakageni NA 2013 NA Mlaleo NA Eiyer HAWA WOTE WALITAKIWA WAFE! Ni MANABII WA UONGO!

Kill False Prophets----

If a man still prophesies, his parents, father and mother, shall say to him, "You shall not live, because you have spoken a lie in the name of the Lord."- When he prophesies, his parents, father and mother, shall thrust him through.--(Zechariah 13:3 NAB)-


HII HAPA ITABIDI MUUE WATU WA MIKOA YOTE HUKO TZ KWA SABABU KUNA DINI NYINGINE KAMA ZA KIHINDU WANAZO ABUDU MIUNGU WENGINE!!

Kill the Entire Town if One Person Worships Another God--

--Suppose you hear in one of the towns the LORD your God is giving you that some worthless rabble among you have led their fellow citizens astray by encouraging them to worship foreign gods.- In such cases, you must examine the facts carefully.- If you find it is true and can prove that such a detestable act has occurred among you, you must attack that town and completely destroy all its inhabitants, as well as all the livestock.- Then you must pile all the plunder in the middle of the street and burn it.- Put the entire town to the torch as a burnt offering to the LORD your God.- That town must remain a ruin forever; it may never be rebuilt.- Keep none of the plunder that has been set apart for destruction.- Then the LORD will turn from his fierce anger and be merciful to you.- He will have compassion on you and make you a great nation, just as he solemnly promised your ancestors.- "The LORD your God will be merciful only if you obey him and keep all the commands I am giving you today, doing what is pleasing to him."- (Deuteronomy 13:13-19 NLT)-

HII INASEMA KILA ALIEOA AKAKUTA MKEWE SIO BIKRA BASI LZM AMUUE!!
SASA TUMUULIZE SISTER King'asti JE ATAIKUBALI HII SHERIA?? AU KAMA VIPI AOLEWE NA MUISLAM TU!

Kill Women Who Are Not Virgins On Their Wedding Night---

-But if this charge is true-(that she wasn't a virgin on her wedding night), and evidence of the girls virginity is not found, they shall bring the girl to the entrance of her fathers house and there her townsman shall stone her to death, because she committed a crime against Israel by her unchasteness in her father's house.- Thus shall you purge the evil from your midst.-
(Deuteronomy- 22:20-21 NAB)


SASA Mgibeon nimekutajia sheria nyingi tu hapo ambazo ZIMO KWENYE BIBLIA LKN HAKUNA HATTA MOJA YA NAMNA HIZO NDANI YA QURAAN YA WAISLAMU.

Sasa kusema kwako kuwa"" MUNGU WA BIBLIA ANA UPENDO WA HALI YA JUU SANA"" ni UONGO ULIO WAZI KABISA!

NA KAMA UKIUSOMA UISLAMU BASI LZM USKIE RAHA TU!
JARIBU UINE MWENYEWE! WACHA KUSKILIZA MANENO YA MITAANI NA KWENYE TV NA RADIO.!!

Sasa TAZAMA WAGALATIA WATAKAVYO KUJA HAPA! NA YALE MANENO YAO YA KIPAROKO!
ohhh hizo sheria za wayahudi! Ohh hizo zimepitwa na wakati! Ohh Yesu kafundisha upendo!!
HAPO JUU UMEONA KUNA DALILI YOTE YA KUPENDANA??

Ahsanta.

MashAllah alayh
 
Last edited by a moderator:
Shukran sana Moh Said,

Tunazid kufyonza ilmu...

The Big Show,
Mnakasha umetolewa kwenye reli.

Hebu tujaribu kuurudisha In Sha Allah.

Songea+Mbano.JPG


Nimekuwekea hapa picha ya Chief Songea Mbano kama wanahistoria wetu
na wanasiasa wanavopenda ajulikane.

Laiti kama mwenyewe angelikuwa hai na ukamuuliza jina lake angelikwambia
kuwa, ''Jina langu naitwa Songea bin Rauf.''

Kwenye kaburi lake pale Makumbusho ya Majimaji, Mahenge Songea jina hili
haliuandikwa na badala yake liko hilo la Songea Mbano.

Jiulize kwa nini iwe hivi?

Imekuwa hivyo kwa uoga wa kuwatukuza Waislam na Uislam katika historia
ya Vita vya Maji Maji.

Waislam ndiyo walikuwa mstari wa mbele katika vita hivi:

Nakuwekea hapa chini jinsi nilivyomweleza Chief Songea bin Rauf katika kitabu
changu:

[TABLE="width: 660"]
[TR]
[TD]Islam has always been the ideology of resistance against colonial rule or any
other authority which tried to subjugate Muslims. Consequently, no government
in power either indigenous or foreign, has ever been kind or supportive to Islam,
and likewise Muslims have always been engaged in a continuous struggle to
preserve their faith and fight for their rights.

Christianity was resisted by Muslims right from the beginning. In any uprising
against the colonial government, Muslims took the opportunity to attack
missionaries and Christian establishments.

Muslim perceived both missionaries and the colonial government as fellow
collaborators and therefore enemies to Islam.

Islamic radicalism has therefore a long history in the struggle against colonial
rule and Christianity.

Christianity became a reactionary force siding with the colonial authority.

One needs only to read the letter written by the Chief Songea bin Ruuf at
the time when he was mobilising his people for war while at the same time
trying to cement alliances with other chiefs in Southern Tanganyika and
across the River Ruvuma in Mozambique.

This letter written to Sheikh and Sultan Mataka bin Hamin Massaninga
reads:[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sultan Songea bin Ruuf writes:

To the Shaykh and Sultan Mataka bin Hamis Massaninga.
Greetings, etc.

I am sending you a letter through Kazembe.

We have received an order from God that the Europeans must leave the
country.

We are in the process of fighting them here.

I believe that we have long since been reconciled,[so] send me your children,
so that we may make an alliance.

I had wanted to send you some cattle as a gift, but am not able to do, as
the war which God desired is continuing.

Send me a hundred riflemen, and support me in storming the Boma (Songea).

[TABLE="width: 660"]
[TR]
[TD]I am also sending you a flask of the Prophet Muhammad, which contains the
means for conquering the Europeans.

Have no doubt about it, it possessed great power.

And when we have taken the Boma (Songea), we shall go on the stations
on the Nyasa together, you and I.

Now, let us forget our old quarrels.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]This bottle, with a da'wa, has been sent by Chinyalanyala himself, the war
leader.

He also sends the container (kombe), and sends you many greetings.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]If your men will come, then Chinyalanyala himself will come and will give
you many of the holy things.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Hassan bin Isma'il greets you.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Many salutations,[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sultan Songea bin Ruuf." [1][/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1] C.H. Becker, ‘Material for the Understanding Islam in German East Africa',
Tanzania Notes and Records, No. 68, February, 1968, p.58.

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

The Big Show,
Hassan Ismail ambae Chief Songea bin Rauf kamtaja katika barua yake na yeye
alinyongwa na Wajerumani na jina lake lipo katika orodha ya lile kaburi la jumla
pale Songea.

Huu ni mfano mdogo tu wa hujuma inayofanyiwa historia ya Waislam.
 
Ahh baba upako! Umerudi na majibu yako ya mtari moja!

Teh teh teh teh.

Wacha longalonga hapa!

Hebu jibu swali hapo! UKATOLIKI NI NINI?




Maulana Dr Kahtaan,

Asalaam Alaykum,Al Akhiy.

Achana nae huyo mchovu wa maisha,yeye anafikiri anazungumza na misukule wenzie hapa!

Sheikh Mohamed Said kaja na khabar za history,ati wao wamekuja kuchokonoa na kujaribu kuuchafua Uislam!

Unajua hawa wamezoea yale majukwaa yao kule copy n paste...

