Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Waganga wa kienyeji walifanya kazi siku zile mbona hawalalamkiki kusahuliwa nyie mnangangania didi za kuletewa watu waliednada kwa babu bwana. mwaniuzi na ubaguzi wenu.
 
Ama kweli tembea uone!

Huu ni UHARO mwengine tena hapa jamvini tehe tehe tehe!

Waswahili tunasema toa mwiba wa Tak.o kwanza, halafu ukae chini utoe wa mguu

Ukifanya hivyo walau tunaweza kuendelea kujadiliana na wewe hapa Jamvini.
Al maaruf Tayeb , ukhti kahtaan, gombesugu , Ritz

Waungwana nawasihi muwe na lugha ya stara, msitukane Uislam hautaki hivyo.
Mkitukana mtakosa fursa ya kuwalingani watu. Tafadhalini ombeni Mswamaha kwa mwenyezi mungu maana mimi nshawasamehe. Hakuna mtimilifu miongoni mwetu isipokuwa mwenyezi. Chonde chonde msiingie katika khalifu kirahisi.

Watu wana PM wakiuliza mzozo nini hasa? Nafahamu hawajaona hoja kwenu wanashindwa kuelewa.
Hoja zenu zipo wapi ?
 
Last edited by a moderator:
Boko Haram,

Tafadhali Al Akhiy,nakusihi mjibu huyo Nguruvi3,hayo matusi yake alotuachia na kutuita ati sisi ni manyani!?...nafikiri umeisoma uzuri hiyo post yake hapo!? Kwi! Kwi! Kw!

...lakini labda "tumsamehe" kiduchu kwa leo!? Kwi! Kwi! Kwi!

Nafikiri umeisoma hiyo post yake hapo juu sasa hivi,khalaf huyu huyu fata'ani ndo anajidai kuwa defensive na kulaumu yakuwa ati sisi ndo tunatukana!?

Mpaka sasa hivi akiingia mtu yeyote mwenye clear minded...atamstaajabu huyo Nguruwe3,anapodai ati ametoa/wametoa hoja nasi hatujajibu,nafikiri anajaribu "kujipa moyo"!? Kwi kwi! Kwi!

Embu mwambie achungulie hiyo mipini iloshamiri hapo na statitsics kadhaa toka kwa kina Maulana Dr Kahtaan,Shariff Ritz na Murid Al Tayeb!

Pana wageni hapa nyumbani,basi wacha sasa nishughulike nao na kuwakirim kama ada yetu.

Salaam woote,watupendao na wasotupenda humu Jf....Insha Allah twaja zungumza tena si kitambo!

Ahsanta.
 
Waganga wa kienyeji walifanya kazi siku zile mbona hawalalamkiki kusahuliwa nyie mnangangania didi za kuletewa watu waliednada kwa babu bwana. mwaniuzi na ubaguzi wenu.
Neno kubwa! neno hili, tena kuna mengine tunaona haya kuyaweka bayana. Sisi Wabondei wa pwani tunasitiri wezetu.
Hili neno, ni neno kubwa! tena ni khabari kubwa! mashallah umenena!
Kuna jambo katika hili neno! umeliona hili neno, ni neno zito!
 
Al maaruf Tayeb , ukhti kahtaan, gombesugu , Ritz


Watu wana PM wakiuliza mzozo nini hasa? Nafahamu hawajaona hoja kwenu wanashindwa kuelewa.
Hoja zenu zipo wapi ?



Ndugu yetu Nguruvi3,

Acha kupotosha na kudhulumu ukweli!

Hao wenye kuku-PM kinawashinda nini kuingia hapa kuja kujionea wenyewe tangia post ya mwanzo ya hii thread na mpaka hapa tulipofikia!?

Khalaf kama kweli wao ni waungwana/wastaarabu,ndo watapima na kuamua wenyewe!

Ahsanta sana.
 
Khairi inshallah nashukuru al habib. Maneno yakiwa kama ya nguruwe si tatizo, jiulize kama yana mantiki na yana tija kwako?

Ninaposoma matusi yenu dhidi yangu najisikia faraja kwasababu hoja zangu zimesimama zenyewe hazina majibu bali majibu ya matusi. Siku zote matusi ndiyo silaha nyepesi, nzuri na ya haraka kwa asiye na hoja.

Ninahakika nimewachoma lakini sindano inauma sana, tunaipenda ni dawa.
Ningalikuwa na nmana nyngine pengine ningeisema, tatizo mimi humuangalia nyani usoni wakati namshughulikia.

