Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Daktari Khataan, kwani wewe unadhani mashujaa wa taifa hili waenziwe vipi? Kuna kitu gani kimekosekana hadi tujadili kwa urefu kiasi hiki! Kwanini watu wasifunguke kuhusu kile wanachoona kinapaswa kufanywa?

Dakatari, nikushukuru sana kwa kauli yako ya inferiority complex is a nasty disease. Hakika ulichokisema ni kuntu nami nakipa heko. Ninashindwa kuelewa kwanini watu wanakuwa na inferiority hasa hili la mashujaa. Kwani vikiandikwa vitabu vinavyowahusu bila udanganyifu au uchochezi kuna tatizo gani?

Ukisikia mtu anaongelea mfumokristo ujue ana ugonjwa wa inferiority complex. Mfumo huo haupo isipokuwa inferiority complex ndiyo inautengeneza. Ukishajihisi unaonewa hata kama hakuna uonevu basi kitakachokuwa kinakuonea ni indferiority complex ambayo ni nasty diseasa kwa mujibu wako.

Ukiona mtu anapanga safu ya watu wenye vyeo na kudai yeye hajapewa shea ujue ana ugonjwa wa inferiority.
Kwanini ujadili mawaziri wawili, au makatibu wakuu ambao idadi yao haifiki 300, wakati huo huo usijadili kuhusu shule ya Mkurunga yenye wanafunzi 200 na mmoja wao ni makamu wa shule!

Daktari huoni kujadili vyeo badala ya matatizo ya umasikini kwa ujumla wetu ni inferiority complex.
Huoni kulalama kuwa mzee Mwafongo hajapewa mtaa ni sehemu ya inferiority complex
Huoni kuandika mambo ya kumshusha Nyerere ili Abdul achukue nafasi yake ni sehemu ya inferiority complex

Nashukuru sana umeliona hili na hakika sina tatizo na wewe tena katika mjadala.
Kumbe unajua tatizo lipo wapi kwabahati mbaya hujui nani ana tatizo hilo. Nakusihi uliangalie vema tatizo ulilo li define vizuri sana halafu ujiulize lipo wapi.

Ahsanta mkuu Daktari Kahtaan.

Mkuu, kama utarejea jina au title ya uzi huu. Basi unajitisheleza kabisa kukufahamisha nini lengo lake!

Hapa tunajaribu kuufahamisha ulimwengu NAMNA WAISLAMU WALISHIRIKI KTK HARAKATI ZA KUPIGANIA UHURU WA NCHI HII.
BAAAAAAS!
HAKUNA ZIADA!

Kama tutawapa haki yao Hao wahusika YA KUWATAJA NA KUWAINGIZA KTK HISTORIA IPASAVYO, TUTAKUWA TUMEUTENDEA HAKI KUU UZI HUU NA JAMII YETU KWA UJUMLA!

Sasa anapokuja mtu hapa, eti kwa sababu ya udini wake na chuki zake binafsi juu ya Waislamu. Anaanza kashfa na kejeli! Ohh mbona brbr zimebadilishwa majina na kikwete..!
Ohh mbona vyuo vya kiislamu havijaitwa majina ya mashujaa hao .. bla ..bla
.bla..!!
Maneno yasiokuwa na mantiki hatta kidogo!
Nani kadai majina yao yaandikwe mitaani na ma brbrni??
Tunachosema ni KUWAENZI KWA KUZITAJA HIZO HARAKATI NA JUHUDI ZAO KTK KULIFANYA TAIFA LETU KUPATA UHURU!! that's it!!
Sasa tazama wale walevi maneno yao yalivyo maovu huko nyuma!
Halafu ukiwatolea kashfa zao hadharani!
Wanakuita muhuni mara hili mara lile!
Almuradi mijitu hatta haielewi nini dhumuni la uzi.
Wanaropoka tu!
 
Teh teh teh teh!
Sasa sijui anae zunguka pale pale ni nani??
Hii ni mara ya ngapi unataja brbr na alharamain!!

Is that the only thing you know!?

Teh teh teh teh!

Inferiority complex is a nasty disease!
Teh teh teh! hapo kwenye red umenifurahisha,Idd Mubarak al akhy
Cc Mag3
 
Nilifahamu kuwa hoja zangu hazijibiki na zinasimama kama zilivyo. Kinachofuata sasa ni spinning. Sidhani mtu anayekuwambia ukweli anachuki na wewe au imani yoyote. Tatizo hamtaki kusikia ukweli mnataka kufarijiana kwa maneno ya kupumbazana.

