Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Ni hivi kwa miaka mingi Mohamed Said amewaaminisha watu wa Ulaya na Marekani kuwa mwanzilishi wa AA ni K.Sykes. Si kweli ni mwalimu Cecil Matola.

Amewaaminisha watu kuwa Nyerere aliingia siasa baada ya kukutana na Abdul Sykes, si kweli na imethibitishwa.
Ameanisha watu kuwa hakuwahi kukutana na wajumbe wa AA kabla ya kukutana na Sykes mwaka 1952. SI kweli, alikutana na Dosa mwaka 1948.

Ameaminisha watu kuwa Sheikh Amir alinyimwa fursa katika serikali ya Nyerere baada ya kuongoza harakati za uhuru. Si kweli alipewa nafasi ya uwaziri akaikataa.

Mifano ni mingi sana ambayo Mohamed amekubali kuwa ni matatizo ya uandishi. Kilichopelekea yote kujulikana ni kutokana na Watanganyika wenyewe kuelewa undani na kushindwa kuunganisha dot.

Watu walijiuliza hivi inawezekana mwanzilishi wa chama akawa katibu mkuu bila kuwa na rais au mwenyekiti.
Ndipo waungwana wakasema no way baada ya kufukua wakaona Cecil Matola ndiye mwanzilishi wa wazo.
Kibaya zaidi hata akina Ramadhani Ally hawakuelezewa kwasababu tu wangefunika taswira ya mkusudiwa.
Leo tunajua AA ilikuwa na makamu wa rais.

Kuhusu wazungu nashukuru umekiri kuwa wana uwezo mkubwa na ni kwa uwezo huo kumwalika Mohamed ni sehemu ya kutaka kujua mengine nje ya historia. Utashangaa siku yanapotoka maandishi kuhusu 'extremist' wa East Africa au kuhusu udini Tanzania n.k. kwahiyo usifanye conclusion kuwa wanataka kujua sana kuhusu mzee Kiyate, wana zaidi ya hapo.


Nguruvi,
Usiniwekee maneno yako katika mdomo wangu.

Sijapatapo kusema ''matatizo ya uandishi'' katika mjadala wangu na wewe.
Ikiwa unacho kipande hicho kilete tukijadili.

Tuanze na Cecil Matola.

Ukitaka kujua ushawishi wa Cecil Matola katika siasa za Dar es Salaam ya 1920s
inakubidi kwanza ujue nani walikuwa wakitawala mji.

Kwa hakika si Cecil Matola na taarifa zake ni chache sana katika yale yaliyokuwa
yakitendeka Dar es Salaam.

Huyu Matola hakukaa sana katika uongozi wa AA kwa kuwa alikufa 1933.

Kleist alikuwa na ushawishi mkubwa katika mambo ya Dar es Salaam na ndiyo maana
katika vyama viwili vikubwa vya mjini yeye alikuwa kila siku akichaguliwa kuwa katibu
hata katika chama cha wafanyakazi wa reli alikokuwa akifanya kazi - Tanganyika
Railways.

Kleist alikuwa katiba muanzilishi wa AA (1929) na katibu muanzilishi wa Al Jamiatul Islamiyya
fi Tanganyika (1933). Vilevile katibu kamati ya kujenga shule ya Al Jamiatul Islamiyya Muslim
School.

Lakini kubwa ukimfananisha na wenzake wote Kleist alikuwa akifanya biashara na akatajirika
akiwa na umri mdogo sana...miaka 25.

Hela za Kleist zilisukuma sana harakati mbele na ndiyo kisa cha wanae kuja kutawala siasa za
Dar es Salaam baada ya kifo cha baba yao mwaka 1949.

Hilo wazo la kuanzisha AA alilitoa Dr Aggrey kwa Kleist mwaka 1924.

Taarifa hizi zipo katika mswada alioandika Kleist kabla hajafa na ukitaka zaidi soma maisha ya
Kleist katika Modern Tanzanians kitabu alichohariri John Iliffe na aloandika habari za Kleist ni mjukuu
wake Daisy Aisha Abdulwahid Sykes mwanafunzi wa Ilifee University of Dar Salaam 1968.

Bwana Nguruvi wewe hodari wa kutaja majina lakini tatizo lao kubwa huna taarifa za hao watu
unaowaleta hapa jamvini.

Mimi sijapata kukutana na jina la Ramadhani Ali na mara kadhaa nimekuomba utuwekee hapa
yale alofanya katika siasa za Dar es Salaam lakini hadi leo wewe umekazania kutaja jina lake
tu.

Angalia.
Mabingwa wa AA wanajulikana na taarifa zao wala si siri.

