Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Mosi:Kabla hujauliza swali hakikisha umejibu swali au kutafuta mtu wa kujibu kama huna jibu

Pili:Kwani zile zilikuwa ni harakati za kidini au kudai uhuru wa Tanganyika?

Eiyer,
Unaelekea wewe ni mgeni hapa barzani.

Hilo swali lishajibiwa siku nyingi sana.

Harakati za uhuru zilibebwa na Waislam na Uislam ndiyo ilikuwa itikadi
yenyewe.

Ukitaka zaidi soma kitabu changu, ''Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes...''

Kitabu kinapatikana Tanzania Publishing House na Ibn Hazim Media Centre Msikiti wa
Mtoro na Manyema.
 
nnguu;

Nakushukuru kwa article yako. Mchnago wangu ni kama ifuatavyo;

1. History inashuhudiwa na waliokuwapo kwenye tukio. Mara nyingi mwenye mamlaka huwa annandika anayoyaona na kuyapenda yasomwe. Asiye na mamlaka huwa sio mara nyingi. Style ya Mohammed Said ya "History of the Losers" kwa maana kwamba hapa anawaweka moslems kama losers. The only contradiction hapa ni kuwa summary yako na nadhani itakuwa hivyo ndani ya kitabu waliomsaidia Nyerere kufikia hadi kwenye mamlaka ni waislamu.

2. Awali tulishajadili sana mada hii ambayo kwa bahati mbaya naona Nguruvi keshaichotea makaripio, kawaida matusi yatafuta punde. Swali lilikuwa moja. Hivi Bibi titi na wengineo waliisaidia TANU kwa sababu wao ni waislamu au kwa sababu ya ule uzalendo wao wa kitanganyika. Hili swali halikujibiwa. Badala yake ilikuja hoja hoja wakoloni walipata shida zaidi kule kulikokuwa na waislamu. Hii hoja ilitupa wengi shida kwa vile Marekani ya leo Wahindi wekundu walipinga sana kutawaliwa na hawakuwa waislamu, Afrika kusini, Angola, India, China vs Japan mifano mingi sana mpaka ya kina Mangi Sina, . Hapa pia tukatoka bila swali hili kujibiwa.

3. Sasa Ni kweli watanganyika waliyokuwa na asili ya kiislamu walishiriki kikamilifu kuisaidia TANU. Lakini pia kwa kauli ya Nyerere (soma hotuba yake ya kuaga wazee wa Dar) mwenyewe waliomsaidia walikuwa ni WAZEE kuliko VIJANA, na hapa ndipo mjadala huu haujawahi kujielekeza. Maanake hata hao waislamu ni wale WAZEE (km Mbeya) ndio waliokuwa bega kwa bega SIO VIJANA. Na sababu kazitaja waziwazi. Kwamba wazee walimsaidia kwa HUKO AWALI WALIKUWA HURU walijua maana ya uhuru. Vijana walimkuta mkoloni kwa hiyo hawakuwa na kilinganishi. Kwa MAONI yangu wazee wa kiislamu walipata fursa nzuri zaidi ya kushiriki na kutawala harakati za kutafuta uhuru kwa uislamu tangu awali ulikomaa sana sehemu ambazo ni kama vituo na miji ya kibiashara hadi leo wakati wenzao wakikiristo waliwafata watu huko mashambani ambako watu wapo kimtawanyiko. Tofauti inaanzia hapo.

4. Nadhani ni changamoto nzuri kukisoma kuona mwandishi katoa mapendekezo gani (way forward) au mafunzo gani kutokana na historia ya TANU na Tanganyika.

Wickama,
Labda nami nikuulize kitu.

Hivi Kanisa Katoliki walipokuwa wanawapiga vita akina Yusuf Chembera, Salum Mpunga, Suleiman Masudi
Mnonji na sheikh wao Mohamed Yusuf Badi wakati wa kujenga TANU Lindi mwaka 1955 na kuwafananisha
wazalendo hawa na ''wapenda vita wa Maji Maji'' walikuwa wanafanya hivi kama nani?

Vipi ushangae kuwaona Waislam wakiijenga TANU kama Waislam.
Hivi hujiulizi mbona historia ya TANU maaskofu hawaonekani?

Hivi hakuna maelezo katika hili?
 