Waungwana, hivi mnajisikiaje mwenzenu akitoa hoja nanyi mkijibu matusi?
Nimeuliza mnachotaka hawa watu kueziwa ni kipi msichokisema?

Ninajua mnataka mitaa ipewe majina yao, je hilo litabadili maisha yenu au ya jamii inayowazunguka.
Hilo lita improve pass mark za wanafunzi wa jabal hilal, al farook au masjid quba!

Nguruvi kwanza naomba nikuulize hivi mtu akidai haki yake ni mjinga sana kwako eehh, kwamfano leo hii Chadema wanalalamikia sana utawala wa CCM ina maana Chadema ni wajinga sana?

Ni lini haya malalamiko wanayoyatoa waislamu yamepata nafasi ya kujadiliwa na kupatiwa ufumbuzi zaidi ya kuambulia matusi hawa AL QAIDA,ALSHABAB na majina mengine ambayo mimi sipendi kuyasema.

Kuhusu mitaa kupewa majina ya hao wazee wanywa kahawa wa gerezani kama munavyo waita sio kwasababu ya kufaidika uislamu ni kwaajili ya kuwaezi hao wazee ili kizazi kijacho kitambue kulikuwa na mtu anaitwa MSHUME KIYATE wala uislamu hautegemei jina la barabara wala jina la shule.

Nguruvi mimi naona wewe huupendi/unauchukia sana uislamu nimeshafuatilia post zako nyingi sana kuanzia ule uzi wako unaohusu mambo ya Zanzibar sio dhumuni langu kukutuhumu lakini ni mtazamo wangu binafsi ni hayo tu.

Ahsanta.
 
Al maaruf Tayeb , ukhti kahtaan, gombesugu , Ritz

Waungwana nawasihi muwe na lugha ya stara, msitukane Uislam hautaki hivyo.
Mkitukana mtakosa fursa ya kuwalingani watu. Tafadhalini ombeni Mswamaha kwa mwenyezi mungu maana mimi nshawasamehe. Hakuna mtimilifu miongoni mwetu isipokuwa mwenyezi. Chonde chonde msiingie katika khalifu kirahisi.

Watu wana PM wakiuliza mzozo nini hasa? Nafahamu hawajaona hoja kwenu wanashindwa kuelewa.
Hoja zenu zipo wapi ?
Nguruvi3,

Nani amekutukana watu wanakujibu kutokana na maneno yako!

Wewe unalazimisha kuwa shida ya Waislam wanataka mitaa ipewe majina ya wazee wao angalia kashfa unazowafanyia kina Mshume Kiyate unawaita kwa kejeli na dhihaka unategemea watu watakujibu majibu gani nani kakuambia Waislam wanataka mitaa?

Ukijadiliana na watu kiungwana utajibiwa kiungwana na heshima, ukijadiliana kwa kejeli na dhihaka ukubaliane na yote unategemea uandike kejeli zako dhidi ya wazee wetu na Uislam watu wakae kimya.

Imeishajiuliza kwa nini watu hawakufuati jukwaa lako la Great Thinkers? nikufahamishe tu hoja zako ambazo unaona zina mashiko unaziita ukweli watu wanaziona ni za kipuuzi na zinajibiwa kipuuzi, wala inawezekana haujazoea kujibiwa namna hii, uzoeshe moyo wako kukosolewa.
 
Last edited by a moderator:
@gombesugu, ahlan wahsalan muungwana.
Pole kwa hamaki na kauli za staftashi, tafadhali pata funda la maji kitako utulize jaka moyo.

Ninaposoma majibu ya kejeli na matusi hujiridhisha hoja zangu zimeeleweka kwa nguvu zake.
Zinajibiwa kwa kejeli kwasababu ndilo jibu lililopo la karibu.

Nimesema ajitokeze mtu anithibitishie kuwa waliopigania uhuru wakiwa na majina ya kiislam wote walikuwa waislam! Hakuna aliyetokea kwasababu mnafahamu wazi kuwa kuitwa Hussein hakumfanyi mtu awe mwislam.

Hoja yangu ipo wazi kabisa. Hakuna sababu ya msingi na ya maana kwa waislam kudai mashujaa wa Uhuru watambuliwe wakati ambapo Waislam hao hao wameshindwa kuwatambua.