Kuna Erika Fiah ambae akichuana sana na Kleist katika kugombea uongozi wa AA.
Yupo Mzee bin Sudi.

Wapo Hassan Taufik Suleiman, Ali Juma Ponda, Edward Mwangosi na wengineo wengi.

Ramadhani Ali sijapata kumuona si katika majalada ya Sykes wala Tanzania National
Archives (TNA).

Lakini hili si kubwa huenda kanipita pembeni na itakuwa kheri kubwa kwa ukumbi huu
kupata taarifa mpya za mtu huyu.

Ila jua moja.
Hata bingwa wa historia ya Tanganyika John Iliffe hajamtaja Ramadhani Ali popote pale

Mwisho nikuulize Bwana Nguruvi.

Kwa wazee wangu kuondolewa katika historia ya uhuru kulisukumwa na udini hata
unisusulike mimi na udini kwa kuandika kitabu kilichosahihisha historia hiyo?

Mimi ''extremist'' na ndiyo maana napata mialiko...
Mdomo haumkatai bwana wake.

Napata mialiko kwa kuwa yale ninayoandika yana maana.

Tumalize na Nyerere.

Kama una taarifa za Nyerere kufanya makubwa katika siasa za Tanganyika kabla ya
kuja Dar es Salaam na kukutana na Abdulwahid Sykes hebu tupe.

Hiyo kudanadana na Nyerere na siasa za kufikirika haisaidii katika mjadala.

Nyerere ahkuna liyekuwa anamjua katika ulingo wa siasa hadi alipoletwa kwa Abdu na
Joseph Kasella Bantu.

Najua unakereka kusikia habari za baba yangu.
Baba yangu kafahamiana na Nyerere pale nyumbani kwa Abdu Sykes.

Na si yeye tu.

Watu wengi wa Dar es Salaam wamemjulia pale nyumbani kwa Abdu Mtaa wa Aggrey
na kwa Dossa Mtaa wa Mbaruku na wengine pale ofisini kwa Abdu Soko la Kariakoo.

Na katika watu waliomjua kwa karibu sana Nyerere pale Kariakoo Market ni Mzee Abdalla na
Shariff Abdallah Attas.

Kwa watu hawa nimepata mengi sana ya siasa za 1950 nyumbani kwa Abdu na hata pale ofisini
kwake Kariakoo Market.

Hii ndiyo historia ya wazee wangu na Nyerere na hii ndiyo historia ya mji wangu wa Dar es Salaam
nilozaliwa.

Hakuna wa kuja kunifundisha historia hii.
Mimi nimeishi ndani ya historia hii.
 
Nguruvi,
Usiniwekee mamneno yako katika mdomo wangu.

Sijapatapo kusema ''matatizo ya uandishi'' katika mjadala wangu na wewe.
Ikiwa unacho kipande hicho kilete tukijadili.

Tuanze na Cecil Matola.
Ukitaka kujua ushawishi wa Cecil Matola katika siasa za Dar es Salaam ya 1920s
inakubidi kwanza ujue nani walikuwa wakitawala mji.Kwa hakika si Cecil Matola na taarifa zake ni chache sana katika yale yaliyokuwa yakitendeka Dar es Salaam.Huyu Matola hakukaa sana katika uongozi wa AA kwa kuwa alikufa 1933.

Kleist alikuwa na ushawishi mkubwa katika mambo ya Dar es Salaam na ndiyo maana
katika vyama viwili vikubwa vya mjini yeye alikuwa kila siku akichaguliwa kuwa katibu
hata katika chama cha wafanyakazi wa reli alikokuwa akifanya kazi - Tanganyika
Railways.

Kleist alikuwa katiba muanzilishi wa AA (1929) na katibu muanzilishi wa Al Jamiatul Islamiyya
fi Tanganyika (1933). Vilevile katibu kamati ya kujenga shule ya Al Jamiatul Islamiyya Muslim
School.Lakini kubwa ukimfananisha na wenzake wote Kleist alikuwa akifanya biashara na akatajirika
akiwa na umri mdogo sana...miaka 25.

Hela za Kleist zilisukuma sana harakati mbele na ndiyo kisa cha wanae kuja kutawala siasa za
Dar es Salaam baada ya kifo cha baba yao mwaka 1949.