Huyo msukule Eiyer,alijaribu kumletea Shariff Ritz masuali ya makhanatha na mwishowe akaleta mambo ya kipuuzi ati anataka mazingaombwe!?

Sasa,sisi tunamuwekea mazingaombwe aloyataka,anadai ati "hayaoni"!? Kwi! Kwi!

Atayaona vipi nae kishaambiwa hayo yanaitwa mazingaombwe,na mojawapo ya sifa kubwa ya mazingaombwe ni yakuwa hayaonekani kwa yeyote alojivalisha miwani ya mbao...au ile one eyed Pirate goggles ulosema anayovaa yule Nguruvi3!? Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 
The Big Show,
Mnakasha umetolewa kwenye reli.

Hebu tujaribu kuurudisha In Sha Allah.

Songea+Mbano.JPG


Nimekuwekea hapa picha ya Chief Songea Mbano kama wanahistoria wetu
na wanasiasa wanavopenda ajulikane.

Laiti kama mwenyewe angelikuwa hai na ukamuuliza jina lake angelikwambia
kuwa, ''Jina langu naitwa Songea bin Rauf.''

Kwenye kaburi lake pale Makumbusho ya Majimaji, Mahenge Songea jina hili
haliuandikwa na badala yake liko hilo la Songea Mbano.

Jiulize kwa nini iwe hivi?

Imekuwa hivyo kwa uoga wa kuwatukuza Waislam na Uislam katika historia
ya Vita vya Maji Maji.

Waislam ndiyo walikuwa mstari wa mbele katika vita hivi:

Nakuwekea hapa chini jinsi nilivyomweleza Chief Songea bin Rauf katika kitabu
changu:

[TABLE="width: 660"]
[TR]
[TD]Islam has always been the ideology of resistance against colonial rule or any
other authority which tried to subjugate Muslims. Consequently, no government
in power either indigenous or foreign, has ever been kind or supportive to Islam,
and likewise Muslims have always been engaged in a continuous struggle to
preserve their faith and fight for their rights.

Christianity was resisted by Muslims right from the beginning. In any uprising
against the colonial government, Muslims took the opportunity to attack
missionaries and Christian establishments.

Muslim perceived both missionaries and the colonial government as fellow
collaborators and therefore enemies to Islam.

Islamic radicalism has therefore a long history in the struggle against colonial
rule and Christianity.

Christianity became a reactionary force siding with the colonial authority.

One needs only to read the letter written by the Chief Songea bin Ruuf at
the time when he was mobilising his people for war while at the same time
trying to cement alliances with other chiefs in Southern Tanganyika and
across the River Ruvuma in Mozambique.

This letter written to Sheikh and Sultan Mataka bin Hamin Massaninga
reads:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Sultan Songea bin Ruuf writes:

To the Shaykh and Sultan Mataka bin Hamis Massaninga.
Greetings, etc.

I am sending you a letter through Kazembe.

We have received an order from God that the Europeans must leave the
country.

We are in the process of fighting them here.

I believe that we have long since been reconciled,[so] send me your children,
so that we may make an alliance.

I had wanted to send you some cattle as a gift, but am not able to do, as
the war which God desired is continuing.

Send me a hundred riflemen, and support me in storming the Boma (Songea).

[TABLE="width: 660"]
[TR]
[TD]I am also sending you a flask of the Prophet Muhammad, which contains the
means for conquering the Europeans.

Have no doubt about it, it possessed great power.

And when we have taken the Boma (Songea), we shall go on the stations
on the Nyasa together, you and I.

Now, let us forget our old quarrels.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]This bottle, with a da'wa, has been sent by Chinyalanyala himself, the war
leader.

He also sends the container (kombe), and sends you many greetings.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]If your men will come, then Chinyalanyala himself will come and will give
you many of the holy things.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Hassan bin Isma'il greets you.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Many salutations,
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sultan Songea bin Ruuf." [1]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1] C.H. Becker, ‘Material for the Understanding Islam in German East Africa',
Tanzania Notes and Records, No. 68, February, 1968, p.58.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

The Big Show,
Hassan Ismail ambae Chief Songea bin Rauf kamtaja katika barua yake na yeye
alinyongwa na Wajerumani na jina lake lipo katika orodha ya lile kaburi la jumla
pale Songea.

Huu ni mfano mdogo tu wa hujuma inayofanyiwa historia ya Waislam.





Sheikh Mohamed Said,

Asalaam Alaykum.

Nijaalia fursa kukuamkua japo kiduchu.

Shukran nyingi mno na fadhila za Allah zikufikie popote pale ulipo.

Hizi bayana zako tashrif ndo zitufanzazo sisi kuwapo humu,kukusoma wewe tu.

Kwa kifupi,wala sirejee nyuma...wao kila wakitukana na kutoa kashfa,wewe ndugu yetu endelea kutoa Ilm tu...

Maana twajua yakuwa wao hawana kitu; "debe tupu halachi kutika"!

Ahsanta.
 
Umekuwa ukinipa maelezo yanayohusiana na Kanisa Katoliki mara nyingi sana,kwanini?




Wewe ni dhahabi/sect ipi sasa...maana mimi nina mipini ya kila aina hapa,ok!?

Au wewe ni Atheist,Agnostic,Animist,Mormon,Jehova Witness,Hindu,Budhist!?

Wewe si uliamua kuacha mada/history,umetaka mazingaombwe!?

...kwanini unaukana Ukatoliki!?...je wewe hujawahi kuwa Mkatoliki!?

Narejea tena;Ukatoliki ni nini,na je una tafauti ipi na madhahabi mangineyo ya Ukristo!?

Ahsanta.


Ps; "Mpaka hapo vumbi litakapotuama,ndipo tutaweza kupembua farasi ni yupi na punda ni yupi" - By Ulamaa Boko Haram.
 
The Big Show,
Mnakasha umetolewa kwenye reli.

Hebu tujaribu kuurudisha In Sha Allah.

Songea+Mbano.JPG


Nimekuwekea hapa picha ya Chief Songea Mbano kama wanahistoria wetu
na wanasiasa wanavopenda ajulikane.

Laiti kama mwenyewe angelikuwa hai na ukamuuliza jina lake angelikwambia
kuwa, ''Jina langu naitwa Songea bin Rauf.''

Kwenye kaburi lake pale Makumbusho ya Majimaji, Mahenge Songea jina hili
haliuandikwa na badala yake liko hilo la Songea Mbano.

Jiulize kwa nini iwe hivi?

Imekuwa hivyo kwa uoga wa kuwatukuza Waislam na Uislam katika historia
ya Vita vya Maji Maji.

Waislam ndiyo walikuwa mstari wa mbele katika vita hivi:

Nakuwekea hapa chini jinsi nilivyomweleza Chief Songea bin Rauf katika kitabu
changu:

[TABLE="width: 660"]
[TR]
[TD]Islam has always been the ideology of resistance against colonial rule or any
other authority which tried to subjugate Muslims. Consequently, no government
in power either indigenous or foreign, has ever been kind or supportive to Islam,
and likewise Muslims have always been engaged in a continuous struggle to
preserve their faith and fight for their rights.

Christianity was resisted by Muslims right from the beginning. In any uprising
against the colonial government, Muslims took the opportunity to attack
missionaries and Christian establishments.

Muslim perceived both missionaries and the colonial government as fellow
collaborators and therefore enemies to Islam.

Islamic radicalism has therefore a long history in the struggle against colonial
rule and Christianity.

Christianity became a reactionary force siding with the colonial authority.

One needs only to read the letter written by the Chief Songea bin Ruuf at
the time when he was mobilising his people for war while at the same time
trying to cement alliances with other chiefs in Southern Tanganyika and
across the River Ruvuma in Mozambique.

This letter written to Sheikh and Sultan Mataka bin Hamin Massaninga
reads:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sultan Songea bin Ruuf writes:

To the Shaykh and Sultan Mataka bin Hamis Massaninga.
Greetings, etc.