Kwanza naomba usiniwekee maneno mdomoni. Hakuna mahali ambapo nimesema wewe ni extremist. Soma sentensi yangu kwa uangalifu halafu ujiridhishe kuwa nimesema wewe ni extremist. Hii hulka ya spinning ndio ninayoiona kwa vijana wako wakisema nimekuita stupid bila ushahidi. Naomba haya niwaachie huko katika darsa zenu.

Pili, unaposema habari za Cecil Matola hazijulikani si kweli. Hazijulikani kwasababu hukutaka zijulikane. Kifo cha Cecil mwaka 1933 taa ikiwa na miaka 4 hakimfanyi matola asiwe katika historia. Yeye alikuwa rais wa kwanza wa AA hilo linnabaki kuwa ukweli na kulikana si kumtendea haki. Sykes na utajiri wake havimfanyi awe rais wa AA alikuwa katibu mkuu na huuo utabaki ukweli. Utajiri ulikuwa wake na familia yake bila kuondoa au kupunguza intellectual capacity ya mwalimu Cecil Matola.

Tatu, nakumbuka katika mijadala ya nyuma ilizungumziwa makamu wa rais wa AA. Hapa namwalika Mag3 kwasababu katika majibizano hukukanusha kuwepo kwa makamu wa rais tena mtu wa pwani (mndengereko? mzaramo?) kwahiyo subiri tutapata habari. Ima nimekosea jina hilo nalo pia tutalifahamu.

Nne, umewahi kusema kuwa katika maandishi yako huwezi kuandika kila kitu na kusema matatizo mengine yanayotokana na uandishi ni kwa muktadha huo. Nyuzi tulizowahi kujadiliana tangu mwaka 2010 ni nyingi na si rahisi kuvuta. Ninachokuhakikishia ni kuwa hilo limetokea.

Tano, napenda kukuhakikishia kuwa kitabu chako hakijasahihisha makosa ya historia. Kimezidi kujenga ufa mkubwa sana katika jamii kwa kutuondoa katika ukweli. Kitabu kimelenga kumshambulia mtu mmoja na hata kushindwa kuwataja wengine. Mfano, role ya Kyaruzi haiwezi kuwa ndogo kuliko ya Mshume. Watu wote waliokuwa na imani tofauti wameondolewa katika kitabu chako kwa makosa yale yale unayolalamikia.

Zaidi ya hapo unapoona nyuzi na habari za kuhusu waislam huku nukuu zako zikitumika ni ushahidi kuwa kitabu chako kipo katika mahadhi ya kidini.

Hakuna tatizo kuandika kuhusu kundi unalolilenga lakini basi fanya hivyo kwa kusema unaandika historia ya kundi hili ndani ya Tanganyika na si historia ya Tanganyika.
Hadi hapo hutakuwa na mamlaka ya kusema unasahihisha historia utakuwa na mamlaka ya kusema unaandika historia pungufu ukilenga kundi fulani, tutakuelewa.


Nguruvi,
Ningekuelewa sana kama ungeliandika kitabu ukayaeleza hayo ulosema humu.

Historia niliyoandika mimi ndiyo historia yenyewe ya uhuru wa Tanganyika hata
kama hupendi.

Ati unasema kitu gani?
Nimemtoa Dk. Kyaruzi katika kitabu changu...

Mwangalie Dr. Kyaruzi hapa chini:


  1. The result was a power struggle between the German- educated elders and the British-trained young politicians of the calibre of Abdulwahid and Ally Sykes, Tewa Said Tewa, Stephen Mhando, Dossa Aziz, James Mkande, and the five doctors-Joseph Mutahangarwa, Luciano Tsere, Michael Lugazia, Vedasto Kyaruzi and others. It was a struggle between fathers and their sons.
  2. In March, 1950, young Haya doctor of medicine, Vedasto Kyaruzi, and Abdulwahid were elected president and secretary respectively. [1]
  3. Abdulwahid's first move was to form what was known as TAA Political Subcommittee [1] comprising himself as secretary; Sheikh Hassan bin Amir as the Mufti of Tanganyika; Dr Kyaruzi; Mwapachu; Said Chaurembo who was the liwali at Kariakoo local court; John Rupia and Stephen Mhando.
  4. The TAA headquarters in Dar es Salaam under Dr Kyaruzi and Abdulwahid with the backing of the political committee was now rising from its deep slumber.
  5. The TAA political committee submitted a memorandum to the Constitutional Development Committee which was signed by the entire executive: Sheikh Hassan bin Amir, Abdulwahid Sykes, Vedasto Kyaruzi, Hamza Mwapachu, John Rupia, Stephen Mhando and Said Chaurembo. [1]
  6. Following this awakening of the Association, the government was alarmed and decided to transfer Dr Kyaruzi, the TAA president, from Dar es Salaam to Kingolwira Prison Hospital near Morogoro. The colonial government believed this would take the wind out of the sails of TAA. With Dr Kyaruzi out of the way the TAA leadership at the headquarters would be weakened. But Dr Kyaruzi was not to be restrained. He travelled to Dar es Salaam each weekend to confer with Abdulwahid. When the government realised that the transfer did not in any way affect Dr Kyaruzi's contribution to the leadership of the TAA headquarters, he was transferred from Kingolwira to Nzega which was a remote place very far from Dar es Salaam.