Bwana Nguruvi wewe hodari wa kutaja majina lakini tatizo lao kubwa huna taarifa za hao watu
unaowaleta hapa jamvini.Mimi sijapata kukutana na jina la Ramadhani Ali na mara kadhaa nimekuomba utuwekee hapa
yale alofanya katika siasa za Dar es Salaam lakini hadi leo wewe umekazania kutaja jina lake
tu. Angalia.
Mabingwa wa AA wanajulikana na taarifa zao wala si siri.
Kuna Erika Fiah ambae akichuana sana na Kleist katika kugombea uongozi wa AA.
Yupo Mzee bin Sudi.Wapo Hassan Taufik Suleiman, Ali Juma Ponda, Edward Mwangosi na wengineo wengi.

Ramadhani Ali sijapata kumuona si katika majalada ya Sykes wala Tanzania National
Archives (TNA).Lakini hili si kubwa huenda kanipita pembeni na itakuwa kheri kubwa kwa ukumbi huu
kupata taarifa mpya za mtu huyu.Ila jua moja.Hata bingwa wa historia ya Tanganyika John Iliffe hajamtaja Ramadhani Ali popote pale

Mwisho nikuulize Bwana Nguruvi.
Kwa wazee wangu kuondolewa katika historia ya uhuru kulisukumwa na udini hata
unisusulike mimi na udini kwa kuandika kitabu kilichosahihisha historia hiyo?

Mimi ''extremist'' na ndiyo maana napata mialiko...
Mdomo haumkatai bwana wake.

Napata mialiko kwa kuwa yale ninayoandika yana maana.
Kwanza naomba usiniwekee maneno mdomoni. Hakuna mahali ambapo nimesema wewe ni extremist. Soma sentensi yangu kwa uangalifu halafu ujiridhishe kuwa nimesema wewe ni extremist. Hii hulka ya spinning ndio ninayoiona kwa vijana wako wakisema nimekuita stupid bila ushahidi. Naomba haya niwaachie huko katika darsa zenu.

Pili, unaposema habari za Cecil Matola hazijulikani si kweli. Hazijulikani kwasababu hukutaka zijulikane. Kifo cha Cecil mwaka 1933 taa ikiwa na miaka 4 hakimfanyi matola asiwe katika historia. Yeye alikuwa rais wa kwanza wa AA hilo linnabaki kuwa ukweli na kulikana si kumtendea haki. Sykes na utajiri wake havimfanyi awe rais wa AA alikuwa katibu mkuu na huuo utabaki ukweli. Utajiri ulikuwa wake na familia yake bila kuondoa au kupunguza intellectual capacity ya mwalimu Cecil Matola.

Tatu, nakumbuka katika mijadala ya nyuma ilizungumziwa makamu wa rais wa AA. Hapa namwalika Mag3 kwasababu katika majibizano hukukanusha kuwepo kwa makamu wa rais tena mtu wa pwani (mndengereko? mzaramo?) kwahiyo subiri tutapata habari. Ima nimekosea jina hilo nalo pia tutalifahamu.

Nne, umewahi kusema kuwa katika maandishi yako huwezi kuandika kila kitu na kusema matatizo mengine yanayotokana na uandishi ni kwa muktadha huo. Nyuzi tulizowahi kujadiliana tangu mwaka 2010 ni nyingi na si rahisi kuvuta. Ninachokuhakikishia ni kuwa hilo limetokea.

Tano, napenda kukuhakikishia kuwa kitabu chako hakijasahihisha makosa ya historia. Kimezidi kujenga ufa mkubwa sana katika jamii kwa kutuondoa katika ukweli. Kitabu kimelenga kumshambulia mtu mmoja na hata kushindwa kuwataja wengine. Mfano, role ya Kyaruzi haiwezi kuwa ndogo kuliko ya Mshume. Watu wote waliokuwa na imani tofauti wameondolewa katika kitabu chako kwa makosa yale yale unayolalamikia.

Zaidi ya hapo unapoona nyuzi na habari za kuhusu waislam huku nukuu zako zikitumika ni ushahidi kuwa kitabu chako kipo katika mahadhi ya kidini.

Hakuna tatizo kuandika kuhusu kundi unalolilenga lakini basi fanya hivyo kwa kusema unaandika historia ya kundi hili ndani ya Tanganyika na si historia ya Tanganyika.
Hadi hapo hutakuwa na mamlaka ya kusema unasahihisha historia utakuwa na mamlaka ya kusema unaandika historia pungufu ukilenga kundi fulani, tutakuelewa.

 
Last edited by a moderator:
Please omyesha wapi neno hilo nimelitumia kwa Mohamed. Vinginevyo kumzulia mtu jambo si sehemu ya maadili au uadilifu kibinadamu na kwa dini the least to say. Hivi mbona mimi mumeniita kila aina ya neno na mara zote nimekuwa nawasihi kuhusu ndimi zenu iweje muzue jambo ambalo halipo?

