Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Ukweli siku zote utabaki kuwa hivyo. Historia ya nchi hii hata kama itakuwa distorted kiasi gani kuna siku ukweli utadhihiri. Maoni yangu ni kuwa bw. mohamed anachotanabahisha ni ukweli wa historia ya mapambano ya kudai uhuru wa tanganyika umepindishwa na anatoa ushahidi wa kuthibitisha asemayo.
Kwa wale walizaliwa miaka ya 50 wakirudisha kumbukumbu zao nyuma watakumbuka kwani lile vuguvugu la mapambano ya uhuru wa tz kwa wa wanadar [wa enzi hizo] ilikuwa siyo mchezo kwani ninakumbuka kuna mama mmoja muuza pombe hapa mjini alitoa ka akiba chake chote kusaidia safari ya nyerere un.
Hivyo basi hao ambao bw mohamed amewataja ni kweli kabisa walishiriki sana katika vita ya kudai uhuru wa nchi hii

Hakuna mtu anakataa kwamba walishiriki watu wengi katika kudai Uhuru. Hata SA walishiriki wengi zaidi ya Mandela. Lakini iko wazi kuwa walishiriki wakiwa kama watanganyika na si waislamu. Hizi habari za uislamu na uhuru zinatoka wapi? Harakati za kudai uhuru hazikufanywa na chama chochote cha kiislamu, bali TANU ya watu wote. Wao wenyewe ingawa ni waislamu hawakuliweka hilo mbele cha kushangaza leo hii watu wanaanza kuleta uislamu! Sasa kama dini ya wanaharakati wa uhuru ilikuwa ni uislamu what's the point? so what?
 
Ahsante dada Fify... ningependa kujua zaidi
wateteaji walogombea Uhuru au freedom from Britshi (Ukoloni) walikuwa wakikutana wapi? Locationa gani? time to time au wote walikuwa mji mmoja? na majina au kunaUkoo au kabila maarafu ulichangia kwa hali na mali ? ilitutafakari zaidi na kuondokewa na sintoelewa za propaganda za vyama.
Good luck.

"
The political history of Tanganyika and Zanzibar remains undocumented to date, save for the efforts by Ghassany and the author of this paper to present respectively a contrary view of the official history. [16] The official version has conveniently omitted the decisive role of many patriots. The corrective version has attempted to insert back into history those forgotten patriots including the unpalatable realities and hard facts. Yash Tandon has lamented on the neglect of patriots who fought for independence of their countries. Tandon called the forgotten heroes like Abdulwahid Sykes and other patriots like Chege Kibachia, Makhan Singh, Fred Kubai, James Kivu, I.K. Musazi, Erika Fiah and Gama Pinto as ‘’veteran leaders of the struggle of the peoples of East Africa... whom our recent historians have forgotten.’’[17]
In Tanzania the book, ‘’The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 – 1968) the Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism,’’[18] has completely changed the history of Tanganyika’s struggle for independence. The work has brought into the fore patriots who were in the struggle many years before Nyerere. But the shocking revelation in the book was the fact that TANU was the brainchild of Abdulwahid Sykes and not Nyerere and that its origin emanates from Kleist Sykes, Abdulwahid’s father who founded the African Association in 1929 and Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Muslim Association of Tanganyika) in 1933 the two associations which later in 1950s provided leadership to TANU. Unique in these two associations is the fact that for many years the office bearers were the same."

Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-a-nation-without-heroes-by-mohamed-said.html
 
Tukisema labda juma, hasani, john nk hawajatajwa kwenye historia ya uhuru wetu na wakati walishiriki kikubwa hapo patakuwa na hoja
Lakini tukianza kutaka kujadili dini za wapigania uhuru hapo sidhani kama tupo sahihi

Hivi sasa tuna wimbi kubwa la madawa ya kulevya na vinara wa mtandao huu wengi wakitajwa ni waislam, je itakuwa sahihi kusema historia ya madawa ya kulevya na role ya waislam katika hili tutakuwa sahihi?