Nikaweka hoja za kwanini chuo cha Alharamaini kisiitwe Abdul Sykes, Cha Dodoma kisiitwe K.Kleist n.k. ili kuanza kuwaenzi kwanza kabla ya kwenda kwenye medani ya kitaifa. Charity begins at home.

Ukiita shule kwa jina la Al Farook ambalo ni jina la Kiarabu tu na pengine maana yake ni ndogo sana ukaacha kuita Mshume Kiyate highschool unajidhulumu kabla hujadhulumiwa.

Please try to think beyond your nose!If you cannot dignify your own heroes ironically you hold someone accountable for the same, that's insane to be honest with you.

Nimewauliza, Nyerere amekufa miaka 14 leo hii.
Barbara ya Bagamoyo imepewa jina la Kibaki na kuua. Aliyefanya hivyo ni madiwani wa Dar, Mkuu wa mkoa wa Dar pamoja na Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Kwasababu tu huwa hamna hoja ya maana mumeshindwa kuwa hold accountable wahusika mnatafuta jina la Nyerere kabuirini. Jk, Said Meshaki na madiwani wapo! kwanini mumtafute Nyerere kaburini. Waulizeni hao

Ndivyo ilivyo kwa Oceam Road, hatukusikia Mohamed Said au wengine wenye vichwa kama chake wakisema lolote. Tunamsikia akisemea Nairobi. He did not say anything to JK kwasababu. Leo tunasikia mfumo Kristo ukilaumiwa na Nyerere akiwa kaburini 14 yrs.

Mfumokristo ni dhana inayotengenezwa na Waislam wenyewe. Nitawaambia ukweli hata kama una umma.,
Leo watu wanasugu vichwa barbara zipewe majina!
Wenye akili wanasugua vichwa wafanye nini kuongeza shule, vyuo n.k.

Baada ya miaka 5 it's vicious circle kwasababu kuna mambo yanahitaji weledi. Huwezi kuwa Engineer au Daktari kwa kuteuliwa. Tutasikia wakilalamika JF mfumo kristo. Wamesahau kuwa hawakuwa na muda wa kupambana na mfumo, walitumia muda huo kujadili majina ya marehemu na kama yapewe mitaa! insane!

Kelele za kutambuliwa mashujaa zimesikika na medali zimetolewa. Sijui hilo limesaidiaje jamii ya watu wa Mkuranga wenye shule na mwalimu mkuu msaidizi ni Kiranja. ( Ogah lete habari ile ya Mkuranga)

Watu wanafikiria namna ya kufanya vyuo vyao vitambuliwe duniani, wenzetu mupo bize kutafuta majina na kumshambulia Nyerere. Hakuna anayejiuliza kwanini Morogoro University haipo katika vyuo bora 200 Africa.

Hitimisho ni kuwa
1. Kwanza, historia ya mwanadamu inaandikwa na mwanadamu kwa wakati na matukio.
Nyerere historia yake imeshaandikwa duniani. Hakuna anayeweza kuifuta au kuilingnisha na ya mtu mwingine. Ni ya Nyerere! period.Jitihada za kumpaka matope hazifanyi wengine wang'are.
Abdul Sykes atabaki kuwa raia na ukweli kuwa hakuwahi kuwa Rais wa Tanganyika utabaki pale pale hata kama unauma kama nyuki. Ni maumivu ya kuvumiliana

2. Anzeni kuenzi mashujaa kabla hamjaenda katika jukwaa la kitaifa.
Kama unadhani Jabal hilal ni bora kuliko Idd Faiz Mwafongo that should be your problem.
Hili la majina ni tatizo la utumwa wa kiakili.Waambieni madiwani wabadili majina, Tandamti iitwe Farijala, Twigwa uitwe Tatu Said n.k. Halafu mkae kitako mjiulize baada ya majina kubadilika, maisha ya jamii yamebadilika?

3. Stop the vicious circle of ignorance. Miaka 30 MS analalamika nanyi pia mnachukua kijiti kulalamika miaka 30 mingine. Inaudhi wasomi wanajadili trivial things kama majina ya mitaa na kuacha tatizo la elimu na umasikini katika jamii ile ile inayotaka majina! white elephant!

Kaeni chini mjiulize, kwanini kuna massive failure katika shule za Dar na kuna success Kirinjiko Secondari under the same environment! Kwanini chuo cha Morogoro hadi sasa hakijaweza kuchomoza katika anga za kimataifa hapa East Africa au Africa. Kuna tatizo gani na lisahishiswe vipi.