Nguruvi,
Kumbe una ''short memory.''
Rudi nyuma soma.

Na mimi nikalisema hilo ingawa sikuchukia.
 
Kwanza naomba usiniwekee maneno mdomoni. Hakuna mahali ambapo nimesema wewe ni extremist. Soma sentensi yangu kwa uangalifu halafu ujiridhishe kuwa nimesema wewe ni extremist. Hii hulka ya spinning ndio ninayoiona kwa vijana wako wakisema nimekuita stupid bila ushahidi. Naomba haya niwaachie huko katika darsa zenu.

Pili, unaposema habari za Cecil Matola hazijulikani si kweli. Hazijulikani kwasababu hukutaka zijulikane. Kifo cha Cecil mwaka 1933 taa ikiwa na miaka 4 hakimfanyi matola asiwe katika historia. Yeye alikuwa rais wa kwanza wa AA hilo linnabaki kuwa ukweli na kulikana si kumtendea haki. Sykes na utajiri wake havimfanyi awe rais wa AA alikuwa katibu mkuu na huuo utabaki ukweli. Utajiri ulikuwa wake na familia yake bila kuondoa au kupunguza intellectual capacity ya mwalimu Cecil Matola.

Tatu, nakumbuka katika mijadala ya nyuma ilizungumziwa makamu wa rais wa AA. Hapa namwalika Mag3 kwasababu katika majibizano hukukanusha kuwepo kwa makamu wa rais tena mtu wa pwani (mndengereko? mzaramo?) kwahiyo subiri tutapata habari. Ima nimekosea jina hilo nalo pia tutalifahamu.

Nne, umewahi kusema kuwa katika maandishi yako huwezi kuandika kila kitu na kusema matatizo mengine yanayotokana na uandishi ni kwa muktadha huo. Nyuzi tulizowahi kujadiliana tangu mwaka 2010 ni nyingi na si rahisi kuvuta. Ninachokuhakikishia ni kuwa hilo limetokea.

Tano, napenda kukuhakikishia kuwa kitabu chako hakijasahihisha makosa ya historia. Kimezidi kujenga ufa mkubwa sana katika jamii kwa kutuondoa katika ukweli. Kitabu kimelenga kumshambulia mtu mmoja na hata kushindwa kuwataja wengine. Mfano, role ya Kyaruzi haiwezi kuwa ndogo kuliko ya Mshume. Watu wote waliokuwa na imani tofauti wameondolewa katika kitabu chako kwa makosa yale yale unayolalamikia.

Zaidi ya hapo unapoona nyuzi na habari za kuhusu waislam huku nukuu zako zikitumika ni ushahidi kuwa kitabu chako kipo katika mahadhi ya kidini.

Hakuna tatizo kuandika kuhusu kundi unalolilenga lakini basi fanya hivyo kwa kusema unaandika historia ya kundi hili ndani ya Tanganyika na si historia ya Tanganyika.
Hadi hapo hutakuwa na mamlaka ya kusema unasahihisha historia utakuwa na mamlaka ya kusema unaandika historia pungufu ukilenga kundi fulani, tutakuelewa.


Nguruvi,
Utapata sana shida na mimi.
 
Yani wewe jamaa IQ yako ilivyo ilivyondogo hata mdogo wangu wa mwsho form one maua seminary huwezi ku'argue nae.
Nguchiro kazi yake ni moja tu, kumbe humu tunaweza kuwa tunabishana na watoto wetu humu ukumbini.

Baba yako kumbe mtoto wake wa mwisho anasoma form one maua seminari teh teh teh!! Ndiyo maana hauna cha kuandika masikini zaidi ya kumpa moyo Nguruvi3 asikate tamaa.

Vizuri umetufahamisha kuhusu familia yenu, sawa endelea kutoa kichwa shimoni.
 
Mohamed Said ili kukudhihirishia kuwa historia yako imelenga kuwaondoa watu wengine na haikulenga kusahihisha historia soma kipande chakeo hapa chini
........ Ali Juma Ponda Hassan Suleima and Ali Migeyo began to organise the people in 1940s immediately after World War II through the African Association (AA) Ali Juma Ponda Hassan Suleima and Ali Migeyo began to organise the people in 1940s immediately after World War II through the African Association (AA) founded in 1929 by Kleist Sykesas founding secretary.
Umeeleza kuhusu K.Sykes bila kueleza hicho chama kilikuwa na katibu mkuu peke yake tu. Ulifahamu kuwa Cecil Matola alikuwepo lakini jitihada zako za kuficha ukweli zikatamalaki kwasababu rahisi ya imani. Hakuna shida ukisema hilo shida ni pale unapotaka ulimwengu uamini historia yako ni ya Tanganyika kumbe ni ya kundi ndani ya Tanganyika tean kukiwa na misleading za kutosha tu.