    [1]The author was for the first time informed of the existence of this document by one of Mwapachu's children, Juma Volter Mwapachu. He was informed that Mwapachu took great pride in having participated in the drafting of this document. In her book Listowel mentioned this document and its historical significance to the political history of Tanganyika. But it was Pratt who analysed the document in detail. The document was first consulted by Pratt in 1959 in a file of the Committee on ‘Constitutional Development Report/and Despatches to the Secretary of State' no. 1146-6, Dar es Salaam Secretariat Library. Although this file is available at the Tanzania National Archives, the document is missing. The author was informed that a microfilm of the document was available but that too could not be traced. For more information on loss of historical documents see M. Said, ‘In Praise of Ancestors Revisited' in Africa Events, London March, 1989, pp. 50-51.

    1. [1] Annual Report of the Secretary of Tanganyika African Association, 7 January, 1951. Sykes' Papers.

      [1] Information from Dossa Aziz interviewed in 1987. Also see Iliffe, 'A Modern History...' pp. 507-508. Mtamila survived the turmoil and was the elder politician who welcomed John Hatch of the Labour Party of Great Britain when he visited Tanganyika in 1955 as guest of TANU.
Bwana Nguruvi,
Unapoamua kuingia ulingoni na mimi usifanye maskhara tuliza akili yako na andika kwa makini usifanye haraka pitia kumbukumbu
zako.

Usikurupuke.
Huyo hapo juu ndiyo Dr. Kyaruzi kama nilivyomueleza katika kitabu changu.

Mimi sikumfuta Dr. Kyaruzi.
Watafute waliomfuta Dr. Kyaruzi katika historia ukiwapata wafunge kamba walete hapa jamvini tuwaadabishe.

Ukipenda naweza kukuletea taazia niliyoandika wakati Dr. Kyaruzi alipofariki dunia.
 
Nguruvi,
Ningekuelewa sana kama ungeliandika kitabu ukayaeleza hayo ulosema humu.

Historia niliyoandika mimi ndiyo historia yenyewe ya uhuru wa Tanganyika hata
kama hupendi.
Kwa mujibu wako! Kama ingekuwa yenyewe isingeweza kuwa na matundu kila mahali.
Historia gani usiyoweza kuitetea mwenyewe? Historia gani unayojifanyia quotation! please usichanganye neno historia na hisia.

Tuonyeshe wapi' wenye historia hiyo wanasema iandikwe kama ya kidini! tuonyeshe kama huna jibu kaa kimya usiharibu kizazi kwa uzushi. Zipo njia nyingi za kujikimu na muogope mwenyezi mungu.
 
THE BIG SHOW na wengine kwa nyakati tofauti wamehoji kuwa madai yangu ya majina ya barabara kwa waislam ninayapata wapi. Hii ni paper mbichi kabisa kutoka Nairobi (Mohamed Said) akilalama kuhusu kutajwa kwa mitaa. Tafadhalini pateni 'darsa'



Nguruvi3,

Acha kupotosha na ku-twist lugha za watu!

Huoni yakuwa hapo fazaa ilompata Bwana Hamza Aziz, mainly ni yakuwa huo Mtaa/Barabara unayoizungumzia hapo ina hishma ,taadhima na kumbukumbu kubwa kwenye Taifa letu.

Sasa basi,ndipo hapo Bwana Hamza Aziz anastaajabishwa yakuwa huyo Yusuf Rajab Makamba, Msambaa aliekua-complicity kwenye mauaji ya Mwembechai dhidi ya Wananchi waliokua hawana hatia yoyote,yawaje leo ndio apewe hishma ya huo mtaa!?