I am sending you a letter through Kazembe.

We have received an order from God that the Europeans must leave the
country.

We are in the process of fighting them here.

I believe that we have long since been reconciled,[so] send me your children,
so that we may make an alliance.

I had wanted to send you some cattle as a gift, but am not able to do, as
the war which God desired is continuing.

Send me a hundred riflemen, and support me in storming the Boma (Songea).

[TABLE="width: 660"]
[TR]
[TD]I am also sending you a flask of the Prophet Muhammad, which contains the
means for conquering the Europeans.

Have no doubt about it, it possessed great power.

And when we have taken the Boma (Songea), we shall go on the stations
on the Nyasa together, you and I.

Now, let us forget our old quarrels.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]This bottle, with a da'wa, has been sent by Chinyalanyala himself, the war
leader.

He also sends the container (kombe), and sends you many greetings.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]If your men will come, then Chinyalanyala himself will come and will give
you many of the holy things.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Hassan bin Isma'il greets you.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Many salutations,[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sultan Songea bin Ruuf." [1][/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1] C.H. Becker, ‘Material for the Understanding Islam in German East Africa',
Tanzania Notes and Records, No. 68, February, 1968, p.58.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

The Big Show,
Hassan Ismail ambae Chief Songea bin Rauf kamtaja katika barua yake na yeye
alinyongwa na Wajerumani na jina lake lipo katika orodha ya lile kaburi la jumla
pale Songea.

Huu ni mfano mdogo tu wa hujuma inayofanyiwa historia ya Waislam.


Shukran sana Ulamaa wangu Moh Said,

Wallahi ilmu hii sijui ningeipata wapi,

Naomba ukipata wasaa pia nielimishe kuhusu Sheikh SULTAN BIN MATAKA HAMISI MASSANINGA,,

NATANGULIZA SHUKRAN ZANGU ZA DHATI...
 
Hiyo Methali tunaiweka ktk kundi moja na hii matendo hukidhi maridhawa kuliko maneno.... Sasa inatumikaje???? Twende paragraph ya pili.

Najikita kutafsri hiyo kulingana na muktadha wa mada husika mezani kati yangu mimi na wewe..... Waislamu wamekua wakipigania haki zao miaka mingi sana..... Inasikitisha harakati hizo zimeishia ktk mauaji mengi bila kuzaa matunda yanayopatana na nguvu-wekezwa. Kwa mantiki hiyo waislamu wamekua wakitafuta mbinu nyingi za kuwafanya angalau nao waonekane wanamchango ktk taifa letu... Hii inatia ndani kuanzisha shule na taasisi mbalimbali...

Kwamfano ukienda bank hushangai kukuta kuna matangazo ya akaunti za kiislamu.... Hata mmepiga hatua zaidi kwa kufungua bank za kiislamu.... Na wakati mwengine nimesikia na kuona mkidai sana mahakama ya kadhi(sina uhakika na matamshi hayo ila ushan'fahamu nazungumzia nini).. Haya yote yanafanywa ili kuhakikisha kuwa uislamu unajipenyeza na uonekane ktk ulimwengu wa leo...

Sasa kwanini nimesema chema chajiuza kibaya chajitembeza?? Fikiria mfano huu mdogo... Wanawake wamekuana jitihada nyingi za kujikomboa na kuleta usawa baina yao na yetu.. Hali hiyo imepelekea kuanzisha bank za kike... Umoja wa wanawake matabibu... Wanahabari.. Wanasheria na kadharika wa karidhika.... Ingeshangaza sana ikiwa wanaume nao wangeanzisha mambo hayo.. Hii ni kukwakua wanaume tumezaliwa tukiwa ni viongozi kwaasili. Hata siku moja huwezi kusikia bank ya kina baba...!!! And we are proud for that... Najua wajua..

Sasa hali tajwa ktk paragraph ya juu inafanana sana na uwepo wa dini yenu na yetu... Sisi hatushindani na nyinyi... Sisi tunashindana na SHETANI... Nyinyi mnashindana na UKRISTO... Ndiyo sababu kila uchwao mnaanzisha mambo yenu yanayolenga kutoa huduma kwa waislamu pekee.. Tukija ktk mzizi wa mada yetu.. Mara zote huwa tunazungumzia jitihada za watu ktk harakati za uhuru... Lakini nyinyi mnataka kuzungumzia jitihada za dini yenu ktk harakati za uhuru.. Ni sawa tu na vile wanawake wanavyopigania tutambue mchango wao ktk jamii yetu... Naweza kusema kuwa ni kama hawajiamini kuwa tunaona jitihada zao. Same to you guys... Hamjiamini ndiyo sababu kila kukicha mnataka kudraw attention... Hii inamfanano wa wafanyabiashara wawili wanaotoa bidhaa zifananazo... Asiyejiamini atatumia nguvu nyingi sana kujitangaza wakati mwenye kujiamini hata hajisumbui kwa kuwa anajua bidhaa yake ni ya ukweli hivyi wateja watakuja tu (chema chajiuza kibaya cha jitembeza).... Ada ya mja ni vitendo siyo maneno.....

Haya chukua na hii tena... Shati bovu si mgongo wazi






Niwia radhi kwa kungia kati ya hii bayana yako kwa mwenzio Mujitahid Wabara.

Nipa fursa ya kuzungumza nawe kiduchu kuhusu hapo nilipo-bold kwenye hiyo bayana yako!?

Yaani nimesoma hiyo bayana yako na kuacha mdomo wazi kabisa! Duh! Khalaf,mtu kama wewe unaweza kujiita ati ndo "msomi" kweli!?


Kutokana na hizo intellectual discrimination/selective views zako(as you seem to discourage historical facts!?),na hizo pia sexist remarks,primitive attitudes...ndo maana nyinyi wengi wenu mnashindwa asilan japo hata kiduchu ku-empathy na madhila na dhuluma wapitiazo wenzenu Waislam. Yaani sasa ndo nazidi kutanabahi,niliposoma hiyo bayana yako!

Bila hata ya kugusia kabisa mambo ya Dini/Imani,lakini embu wewe mwenyewe binafsi jaribu kupitia tena hapo kwenye hiyo bayana yako nilipo-bold!?

Yaani,wewe unashindwa kufahamu kabisa madhila,dhuluma,ubakaji,uporaji,mauaji ya halaiki,mateso yaso kiasi...ambayo ndugu zetu Wanawake wamepitia tangia enzi za Cain na Abel,na bado yanawakumba mpaka kesho kwenye jamii/nchi nyingi tu humu duniani!?

Hivi wewe unafikiri,kama historia ya ndugu zetu Wanawake isingalikua ni ya mateso,dhuluma,ubakaji,unyang'anyi,mauaji na kunyimwa haki zao nyingi mno wanazostahili,je kungalikua na haja ipi ya hao Wanawake kujaribu kudai haki au watambuliwe as equals hivi leo humu duniani!?

Jamaa yangu Mgibeon,yaani umeshindwa kabisa kuliona hilo,na umekuja na arrogant remarks tena kwa mbwembwe nyingi,huku ukilinganisha madhila na dharuba za Wanawake na zile za Waislam!?...yaani,kama vile unajua mambo meengi ya maana!?

Ni kweli yawezekana kabisa yakuwa pana similarities nyingi mno,kwa madhila,dhuluma na nakma walizopitia/wapitiazo Waislam na ndugu zetu Wanawake,kama ulivyojitahidi kuyakinisha...sasa badala ya kuwabeza na kuwafanzia tahstit ,nafikiri la muhimu ni kutafuta ufumbuzi kwayo!?

Na hii itakua ni kwa manufaa yetu soote,Taifa letu changa na Vizazi vyetu vyoote vijavyo!