Dini ya mtu si kigezo cha kufanya mambo kwaajili ya taifa lake
 
Hata siasa ni dini, kama huijui maana ya dini inabidi kwanza uijue maana ya dini. Ngoja nikupe darsa dogo;

Dini ni njia na muongozo wa kupitia katika mfumo wa maisha ya kila siku, safari uliyokuwa nayo duniani hadidu rejea yake ndio dini yako, kwa hiyo kama wewe unaamini Uislaam ndio dini (njia yako), Kama unaamini Ukristo ndio dini (njia yako), kama Unaamini Upagani, Uhindi, Ubuddha, Mti, kenge, kondoo, panya, sayansi, katiba, basi hiyo unayoamini kuwa ni rejea yako ya mwisho ya kukuongoza katika uyafanyayo kila siku ndio dini (njia yako).

Hapa kinachoongelewa ni siasa na role ya Waislaam na Uislaam katika "Tanzania freedom struggle", au una usongo kwa kuwa unajuwa kuwa Kanisa halikuwemo katika "freedom struggle"?

sitaki muanze mambo yenu ya nani achinje nani asichinje hapa....walofanya walifanya tunawashukuru kama watahitaji kutambuliwa na kulipwa kama MAUMAU basi waende "mahakamani"
 
sitaki muanze mambo yenu ya nani achinje nani asichinje hapa....walofanya walifanya tunawashukuru kama watahitaji kutambuliwa na kulipwa kama MAUMAU basi waende "mahakamani"

Wewe kama huna hoja kaa kimya, nani achinje na nani asichinje inahusu nini? hujui hata maana ya historia.

Unachokiogopa ni nini, au utakuja kuta babu yako alikuwa ni shamba boi wa mzungu.
 
Wewe kama huna hoja kaa kimya, nani achinje na nani asichinje inahusu nini? hujui hata maana ya historia.

Unachokiogopa ni nini, au utakuja kuta babu yako alikuwa ni shamba boi wa mzungu.

kama mwafrika na ungana na wewe kupongeza struggles zote za kujitaka kujitawala....tunajua hii nchi "kubwa" wapi ilitoka na tunaenzi juhudi za wazee wenu wote walopigana no walodai uhuru bila kujali kabila wala dini....maana hata kama kabila flani/dini ilichangia sana hatuna cha kuwazawadia zaidi ya kutambua na kuzidi kuenzi uhuru walotafuta....kazi ya utambuzi inaishia hapo....babu yangu sina uhakika sana ila ninachojua hakuwahi kuwa mtumwa instead alitumikiwa na kuwatumikia alokuwa akiwaongoza kiasi kwamba hakuna hata mmoja wetu alienda utumwani....so usimhusishe na wazungu hata kidogo!

labda sijaelewa tthread vizuri nini?nieleweshe dadangu
 
kama mwafrika na ungana na wewe kupongeza struggles zote za kujitaka kujitawala....tunajua hii nchi "kubwa" wapi ilitoka na tunaenzi juhudi za wazee wenu wote walopigana no walodai uhuru bila kujali kabila wala dini....maana hata kama kabila flani/dini ilichangia sana hatuna cha kuwazawadia zaidi ya kutambua na kuzidi kuenzi uhuru walotafuta....kazi ya utambuzi inaishia hapo....babu yangu sina uhakika sana ila ninachojua hakuwahi kuwa mtumwa instead alitumikiwa na kuwatumikia alokuwa akiwaongoza kiasi kwamba hakuna hata mmoja wetu alienda utumwani....so usimhusishe na wazungu hata kidogo!

labda sijaelewa tthread vizuri nini?nieleweshe dadangu

Soma kama huelewi badala ya kuja na shutuma za nani achinje nani asichinje. Kuna mahali palipokuwa na hilo au umelileta wewe?
 
Wananchi wenzangu kwa mtazamo wangu japo ni mdogo lakini kuna picha kubwa ambayo lazima tuitafakari !! Mie naona kuna dosari fulani au tofauti mbili tatu na wala si kikwazo kibubwa na siye ndiyo tunaikuzisha na kuichanganya iwepanaa zaidi ili tusiweze kuUngana mikono au kuwa BEGA kwa BEGA....! Nalo ni hili kuwa wote tunaimba na kutukuza neno hili eti
TANZANIA hatuna Ukabila. Sasa sijui elimu yetu imezidi fikra zetu ? hadi hivi sasa 2013 watu humu hatukubaliani kwa chochote, watu humu tuna ubinafsi wa kimillaa, Watu humu tuna Udini wa kupitiliza, sasa yote hayo inapeleka hisia zetu kuwajuu ya Lafudhi tunayoitumia kati yetu wenyewe !! Nina hakika tunaweza kuafikiana na kukubaliana vema kabisa na kufaidika ipasavyo tukitumia lafdhi na lugha ya upole au ya kiungwana. Samahani wandugu huo ukweli ni bora tuuelewe na tujipange kiutu uzima au kidiplomasia kwa manufaa ya jamii na Taifa.
God bless Tanzania.
 