Ukisoma hiyo utagundua kuwa baada ya miaka mingi ya kusema Sykes ndiye mwanzilishi hatimaye safari hii umeenda Nairobi ukiwa sober ''founded in 1929 by Kleist Sykes as founding secretar
y''
Wale mnaodhani sisi ni 'wendawazimu' oneni nguvu ya hoja inavyoweza kuisadia jamii. Leo jamii inafahamu huyu ni mmoja wa waanzilishi akiwa katibu si mwanzilishi kama ilivyokuwa imefinyangwa siku za nyuma.
 
@gombesugu, ahlan wahsalan muungwana.
Pole kwa hamaki na kauli za staftashi, tafadhali pata funda la maji kitako utulize jaka moyo.

Ninaposoma majibu ya kejeli na matusi hujiridhisha hoja zangu zimeeleweka kwa nguvu zake.
Zinajibiwa kwa kejeli kwasababu ndilo jibu lililopo la karibu.

Nimesema ajitokeze mtu anithibitishie kuwa waliopigania uhuru wakiwa na majina ya kiislam wote walikuwa waislam! Hakuna aliyetokea kwasababu mnafahamu wazi kuwa kuitwa Hussein hakumfanyi mtu awe mwislam.

Hoja yangu ipo wazi kabisa. Hakuna sababu ya msingi na ya maana kwa waislam kudai mashujaa wa Uhuru watambuliwe wakati ambapo Waislam hao hao wameshindwa kuwatambua.

Nikaweka hoja za kwanini chuo cha Alharamaini kisiitwe Abdul Sykes, Cha Dodoma kisiitwe K.Kleist n.k. ili kuanza kuwaenzi kwanza kabla ya kwenda kwenye medani ya kitaifa. Charity begins at home.

Ukiita shule kwa jina la Al Farook ambalo ni jina la Kiarabu tu na pengine maana yake ni ndogo sana ukaacha kuita Mshume Kiyate highschool unajidhulumu kabla hujadhulumiwa.

Please try to think beyond your nose!If you cannot dignify your own heroes ironically you hold someone accountable for the same, that's insane to be honest with you.

Nimewauliza, Nyerere amekufa miaka 14 leo hii.
Barbara ya Bagamoyo imepewa jina la Kibaki na kuua. Aliyefanya hivyo ni madiwani wa Dar, Mkuu wa mkoa wa Dar pamoja na Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Kwasababu tu huwa hamna hoja ya maana mumeshindwa kuwa hold accountable wahusika mnatafuta jina la Nyerere kabuirini. Jk, Said Meshaki na madiwani wapo! kwanini mumtafute Nyerere kaburini. Waulizeni hao

Ndivyo ilivyo kwa Oceam Road, hatukusikia Mohamed Said au wengine wenye vichwa kama chake wakisema lolote. Tunamsikia akisemea Nairobi. He did not say anything to JK kwasababu. Leo tunasikia mfumo Kristo ukilaumiwa na Nyerere akiwa kaburini 14 yrs.

Mfumokristo ni dhana inayotengenezwa na Waislam wenyewe. Nitawaambia ukweli hata kama una umma.,
Leo watu wanasugu vichwa barbara zipewe majina!
Wenye akili wanasugua vichwa wafanye nini kuongeza shule, vyuo n.k.

Baada ya miaka 5 it's vicious circle kwasababu kuna mambo yanahitaji weledi. Huwezi kuwa Engineer au Daktari kwa kuteuliwa. Tutasikia wakilalamika JF mfumo kristo. Wamesahau kuwa hawakuwa na muda wa kupambana na mfumo, walitumia muda huo kujadili majina ya marehemu na kama yapewe mitaa! insane!

Kelele za kutambuliwa mashujaa zimesikika na medali zimetolewa. Sijui hilo limesaidiaje jamii ya watu wa Mkuranga wenye shule na mwalimu mkuu msaidizi ni Kiranja. ( Ogah lete habari ile ya Mkuranga)

Watu wanafikiria namna ya kufanya vyuo vyao vitambuliwe duniani, wenzetu mupo bize kutafuta majina na kumshambulia Nyerere. Hakuna anayejiuliza kwanini Morogoro University haipo katika vyuo bora 200 Africa.