However,you sound a sincere person and I respect you for that.

No need for me to question the premise of your moral fundamentals.

But,but,when you can afford a little chance,read with understanding...I mean re-read your post and just think, Sir!

Wanawake ndugu zetu maskini,wamepitia mateso na dharuba nyingi mno na mpaka kesho wanaendelea kuteseka pita kiasi kwenye mikono ya hao Wanaume ati unaojaribu kuwasifia.

Mifano ni mingi mno pita kiasi...jaribu kuchungulia kuanzia kwenye medieval history na contemporary history;

Afrikan civilizations,Whites/European Civilizations,Hindus/Indian sub-continent,Arab/middle Eastern Civilizations,Chinese Civilization,Mayans,Aztecs na wengineo wengi mno.

Pitia hata recent history ya hata hizo nchi wajiitazo at ndo cradle of "democracy"/Western World...chungulia unyama,ubakaji,mauaji na unyanyasaji wa pale Amerika,Britain,France dhidi ya Wanawake for centuries and centuries na mpaka kesho bado kuna vitimbi na vituko kadhaa,ambavyo nina hakika wajua mangi mno!


Yaani ukatazama yayo na huko koote,ndugu zetu Wanawake,ni wa kuhurumiwa na pia...it's our moral and legal obligation yetu sisi Wanaume...kuwasaidia, kushughulika nao pamoja ndugu zetu ili kutokomeza hiyo gender discrimination.


Nastaajabu mno,yawaje leo katika hii 21th Century,mtu ajiitae ati ndo "msomi",khalafu unakua na hizo primitive views/attitudes!? Dah! Lazim nikubali yakuwa nimehuzunika kukusoma.

Next time when you write,please try to be guided by solid evidences and influenced by events,Ok Sir!?

Nipa fursa niwaite Dada zangu,King'asti,Angel Nylon na Faizafoxy ili tuone nao watatoa maoni yapi kwa hiyo bayana yako dhaifu/discriminatory!?

Natamani mno kuona Mujitahid Wabara,yeye naye atakwambani kwayo ulonena!?

Shukran kwa kunisikiza,na niwia radhi kama kuna lolote nimenena kwenye huo uchechefu wangu,nawe labda hukupendezwa nalo!?

Ahsanta.
 
The Big Show,
Mnakasha umetolewa kwenye reli.

Hebu tujaribu kuurudisha In Sha Allah.

Songea+Mbano.JPG


Nimekuwekea hapa picha ya Chief Songea Mbano kama wanahistoria wetu
na wanasiasa wanavopenda ajulikane.

Laiti kama mwenyewe angelikuwa hai na ukamuuliza jina lake angelikwambia
kuwa, ''Jina langu naitwa Songea bin Rauf.''

Kwenye kaburi lake pale Makumbusho ya Majimaji, Mahenge Songea jina hili
haliuandikwa na badala yake liko hilo la Songea Mbano.

Jiulize kwa nini iwe hivi?

Imekuwa hivyo kwa uoga wa kuwatukuza Waislam na Uislam katika historia
ya Vita vya Maji Maji.

Waislam ndiyo walikuwa mstari wa mbele katika vita hivi:

Nakuwekea hapa chini jinsi nilivyomweleza Chief Songea bin Rauf katika kitabu
changu:

[TABLE="width: 660"]
[TR]
[TD]Islam has always been the ideology of resistance against colonial rule or any
other authority which tried to subjugate Muslims. Consequently, no government
in power either indigenous or foreign, has ever been kind or supportive to Islam,
and likewise Muslims have always been engaged in a continuous struggle to
preserve their faith and fight for their rights.

Christianity was resisted by Muslims right from the beginning. In any uprising
against the colonial government, Muslims took the opportunity to attack
missionaries and Christian establishments.

Muslim perceived both missionaries and the colonial government as fellow
collaborators and therefore enemies to Islam.

Islamic radicalism has therefore a long history in the struggle against colonial
rule and Christianity.

Christianity became a reactionary force siding with the colonial authority.

One needs only to read the letter written by the Chief Songea bin Ruuf at
the time when he was mobilising his people for war while at the same time
trying to cement alliances with other chiefs in Southern Tanganyika and
across the River Ruvuma in Mozambique.

This letter written to Sheikh and Sultan Mataka bin Hamin Massaninga
reads:[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sultan Songea bin Ruuf writes:

To the Shaykh and Sultan Mataka bin Hamis Massaninga.
Greetings, etc.

I am sending you a letter through Kazembe.

We have received an order from God that the Europeans must leave the
country.

We are in the process of fighting them here.

I believe that we have long since been reconciled,[so] send me your children,
so that we may make an alliance.

I had wanted to send you some cattle as a gift, but am not able to do, as
the war which God desired is continuing.

Send me a hundred riflemen, and support me in storming the Boma (Songea).

[TABLE="width: 660"]
[TR]
[TD]I am also sending you a flask of the Prophet Muhammad, which contains the
means for conquering the Europeans.

Have no doubt about it, it possessed great power.

And when we have taken the Boma (Songea), we shall go on the stations
on the Nyasa together, you and I.

Now, let us forget our old quarrels.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]This bottle, with a da’wa, has been sent by Chinyalanyala himself, the war
leader.

He also sends the container (kombe), and sends you many greetings.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]If your men will come, then Chinyalanyala himself will come and will give
you many of the holy things.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Hassan bin Isma’il greets you.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Many salutations,[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sultan Songea bin Ruuf.” [1][/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1] C.H. Becker, ‘Material for the Understanding Islam in German East Africa’,
Tanzania Notes and Records, No. 68, February, 1968, p.58.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

The Big Show,
Hassan Ismail ambae Chief Songea bin Rauf kamtaja katika barua yake na yeye
alinyongwa na Wajerumani na jina lake lipo katika orodha ya lile kaburi la jumla
pale Songea.

Huu ni mfano mdogo tu wa hujuma inayofanyiwa historia ya Waislam.
Mohamed Said

Tunashukuru sana kwa Ilm hii unayotoa humu JF bure tena bila hiyana, naomba niongeze kuduchu swali langu kwako kuna bayana za historia zinaelezea kuhusu Chief Mkwawa kwa haya majina Chief Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga (1855–19 July 1898),ni kweli hebu tupe darsa kuhusu Chief Mkwawa.

chief.jpg
 
Kijana Tatizo lako elimu!
Kama hujausoma uislamu huwezi kuuelewa! Na sio lzm uende shule kuubwa kufahamu basic concept ya uislamu.
Hayo mambo ya mijusi sijui kupenda kiarabu na mengineyo uliyosema hayahusiani hata kidogo na UISLAM HALISI.
Na inavyoonekana UKRISTO PIA HUUJUI!
We hushangai ni kwanini biblia kila siku inaregebishwa na kufutwa au kuongezwa sheria?
Tuangalie mfano wa ULAJI WA NGURUWE!!

Biblia ya ASILI inasema

" Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. Msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.
(Mambo ya Walawi 11.7-8)

Kwa hiyo naliwaambia wana wa Israeli, Msile damu ya mnyama wa aina yo yote; kwa kuwa uhai wa wanyama wote ni katika hiyo damu yake; atakayeila awaye yote atakatiliwa mbali. Tena kila mtu atakeykula nyamafu, au nyama aliyeraruliwa na wanyama, kama ni mzalia, kama ni mgeni, atafua nguo zake, na kuoga majini, naye atakuwa najisi hata jioni; ndipo atakapokuwa safi.(Walawi 17.14-15)

Halafu angalia KITABU HICHOHICHO KILIVYO CHAKACHULIWA!

PAULO ANASEMA;-

Msikieni:Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri; maana Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.
.(1 Wakorintho 10.25-26)

Hapa ukiuliza kwa nini kitabu kimoja KINA SHERIA MBILI TOFAUTI.
YA KWANZA ASEME MUNGU!
YA PILI ASEME PAULO.

