Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Umesahau kuwa huyo maamuma mwenzako aliniuliza na wewe ukashabikia?
Au umeshasahau?
Au huyo maamuma mwenzako hana pua ya kunusa hiyo harufu?


Katika kitabu cha kumbukumbu la Torati, sura 21, aya ya 18-21, inasema hivi:

Mtu akiwa na mwana mkaidi, mshupavu, asiyetii sauti ya baba yake, wala sauti ya mama yake, nao wajapo mwadhibu hawasikilizi, ndipo babaye na mamaye na wamkamate, na kumpeleka kwa wazee wa mji wake, katika lango la mahali pake: wawaambie wazee wa mji wake, Huyu mwana wetu ni mkaidi, mshupavu hasikizi sauti yetu: Ni mwasherati, na tena ni mlevi waume wote wa mji wake na wamtupie mawe, AFE!
ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako, na Israeli wote watasikia na kuogopa

sawa we ukiendelea na ubishi wako mi ntakachofanya ni kum beepu baba Eiyer tu akupeleke lango la jiji akakupige mawe!.
 
Last edited by a moderator:
Katika kitabu cha kumbukumbu la Torati, sura 21, aya ya 18-21, inasema hivi:

Mtu akiwa na mwana mkaidi, mshupavu, asiyetii sauti ya baba yake, wala sauti ya mama yake, nao wajapo mwadhibu hawasikilizi, ndipo babaye na mamaye na wamkamate, na kumpeleka kwa wazee wa mji wake, katika lango la mahali pake: wawaambie wazee wa mji wake, Huyu mwana wetu ni mkaidi, mshupavu hasikizi sauti yetu: Ni mwasherati, na tena ni mlevi waume wote wa mji wake na wamtupie mawe, AFE!
ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako, na Israeli wote watasikia na kuogopa

sawa we ukiendelea na ubishi wako mi ntakachofanya ni kum beepu baba Eiyer tu akupeleke lango la jiji akakupige mawe!.

Hongera kwa hilo!
 
al habib akhyi mfumo Kuna sababu nyingi za watu KUTOKUOONA UKWELI LKN SABABU KUBWA NI MBILI!

Mtume wetu Muhammad {amani ya Allah iwe juu yake} alisema " watu wengi watazikataa amri za Mungu kwa kuipenda dunia na starehe zake za muda mfupi!

Na wacha hawa wa wakati wetu! wako wale waliopata bahati ya kukaa na kuishi na MTUME WETU MTUKUFU na pia kwa tama zao za dunia WAKAKATAA UKWELI!

Ya pili ni KUTOKUJUA!!
Ndio sababu mko maulamaa kama nyie hapa kuwakumbusha hawa ndugu zetu kuwa Huko waliko kutawapeleka ktk Adhabu isio na mfano!

Tunamuomba Mungu mkarim awaonyeshe waja wake njia ilio sahihi
.
AMEEN.

Ahsante daktuur elimu unayoitoa hapa ni ushahidi tosha kuwa umelifikisha ujumbe. kwani sisi waislamu tumesifiwa kuwa ni waja wema kuliko wote kwa sababu si nyingine bali ni kwa kuamrishana mema na kukatazana mabaya. naamini bila mashaka yoyote ya kuwa hupotezi muda wako hapa bali unatengeneza huko twendako.
 
Teh teh teh teh!
We huna haja ya kumwambia mtu wewe ni mkristo!
Harufu peke yake inajulisha kuwa wewe umesha pakwa !😀😀😀

Swali hujajibu!
UKATOLIKI NI NINI?

Na kama hujui sema!
Mchungwaji nuksi wewe!!
Teh teh teh





Maulana Dr Kahtaan,

Juma'a Al Kareem!

Shukran nyingi mno kwa majawaba murua umpayo huyo mlemavu wa fikra Eiyer na hao misukule wenzie...yaani wanifanza nicheke pasi kiasi! Kwi! Kwi! Kwi!

Wajua huyo mlemavu wa fikra Eiyer,yeye binafsi na kikundi chake ndo wameamua kuleta hivyo visuali vya kashfa na ufedhuli kwa Uislam,kitu ambacho ilikua ni nje kabisa na hii mada tuzungumziayo hapa barzan.