Kwa kifupi,hapo Bwana Hamza Aziz anaonekana kustaajabishwa na credibility ya Criminal Yusuf Makamba mpaka ikalazim kupewa hadhi ya ule mtaa wenye kumbukumbu nzito kwa Taifa letu!?

Sasa hapo una-twist maneno kuonyesha ati Waislam kutwa kucha "wanalialia/wanalalama" kupewa majina ya mitaa/barabara!?

Katengeneze upya movie yako khalaf ndo urejee tena hapa kuthibitsha hilo!

Ahsanta.
 
Nguruvi3,

Shukran sana,ama kwa hakika mimi naona hapo hujanifanyia rationalization,kwan nakuona waz waz unakiri ya kwamba BAKWATA ilianzishwa na nyerere kwa madhumuni ya kujilinda na mfumo ambao yeye alikuwa anahis unaweza kumuondoa madarakan,si ndiyo??shukran sana kwa kunifanyia CALCULUS iliyokwenda shule,,


Sasa hapo tunakuja moja kwa moja kuzungumza chanzo cha haya yote,unaposema ya kwamba nyerere alikianzisha chombo hiki kwa madhumuni ya kuwadhibiti wachache na kwa bahati mbaya wahanga kama sisi hatuwez kukosekana unafaham maana yake???yan maaana yake ni kwamba yeye julius kwa kutumia jeuri ya madaraka anayo nafas ya kufanya lolote na kufanya maamuz yoyote bila kujali katiba na kuwaundia chombo waislam ambacho kitaratibu mambo yao ili kuufanya utawala wake yy uwe salama,haki hiyo aliitoa wapi kikatiba??

Hii ni inchi ambayo haina dini,na alilweka hilo mwanzo kabisa wa muundo wa katiba wa nchi hii,,haya sasa iweje kuja tena na kuanza kuisakam dini fulani na waumin wa dini fulani kwa kuwaundia chombo cha kuwaratibu bila ridhaa yao na bila kuwashirkisha waislam kwa ujumla wao??

Nyerere kama alikuwa anajua anahujumiwa na baadhi ya waislam na alikuwa anataka kuanzisha chombo huru na cha haki cha kuwaunganisha waislam,kwanin aunde bakwata kimya kimya tena kwa usiri wa hali ya juu bila kuwataarifu waislam kwamba kuna jambo hili,kama hiyo haitoshi kwann hakuwaambia ya kwamba waislam hii EAWMS haifahai kwa sababu moja,mbili na kadhalika,kwahiyo nawaomba muunde chombo kingine huru na chenye nia njema kwa maana hiki tunakivunja??kwanin asiwaambie waislam walifanye hilo wenyew,kuna nin hadi serikali yake ifanye usiri na kutia mkono kwenye affairs za waislam??tena kwa kucopy na kupaste katiba ya TANU ili iwe mwongozo wa jumuiya hiyo,wewe unajua namna ambavyo uislam unaendeshwa??yan Qur an na Sunnah zije kuwa chini ya KATIBA YA TANU kimwongozo??julius ulipotoka sana wewe haki ya mungu,

Nguruvi3,shukran sana kwa kukiri kwako julius ni mwanzishi wa BAKWATA hii japo unakuja na hoja zingine kwamba hakuwa na nia mbaya,non sense..!!,hakuwa na nia mbaya usiri ulikiuwa wa nin??kwanin hakufanya uwe mchakato wa wazi,kwanin hakuwapa fursa hiyo waislam wenyewe kuianzisha bakwata??au ndiyo kusema popote pale alipohisi kuwapo kwa muislam utawala wake ungekuwa matatani??


Narudia tena kukwambia ya kwamba Suala la kikwete na mwinyi kuwa marais ambao ni waumin wa dini ya kiislam na kwanin wao wameikumbatia BAKWATA nilishakujibu,kikwete hakuja pale magogoni,wala hakuapa kuja kuupigania uislam,yeye aliapa kuja kuilinda katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania,na amepigiwa kura kuwapo pale alipo na waislam na wasio waislam,tumuulize nyerere swali hili kwanin alikiuka katiba kwa uchu na chuki ya kuudhuru na kuunyanyasa uislam??yuko wapi leo??uislam aliukuta,ameondoka na ameuacha,je alidhan kama angeupoteza moja kwa moja kwenye mgonngo na ardhi ya tanganyika??