Halafu wakristo woote WAMEAMUA KUMFUATA PAULO NA KUMPUUZA MUNGU??
Unajibiwa kuwa hio ya MUNGU NI YA ZAMANI! Na hio ya PAULO NDIO YA SASA!!

MFANO WA PILI;- ULIBERALI

Biblia ya ASILI INASEMA:-

Mambo ya walawi 20:13
-"Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.

ANDIKO HILO HILO LINASEMA'

""Usimuhukumu mtu maana na wewe usije Hukumiwa!"

NA WIKI KAMA 3 ZILIZOPITA YULE POPE kiongozi wa wakatoliki ametangaza rasmi kuwa WALIBERALI HAWAFAI KUHUKUMIWA NA YEYE HANA MATATIZO YYT NAO!!

Na MALKIA WA UINGEREZA AMBAE NDIO MUWAKILISHI WA KANISA AMETIA SAINI SHERIA YA WALIBERALI KUOANA MAKANISANI NA SEHEMU YYT NA NDOA YAO IKUBALIKE KI SHERIA.

SASA UNAONA WAZI KABISA KUWA BIBLIA IMECHAKACHULIWA KUSUDI ILI IONEKANE INA UPENDO ZAIDI. lkn ukweli ni kuwa BIBLIA INA SHERIA ZA KIKATILI KULIKO QURAAN.

Na hapa chini NAKUWEKEA SHERIA ZA KIKATILI KABISA AMBAZO ZIMO NDANI YA BIBLIA LKN KWENYE QURAAN HAKUNA.!!!

Kill Witches-(WACHAWI WAUWAWE)

-You should not let a sorceress live.--(Exodus 22:17 )

Kill Fortunetellers---(WAPIGA RAMLI WAUWAWE)

-A man or a woman who acts as a medium or fortuneteller shall be put to death by stoning; they have no one but themselves to blame for their death.- (Leviticus 20:27 NAB)

-Death for Hitting Dad-(AMPIGAE BABA YAKE MZAZI AUWAWE)!

-Whoever strikes his father or mother shall be put to death.--(Exodus 21:15 NAB)

-Death for Cursing Parents---(MWENYE KUWALAANI WAZAZI WAKE AUWAWE)

-1)-If one curses his father or mother, his lamp will go out at the coming of darkness.--(Proverbs 20:20 NAB)--

- 2)-All who curse their father or mother must be put to death.- They are guilty of a capital offense.- (Leviticus 20:9 NLT)

Death for Fornication--(MZINIFU AUWAWE)

A priest's daughter who loses her honor by committing fornication and thereby dishonors her father also, shall be burned to death.- (Leviticus 21:9 NAB)-

HII HAPA NI SHERIA YA KUUA KILA ASIE KUWA MKRISTO!!

Death to Followers of Other Religions--

Whoever sacrifices to any god, except the Lord alone, shall be doomed.--(Exodus 22:19 NAB)-

Kill Nonbelievers---

Hii inasema kina Kiranga na Ibambasi na wapagani wasio amini mungu yyt LAZIMA WAUWAWE.

-They entered into a covenant to seek the Lord, the God of their fathers, with all their heart and soul; and everyone who would not seek the Lord, the God of Israel, was to be put to death, whether small or great, whether man or woman.- (2 Chronicles 15:12-13 NAB)-


HII HAPA WEWE PAMOJA NA Nyakageni NA 2013 NA Mlaleo NA Eiyer HAWA WOTE WALITAKIWA WAFE! Ni MANABII WA UONGO!

Kill False Prophets----

If a man still prophesies, his parents, father and mother, shall say to him, "You shall not live, because you have spoken a lie in the name of the Lord."- When he prophesies, his parents, father and mother, shall thrust him through.--(Zechariah 13:3 NAB)-


HII HAPA ITABIDI MUUE WATU WA MIKOA YOTE HUKO TZ KWA SABABU KUNA DINI NYINGINE KAMA ZA KIHINDU WANAZO ABUDU MIUNGU WENGINE!!

Kill the Entire Town if One Person Worships Another God--

--Suppose you hear in one of the towns the LORD your God is giving you that some worthless rabble among you have led their fellow citizens astray by encouraging them to worship foreign gods.- In such cases, you must examine the facts carefully.- If you find it is true and can prove that such a detestable act has occurred among you, you must attack that town and completely destroy all its inhabitants, as well as all the livestock.- Then you must pile all the plunder in the middle of the street and burn it.- Put the entire town to the torch as a burnt offering to the LORD your God.- That town must remain a ruin forever; it may never be rebuilt.- Keep none of the plunder that has been set apart for destruction.- Then the LORD will turn from his fierce anger and be merciful to you.- He will have compassion on you and make you a great nation, just as he solemnly promised your ancestors.- "The LORD your God will be merciful only if you obey him and keep all the commands I am giving you today, doing what is pleasing to him."- (Deuteronomy 13:13-19 NLT)-

HII INASEMA KILA ALIEOA AKAKUTA MKEWE SIO BIKRA BASI LZM AMUUE!!
SASA TUMUULIZE SISTER King'asti JE ATAIKUBALI HII SHERIA?? AU KAMA VIPI AOLEWE NA MUISLAM TU!

Kill Women Who Are Not Virgins On Their Wedding Night---

-But if this charge is true-(that she wasn't a virgin on her wedding night), and evidence of the girls virginity is not found, they shall bring the girl to the entrance of her fathers house and there her townsman shall stone her to death, because she committed a crime against Israel by her unchasteness in her father's house.- Thus shall you purge the evil from your midst.-
(Deuteronomy- 22:20-21 NAB)


SASA Mgibeon nimekutajia sheria nyingi tu hapo ambazo ZIMO KWENYE BIBLIA LKN HAKUNA HATTA MOJA YA NAMNA HIZO NDANI YA QURAAN YA WAISLAMU.

Sasa kusema kwako kuwa"" MUNGU WA BIBLIA ANA UPENDO WA HALI YA JUU SANA"" ni UONGO ULIO WAZI KABISA!

NA KAMA UKIUSOMA UISLAMU BASI LZM USKIE RAHA TU!
JARIBU UINE MWENYEWE! WACHA KUSKILIZA MANENO YA MITAANI NA KWENYE TV NA RADIO.!!

Sasa TAZAMA WAGALATIA WATAKAVYO KUJA HAPA! NA YALE MANENO YAO YA KIPAROKO!
ohhh hizo sheria za wayahudi! Ohh hizo zimepitwa na wakati! Ohh Yesu kafundisha upendo!!
HAPO JUU UMEONA KUNA DALILI YOTE YA KUPENDANA??

Ahsanta.

Dini inahubiri kuua wasioaimini.

Halafu wasioamini dini wanasema binadamu wote ni ndugu, kuuana ni unyama.

Nani ana "dini", nani mpagani hapo!

Swali tata.
 
Kijana Tatizo lako elimu!
Kama hujausoma uislamu huwezi kuuelewa! Na sio lzm uende shule kuubwa kufahamu basic concept ya uislamu.
Hayo mambo ya mijusi sijui kupenda kiarabu na mengineyo uliyosema hayahusiani hata kidogo na UISLAM HALISI.
Na inavyoonekana UKRISTO PIA HUUJUI!
We hushangai ni kwanini biblia kila siku inaregebishwa na kufutwa au kuongezwa sheria?
Tuangalie mfano wa ULAJI WA NGURUWE!!