Tumefanza kila jitihada,ustaarabu mwingi na stahamala,kuwasihi ili tuzungumzie masuala ya hii mada/historia ya Waislam kama ilivyoletwa hapa jamvini,bila ya kwenda nje mno ya mada!?

Staajaba
kubwa,ati wao ndo wakazidi kutuletea hayo makhanatha yao,na mwishowe huyo kirongwe Eiyer ndo yeye binafsi akaanzisha mpaka ati khabar za mazingaombwe!?

Nasi tunaleta hayo hayo mazingaombwe,ati wanaanza kuwa defensive na pia ku-play victim kama dasturi yao!...wengine ,ooh! hapana mimi si Mkatoliki,mwingine ooh! mimi si Mkristo bali naamini u-Afrika zaidi! Kwi! Kwi! Kwi!

Akaja mwingine,ati ooh! mimi si Chadema,lakini nawapenda saana Waislam na kwenye family yangu pia kuna Waislamu!? Kwi! Kwi!...We've heard all this shit before!

Sasa huyo msukule Eiyer,mfahamishe yakuwa sisi tunajibu kutokana na ile pattern ya ule utumbo wa visuali vyao,ambavyo vingi kwanza vipo nje ya mada!?

Au wao wanafikiri,watu tuulizapo Ukatoliki ndo nini,ati sisi ndo hatuujui huo Ukatoliki wao,au tafauti mbali mbali zilizopo baina ya hayo madhahabi ya Kikristo humu duniani!?...sisi huwa tunaweka tu ulimbo kiduchu,kwa walemavu wa fikra kama huyo Eiyer Kwi! Kwi!

Mpe salaam,yakuwa mimi binafsi nishahudhuria mpaka zile sherehe za yule marehemu Black Jesus,pale Panama,tena nikiwa mgeni mwalikwa wa Kanisa na Kasisi wake. Na hizi sherehe kubwa mno zipo pale kila mwaka! Kwi! Kwi!

Kuna mtu gani dunia hii leo asojua uchafu na unyama mwingi mno ulofanzwa kupitia kwenye mgongo wa Kanisa,khasa wale Vatican!?

Mfano kiduchu;mauaji ya halaiki for Centuries,unafiki wa Vatican na Pope during WWII na ile anti-semitism yao,ubakaji wa wachungwaji/watoto wadogo wa kiume ufanywao na Viongozi wa Kanisa kila kukicha humu dunia nzima,udhalim na ushiriki kamilifu ulofanzwa na hilo kanisa Katoliki kwenye ile nakma ya Whites/European Slave Trade aka "Trans-Atlantic Slave Trade"...haya majambo yoote na mangine mangi pita kiasi yapo wazi na recorded historically kupitia kwa Scholars/Historians wengi mashuhuri/mahiri tena Wakristo wenzao watiifu kabisa.

Tuyaache haya,maana kama alivyotwambia dada'etu Hajat Faizafoxy,wasijetufanza tukenda nje mno ya mada yetu ,maana ndo kusudio lao.

Shughuli ni yako wewe Maulana,maana punda hendi ila kwa majigumi na mateke ya roho! Kwi! Kwi!

Nimefurahika tumezungumza japo kiduchu.

Ahsanta.
 
Ndugu yangu al akhiy Tayeb I am soo pleased to see you my brother!

Tunafurahi kukuona umekuja na bashasha zako!
Tuko hapa na waparokia tukijaribu kuwakumbusha kidogo!

Shukran maalim.
Dr. kahtaan

Nakubidhi rasmi hili rungu kwa ajili ya kuulia Nguchiro ataakaye shambulia shamba.

african_maasai_masai_handmade_war_club_rungu_olive_wood_kenya_08_1_lgw.jpg
 
Last edited by a moderator:
Dr. kahtaan

Nakubidhi rasmi hili rungu kwa ajili ya kuulia Nguchiro ataakaye shambulia shamba.

african_maasai_masai_handmade_war_club_rungu_olive_wood_kenya_08_1_lgw.jpg

Shariff Ritz na mimi nasema ahsante sana kunipa nafasi ya kufanya jambo nilipendalo mno kuliko ninavyopenda biriani!