Mnaposhinda katika internet mki entertain frustration za Mohamed Said kutokuwa meneja wa bandari, si tu hamuitendei haki jamii bali mnazidi kuidhalilisha.

Huwezi kujadili nyuzi nzima kuhusu stupid and trivial thing halafu uka depict positive image ya society. Frustration za MS si tatizo la kitaifa ni tatizo lake, you guys you're easily drawn in.
Mnashindwa kujibu hoja kwasababu you've been drawn in like chicken.
Wake up!

cc Al akhy Tayeb, ukhti Faiza Fox, maulana Ritz, Al Habib kahaatan
Mag3 JokaKuu Wickama AshaDii Mtu Mzima

what u have wrote is nonsensical piece of junk.

u have used logical errors to justify ur rotten ego.

ngoja nile Eid usiniharubie ibada yangu.ntarudi nichambue hoja zako nikianza na moro universty.......time is not my good allie

nimerudi.

moro universty unataka kiwe kwenye top rank wakati kimeanzishwa juzi.chuo sio mchicha upande leo uote kesho.

pia nawe utuletee uthibitisho walipigania uhuru kwa majina ya kikristo wote walikua wakristo

shule zote zinacommitment.anayefanya vizuri zaidi ni yule mwenye commitment zaid

majina ya barabara.hata barabara zote za tanzania zipewe majina ya kiislam.dhulma ya nyerere alizowafanyia waislam hazitofutika.

wewe ni kipofu kiziwi na bubu
 
Last edited by a moderator:
Waganga wa kienyeji walifanya kazi siku zile mbona hawalalamkiki kusahuliwa nyie mnangangania didi za kuletewa watu waliednada kwa babu bwana. mwaniuzi na ubaguzi wenu.
Kwanza hakuna anayelalamika hapa, kama hao waganga wa kienyeji wana mchango wao katika uhuru hakuna tatizo wanaweza kuandika michango yao humu JF na watu watawasoma.
 
Ahsante al habib gombesugu ,
Nakushkuru kaka kwa nasaha zako ghali kabisa!
Vikojozi hawa wanaongea kama hawana meno! Halafu wanajaribu kumuiga yule muasisi wa MFUMO KRISTO!
Eti wanakuuma huku wanakupuliza! Kama panya vile! Teh teh teh teh!

Nguruvi3 maneno yake kama nguruwe3!
Teh teh teh teh!
Amma hizi elimu zao za kata ni mtihani mkubwa! Lkn alhamdulillha mpo waalimu kama wewe na wenzetu kina Ritz Boko haram CHAMVIGA FaizaFoxy Kikwajuni one Tayeb Nonda na wengineo weengi tu! Watakao wakumbusha hawa majeruhi wa siasa ya ujahanam na kujitega!
Teh teh teh teh!

Akhy dr kahtaan nipo nazisoma kwa karibu bayana zenu za uhakika. Nawaonea huruma waliokaa kwa kutetea hata maovu ya watu waliotuweka hapa tulipo kama NYERERE huku wanamlaumu dr Kikwete aliyefanya makubwa na yakutia moyo kwa taifa hili. IDY MUBARAKA KWENU WOTE gombesugu Ritz, Boko haram, the big sHOW, Tayeb, Et al. Endeleeni kumbainishia kipofu huyu wa maovu ya nyerere Nguruvi3 na wengineo.
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3,

Nani amekutukana watu wanakujibu kutokana na maneno yako!

Wewe unalazimisha kuwa shida ya Waislam wanataka mitaa ipewe majina ya wazee wao angalia kashfa unazowafanyia kina Mshume Kiyate unawaitaka kwa kejeli na dhihaka unategemea watu watakujibu majibu gani.

Ukijadiliana na watu kiungwana utajibiwa kiungwana na heshima, ukijadiliana kwa kejeli na dhiaka ukubaliane na yote.

Imeishajiuliza kwa nini watu hawakufuati jukwaa lako la Great Thinkers nikufahamishe tu hoja zako ambazo unaona zina mashiko watu wanaziona ni za kipuuzi na zinajibiwa kipuuzi, inawezekana haujazoea kujibiwa namna hii, uzoeshe moyo wako kukosolewa.
Soma post uone maneno, mara naitwa nguruwe, utumbo, khabithi n.k. Matusi yahaniumizi kabisa kwasababu ukiwa tayari kusema ukweli lazima ujiandae na upinzani wa ukweli.