Biblia ya ASILI inasema

" Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. Msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.
(Mambo ya Walawi 11.7-8)

Kwa hiyo naliwaambia wana wa Israeli, Msile damu ya mnyama wa aina yo yote; kwa kuwa uhai wa wanyama wote ni katika hiyo damu yake; atakayeila awaye yote atakatiliwa mbali. Tena kila mtu atakeykula nyamafu, au nyama aliyeraruliwa na wanyama, kama ni mzalia, kama ni mgeni, atafua nguo zake, na kuoga majini, naye atakuwa najisi hata jioni; ndipo atakapokuwa safi.(Walawi 17.14-15)

Halafu angalia KITABU HICHOHICHO KILIVYO CHAKACHULIWA!

PAULO ANASEMA;-

Msikieni:Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri; maana Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.
.(1 Wakorintho 10.25-26)

Hapa ukiuliza kwa nini kitabu kimoja KINA SHERIA MBILI TOFAUTI.
YA KWANZA ASEME MUNGU!
YA PILI ASEME PAULO.

Halafu wakristo woote WAMEAMUA KUMFUATA PAULO NA KUMPUUZA MUNGU??
Unajibiwa kuwa hio ya MUNGU NI YA ZAMANI! Na hio ya PAULO NDIO YA SASA!!

MFANO WA PILI;- ULIBERALI

Biblia ya ASILI INASEMA:-

Mambo ya walawi 20:13
-"Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.

ANDIKO HILO HILO LINASEMA'

""Usimuhukumu mtu maana na wewe usije Hukumiwa!"

NA WIKI KAMA 3 ZILIZOPITA YULE POPE kiongozi wa wakatoliki ametangaza rasmi kuwa WALIBERALI HAWAFAI KUHUKUMIWA NA YEYE HANA MATATIZO YYT NAO!!

Na MALKIA WA UINGEREZA AMBAE NDIO MUWAKILISHI WA KANISA AMETIA SAINI SHERIA YA WALIBERALI KUOANA MAKANISANI NA SEHEMU YYT NA NDOA YAO IKUBALIKE KI SHERIA.

SASA UNAONA WAZI KABISA KUWA BIBLIA IMECHAKACHULIWA KUSUDI ILI IONEKANE INA UPENDO ZAIDI. lkn ukweli ni kuwa BIBLIA INA SHERIA ZA KIKATILI KULIKO QURAAN.

Na hapa chini NAKUWEKEA SHERIA ZA KIKATILI KABISA AMBAZO ZIMO NDANI YA BIBLIA LKN KWENYE QURAAN HAKUNA.!!!

Kill Witches-(WACHAWI WAUWAWE)

-You should not let a sorceress live.--(Exodus 22:17 )

Kill Fortunetellers---(WAPIGA RAMLI WAUWAWE)

-A man or a woman who acts as a medium or fortuneteller shall be put to death by stoning; they have no one but themselves to blame for their death.- (Leviticus 20:27 NAB)

-Death for Hitting Dad-(AMPIGAE BABA YAKE MZAZI AUWAWE)!

-Whoever strikes his father or mother shall be put to death.--(Exodus 21:15 NAB)

-Death for Cursing Parents---(MWENYE KUWALAANI WAZAZI WAKE AUWAWE)

-1)-If one curses his father or mother, his lamp will go out at the coming of darkness.--(Proverbs 20:20 NAB)--

- 2)-All who curse their father or mother must be put to death.- They are guilty of a capital offense.- (Leviticus 20:9 NLT)

Death for Fornication--(MZINIFU AUWAWE)

A priest's daughter who loses her honor by committing fornication and thereby dishonors her father also, shall be burned to death.- (Leviticus 21:9 NAB)-

HII HAPA NI SHERIA YA KUUA KILA ASIE KUWA MKRISTO!!

Death to Followers of Other Religions--

Whoever sacrifices to any god, except the Lord alone, shall be doomed.--(Exodus 22:19 NAB)-

Kill Nonbelievers---

Hii inasema kina Kiranga na Ibambasi na wapagani wasio amini mungu yyt LAZIMA WAUWAWE.

-They entered into a covenant to seek the Lord, the God of their fathers, with all their heart and soul; and everyone who would not seek the Lord, the God of Israel, was to be put to death, whether small or great, whether man or woman.- (2 Chronicles 15:12-13 NAB)-


HII HAPA WEWE PAMOJA NA Nyakageni NA 2013 NA Mlaleo NA Eiyer HAWA WOTE WALITAKIWA WAFE! Ni MANABII WA UONGO!

Kill False Prophets----

If a man still prophesies, his parents, father and mother, shall say to him, "You shall not live, because you have spoken a lie in the name of the Lord."- When he prophesies, his parents, father and mother, shall thrust him through.--(Zechariah 13:3 NAB)-


HII HAPA ITABIDI MUUE WATU WA MIKOA YOTE HUKO TZ KWA SABABU KUNA DINI NYINGINE KAMA ZA KIHINDU WANAZO ABUDU MIUNGU WENGINE!!

Kill the Entire Town if One Person Worships Another God--

--Suppose you hear in one of the towns the LORD your God is giving you that some worthless rabble among you have led their fellow citizens astray by encouraging them to worship foreign gods.- In such cases, you must examine the facts carefully.- If you find it is true and can prove that such a detestable act has occurred among you, you must attack that town and completely destroy all its inhabitants, as well as all the livestock.- Then you must pile all the plunder in the middle of the street and burn it.- Put the entire town to the torch as a burnt offering to the LORD your God.- That town must remain a ruin forever; it may never be rebuilt.- Keep none of the plunder that has been set apart for destruction.- Then the LORD will turn from his fierce anger and be merciful to you.- He will have compassion on you and make you a great nation, just as he solemnly promised your ancestors.- "The LORD your God will be merciful only if you obey him and keep all the commands I am giving you today, doing what is pleasing to him."- (Deuteronomy 13:13-19 NLT)-

HII INASEMA KILA ALIEOA AKAKUTA MKEWE SIO BIKRA BASI LZM AMUUE!!
SASA TUMUULIZE SISTER King'asti JE ATAIKUBALI HII SHERIA?? AU KAMA VIPI AOLEWE NA MUISLAM TU!

Kill Women Who Are Not Virgins On Their Wedding Night---

-But if this charge is true-(that she wasn't a virgin on her wedding night), and evidence of the girls virginity is not found, they shall bring the girl to the entrance of her fathers house and there her townsman shall stone her to death, because she committed a crime against Israel by her unchasteness in her father's house.- Thus shall you purge the evil from your midst.-
(Deuteronomy- 22:20-21 NAB)


SASA Mgibeon nimekutajia sheria nyingi tu hapo ambazo ZIMO KWENYE BIBLIA LKN HAKUNA HATTA MOJA YA NAMNA HIZO NDANI YA QURAAN YA WAISLAMU.

Sasa kusema kwako kuwa"" MUNGU WA BIBLIA ANA UPENDO WA HALI YA JUU SANA"" ni UONGO ULIO WAZI KABISA!

NA KAMA UKIUSOMA UISLAMU BASI LZM USKIE RAHA TU!
JARIBU UINE MWENYEWE! WACHA KUSKILIZA MANENO YA MITAANI NA KWENYE TV NA RADIO.!!

Sasa TAZAMA WAGALATIA WATAKAVYO KUJA HAPA! NA YALE MANENO YAO YA KIPAROKO!
ohhh hizo sheria za wayahudi! Ohh hizo zimepitwa na wakati! Ohh Yesu kafundisha upendo!!
HAPO JUU UMEONA KUNA DALILI YOTE YA KUPENDANA??

Ahsanta.