Yaani furaha nilionayo hapa! Kidogo nitoe adhana kabla ya saa.!!
Teh teh teh teh!

Sasa tukijaaliwa tutarajie sewahaji kuwa very busy kwa majeruhi!

Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Hata siasa ni dini, kama huijui maana ya dini inabidi kwanza uijue maana ya dini. Ngoja nikupe darsa dogo;

Dini ni njia na muongozo wa kupitia katika mfumo wa maisha ya kila siku, safari uliyokuwa nayo duniani hadidu rejea yake ndio dini yako, kwa hiyo kama wewe unaamini Uislaam ndio dini (njia yako), Kama unaamini Ukristo ndio dini (njia yako), kama Unaamini Upagani, Uhindi, Ubuddha, Mti, kenge, kondoo, panya, sayansi, katiba, basi hiyo unayoamini kuwa ni rejea yako ya mwisho ya kukuongoza katika uyafanyayo kila siku ndio dini (njia yako).

Hapa kinachoongelewa ni siasa na role ya Waislaam na Uislaam katika "Tanzania freedom struggle", au una usongo kwa kuwa unajuwa kuwa Kanisa halikuwemo katika "freedom struggle"?
kanisa halikuwepo, hiyo itakuwa kweli, kwani hata nyerere alijitahidi sana kutenda haki kwa dini zote.alikuwa mzalendo mwafrika baba wa taifa hili. ndio maana wanaosema kanisa lilileta mfumo kristo kwa kushirikiana na nyerere hizi zitakuwa ni lugha za mitaani, tumeshazoea kuzisikia.
umesema dini ni mwongozo huku duniani sasa je na peponi itakuaje?
em nikuulize tukiachana na wanaume, je wanawake peponi, wamehaidiwa kupata nini???
 
Shariff Ritz na mimi nasema ahsante sana kunipa nafasi ya kufanya jambo nilipendalo mno kuliko ninavyopenda biriani!

Yaani furaha nilionayo hapa! Kidogo nitoe adhana kabla ya saa.!!
Teh teh teh teh!

Sasa tukijaaliwa tutarajie sewahaji kuwa very busy kwa majeruhi!

Teh teh teh teh!
NISSAA 4:76 ; "Maana asabaka mi hasanaatin faminallah, wa maasabaka. Min sayyi – atin – famin – nafsik. Wa arsalna akalimnaas rasuulaa. Wakafaabillah shahidaa".

wema uliokufikia unatoka kwa mwenyezi Mungu. Na ubaya uliokufikia unatoka nafsini mwako........... (Mwenyewe umefanya mambo hata yakakufika hayo) nasi tumekupeleka kwa watu kuwa mtume wa Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha (hapahitajiwi shahidi mwingine.

hapa tujuze mambo gani yalimfika????

" Wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe" kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya "Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe akamhadithia; na pale pale homa kubwa kabisa ikampanda akataka afunikwe maguo. Mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema "Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga"


hivi unajua yakwamba yesu ana uwezo wa kufukuza mashetani???????????????

Surat or the Book of Al-IMURAN verse 45:

The angel Djibril came to Miriam and told her, the child that you will give birth to will have authority on Earth and in Heaven. Verse 49, Jesus went to the Israelites and told them, I created you and I have the ability to heal illnesses, skin diseases, the blind and resurrect the dead.

mkuu sitaki hayo maneno mengine naomba unipefasiri ya hii ayati nayomwelezea jesus christ peace upon him bila kuacha kuzingatia penye red, kwani hapo ndo pamuhimu. ukishindwa hilo rungu peleka butiama ama kavunjie kuni watu wale ugali
 
kanisa halikuwepo, hiyo itakuwa kweli, kwani hata nyerere alijitahidi sana kutenda haki kwa dini zote.alikuwa mzalendo mwafrika baba wa taifa hili. ndio maana wanaosema kanisa lilileta mfumo kristo kwa kushirikiana na nyerere hizi zitakuwa ni lugha za mitaani, tumeshazoea kuzisikia.
umesema dini ni mwongozo huku duniani sasa je na peponi itakuaje?
em nikuulize tukiachana na wanaume, je wanawake peponi, wamehaidiwa kupata nini???
Sasa ndio umeandika nn? Umeona rungu alilokabidhiwa Dr kahtaan na ulamaa Ritz ! shauri yako ukipigwa mimi simo. Na kwa mbali namuona kiboko wa nguruvi3 - gombesugu ananyemelea kichwa cha nguchiro.
 
Ndugu zangu Waislaam,

Wamejiingiza watu humu kwenye mjadala na kuubadili kuwa ni wakidini na si wahistoria tena. Nasi tumeingia kichwa kichwa.

Naomba turudi kwenye mada.

Wanafanya makusudi, dawa yao ni kuwawacha bila kuwajibu pindi wanapotoka nje ya mada au tumuwache mmoja tu awashughulikie, napendekeza Kahtaan abaki nao hao akiwapa za uso, wengine tujikite kwenye mada.

Wanacheza na emotions zetu.

kinachopelekea haya ni kuingiza mjadala wa dini kwenye siasa ya tanzania. na kila mtu huku ana munkari wa aina yake, hata ukipanga kukaa kimya, ni ngumu kwani lipo utakalolijua na kutaka kulitolea ufafanuzi.
ukristo ama ugalatia vyovyote vile muuitavyo lakini sio ''wappumbavu''unaruhusu uhuru wa kuelewa jambo, sio kukaririshwa tu. am sorry for your faith, its tyme for you to understand.
zaidi ya yote ukristo umeelezwa kwenye quran yenu mara nyingi kitu ambacho biblia haijawahi kugusia kitu kinaitwa uislamu kwa mazingira yoyote yale. and that too is the fact
 
Teh teh teh teh!
Typical galatian! Copy and paste!
You have quoted few line here from quraan which YOU THINK it meant muslima were commanded to fight randomly to anybody!
Teh teh teh teh! R U NUTS??
Anyone with sound mind will understand that! " NO ONE CAN TELL YOU JUST GO AND FIGHT ANYTIME ANYWHERE WITH ANY NON MUSLIM!!😀😀😀😀.

All those line you quoted WAS REVEILED ON THE PAST SPECIFIC WAR EVENTS.
And is got nothing to do with me and you!

If you could atleast ask first what are those line meant! Someone could help you!

In regards to a dream! The world "BLACK" here DOES NOT REPRESENT COLOUR OF SKIN OR ANY COLOUR Rather is the SIGN OF NIGHTMARES! !
Another example of world "BLACK" WHICH DOES NOT REPRESENT SKIN COLOUR IS NOR ANYTHING TO DO WITH COLOUR AT ALL!!

BLACK MAGIC.
BLACK MARKET.
BLACK WIDOW.
BLACK MAILING.
BLACK SMITH.

So young man all those ABOVE, DOES GOT NOTHING TO DO WITH COLOUR AT ALL!
Tatizo lako ni limitation ya hio elimu yako!
Hakuna kitu kizuri kama kusoma kiti kabla ya kukiandika!
Sasa wewe wacha quraan HATA BIBLIA HUIJUI!
We unadhani wale waliotajwa ktk quraan kuwa "WALIOPEWA KITABU KABLA YENU" kwamba ni NYIE WAGALATIA??
teh teh teh teh teh!
We kwa akili yako hio biblia unayoitumia leo NI KITABU CHA MUNGU!

HIyO BIBLIA ONLY 15% NDIO MANENO YA MUNGU 85% NI YA KWENU NA HUYO PAULO.
kila mtu anayolimitation yake ya elimu.
penye blue nadhani hii sio takwimu sahihi
in regard to dream: kutokana na fasiri yako ingesomeka hivi....
Hadith; vol.9:162,163: Muhammad warned that dreams of nightmare women meant disease was forthcoming.(here the word Black was substituted with the word Nightmare)

You have quoted few line here from quraan which YOU THINK it meant muslima were commanded to fight randomly to anybody!
Teh teh teh teh! R U NUTS? hivyo basi watu weusi tu wanatakiwa wauwawe na wanyimwe kuingia kwenye pepo pale tu wanapojeruhiwa na wale weupe(waarabu) wasiuwawe.
i think am not nuts!!!!!