Kwani waislam wanadhani wao ni watanzania wa tofauti hadi wadai haki tofauti...?its funny hao wazee walipewa zaidi ya walichostahili ila bado leo mnajaza junks hapa km vile chochote kidogo walichochangia basi walipwe km vibarua kwa vile hawakuwa watanzania.

Mohamed said alijufnza kiingereza ili kuharibu waislam na si kuwakomboa waislam..wengi wamekuwa locked ini his world views....

Wewe mchaga ambae unategemea maisha yako kupata ruzuku kutoka chadema unataka kulinganisha elimu yako na MOHAMED SAID??
Huyu muheshimiwa wacha wewe! Hata mzee wako hana elimu aliyo nayo huyu maalim!
Hebu tusaidie kitu hapa! Wewe Nicholas umesoma shule gani? Au una elimu kiasi gani?
Nakuhakikishia umma wa JF huna elimu yyt ya maana! Na kama nasema uongo hebu niadhiri hapa kwa kuonyesha qualification zako!
 
Last edited by a moderator:
sitaki muanze mambo yenu ya nani achinje nani asichinje hapa....walofanya walifanya tunawashukuru kama watahitaji kutambuliwa na kulipwa kama MAUMAU basi waende "mahakamani"

Ukiskia shukrani za kikafiri ndio hizi!
Watu wapoteze maisha yao ili mtu kama wewe leo uwe na uhuru wa kuropoka na kusema "KAMA WATAHIJI KUTAMBULIWA WAENDE MAHAKAMANI?"
Weww huna adabu wala huoni haya wala vibaya !
Watu kama nyie ni wakuwapeleka mstari wa mbele kabisa huko congo muone nini maana ya vita! Ndipo mtakapo kuwa na adabu!
Mnfnssssssssss
 
Wewe mchaga ambae unategemea maisha yako kupata ruzuku kutoka chadema unataka kulinganisha elimu yako na MOHAMED SAID??
Huyu muheshimiwa wacha wewe! Hata mzee wako hana elimu aliyo nayo huyu maalim!
Hebu tusaidie kitu hapa! Wewe Nicholas umesoma shule gani? Au una elimu kiasi gani?
Nakuhakikishia umma wa JF huna elimu yyt ya maana! Na kama nasema uongo hebu niadhiri hapa kwa kuonyesha qualification zako!
:shocked:unapotamka wachagga unagusa ukabila, pia jaribu kutuliza munkari kidogo. haya mawazo tu. angry speech is not a free speech
 
:shocked:unapotamka wachagga unagusa ukabila, pia jaribu kutuliza munkari kidogo. haya mawazo tu. angry speech is not a free speech

Nadhani ungefanya haki kama ungeanza na huyo mchanga kwanza!
Na kumwambia mtu kuwa hakufunzwa vizuri na wazee wake Au ELIMU YAKE NA WAZEE WAKE INAFANANA sidhani kama ninkuongea kwa munkara! Tatizo ni kuwa wapendao batili wataona ule upande unaosema haki tu!
 