Wewe si ndie ulikataa hakuna nchi inayoongozwa na Dini ya Kikristo? au ubishi wako ulikusaidia kufahamu mapya kwako so ukachambua hadi ukafahamu? Sasa mbona hujanishukuru kwa kukusaidia kufahamu zaidi? au Ndio waislam kazi yao ni kulalamika na kulaumu... hii kitu nitakujibu kesho nikijaaliwa leo napumzika mapema... Nitakujibu kwa ufasaha sana.... kwani mengine humu hayanihusu... mimi sili Nguluwe ufahamu hilo naamini zaidi Torah
 
Wewe si ndie ulikataa hakuna nchi inayoongozwa na Dini ya Kikristo? au ubishi wako ulikusaidia kufahamu mapya kwako so ukachambua hadi ukafahamu? Sasa mbona hujanishukuru kwa kukusaidia kufahamu zaidi? au Ndio waislam kazi yao ni kulalamika na kulaumu... hii kitu nitakujibu kesho nikijaaliwa leo napumzika mapema... Nitakujibu kwa ufasaha sana.... kwani mengine humu hayanihusu... mimi sili Nguluwe ufahamu hilo naamini zaidi Torah

Teh teh teh!
Unasema "leo unapumzika mapema! Alie kuuliza nani!?
Usiogope kijana! Mi nakutizama tu unamwaga mapovu ya paroko hapa!

Hapo juu nimejibu hoja ya mgalatia kama wewe anaedhani kuwa UINGEREZA ni nchi inayoongozwa kwa sheria za kikristo!
Na nimemuonyesha kama nivyokuonyesha wewe kuwa KWA MUJIBU WA SHERIA YA NCHI YA UINGEREZA SASA ULIBERALI NI HALALI!!

Na nilikwambia HAKUNA HATA NCHI MOJA DUNIANI INAYO IONGOZA SERIKALI YAKE KWA MIJUBU WA BIBLIA AU TORAH!

Na wewe kutokula NGURUWE LKN BADO UNAAMINI KUWA MUNGU NI YULE MZUNGU ALIYEVAA NEPI MSALABANI BADO HUJAFANYA LLT LA KUKUEPUSHA NA ADHABU YA MOTO!

We mi nakukaribusha ktk UISLAMU ndugu!
Raha iko huku!! Hakuna cha kubatizwa wala kupakwa!
Hakuna cha kwenda kusema madhambi yako kwa binaadamu km wewe ili ETI AKUSAMEHE!
KTK UISLAMU Hakuna cha huyu ni bora kuliko yule! SISI WOOTE MBELE YA MUNGU NI SAWA.
Tofauti na wagalatia kuwa KUNA NGAZI ZA UTAKATIFU! Na wewe ni ktk miongoni mwa wale WA CHINI KABISA!
Na mpaka ufikie ngazi yenye ka afadhali kidogo kama vile upadre basi unatakiwa ufanye kazi ya ziada!
Lkn sisi aaaaa! MIMI NA YULE SHEIKH MKUUUBWA WA MAKKAH NI SAWASAWA TU MBELE YA MUNGU!

Huku kwetu hakuna cha damu ya bwana wala mkate wake!

Huku ni IBADA YA KWELI YA MUNGU MMOJA!

SIO mara baba mwana na roho!
Halafu mwana alipokufa msalabani!
Baba na roho wakabaki peke yao hawajui kipi kinaendelea!

Mpaka baba baada ya siku tatu akaamua
kumfufua mwana ili waendelee kuutawala ulimwengu pamoja! Halafu eti mwana aliyekufa siku tatu akawa YEYE NDIO BABA!!
Yaani hapa ni mparaganyiko .com
 
There are more than 100 verses in the Qur'an (Koran) advocating the use of violence to spread Islam. There are exactly 123 verses in the Qur'an about killing and fighting.
The word "Islam" has been falsely proclaimed by Muslims to mean peace. The word Islam, actually means "submission" to the Muslim god of intolerance and hatred. It comes from the root Arabic word "taslim". In Arabic, the word for peace is only "solh".
According to doctor Hussein Paul, who spend 12 years in studying quran.8 year in Libya and 4 years in Iran Jesus in the quran was named yeshuan and later they change that name to Issa.
Islam claims that Allah is the same God who was revealed in the Bible. . . . then if the Bible and the Qur'an have differing views of God, then Islam's claim is false. Don't forget that Muhammad claimed in Suras 2:87, 29:46, 32:23, 5:44, 6:154, 6:155 that Allah confirmed the Torah (Taurat) and Christian Gospel (Injeel) (Surah 2:87, 5:46, 5:68, 29:46 and 43:63). So, if the Torah and Gospel are correct, all the errors in the Qur'an shown below make the Qur'an false

When a Muslim declares that Islam is a religion of peace, he/she is either ignorant of the Koran (Qur'an), or is deceitfully thinking of this "peace", as it extends only to those within the Muslim Community. The deceit is that they will not tell you exactly what they mean. According to the Qur'an: "Muhammad is the Apostle of Allah. Those who follow him are merciful to one another, but ruthless to unbelievers" Surah 48:29. "Kill the Mushrikun (unbelievers) wherever you find them, and capture them and besiege them, and lie in wait for them in each and every ambush..." Surah 9:5. Also see Surah 9:29: PICKTHAL: "Fight against such of those who have been given the Scripture (Christians & Jews) as believe not in Allah nor the Last Day, and forbid not that which Allah hath forbidden by His messenger, and follow not the Religion of Truth, until they pay the tribute readily, being brought low."
big up mgibeon kwa kuliona hili.
Katika Qurani Suratul Al-Ankabut (Buibui), 29:46-47 “Wala msibishane na Watu waliopewa Kitabu kabla yenu ila kwa yale majadiliano yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tunayaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi ni wenye kunyenyekea kwake.”

hii ni kiashiria kuwa kubishana kwenu ni ruksa!! thats why i think king'asti amekujibu vyema xana.

nikuulize wewe khataan umewahi kumwota mpenzi/mke wako., ukaugua hapo au wewe unaota wanawake wa kiarabu tu???
Hadith; vol.9:162,163: Muhammad warned that dreams of black women meant disease was forthcoming.

haya we endelea kushirikiana na waarabu lakini jua,ukijeruhiwa kwenye hiyo mnayoita jihad, hao waarabu watakutosa tu ujifie na hutapata mbingu, na waarabu unaowasapoti watabebwa.
(Surah 9:61)... and that blacks should be left to die if injured, and should be denied intercession and entrance to heaven (Bukhari: Volume 4, Book 52, Number 137).
believe me hakuna verse kama hii kwa mwarabu!!
 
There are more than 100 verses in the Qur'an (Koran) advocating the use of violence to spread Islam. There are exactly 123 verses in the Qur'an about killing and fighting.
The word "Islam" has been falsely proclaimed by Muslims to mean peace. The word Islam, actually means "submission" to the Muslim god of intolerance and hatred. It comes from the root Arabic word "taslim". In Arabic, the word for peace is only "solh".
According to doctor Hussein Paul, who spend 12 years in studying quran.8 year in Libya and 4 years in Iran Jesus in the quran was named yeshuan and later they change that name to Issa.
Islam claims that Allah is the same God who was revealed in the Bible. . . . then if the Bible and the Qur'an have differing views of God, then Islam's claim is false. Don't forget that Muhammad claimed in Suras 2:87, 29:46, 32:23, 5:44, 6:154, 6:155 that Allah confirmed the Torah (Taurat) and Christian Gospel (Injeel) (Surah 2:87, 5:46, 5:68, 29:46 and 43:63). So, if the Torah and Gospel are correct, all the errors in the Qur'an shown below make the Qur'an false