Kinachoniumiza sana ni hawa wanaosema ni waislam halafu hawautendei wema uislam kwa kusema uongo, kushindwa kulingania na kutoa daawa.

Leo mimi khabithi (gombesugu asema), na nguruwe( Kahtaan anena) mkitaka kunilingania mtafanikiwa vipi kama mumetanguliza matusi? Hebu niwaulize maaana mimi kafir sijui haya, je matusi, kashfa na kejeli ni sehemu ya sunna au hadithi? kama siyo ninyi mumeyapata wapi na mnayatumia kwa idhini ipi?

Ritz umenena uislam ni mfumo mzima wa maisha, je mfumo huo ndio huu munaouambia ulimwengu?
Ninyi mlioamini na kashfa juu yake na khabithi asiyetukana nani anafuata mfumo wa maisha.
Je ndivyo mnavuta watu kwenye dini kwa maneno ya dhihaka kashafa na dhalili badala ya hoja?

Hebu jitazameni kwanza halafu muone ninyi na mimi tunalingana na tunatofutiana wapi.
Hakika nawaheshimu na sitawatukana maana hakuna imani inayofunza idhara, kashfa, khalifu na tashtiti miongoni mwa viumbe wa mwenyezi mungu.

Mimi nshawasamehe, timizeni wajibu wenu kumomba msamaha.
Sitawaone haya kuwaambi ukweli na huo nitausema. Sitawafariji kwa uongo nitawafariji kwa ukweli tena ukweli mtupu. Sitawapendeza mnipende nitawaambia mpende hoja zangu. Nitawasaidia muone msichokiona au kilichofichwa na hamkioni hata kama mtanishikia upanga!
 
Akhy dr kahtaan nipo nazisoma kwa karibu bayana zenu za uhakika. Nawaonea huruma waliokaa kwa kutetea hata maovu ya watu waliotuweka hapa tulipo kama NYERERE huku wanamlaumu dr Kikwete aliyefanya makubwa na yakutia moyo kwa taifa hili. IDY MUBARAKA KWENU WOTE gombesugu Ritz, Boko haram, big sHOW, Tayeb, Et al. Endeleeni kumbainishia kipofu huyu wa maovu ya nyerere Nguruvi3 na wengineo.
Hapa Sheikh mimi naona vema, pengine wenzangu humuoni. Msichotaka kuambiwa ni ukweli, ninachoraka kuwaambia ni ukweli.

Ukhti Kahtaan kasema inferiority complex is a nasty disease, hicho ndicho kinatofautisha hoja zetu. Ukishasema fulani hajaaenziwa kwa kuwa hakuna mtaa au barabara, hiyo ni inferiority complex.
Kibaya zaidi huyo Mshume hajaeziwa na waislam hao hao lakini wanataka makubwa, sijui ni yapi hayo.

Kuna tatizo la kupendana bila kuelezana ukweli, hilo ndilo najaribu kuwafungua macho.
Wsioona ni ninyi nami nawashangaa iweje watu zaidi ya 10 hamjaona ninazungumzia nini? Ni mapenzi baina yenu yanawafunga macho au ni ubutu wa kuona?
 
what u have wrote is nonsensical piece of junk.

u have used logical errors to justify ur rotten ego.

ngoja nile Eid usiniharubie ibada yangu.ntarudi nichambue hoja zako nikianza na moro universty.......time is not my good allie
Eid Mubarak Polite, nakutakia heri ili ufunguke macho na ufuate imani yako vema. Ritz kasema Uislam ni mfumo mzima wa maisha, je hayo uliyoandika ndio yanawakilisha mfumo huo?

 
Last edited by a moderator:
Nguruvi kwanza naomba nikuulize hivi mtu akidai haki yake ni mjinga sana kwako eehh, kwamfano leo hii Chadema wanalalamikia sana utawala wa CCM ina maana Chadema ni wajinga sana?

Ni lini haya malalamiko wanayoyatoa waislamu yamepata nafasi ya kujadiliwa na kupatiwa ufumbuzi zaidi ya kuambulia matusi hawa AL QAIDA,ALSHABAB na majina mengine ambayo mimi sipendi kuyasema.