Hitimisho ni kuwa
1. Kwanza, historia ya mwanadamu inaandikwa na mwanadamu kwa wakati na matukio.
Nyerere historia yake imeshaandikwa duniani. Hakuna anayeweza kuifuta au kuilingnisha na ya mtu mwingine. Ni ya Nyerere! period.Jitihada za kumpaka matope hazifanyi wengine wang'are.
Abdul Sykes atabaki kuwa raia na ukweli kuwa hakuwahi kuwa Rais wa Tanganyika utabaki pale pale hata kama unauma kama nyuki. Ni maumivu ya kuvumiliana

2. Anzeni kuenzi mashujaa kabla hamjaenda katika jukwaa la kitaifa.
Kama unadhani Jabal hilal ni bora kuliko Idd Faiz Mwafongo that should be your problem.
Hili la majina ni tatizo la utumwa wa kiakili.Waambieni madiwani wabadili majina, Tandamti iitwe Farijala, Twigwa uitwe Tatu Said n.k. Halafu mkae kitako mjiulize baada ya majina kubadilika, maisha ya jamii yamebadilika?

3. Stop the vicious circle of ignorance. Miaka 30 MS analalamika nanyi pia mnachukua kijiti kulalamika miaka 30 mingine. Inaudhi wasomi wanajadili trivial things kama majina ya mitaa na kuacha tatizo la elimu na umasikini katika jamii ile ile inayotaka majina! white elephant!

Kaeni chini mjiulize, kwanini kuna massive failure katika shule za Dar na kuna success Kirinjiko Secondari under the same environment! Kwanini chuo cha Morogoro hadi sasa hakijaweza kuchomoza katika anga za kimataifa hapa East Africa au Africa. Kuna tatizo gani na lisahishiswe vipi.

Mnaposhinda katika internet mki entertain frustration za Mohamed Said kutokuwa meneja wa bandari, si tu hamuitendei haki jamii bali mnazidi kuidhalilisha.

Huwezi kujadili nyuzi nzima kuhusu stupid and trivial thing halafu uka depict positive image ya society. Frustration za MS si tatizo la kitaifa ni tatizo lake, you guys you're easily drawn in.
Mnashindwa kujibu hoja kwasababu you've been drawn in like chicken.
Wake up!

cc Al akhy Tayeb, ukhti Faiza Fox, maulana Ritz, Al Habib kahaatan
Mag3 JokaKuu Wickama AshaDii Mtu Mzima

Nguruvi3.

Angalia paragraph yako ya mwisho neno "STUPID"
 
Last edited by a moderator:
THE BIG SHOW na wengine kwa nyakati tofauti wamehoji kuwa madai yangu ya majina ya barabara kwa waislam ninayapata wapi. Hii ni paper mbichi kabisa kutoka Nairobi (Mohamed Said) akilalama kuhusu kutajwa kwa mitaa. Tafadhalini pateni 'darsa'
Hamza Aziz's sadness could probably among other things be deduced from the fact that a street near Mbaruku Street where Dossa had lived during the struggle was at that time recently named after a non entity controversial Muslim politician Yusuf Makamba who together with a Catholic priest Camillus Luambano were a source of Muslim killings in the infamous Mwembechai Mosque raid by the paramilitary in 1998.

It was not possible to understand what compelled the city authorities to honour Yusuf Makamba or what criteria was applied to immortalise the man who majority of Muslims consider has Muslim blood in his hands and forget to honour Dossa Aziz after what he did to the country and to Nyerere.

Dossa's house was among two centres where the young nationalists used meet to organise and strategise against the British. The other place was at Abdulwahid Sykes's house at Aggrey Street.
These two houses should have been preserved and made national monuments for posterity.....
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said ili kukudhihirishia kuwa historia yako imelenga kuwaondoa watu wengine na haikulenga kusahihisha historia soma kipande chakeo hapa chini
Umeeleza kuhusu K.Sykes bila kueleza hicho chama kilikuwa na katibu mkuu peke yake tu. Ulifahamu kuwa Cecil Matola alikuwepo lakini jitihada zako za kuficha ukweli zikatamalaki kwasababu rahisi ya imani. Hakuna shida ukisema hilo shida ni pale unapotaka ulimwengu uamini historia yako ni ya Tanganyika kumbe ni ya kundi ndani ya Tanganyika tean kukiwa na misleading za kutosha tu.

Ukisoma hiyo utagundua kuwa baada ya miaka mingi ya kusema Sykes ndiye mwanzilishi hatimaye safari hii umeenda Nairobi ukiwa sober ''founded in 1929 by Kleist Sykes as founding secretar
y''
Wale mnaodhani sisi ni 'wendawazimu' oneni nguvu ya hoja inavyoweza kuisadia jamii. Leo jamii inafahamu huyu ni mmoja wa waanzilishi akiwa katibu si mwanzilishi kama ilivyokuwa imefinyangwa siku za nyuma.
Usitake kupotosha hiyo quote uliyokuja nayo inaeleza habari zingine kabisa wala haipo kwenye kitabu cha Mohamed Said.