Miaka 10 ya mwinyi na 8 ya kikwete si ya kuja kuutetea uislam,ni ya kuja kutekeleza ilani za chama chao cha mapinduzi,

KWA MANTIKI HIYO BASI KAMA UWEPO WA BAKWATA UNAFANYA UTAWALA WAO HAO KUPATA UTUVU NA WEPESI KATIKA KUTEKELEZA ILANI ZA CHAMA UNADHANI BAKWATA KWAO ITAKUWA NA KERO GANI??HILI NALO NI LA KUWEKA MJADALA BAINA YANGU NA WEWE??HULION HILI??MBONA LIPO WAZI SANA??

Umeniuliza swali ya kwamba tatizo ni bakwata kama chombo au zaid??

Nakujibu,


Tatizo ni bakwata kama chombo,

namna ya kuanzishwa kwake,

lengo la kuanzishwa kwake,

mfumo wa uendeshaji wake,

nia na madhumuni yake kwa miaka ya baadae inayokuja ndan ya taifa hili ambazo kwa sasa matunda yake yameshaanza kuonekana,na hayo ni haya malumbano ya hoja baina yetu sisi na mihemko ya kitaharuki inayotukumba kwa sasa,


KWA MAANA HIYO BASI NGURUVI3,UKAE UKITAMBUA KUWA JAMBO HILI NI NYETI SANA,NA LIMEGHARIM MFUMO WA MAISHA YA WENGI SANA,HASA LINAPOKUJA SUALA LA UMOJA WA KITAIFA,TAMBUA KWAMBA KWA UWEPO WA BAKWATA AMBAYO IMEASISIWA NA JULIUS KAMA ULIVYOKIRI HAPO JUU NI SABABU TOSHA YA KUKUTHIBITISHIA KUWA JULIUS PINDI WALE WAZEE WANAMPA IMAN NA KUMWEKA YEYE MBELE,KUMBE YEYE ALIKUWA KAMA NI CHUI ALIEVAA NGOZ YA KONDOO,LAKIN KIKO WAPI??YUKO WAPI??ALIDHAN ANGEISH MILELE??UKWELI WOTE SASA UKO WAZI NA HAKUNA MAREFU YASIYO KUWA NA NCHA NA HAKUNA SIRI NDAN YA DUNIA HII,MUNGU AMLAZE MAHALA PANAPO STAHILI JULIUS
The big show, tatizo ni kuwa ume ignore hoja zangu zote zinazohusiana na mjadala. Ulichokifanya ni kunyofoa mstari mmoja na kuufanyia kazi kwasababu una fit hoja ulioyokuwa nayo na conclusion yake.

Lazima uelewe Nyerere alishaathirika sana na kutengwa kwasababu ya imani yake.
Waliofanya hayo ni akina Mashado Platan, sheikh Amir n.k. tena walifanya hadharani na kila mwanahistoria anajua hilo wakiwemo wanahistoria nusu, hisia n.k.
.
Nyerere alivumilia sana hadi mwaka 1967 ambapo kundi hilo la waasi lililiokuwa na agenada ya kisiasa lilipofikia hatua ya juu sana. Hakuna kiongozi wa dola yoyote anayeweza kuvumilia hilo.

Pili, kuanzishwa kwa Bakwata kulikuwa chini ya usimamizi wa Waislam wenyewe. Hilo utakataa kwasababu mnaamini kuwa ili uwe muislam lazima uwe kama hawa wanaohubiri vurugu na mauji akinaa mzee, Ponda na Ilunga.

Nikisema naambiwa sina sababu za kuhukumu mwislam, lakini nyinyi mna sababu za kuita wenzenu Mkafir. Ninasema Bakwata ilundwa kwa usimamizi wa waislam wenyewe na ili endeshwa na waislam.
Kama ilikuwa kwa remote hilo ni jambo jingine. Ukweli ni kuwa viongozi wake( akiwemo Mohame Said) walisukuma mbele agenda za Bakwata na Serikali.

Kilichowaondoa Bakwata si ubaya ni baada ya kukosa ulaji.
Bakwata ni suala la ualaji na hapo kila mmoja akaanzisha kamati yake wengine kamati za mitaa, wengine za Dar n.k. Hivyo Bakwata ilisimamiwa na hawa akina Mohamed Said at a certain point in time.