Aliyebadili barabara ya Bagamoyo ni Jakaya Mrisho Kikwete, mbunge wa zamani wa Chalinze na Mzaliwa wa Bagamoyo.Muulizeni kwanini amefuta jina la historia. Huu ni ukweli msiotaka kuusema mnajificha nyuma ya kaburi la Nyerere.

Aliyebadili Ocean rd na kuwa Barack Obama ni JK, mbunge wa Chalinze na mwenyeji wa Bagamoyo.
JK alikuwa member wa Saigon ambayo member wengi ni wazawa wa Jiji .Sehemu ya member wa Saigon wanatengeneza chama cha wazawa wa Dar chini ya akina Kitwana Kondo, Idd Simba, Ramadhan Maadabida n.k.

Historia ya Jiji inaonyesha waliowahi kuongoza yupo Kitwana Kondo, Sykes, Adam Kimbisa, Abou Juma n.k. Kubadilishwa barabara ya bibititi kuwa UWT kulifanywa chini ya uangalizi wa madiwani na meya mzawa.

Juzi Jakaya Kikwete alipobadilisha majina, alifanya hivyo mbele ya Sadick Meshack mkuu wa Mkoa.
Akina SYkes, Kimbisa, KK, Idd , Sophia Simba, Ramadhan Madabida, (Mohamed Said Salum Abdallah Mwekapopo Muyukwa) wameshuhudia. Hakuna aliyenyanyua kinywa wanakimbiliNairobi kueneza uongo

Leo mnaelezwa ukweli mnashindwa kujibu halafu mnasema imani inashambuliwa. P
lease wake up!Mnashindwa kujibu mumejificha nyuma ya computer mkimsumanga Nyerere kaburini.

Mnaona haya msivyokuwa na haya kuwaeleza wanaofanya hayo, mnasubiri mtafute mtu wa kusingizia mfumo Kristo! Nonsense!

Hamuwezi kuwaenzi mashujaa mnaodhani ni wenu mnataka waenziewe kwingine. Badili jina la chuo cha Alharamanini na muite K.Sykes Mbuwane college of Education. Sijui kama hiyo ityabadili uelewa wa wanafunzi lakini kwa vile inaonekana ni factor muhimu sana MS na weznake watimiziwe matakwa na kiu zao

Badili jina la Chuo cha Morogoro na muite Abdul Sykes University.
Kama hilo litapandisha daraja la chuo nawaunga mkono kinyume chake ni upotezaji wa muda na pengine kukosa cha kujadili kuhusu maendeleo.

Sasa nikupe shule maana ninyi ndio wale mnaoamaka asubuhi mkiwa na hukumu zenu mnachotafuta ni aya ili kukamilisha haja zenu. Uislam ni amani na salama.

Jino kwa jino au jicho kwa jicho hufanyika pale tu taratibu za kiislam zitakapokuwa zimetimizwa na ndipo
tunapata neno Fatwa. Kinyume cha taratibu tunapata Alshabaab, Talibani n.k .
Sijui kama wewe unafuta taratibu au ndio Jino kwa jino kwavile tu umesikia ipo mahali.

Nimepigilia misumari na ninaendelea,wenzangu hamjibu hoja, mumejikita katika matusi.
Kwavile mnatukana mtu mwenye akili nzuri akisoma atagundua tofauti miongoni mwetu.
Najua inauma lakini sindano inauma ni dawa.




Naona unakimbilia kulalamika kuwa tumetukana matusi ebu kuwa mungwana wapi nimekutukana sijawahi kukutukana hata siku moja.

Nguruvi3, matatizo ya Waislam siyo kupewa majina ya barabara wala mitaa hii sijui umeipata wapi naona ndiyo hoja yako kuu humu jamvini, wala matatizo ya Waislam siyo Dar es Salaam kama unavyolazimisha Waislam wamepeleka malalamiko yao ya msingi kwa serikali cha kushangaza nyie mwenye chuki na Uislam na Waislam mmekuwa wasemaji wa serikali.

Nguruvi3 ndugu yangu kweli wewe wakunipa darsa la dini yangu nisije kuandika mengine ukasema nimekutukana.