Kumbe haujasoma kitabu umeamua kubisha tu.

Kitabu cha Mohamed Said. Kimemtaja Cecil Matola, Rawson Watts, Ibrahim Hamis, Zibe Kidasi. Ali Said Mpima, Kleist, hawa ndiyo waasisi wa TAA.
 
Last edited by a moderator:
THE BIG SHOW na wengine kwa nyakati tofauti wamehoji kuwa madai yangu ya majina ya barabara kwa waislam ninayapata wapi. Hii ni paper mbichi kabisa kutoka Nairobi (Mohamed Said) akilalama kuhusu kutajwa kwa mitaa. Tafadhalini pateni 'darsa'
Haya ndiyo madai ya Waislam wa Tanzania kama ulivyokuwa unavyoeleza?
 
Last edited by a moderator:
.......................................................................................................Hitimisho ni kuwa
1. Kwanza, historia ya mwanadamu inaandikwa na mwanadamu kwa wakati na matukio.
Nyerere historia yake imeshaandikwa duniani. Hakuna anayeweza kuifuta au kuilingnisha na ya mtu mwingine. Ni ya Nyerere! period.Jitihada za kumpaka matope hazifanyi wengine wang'are.
Abdul Sykes atabaki kuwa raia na ukweli kuwa hakuwahi kuwa Rais wa Tanganyika utabaki pale pale hata kama unauma kama nyuki. Ni maumivu ya kuvumiliana

2. Anzeni kuenzi mashujaa kabla hamjaenda katika jukwaa la kitaifa.
Kama unadhani Jabal hilal ni bora kuliko Idd Faiz Mwafongo that should be your problem.
Hili la majina ni tatizo la utumwa wa kiakili.Waambieni madiwani wabadili majina, Tandamti iitwe Farijala, Twigwa uitwe Tatu Said n.k. Halafu mkae kitako mjiulize baada ya majina kubadilika, maisha ya jamii yamebadilika?

3. Stop the vicious circle of ignorance. Miaka 30 MS analalamika nanyi pia mnachukua kijiti kulalamika miaka 30 mingine. Inaudhi wasomi wanajadili trivial things kama majina ya mitaa na kuacha tatizo la elimu na umasikini katika jamii ile ile inayotaka majina! white elephant!

Kaeni chini mjiulize, kwanini kuna massive failure katika shule za Dar na kuna success Kirinjiko Secondari under the same environment! Kwanini chuo cha Morogoro hadi sasa hakijaweza kuchomoza katika anga za kimataifa hapa East Africa au Africa. Kuna tatizo gani na lisahishiswe vipi.

Mnaposhinda katika internet mki entertain frustration za Mohamed Said kutokuwa meneja wa bandari, si tu hamuitendei haki jamii bali mnazidi kuidhalilisha.

Huwezi kujadili nyuzi nzima kuhusu stupid and trivial thing halafu uka depict positive image ya society. Frustration za MS si tatizo la kitaifa ni tatizo lake, you guys you're easily drawn in.
Mnashindwa kujibu hoja kwasababu you've been drawn in like chicken.
Wake up!
Huwezi kujadili nyuzi nzima kuhusu stupid and trivial thing halafu uka depict positive image ya society.

Hiyo sentensi ikisomeka kuanzia hitimisho pale juu halafu zikafuatwa nukta kwa kila sentensi ni kituko kusema ilimtukana Mohamed Said.

neno 'nyuzi nzima' linasema kila kitu. Nyuzi ipi.
halafu kuna maneno depict positive image ya society nayo pia inaonyesha kuwa kilichiokuwa kinaongelea ni nyuzi na society ni katika sehemu ya maongezi ya nyuzi na si mtu.

Yale yanayomhusu Mohamed Said yapo clear.
Nakushukuru sana umeileta hii, kila mtu atasoma na kuelewa iwe kwa mantiki au spinning.

Mwisho wa kuliongelea hili suala, mna hiari ya kuendelea ku-promote hiyo kauli kwa gharama zenu.

Kwa hii sentensi sina hatia asilani. Inajieleza yenyewe.
Kama hamna hoja kunjeni jamvi, mimi kwa upande wangu sikunji.

Teh teh teh !
 
Usitake kupotosha hiyo quote uliyokuja nayo inaeleza habari zingine kabisa wala haipo kwenye kitabu cha Mohamed Said.