Nimesema kama Nyerere alifanya hivyo kwa njia unazodhani hazikuwa sahihi nafasi ya kusahihisha hilo ilikuwa ifanywe na JK an Mwinyi. Haiwezekani jambo afanye Nyerere lionekane binafsi lakini linapotakiwa kurekebishwa tunaambiwa walichaguliwa na kila mtu. Nyerere alichaguliwa na kila mmoja kama wao na hawana excuse.

Kushindwa kwao kushughulikia matatizo ya Bakwata ni kuelewa ukweli kuwa sababu zilizounda Bakwata bado zipo na sasa ndio kabisa. Heri ya wakati huo zikifanyika harakati sasa hivi wapuuzi wanasimama na misahafu wakihimiza kuchinja watu na wanapewa pass mark. Please big show watu wasimame kidete waseme huu ni Uislam na huu si Uislam huo ndio ukweli ambao Uislam unasisitiza(nisahihishwe kama siko sahihi).
Hatuwezi kuwa na watu wamejificha katika matambaa machafu ya taaluma tuwaone mashaujaa wakati hao hao wal
 
Nguruvi,
Ningekuelewa sana kama ungeliandika kitabu ukayaeleza hayo ulosema humu.

Historia niliyoandika mimi ndiyo historia yenyewe ya uhuru wa Tanganyika hata
kama hupendi.

Ati unasema kitu gani?
Nimemtoa Dk. Kyaruzi katika kitabu changu...

Mwangalie Dr. Kyaruzi hapa chini:


  1. The result was a power struggle between the German- educated elders and the British-trained young politicians of the calibre of Abdulwahid and Ally Sykes, Tewa Said Tewa, Stephen Mhando, Dossa Aziz, James Mkande, and the five doctors-Joseph Mutahangarwa, Luciano Tsere, Michael Lugazia, Vedasto Kyaruzi and others. It was a struggle between fathers and their sons.
  2. In March, 1950, young Haya doctor of medicine, Vedasto Kyaruzi, and Abdulwahid were elected president and secretary respectively. [1]
  3. Abdulwahid's first move was to form what was known as TAA Political Subcommittee [1] comprising himself as secretary; Sheikh Hassan bin Amir as the Mufti of Tanganyika; Dr Kyaruzi; Mwapachu; Said Chaurembo who was the liwali at Kariakoo local court; John Rupia and Stephen Mhando.
  4. The TAA headquarters in Dar es Salaam under Dr Kyaruzi and Abdulwahid with the backing of the political committee was now rising from its deep slumber.
  5. The TAA political committee submitted a memorandum to the Constitutional Development Committee which was signed by the entire executive: Sheikh Hassan bin Amir, Abdulwahid Sykes, Vedasto Kyaruzi, Hamza Mwapachu, John Rupia, Stephen Mhando and Said Chaurembo. [1]
  6. Following this awakening of the Association, the government was alarmed and decided to transfer Dr Kyaruzi, the TAA president, from Dar es Salaam to Kingolwira Prison Hospital near Morogoro. The colonial government believed this would take the wind out of the sails of TAA. With Dr Kyaruzi out of the way the TAA leadership at the headquarters would be weakened. But Dr Kyaruzi was not to be restrained. He travelled to Dar es Salaam each weekend to confer with Abdulwahid. When the government realised that the transfer did not in any way affect Dr Kyaruzi's contribution to the leadership of the TAA headquarters, he was transferred from Kingolwira to Nzega which was a remote place very far from Dar es Salaam.

    [1]The author was for the first time informed of the existence of this document by one of Mwapachu's children, Juma Volter Mwapachu. He was informed that Mwapachu took great pride in having participated in the drafting of this document. In her book Listowel mentioned this document and its historical significance to the political history of Tanganyika. But it was Pratt who analysed the document in detail. The document was first consulted by Pratt in 1959 in a file of the Committee on ‘Constitutional Development Report/and Despatches to the Secretary of State' no. 1146-6, Dar es Salaam Secretariat Library. Although this file is available at the Tanzania National Archives, the document is missing. The author was informed that a microfilm of the document was available but that too could not be traced. For more information on loss of historical documents see M. Said, ‘In Praise of Ancestors Revisited' in Africa Events, London March, 1989, pp. 50-51.

    1. [1] Annual Report of the Secretary of Tanganyika African Association, 7 January, 1951. Sykes' Papers.