Ukiskia shukrani za kikafiri ndio hizi!
Watu wapoteze maisha yao ili mtu kama wewe leo uwe na uhuru wa kuropoka na kusema "KAMA WATAHIJI KUTAMBULIWA WAENDE MAHAKAMANI?"
Weww huna adabu wala huoni haya wala vibaya !
Watu kama nyie ni wakuwapeleka mstari wa mbele kabisa huko congo muone nini maana ya vita! Ndipo mtakapo kuwa na adabu!
Mnfnssssssssss

OK....unachotaka ni nini?ok hata nikaunga mkono huo utumbo wako hao watu watarudi?ni wengi walotoa sadaka kwa ajili ya uhuru ...tunachotakiwa kufanya ni kuenzi juhudi zao na si kuzungukia makaburi na kuhesabu yenye misalaba ni mingapi na yasiyokuwa na misalaba ni mangapi......na zaidi tunachofaa kufanya ni kuwaombea hao martyrs kama kweli wapo....
kama adabu ni kushabikia wenda wazimu bora nikose..... wazee wa MAUMAU wamepewa pound za kutosha juzi na serikali ya Uingereza ...kama vipi na nyie nenda mahakamani mpate haki yenu......
 
OK....unachotaka ni nini?ok hata nikaunga mkono huo utumbo wako hao watu watarudi?ni wengi walotoa sadaka kwa ajili ya uhuru ...tunachotakiwa kufanya ni kuenzi juhudi zao na si kuzungukia makaburi na kuhesabu yenye misalaba ni mingapi na yasiyokuwa na misalaba ni mangapi......na zaidi tunachofaa kufanya ni kuwaombea hao martyrs kama kweli wapo....
kama adabu ni kushabikia wenda wazimu bora nikose..... wazee wa MAUMAU wamepewa pound za kutosha juzi na serikali ya Uingereza ...kama vipi na nyie nenda mahakamani mpate haki yenu......

Halafu nikisema matoto mengine yamekosa malezi ya wazazi wanakuja wapambe kama huyu 2013 kuwatetea!
Na hayo mapovu yako hapo juu ndio namna ya kuwaenzi wapigania uhuru sio??

Sasa kuzaa mtoto kama wewe si hasara tu!
Yaani we kama mwanangu basi niko tayari kubadilisha na chupa ya soda tu!
Na wakisema hawana basi mi ntawanunulia wakuchukue tu!
 
Last edited by a moderator:
Halafu nikisema matoto mengine yamekosa malezi ya wazazi wanakuja wapambe kama huyu 2013 kuwatetea!
Na hayo mapovu yako hapo juu ndio namna ya kuwaenzi wapigania uhuru sio??

Sasa kuzaa mtoto kama wewe si hasara tu!
Yaani we kama mwanangu basi niko tayari kubadilisha na chupa ya soda tu!
Na wakisema hawana basi mi ntawanunulia wakuchukue tu!

mbona unasema soda?sema "unga" tu hakuna takaye kukamata.....teh teh yaishe bwana hata hivo mi nakukubali kwa mchango wako katika struggle usikonde!
 
"
The political history of Tanganyika and Zanzibar remains undocumented to date, save for the efforts by Ghassany and the author of this paper to present respectively a contrary view of the official history. [16] The official version has conveniently omitted the decisive role of many patriots. The corrective version has attempted to insert back into history those forgotten patriots including the unpalatable realities and hard facts. Yash Tandon has lamented on the neglect of patriots who fought for independence of their countries. Tandon called the forgotten heroes like Abdulwahid Sykes and other patriots like Chege Kibachia, Makhan Singh, Fred Kubai, James Kivu, I.K. Musazi, Erika Fiah and Gama Pinto as ‘’veteran leaders of the struggle of the peoples of East Africa... whom our recent historians have forgotten.’’[17]
In Tanzania the book, ‘’The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 – 1968) the Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism,’’[18] has completely changed the history of Tanganyika’s struggle for independence. The work has brought into the fore patriots who were in the struggle many years before Nyerere. But the shocking revelation in the book was the fact that TANU was the brainchild of Abdulwahid Sykes and not Nyerere and that its origin emanates from Kleist Sykes, Abdulwahid’s father who founded the African Association in 1929 and Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Muslim Association of Tanganyika) in 1933 the two associations which later in 1950s provided leadership to TANU. Unique in these two associations is the fact that for many years the office bearers were the same."

Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-a-nation-without-heroes-by-mohamed-said.html

It is very unfortunate to try to associate the political struggle against the colonial rule with any religious belief! I think what our fellow muslims are trying to demonstrate purely emanates from their inferiority complex! I don't see any logic of associating the political struggle in Tanganyika with either a certain tribe or any religious affiliation.
 
It is very unfortunate to try to associate the political struggle against the colonial rule with any religious belief! I think what our fellow muslims are trying to demonstrate purely emanates from their inferiority complex! I don't see any logic of associating the political struggle in Tanganyika with either a certain tribe or any religious affiliation.

When you talk about "INFERIORITY COMPLEX" you need to look at your fellow GALATIANS!
They praise themselves too much to the extend that Muslims are not found even in our children's school books!
Its is fact that Muslims played a significant role into our freedom fighting! And Tanzania as a country should recognised that and honour that!

Why do we teach our children's half of the story??
Was nyerere the only hero? ?
Was he??

All Tanzania heroes should be honoured equally without looking at their faith!

So I think you should take your foul comments back! Bad galatian!!
 
Halafu nikisema matoto mengine yamekosa malezi ya wazazi wanakuja wapambe kama huyu 2013 kuwatetea!
Na hayo mapovu yako hapo juu ndio namna ya kuwaenzi wapigania uhuru sio??

Sasa kuzaa mtoto kama wewe si hasara tu!
Yaani we kama mwanangu basi niko tayari kubadilisha na chupa ya soda tu!
Na wakisema hawana basi mi ntawanunulia wakuchukue tu!
sasa kama huyo Ruzibizahapo mbona amesema kitu chenye akili zaidi. cha ajabu wakati ue wanagombania uhuru hawakuunganishwa kwa matabaka ya udini, bali uafrika wao, na ndio maana hata kama waislamu walichangia sana hawakuchangia kwasababu ya dini bali imani yao ya kutaka uhuru, nawaheshimu sana. sidhani kama waliweka mkataba na nyerere aje awalipe baadae, manake kama walifanya hivyo ama kuahidi malipo kwa vizazi vyao hawafai hata kukumbukwa kwani walifanya kwa maslahi binafsi na si suala la uafrika.
wanaoleta hoja za uislamu wanataka kudanganya umma kuwa bila wao tusingepata uhuru. binafsi naamini tungepata uhuru hata bila waislamu yaani hata bila wakristo yaani hata kama tungekuwa wapagani tungepata tu. ilikuwa ni muda wake movement zilikuewepo nyingi sana africa. hivyo. si suala la dini ni swala la kiafrika zaidi. au wanataka wapewe shea kubwa kuliko wengine. sasa kamawao walikuwa wengi walishindwaje kuweka viongozi wao wakamwacha nyerere aamue. tuache ukabila tuache udini, wachagga nao walizaliwa wakajikuta wako kule hata waadzabe wamezaliwa wakajikuta wako kule sio kwamba walichagua, unfortunately hawa dini wanazaliwa wenginewanajikuta wako kule, tofauti ni kuwa dini wanaweza kubadilika. nashangazwa na hizi roho za chuki zinaletwaje mida hii wakati nchi haijajipanga vizuri hata kujua katiba na muungano vitadumu ama la.
pia wewena shangaa naweka picha ya malcom little then unaonyesha ubaguzi kwa wafrika wenzako ujue hata huyo alitetea haki za weusi japo mbinu zake na mawazo yake mengi yalikuwa finyu sana(localite) hayakuwa na vision, ndio maana haeshimiki saaana kama martin luther.
 
It is very unfortunate to try to associate the political struggle against the colonial rule with any religious belief! I think what our fellow muslims are trying to demonstrate purely emanates from their inferiority complex! I don't see any logic of associating the political struggle in Tanganyika with either a certain tribe or any religious affiliation.

You can never ever separate religion with history of Tanganyika politics no matter how much you try:
The British took over Tanganyika (as Tanzania was then known) from the Germans after the First World War, by then the Germans had done more than their fair share in opening up Tanganyika for Christian influence through various Christian establishments. Tanganyika was divided among different Christian organizations originating from various European countries. The White Fathers were in Tabora, Karema, Kigoma, Mbeya, Mwanza and Bukoba; Holy Ghost Fathers - Morogoro and Kilimanjaro; Benedictine Fathers Peramiho and Ndanda; Capuchin Fathers - Dar es Salaam; Consolata Fathers - Iringa and Meru; Passionists Fathers - Dodoma; Pallotine Fathers - Mbulu; Maryknoll Fathers Musoma; and Rosmillian Fathers -lringa.4