Kumbe haujasoma kitabu umeamua kubisha tu.
Kitabu cha Mohamed Said. Kimemtaja Cecil Matola, Rawson Watts, Ibrahim Hamis, Zibe Kidasi. Ali Said Mpima, Kleist, hawa ndiyo waasisi wa TAA.
Unajua quote imetoka wapi?
Nimemsoma Mohamed kuanzia siku ya kitabu cha kwanza, nikamsoma katika magazeti mingi mingi FYI.

Hiyo quote inatoka katika paper ya juzi Nairobi. Kumbe hata ile paper mliokuwa mnarushiana matusi hujaisoma!
Kasome vizuri halafu urudi tujadili. Hujasoma paper
!
 
Haya ndiyo madai ya Waislam wa Tanzania kama ulivyokuwa unavyoeleza?
Nimeshajibu hoja kwasababu swali liliuliza wapi nimepata hoja ya majina ya barabara. Nikawa muungwana na kushari majina zaidi.
Kama ushauri wangu si mzuri basi uacheni. Ushahidi wa kuwa moja ya malalamiko ya kuwaenzi wazee ni majina huo hapo. Ni kutoka paper ya Mohamed Said ya Nairobi. Paper mbichi kabisa na bado moto kutoka jikoni, Mzee analalama kuhusu barabara! Hili nimeshalijibu kwa ufasaha nimefunga.
 
Huwezi kujadili nyuzi nzima kuhusu stupid and trivial thing halafu uka depict positive image ya society.

Hiyo sentensi ikisomeka kuanzia hitimisho pale juu halafu zikafuatwa nukta kwa kila sentensi ni kituko kusema ilimtukana Mohamed Said.

neno 'nyuzi nzima' linasema kila kitu. Nyuzi ipi.
halafu kuna maneno depict positive image ya society nayo pia inaonyesha kuwa kilichiokuwa kinaongelea ni nyuzi na society ni katika sehemu ya maongezi ya nyuzi na si mtu.

Yale yanayomhusu Mohamed Said yapo clear.
Nakushukuru sana umeileta hii, kila mtu atasoma na kuelewa iwe kwa mantiki au spinning.

Mwisho wa kuliongelea hili suala, mna hiari ya kuendelea ku-promote hiyo kauli kwa gharama zenu.

Kwa hii sentensi sina hatia asilani. Inajieleza yenyewe.
Kama hamna hoja kunjeni jamvi, mimi kwa upande wangu sikunji.

Teh teh teh !
Teh teh teh! "STUPID" ni nini?
 
Unajua quote imetoka wapi?
Nimemsoma Mohamed kuanzia siku ya kitabu cha kwanza, nikamsoma katika magazeti mingi mingi FYI.

Hiyo quote inatoka katika paper ya juzi Nairobi. Kumbe hata ile paper mliokuwa mnarushiana matusi hujaisoma!
Kasome vizuri halafu urudi tujadili. Hujasoma paper
!
Wewe ndiyo rudi kajisome upya umendika baada ya miaka mingi Kleist kuandikwa muasisi wa AA, mie nimekujibu mbona kwenye kitabu chake toka 1997 Cecil Matola kaandikwa kama mmoja wa waasisi wa AA. Hiyo miaka mingi ni ipi unayoisema?
 
Teh teh teh! "STUPID" ni nini?

Al shariff Ritz waswahili wansema "ukitaka kuwa muongo basi usisahau neno"
Huyu kijana Nguruvi3 akitoa kashfa na matusi, kwake yeye ni kama kunywa togwa! Akirudishiwa bakora za makalio, anapayuka kama kaona jinni!
Teh teh teh teh!
Tunasubiri hoja zake! Manake kaishaanza kutoa hitimisho alfajiri.!!
 
Last edited by a moderator:
Al shariff Ritz waswahili wansema "ukitaka kuwa muongo basi usisahau neno"
Huyu kijana Nguruvi3 akitoa kashfa na matusi, kwake yeye ni kama kunywa togwa! Akirudishiwa bakora za makalio, anapayuka kama kaona jinni!
Teh teh teh teh!
Tunasubiri hoja zake! Manake kaishaanza kutoa hitimisho alfajiri.!!
Dr. kahtaan.

Nimecheka sasa eti anatuambia tukunje jamvi hatuna hoja wakati yeye mwenye alisema atamwga mtama.

"STUPID" kwako siyo tusi teh teh teh teh! analalamika eti tunafanya spinning tumemletea neno aliloandika hataki kujibu ngoja nimuulize tena.

Nguruvi3. "STUPID" ni nini au ulilitumia kama salamu, halafu anasema tunamchafua teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom