OMG, Big U turn. Sasa hutaki kwenda kuuliza watoto wa Mshume kiyate tena ! teh teh hihhi uwii, mbavu zangu.
Beating around the bush engulfed with fire amid delirium and confusion. No ground to stand!
Malengo yenu yameshindwa kwasababu hamuwezi kujenga hoja.
Kuna kitu mlitaka mnaogopa kwakujua hoja hazijitoshelezi,zitakumbana na moto na zitawaacha uchi.
Guys lazima muwe organized, mfahamu mnataka kusema nini kwa njia ipi na hoja zipi.
Lazima mcheki background na muwe well informed. Msiendeshwe na emotions tu.
Clearly hakumjibu hoja na mume back off, not bad but it is a failure.
Go back to the drawing board and reorganize.
Hivi vinaitwa vicheko vya kinafiki!
Ukweli ni kuwa wewe hucheki bali unajilazimisha kucheka!
Ni nani anaegeuka geuka kama kinyonga!!?
Mimi au wewe!!??
Si wewe hapo nyuma tu ulikuwa UKIKATAA KATA KATA KUWA WAISLAMU HAWAKUDHULUMIWA NA HUYO NYERERE WAKO NI MTAKATIFU!!?
ULIPOONA HUNA POINTS UKAONGEZEA KWA KUSEMA "SIO WOTE WENYE MAJINA YA KIISLAMU NI WAISLAMU??
ULIPO SHINDWA HILO PIA,
ghafla UNATAKA TUSHAURIANE NI VIPI TUWAENZI HAO WAISLAMU?
Umeniuliza ZAIDI YA MARA 4! JE! TUFANYE LIPI KUWAFANYIA HAKI HAO MASHUJAA WA KIISLAMU!?
Nikakutizama unavyo jiuma uma! SIKUKUJIBU Nilikuwa nataka Umma wakuone ulivyo NA SURA NYINGI!!
Ghafla shariff
Ritz kwa huruma zake akareje kuku kumbusha yale aliyo yaanzisha sheikh
Mohamed Said .
Sasa unarudi hapa na vicheko vya kilevi!!
Huu ndio unafiki wa kigalatia! Manake hata haya huna!
Halafu ukiambiwa ukweli unaanza kuongelea puani! ohh sisi watu wa pwani ohh tuongee kiungwana!
Uungwana vitendo
Nguruvi3 !
Mtu mwenye sura zaidi ya moja ABADAN HAWEZI KUWA MUUNGWANA!
And unfortunately you my friend you are not only two face! BUT 10 faces! In front of us! plus one for nyerere and his associate.
Na la kuongezea! Umesema wewe mtu wa pwani!!
Hili linanishangaza kidogo kwa sababu watu wa pwani hawana sura mbili!
Ni aidha yuko na wewe au against!
Hebu fanya mpango wa kucheki dna!
Manake hii minakasha inaweza kumfungua mtu macho! Akaona vilivyojificha miaka mingi.!!
Kila la kheri.