Huu uzi "Islam's role in Tanzania's freedom struggle"

Kuna ubaya gani Waislam kuwataja mashujaa wao.

Tuendelee na mnakasha.
 
Unataka kulishusha kanisa lilumbane na mbwa kwa ajili ya haki ambayo ni obsolete kwa sasa, hahahahahaha, kwi kwi kwi; this what we believe baby;

Better give your path to a dog than be bitten by him in contesting for the right. Even killing the dog would not cure the bite.

Teh teh teh teh!

Hey doggy!

We dont do that! No path is given to a DOG!
We shoot the dOg before he bites!

Thats what we do in my neighbourhood!
So keep out doggy!
 
Idd l mubarak ndugu yangu..

Kullu aamu waantum bikhar!

Nafurahi kukuona al akhiy Boko haram.
Nashukuru ndugu yangu nafyonza ilmu kubwa kutoka kwako,
hawa jamaa ni wabishi sana tumetoka nao mbali sana twende
nao taratibu tu somo litaeleweka tu.Ahsanta.
 
Teh teh teh teh!

Hey doggy!

We dont do that! No path is given to a DOG!
We shoot the dOg before he bites!

Thats what we do in my neighbourhood!
So keep out doggy!
Teh teh teh! EID MUBARAK!
 
Nimeona 'role of individuals' wala sijaona role of Islam as an Institution! Huu ni upotoshaji unaofaa kukipiga marufuku hiki kitabu na kumshitaki huyu kwa uharifu wa kigaidi kama gaidi mwingine yeyote yule
 
Unataka kulishusha kanisa lilumbane na mbwa kwa ajili ya haki ambayo ni obsolete kwa sasa, hahahahahaha, kwi kwi kwi; this what we believe baby;

Better give your path to a dog than be bitten by him in contesting for the right. Even killing the dog would not cure the bite.

Wewe MBWA WA MANZESE naona una bweka hovyo tu kumfurahisha anaekufuga, sijaona cha maana kutoka kwako zaidi ya kubweka hovyo na kupigia jirani kelele.
 
Wewe MBWA WA MANZESE naona una bweka hovyo tu kumfurahisha anaekufuga, sijaona cha maana kutoka kwako zaidi ya kubweka hovyo na kupigia jirani kelele.

Dadangu usibishane na huyu mbwa wa mitaa michafu ya manzese!

Amejaa najsi tupu!

Eid mubarak, wakullu aamun wa-antum bikheir.

Ahsante.
 
Binaadam ana hulka ya anapojiona anaonewa muda wote basi ataamua kupambana, na katika huku kupambana kutategemea namna atakavyo pambana kulingana na anayepambana naye

Madai haya ya waislam wanaodai kuonewa kila uchao kwakawaida huzaa mpambano, mapambano ya aina ya akina Al shabab, Boko haram nk
Kwanini huzaa hivyo? imani yao ina waruhusu kufanya hivyo palae kwa mujibu wa tafsiri zao kuwa uislam upo kwenye hatari na unaonewa
 
Naona unakimbilia kulalamika kuwa tumetukana matusi ebu kuwa mungwana wapi nimekutukana sijawahi kukutukana hata siku moja.

Nguruvi3, matatizo ya Waislam siyo kupewa majina ya barabara wala mitaa hii sijui umeipata wapi naona ndiyo hoja yako kuu humu jamvini, wala matatizo ya Waislam siyo Dar es Salaam kama unavyolazimisha Waislam wamepeleka malalamiko yao ya msingi kwa serikali cha kushangaza nyie mwenye chuki na Uislam na Waislam mmekuwa wasemaji wa serikali.

Nguruvi3 ndugu yangu kweli wewe wakunipa darsa la dini yangu nisije kuandika mengine ukasema nimekutukana.

Huu uzi "Islam's role in Tanzania's freedom struggle"

Kuna ubaya gani Waislam kuwataja mashujaa wao.

Tuendelee na mnakasha.

Magaidi ndio mashujaa wa waislamu.
 
Nimeona 'role of individuals' wala sijaona role of Islam as an Institution! Huu ni upotoshaji unaofaa kukipiga marufuku hiki kitabu na kumshitaki huyu kwa uharifu wa kigaidi kama gaidi mwingine yeyote yule
"Islam's role in Tanzania's freedom struggle"

Huu ulimbo umewachanganya sana teh teh teh!
 
Asante
Nafikiri nilitoa Majibu japo kwa Jumla. Nikirejea sehemu hiyo nilisema kwamba ni kweli Watu wa dini mbalimbali katika sehemu zao za ibada misikitini, makanisani n.k walizitumia kama sehemu za kupeana ujumbe na hamasa juu ya kupigania uhuru. Lakini mambo hayo yalifanyika katika mikusanyiko mbalimbali na nikatoa mfano kwenye vilabu vya pombe. Pia lazima tufahamu kwamba watu hawa wa madhehebu au dini za kigeni (namaanisha wakristo na waislam) walikuwa sehemu ndogo sana ya jamii ya watanganyika kipindi hicho kabla ya uhuru na hata sasa.

Kwa kumalizia naomba kusisitiza kwamba ni Makosa makubwa kwa kikundi chochote kutaka kuhodhi na kujivika sifa kwamba bila kikundi hicho kusingekuwa na uhuru.
splendid!!!!!!!!!:yield:
 
"Islam's role in Tanzania's freedom struggle"

Huu ulimbo umewachanganya sana teh teh teh!

Teh teh teh teh! Matatizo makubwa al habib Ritz!!
 
Last edited by a moderator:
Mtu Mzima kama nilivyo sema mwanzo wa malumbano haya! Mimi hupenda kuja na takwimu ambazo zina ushahidi.
Sasa unaposema ziko idara nyingine NYETI KAMA HII YA ELIMU ILIYO ONGOZWA NA WAISLAMU MIAKA MIINGI! BASI NINGEFURAHI KAMA UTALETA HIZO TAKWIMU HAPA!

Kuhusu mimi kuchagua wizara ya ELIMU!
Nimechagua kukuonyesha data za wizara hii kwa sababu HAKUNA WIZARA MUHIMU KTK NCHI YYT DUNIA KAMA WIZARA YA ELIMU!

Sasa ukija hapa na data za wizara ya mifugo au maendeleo vijijini au wizara ya mipango miji Sidhani kama utaweza kulinganisha hatta kidogo na wizara hii.
Kama nilivyoonya mwanzo kuwa wasio kuwa na ufahamu mara zote hukimbilia kusema waislamu hawakusoma kwa sababu 1.2.3.4 na kuendelea! Na hilo umelisema hapo juu! Halafu hapo hapo unasema kulikuwa na wasomi wengi tu wa kiislamu ambao walikuwapo wakati huo na ukauliza ni kwanini wao wasiliandike hilo alilo litamka nyerere?

Umeuliza kuhusu idadi ya vyuo! Kuliko mimi kuanza kukuorodheshea kimoja kimoja! Kwa nini wewe usiende kuhakiki mwenyewe kuhusu hizi data nilozo kupa??
La mwisho. Ili kukuonyesha kuwa si waislami pekee wenye kufahamu udhalimu wa Nyerere na serikali yake wakati huo!

Hebu pitia kidogo hii link hapa chini.

Ludovick Mwijage: The Dark Side of Nyerere's Legacy - Ludovick Mwijage: The Dark Side of Nyerere's Legacy
Ludovick Mwijage: The Dark Side of Nyerere's Legacy

Cc gombesugu


Maulana Dr Kahtaan

Barkat Al Eid,Al Akhiy.

Niwie radhi ndo kwanza namaliza shughuli za Al Eid na family hapa.

Nimepitia hizi posts humu...Wallahi,imenilazim kucheka mno! Kwi Kwi! Kwi!

Huyo mtu mzima,ndo nilikua namukhis labda atakua ndo reasonable japo kiduchu,lakini matokeo yake nae baada ya kimya chake kingi karejea "mikono mitupu"!? Kwi! Kwi! Kwi!

Hizo ndo dasturi zao,takriban woote. Khalaf wanajaribu kujiita ati wao ndo "wamesoma" na kujaribu kutu-convince ati "hakuna" MfumoKristo!? Mambo yoote,ikiwa pamoja na ubaguzi ulodhahir na kushamiri dhidi ya Waislam na dhiki zao zoote za kukakandamizwa na huo MfumoKristo ati ni "hisia" zetu tu!? Kwi! Kwi Kwi!

Ngoja nami "niwashindilie majiti"....nina maana majiti ya roho,wala si kwingineko! Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.

Cc;Adiosamigo,Boko Haram
 
Back
Top Bottom