Kuhusu mitaa kupewa majina ya hao wazee wanywa kahawa wa gerezani kama munavyo waita sio kwasababu ya kufaidika uislamu ni kwaajili ya kuwaezi hao wazee ili kizazi kijacho kitambue kulikuwa na mtu anaitwa MSHUME KIYATE wala uislamu hautegemei jina la barabara wala jina la shule.

Nguruvi mimi naona wewe huupendi/unauchukia sana uislamu nimeshafuatilia post zako nyingi sana kuanzia ule uzi wako unaohusu mambo ya Zanzibar sio dhumuni langu kukutuhumu lakini ni mtazamo wangu binafsi ni hayo tu.

Ahsanta.
Hapana Boko, kuupenda uislam hakuna maana kudanganyana.
Kuupenda uislama haina maana kufarijiana kwa uongo.
Kuupenda uislam ni kutenda yale Uislam unayotaka yatendwe.

Sina uhakika kama uongo, fitna majungu na mengine kama hayo ni sehemu ya Uislam, nifahamishe.
Nikupe mfano, utasemaje Nyerere kaleta mfumokristo wakati una mtoto anakwenda shule isyo na mwalimu.Nyerere alifariki mtoto hajazaliwa, wewe baba bado unapiga hadithi za mfumo krosto, hujishugulishi kufikiri kwanini shule haina mwalimu.

Sasa nikisema naambiwa khabithi, je yule anayeficha ukweli kwa kumsingizia Nyerere miaka 14 kaburini ndio mwislam halisi? Maana uislam ni mfumo mzima wa maisha kwa mujibu wa Ritz, sasa mfumo huo unakusudia kuwa na wanafiki, waongo na wazushi? sidhani!
kama sivyo tatizo lipo wapi? Na kwanini watu watende kinyume na mafunzo?
Je, anayesema umekosea anasema yale ya mfumo mzima wa maisha au ndio haupendi uislam kwa mujibu wenu.

Samahani kama umenielewa vibaya, sina chuki na imani yoyote ya mtu kwasababu kila mtu ana hukmu yake siku ikiwadia.

 
Kwanza hakuna anayelalamika hapa, kama hao waganga wa kienyeji wana mchango wao katika uhuru hakuna tatizo wanaweza kuandika michango yao humu JF na watu watawasoma.
Kwani tunaongelea wapigania uhuru kwa ujumla au kundi fulani? Mbona unakana habari yako mwenyewe>
 
Boko haram kuna hoja muhimu sana nitakujibu baadaye, kwanini watu wanasema Alqaaeda, alshabaab n.k.
Hakika ni hoja mujarabu na tuipe heshima yake. Nitafaanua baadaye japo kwa upeo wangu wa ki habithi na kikafir
 
Last edited by a moderator:
Soma post uone maneno, mara naitwa nguruwe, utumbo, khabithi n.k. Matusi yahaniumizi kabisa kwasababu ukiwa tayari kusema ukweli lazima ujiandae na upinzani wa ukweli.

Kinachoniumiza sana ni hawa wanaosema ni waislam halafu hawautendei wema uislam kwa kusema uongo, kushindwa kulingania na kutoa daawa.

Leo mimi khabithi (gombesugu asema), na nguruwe( Kahtaan anena) mkitaka kunilingania mtafanikiwa vipi kama mumetanguliza matusi? Hebu niwaulize maaana mimi kafir sijui haya, je matusi, kashfa na kejeli ni sehemu ya sunna au hadithi? kama siyo ninyi mumeyapata wapi na mnayatumia kwa idhini ipi?

Ritz umenena uislam ni mfumo mzima wa maisha, je mfumo huo ndio huu munaouambia ulimwengu?
Ninyi mlioamini na kashfa juu yake na khabithi asiyetukana nani anafuata mfumo wa maisha.
Je ndivyo mnavuta watu kwenye dini kwa maneno ya dhihaka kashafa na dhalili badala ya hoja?

Hebu jitazameni kwanza halafu muone ninyi na mimi tunalingana na tunatofutiana wapi.
Hakika nawaheshimu na sitawatukana maana hakuna imani inayofunza idhara, kashfa, khalifu na tashtiti miongoni mwa viumbe wa mwenyezi mungu.

Mimi nshawasamehe, timizeni wajibu wenu kumomba msamaha.
Sitawaone haya kuwaambi ukweli na huo nitausema. Sitawafariji kwa uongo nitawafariji kwa ukweli tena ukweli mtupu. Sitawapendeza mnipende nitawaambia mpende hoja zangu. Nitawasaidia muone msichokiona au kilichofichwa na hamkioni hata kama mtanishikia upanga!
Nguruvi3.

Naomba nikufafanulie kidogo/kiduchu kuhusu neno kafiri.

Kwanza neno kafiri sio tusi naomba ulitambue wewe na wengine wanaofikra hizo potofu,
kafiri maana yake ni mtu ambaye anafunika ukweli na kufuata batili kwahiyo ukiona muislamu
anamuita mkristo kafiri sio tusi ndivyo kitabu chetu kinavyo sema tuendelee na mnakasha.

Ahsanta.
 
Hapa Sheikh mimi naona vema, pengine wenzangu humuoni. Msichotaka kuambiwa ni ukweli, ninachoraka kuwaambia ni ukweli.

Ukhti Kahtaan kasema inferiority complex is a nasty disease, hicho ndicho kinatofautisha hoja zetu. Ukishasema fulani hajaaenziwa kwa kuwa hakuna mtaa au barabara, hiyo ni inferiority complex.
Kibaya zaidi huyo Mshume hajaeziwa na waislam hao hao lakini wanataka makubwa, sijui ni yapi hayo.

Kuna tatizo la kupendana bila kuelezana ukweli, hilo ndilo najaribu kuwafungua macho.
Wsioona ni ninyi nami nawashangaa iweje watu zaidi ya 10 hamjaona ninazungumzia nini? Ni mapenzi baina yenu yanawafunga macho au ni ubutu wa kuona?

Mapenzi baina yetu ni muhimu sana na kwa mapenzi hayo ndio yatakayotukutanisha mbele ya Jaaliya tukiwa pamoja. Tatizo Nguruvi3 huwa unaongea sana na unaandika sana. Mwanzoni nilikuwa nakukubali sana ila nimekushusha hadhi kwa inapokuja kwenye masuala uliyo na interest nayo huwa unaufungia macho ukweli. UMEKUWA UKITOA HOJA ZA KUWADIDIMIZA NA KUWAKANDAMIZA WAZANZIBAR, WAISLAMU WANAPOKUWA NA HOJA ZAO HATA ZILE ZENYE USHAHIDI WA WAZI UNAPINGA NA KUTETEA UPANDE WAKO. Hauaminiki kwakuwa uko biased katika arguments zako nyingi hasa suala linalohusu 1. WAZANZIBAR, 2. UTAWALA WA KIKWETE, 3. SUALA LINALOHUSU WAISLAMU. Kwahiyo hata uandike sana ila mwisho wa siku utaaminika kwa wanaokuitifaki na wengine wanaokujua wanadharau sana maneno yako. Mtu muongo hapaswi kuaminiwa hata pale akiongea ukweli. Halafu dr kahtaan sio Ukht ni akhy.
 
Last edited by a moderator:
Mapenzi baina yetu ni muhimu sana na kwa mapenzi hayo ndio yatakayotukutanisha mbele ya Jaaliya tukiwa pamoja. Tatizo Nguruvi3 huwa unaongea sana na unaandika sana. Mwanzoni nilikuwa nakukubali sana ila nimekushusha hadhi kwa inapokuja kwenye masuala uliyo na interest nayo huwa unaufungia macho ukweli. UMEKUWA UKITOA HOJA ZA KUWADIDIMIZA NA KUWAKANDAMIZA WAZANZIBAR, WAISLAMU WANAPOKUWA NA HOJA ZAO HATA ZILE ZENYE USHAHIDI WA WAZI UNAPINGA NA KUTETEA UPANDE WAKO. Hauaminiki kwakuwa uko biased katika arguments zako nyingi hasa suala linalohusu 1. WAZANZIBAR, 2. UTAWALA WA KIKWETE, 3. SUALA LINALOHUSU WAISLAMU. Kwahiyo hata uandike sana ila mwisho wa siku utaaminika kwa wanaokuitifaki na wengine wanaokujua wanadharau sana maneno yako. Mtu muongo hapaswi kuaminiwa hata pale akiongea ukweli. Halafu dr kahtaan sio Ukht ni akhy.
Al akhy hapo ndio hata mimi ananishangaza Nguruvi3 hayo uliyo yazungumzia hata mimi nimeyaona kuhusu wazanzibar
ndio kabisa hataki hata kuwasikia maskini sijui hata wamemkosea nini ngoja tumsubiri labda ana hoja zake za kutueleza.
 
Back
Top Bottom