When the People started to organize themselves in political entities during the British rule through various associations, Muslims in Dar es Salaam formed the African Association in 1929 and Jamiatul lslamiyya fi Tanganyika in 1933. Missionaries sensing these African organisations as organised African resistance against the colonial state warned Christians not to get themselves involved in any movements that were challenging the government.5 The church and state provided education to African Christians and denied it to majority Muslims. The two worked hand in hand to mould loyal subjects out of the educated Christians alienating them from the main stream of the struggle against British rule. Resistance against British colonialism was therefore left to Muslims and the struggle for independence and nationalist politics in Tan9anyika assumed strong Muslim characteristics.

Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/40490-islam-and-politics-in-tanzania.html

If you have any other way of narrating the history of Tanganyika struggle for freedom without touching the "religious affiliation", kindly do so.

Believe you me, this is a challenge which you will never ever be able to achieve. Start to prove me wrong.
 
Jamani sio DINI kwenye HIYO ARTICLE... Inaongelea Kupigania UHURU; Waislamu au Muislamu hapo hajatumika kama DINI ni SIASA - Tujipe UPEO wa kuyafuatilia hayo Masuala ya ZAMANI na kuyaweka sawa sababu baadhi yetu wanafikiri wamekuwa CHEATED na sababu zote za UHURU wa TANGANYIKA
Mkuu binafsi huwa nashindwa kuelewa kwa nini maelezo ya ndugu Moh huwa mara nyingi yanakuwa grossly misinterpreted whether by accident au deliberately. Sioni kama Moh anataka watu wa madhebu yake walio pigania uhuru wa nchi hii walipwe ujira au pension - Moh anacho taka ni wananchi waelezwe ukweli i.e anataka wasipindishe historia ya kweli ya TAIFA letu kwa kuwasahau mashujaa ambao wengi wao waikuwa ni wa madhebu ya Kislaam - hilo alina ubishi, kwani tatizo liko wapi - Uislaam au upiganiaji uhuru - tusicho kipenda hapa ni nini hasa? Tunashindwa nini kukubaliana na ukweli!! Ni kweli si Waislaam peke yao walio husika na harakati hizi, lakini ukifanya utafiti bila yakuwa biased, ukuzungumza na wakoloni wa Kingereza ambao wangali ahi wanakiri kwamba Waislaam walikuwa highly organised katika harakati zao na ndio walikuwa wanawapa wakati mgumu wakoloni - mimi niliwahi kupata bahati ya kuzungumza na mmoja wao ndio maana huwa namtetea ndugu Moh, tusiwe blinded na a few statements kwenye ma andiko yake ambazo wakati mwingine zina onekana zina hisia kali, that is understandable kutokana na familia/Baba yake kuwa victim wa saula hili, mambo mengine ndugu Moh yuko sahihi by 98.9%. Kwa nini historia ya Taifa letu baada ya uhuru baadhi ya Raia/watu majasiri walio jitolea kwa hali na mali katika kupingana na wakoloni wanafutwa kwenye historia - kuhanzia majina yao na picha zao! Na ukiangalia kwa umakini unakuta idadi ya victims wa Scheme hii ovu hiko highly Disproportionate kwa upande wa ndugu zetu Waislaam, WHY? Mimi nafikiri zoezi hili la kuandika katiba upya lingekwenda sambamba na kuandika historia ya kweli kuhusu Taifa letu, wale wote walio changia katika ukombozi wa Taifa hili wajina yao yawekwe wazi na ijulikane walihusika vipi na ni kitu gani kilijiri mpaka wakasahulika, si hilo tu hata mtu aliye Engineer saula hili ajulikane - Victims wote waombwe msamaha kama wangali hai au warithi wao wapewe medali, bahati nzuri JK anaonekana kulitambua sana hili na kusema kweli anakwenda vizuri na zoezi zima ndio maana mwaka jana/juzi aliwakumbuka baadhi ya mashujaa hawa waliosahulika; Taifa hili lisijiletee mikosi ya bure kwa kuwasahau watu muhimu, tusianze kusingizia/ kuendekeza mambo ya kidini kwenye vitu ambavyo ni OBVIOUS.
 
Back
Top Bottom