When a Muslim declares that Islam is a religion of peace, he/she is either ignorant of the Koran (Qur'an), or is deceitfully thinking of this "peace", as it extends only to those within the Muslim Community. The deceit is that they will not tell you exactly what they mean. According to the Qur'an: "Muhammad is the Apostle of Allah. Those who follow him are merciful to one another, but ruthless to unbelievers" Surah 48:29. "Kill the Mushrikun (unbelievers) wherever you find them, and capture them and besiege them, and lie in wait for them in each and every ambush..." Surah 9:5. Also see Surah 9:29: PICKTHAL: "Fight against such of those who have been given the Scripture (Christians & Jews) as believe not in Allah nor the Last Day, and forbid not that which Allah hath forbidden by His messenger, and follow not the Religion of Truth, until they pay the tribute readily, being brought low."
big up mgibeon kwa kuliona hili.
Katika Qurani Suratul Al-Ankabut (Buibui), 29:46-47 “Wala msibishane na Watu waliopewa Kitabu kabla yenu ila kwa yale majadiliano yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tunayaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi ni wenye kunyenyekea kwake.”

hii ni kiashiria kuwa kubishana kwenu ni ruksa!! thats why i think king'asti amekujibu vyema xana.

nikuulize wewe khataan umewahi kumwota mpenzi/mke wako., ukaugua hapo au wewe unaota wanawake wa kiarabu tu???
Hadith; vol.9:162,163: Muhammad warned that dreams of black women meant disease was forthcoming.

haya we endelea kushirikiana na waarabu lakini jua,ukijeruhiwa kwenye hiyo mnayoita jihad, hao waarabu watakutosa tu ujifie na hutapata mbingu, na waarabu unaowasapoti watabebwa.
(Surah 9:61)... and that blacks should be left to die if injured, and should be denied intercession and entrance to heaven (Bukhari: Volume 4, Book 52, Number 137).
believe me hakuna verse kama hii kwa mwarabu!!

Teh teh teh teh!
Typical galatian! Copy and paste!
You have quoted few line here from quraan which YOU THINK it meant muslima were commanded to fight randomly to anybody!
Teh teh teh teh! R U NUTS??
Anyone with sound mind will understand that! " NO ONE CAN TELL YOU JUST GO AND FIGHT ANYTIME ANYWHERE WITH ANY NON MUSLIM!!😀😀😀😀.

All those line you quoted WAS REVEILED ON THE PAST SPECIFIC WAR EVENTS.
And is got nothing to do with me and you!

If you could atleast ask first what are those line meant! Someone could help you!

In regards to a dream! The world "BLACK" here DOES NOT REPRESENT COLOUR OF SKIN OR ANY COLOUR Rather is the SIGN OF NIGHTMARES! !
Another example of world "BLACK" WHICH DOES NOT REPRESENT SKIN COLOUR IS NOR ANYTHING TO DO WITH COLOUR AT ALL!!

BLACK MAGIC.
BLACK MARKET.
BLACK WIDOW.
BLACK MAILING.
BLACK SMITH.

So young man all those ABOVE, DOES GOT NOTHING TO DO WITH COLOUR AT ALL!
Tatizo lako ni limitation ya hio elimu yako!
Hakuna kitu kizuri kama kusoma kiti kabla ya kukiandika!
Sasa wewe wacha quraan HATA BIBLIA HUIJUI!
We unadhani wale waliotajwa ktk quraan kuwa "WALIOPEWA KITABU KABLA YENU" kwamba ni NYIE WAGALATIA??
teh teh teh teh teh!
We kwa akili yako hio biblia unayoitumia leo NI KITABU CHA MUNGU!

HIO BIBLIA ONLY 15% NDIO MANENO YA MUNGU 85% NI YA KWENU NA HUYO PAULO.
 
Wewe ni dhahabi/sect ipi sasa...maana mimi nina mipini ya kila aina hapa,ok!?

Au wewe ni Atheist,Agnostic,Animist,Mormon,Jehova Witness,Hindu,Budhist!?

Wewe si uliamua kuacha mada/history,umetaka mazingaombwe!?

...kwanini unaukana Ukatoliki!?...je wewe hujawahi kuwa Mkatoliki!?

Narejea tena;Ukatoliki ni nini,na je una tafauti ipi na madhahabi mangineyo ya Ukristo!?

Ahsanta.


Ps; "Mpaka hapo vumbi litakapotuama,ndipo tutaweza kupembua farasi ni yupi na punda ni yupi" - By Ulamaa Boko Haram.

Al akhy nakusoma taratibu al jumaa karim
 
Na quot hata moja ya hotuba ya nyerere alisema kipindo hicho cha kutafuta uhuru mkristo nilikua pekeyangu.
 
Ndugu zangu Waislaam,

Wamejiingiza watu humu kwenye mjadala na kuubadili kuwa ni wakidini na si wahistoria tena. Nasi tumeingia kichwa kichwa.

Naomba turudi kwenye mada.

Wanafanya makusudi, dawa yao ni kuwawacha bila kuwajibu pindi wanapotoka nje ya mada au tumuwache mmoja tu awashughulikie, napendekeza Kahtaan abaki nao hao akiwapa za uso, wengine tujikite kwenye mada.

Wanacheza na emotions zetu.
 
Na quot hata moja ya hotuba ya nyerere alisema kipindo hicho cha kutafuta uhuru mkristo nilikua pekeyangu.

Sijawahi kuisoma ila kuna "quote" hizi:

TWAININGI AMEKWISHA

Siku moja, Dosa akanifuata Magomeni (Dar es Salaam). Akasema: Leo wazee wanakutaka. Wapi? Kwa Mzee Jumbe Tambaza. Wanakutaka usiku. Nikasema haya, nitakuja. Nikaenda. Nikakuta wazee wameshakaa; wameniita kijana wao kuniombea dua. Mimi Mkristo, wao Waislamu watupu. Wakaniombea dua za ubani. Tukamaliza.

Tulipomaliza wakasema kuna dua pia za wazee wao. Basi wakanitoa nje. Tukatoka. Zilipomalizika zilikuwa za Korani; sasa zikaja dua za wazee – za jadi.

Walikuwa na beberu la mbuzi. Wamechimba shimo. Wakaniambia simama. Nikasimama. Beberu akachinjwa, huku anaambiwa, "Twining (Twainingi) umekwisha!" (Edward Twining alikuwa Gavana wakati huo). Ndipo nikaambiwa: Tambuka! Nikavuka lile shimo. Hapo nikaambiwa na wazee: Basi nenda zako; tangu leo Twainingi amekwisha!

Sasa mimi Mkristo; hao Waislamu. Na mimi mkorofi-korofi katika mambo haya (ya kutambika). Lakini tulikuwa tunaelewana na wazee wangu hao. Kwa hiyo nilitambuka pale na kuambiwa: Nenda nyumbani salama. Twaining hawezi tena!

Wazee wangu wengine wanakumbuka tulikuwa tunakwenda Bagamoyo. Kwenye makaburi kule! Tunapiga dua huko kwenye makaburi na wazee wangu.

Baadhi yetu mtakumbuka safari moja jamaa wa Kenya, hawa akina Tom Mboya (marehemu) walishitakiwa. Tukasema tuwasaidie. Tuwasaidie vipi? Tukasema tufunge. Tukaomba nchi nzima kufunga siku hiyo. Tufunge! Tukafunga. Hakuna kula. Na siku ya kufunga tulikuwa na mkutano Bagamoyo. Tukaenda huko. Tukafanya mkutano hadi saa 12 jioni.

Baada ya mkutano tukaenda nyumbani kwa Mzee Mohamed Ramia (marehemu). Hapa ndipo tulikuwa tumefikia. Mimi nikamuuliza mzee: Sheikh, una Aspro? Akajibu: Kwa nini unataka Aspro? Nikajibu kuwa kichwa kinaniuma kwelikweli. Akasema subiri.

Tulisubiri hadi saa ya kufuturu. Tukafuturu vizuri. Mzee Ramia akaniuliza: bado unataka Aspro? Nikajibu kichwa sasa hakiumi. Kumbe ilikuwa njaa.

Nawaelezeni haya kwa sababu huko tulikotoka, tulishikamana sana. Tulishirikiana sana na wazee."'
 
Back
Top Bottom