penye red:
imesema, So young man all those ABOVE, DOES GOT NOTHING TO DO WITH COLOUR AT ALL!

sijajua hapa tena hapa ulimaanisha hizo quotes zoteama hiyo ya mwanamke.
zote.
nikilinganisha na kilichoandikwa nazidi kupata shaka zaidi, tena hiyo ya mwanamke nakhisi watakupiga mawe hao wenzako kwa kutoa fasiri isiyo sahihi. no no no nimekumbuka hawatafanya hivyo uliyoyaaandika ni Taqiya.
na inaruhusiwa kwani lengo ni kuwaaminisha watu waipokee hiyo imani yako.
 
Daktur kahtaan, mimi nimeona wewe hao unawagaragaza vizuri sana na wala haina haja ya sisi sote kuwaumiza zaidi kwani umeshawajeruhi vya kutosha.

faizafoxy hivi unajua wanawake wengi wataenda jehanum.

Usia, usiri na upendo wa baba kwa binti/mwana


Katika Sahih Muslim juzuu I hadith 133 Mohammad alimwambia mwanae Fatuma “Iokoe nafsi yako kutoka kwenye moto, niombe chochote unachotaka kutoka kwenye mali yangu kwa hakika mimi sitokufaa na chochote mbele ya Mwenyezi Mungu, Iokoe nafsi yako na Moto.”

Romans 10:10: “If you believe in your heart and confess with your mouth that Jesus is the Messiah you shall be saved, but every spirit that confesses not (notice silence doesn’t even do the trick) that Jesus Christ is come in the flesh is not of God, but is the spirit of antichrist.” In verse 6: “Hereby know we the Spirit of Truth and the spirit of error.”
 
kila mtu anayolimitation yake ya elimu.
penye blue nadhani hii sio takwimu sahihi
in regard to dream: kutokana na fasiri yako ingesomeka hivi....
Hadith; vol.9:162,163: Muhammad warned that dreams of nightmare women meant disease was forthcoming.(here the word Black was substituted with the word Nightmare)

You have quoted few line here from quraan which YOU THINK it meant muslima were commanded to fight randomly to anybody!
Teh teh teh teh! R U NUTS? hivyo basi watu weusi tu wanatakiwa wauwawe na wanyimwe kuingia kwenye pepo pale tu wanapojeruhiwa na wale weupe(waarabu) wasiuwawe.
i think am not nuts!!!!!



penye red:
imesema, So young man all those ABOVE, DOES GOT NOTHING TO DO WITH COLOUR AT ALL!

sijajua hapa tena hapa ulimaanisha hizo quotes zoteama hiyo ya mwanamke.
zote.
nikilinganisha na kilichoandikwa nazidi kupata shaka zaidi, tena hiyo ya mwanamke nakhisi watakupiga mawe hao wenzako kwa kutoa fasiri isiyo sahihi. no no no nimekumbuka hawatafanya hivyo uliyoyaaandika ni Taqiya.
na inaruhusiwa kwani lengo ni kuwaaminisha watu waipokee hiyo imani yako.

Kijana kama huelewi lugha za maandiko hebu msikilize Bwana Yesu anavyosema hapa ktk andiko;-

Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo.-Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake; kwa maana anapiga kelele nyuma yetu. Akajibu, akisema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Naye akaja akamsujudia, akisema, Bwana, unisaidie. akajibu, akasema," Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia MBWA!

Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata MBWA hula makombo yaangukayo mezani za bwana zao.

Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.Mathayo 15.21-28

Sasa hapa tunajifunza kuwa YEYOTE ASIYE MYAHUDI AMBAE ANATAKA KUMFUATA YESU ameitwa na Yesu kuwa ni MBWA!
Sasa kwa wewe kutaka kutafsiri maneno utakavyo wewe Hebu tufahamishe hapa "ulitaka Yesu aseme vipi? Au ulitaka aseme "SI VIZURI KUWAHUBIRIA WASIO WAISRAELI"?

Yesu kawaita MBWA! and thats it! We ulitaka kugeuza hayo ni matatizo yako!
 
Back
Top Bottom