      [1] Information from Dossa Aziz interviewed in 1987. Also see Iliffe, 'A Modern History...' pp. 507-508. Mtamila survived the turmoil and was the elder politician who welcomed John Hatch of the Labour Party of Great Britain when he visited Tanganyika in 1955 as guest of TANU.
Bwana Nguruvi,
Unapoamua kuingia ulingoni na mimi usifanye maskhara tuliza akili yako na andika kwa makini usifanye haraka pitia kumbukumbu
zako.

Usikurupuke.
Huyo hapo juu ndiyo Dr. Kyaruzi kama nilivyomueleza katika kitabu changu.

Mimi sikumfuta Dr. Kyaruzi.
Watafute waliomfuta Dr. Kyaruzi katika historia ukiwapata wafunge kamba walete hapa jamvini tuwaadabishe.

Ukipenda naweza kukuletea taazia niliyoandika wakati Dr. Kyaruzi alipofariki dunia.



Sheikh Mohamed Said,

Asalaam Alaykum.

Tunapenda mno ukimwaga hizi Ilm adimu ili tuzidi kukusoma na kunufaika Insha Allah...chembilecho cha Ulamaa Boko Haram unatupatia "maalumat"!

Huyo Bi Nurse wala asikushughulishe,mwache akalee wale Wazazi wa wenzie/Virongwe huko Care Homes kama alivyoambiwa na Hajat Faizafoxy.

Sisi tunafaidika mno kwa karima hii toka kwako,na wengi mno wanakufuatilia na kufunguka macho kwa bayana zako.

Ahsanta.
 
Kwa mujibu wako! Kama ingekuwa yenyewe isingeweza kuwa na matundu kila mahali.
Historia gani usiyoweza kuitetea mwenyewe? Historia gani unayojifanyia quotation! please usichanganye neno historia na hisia.

Tuonyeshe wapi' wenye historia hiyo wanasema iandikwe kama ya kidini! tuonyeshe kama huna jibu kaa kimya usiharibu kizazi kwa uzushi. Zipo njia nyingi za kujikimu na muogope mwenyezi mungu.

Bwana Nguruvi,
Sasa unanikashifu kuwa najikimu kwa kuandika...

Akutukanae hakuchagulii tusi.

Si kitu.

Ama kumuogopa Allah...
Basi we ndiye wa kunihimiza mie?

Nikiamka asubuhi kabla sijatoka nje mie uradi wangu ni huu:
''Tawakaltu Allallah.''

Haya turudi kwenye ulingo.

Kama wewe unaona historia niliyoandika ina makosa sawa mimi siwezi kukupinga
katika hilo.

Lakini kaa ukijua wapo pia waliisifia kitabu changu na kwa kweli ni wengi tena
wataalamu wa historia na ndiyo sababu kila siku niko ndani ya pipa nakata mawingu leo niko

Chicago, kesho naamkia New York kesho kutwa niko New Jersey (hapa ni pua na mdomo),
mtondogoo niko Washington tena hawa ni watu binafsi wananialika kwao.

(Nimeswali Ijumaa John Hopkins University, Washington nikuletee picha).
Nadhani chuo hiki unajua sifa zake.

Hapo hakuna kulala...

Na si kama tunakubaliana kila kitu la hasha ila wamevutiwa na kule mimi kuandika historia
mpya ambayo wao sasa wanaisomesha katika madarasa yao.

Kwa hawa wenzetu kuliambia darasa lake kuwa ''I happen to have met Mohamed Said
etc. etc.'' kwao ni sifa.

Unajua Nguruvi nilipewa madarasa kusomesha nilipokuwa Marekani na profesa wa African
History kakaa nyuma ya darasa na wanafunzi ananisikiliza...

Allah muweza kaka...
Historia ya Abdulwahid Sykes na Nyerere imewashangaza wengi duniani.

Msidhani ni nyie tu hapa JF ndiyo inakuchanganyeni.

Acha bwana hasad zako.
Tuheshimiane kaka.
 
Sheikh Mohamed Said,

Asalaam Alaykum.

Tunapenda mno ukimwaga hizi Ilm adimu ili tuzidi kukusoma na kunufaika Insha Allah...chembilecho cha Ulamaa Boko Haram unatupatia "maalumat"!

Huyo Bi Nurse wala asikushughulishe,mwache akalee wale Wazazi wa wenzie/Virongwe huko Care Homes kama alivyoambiwa na Hajat Faizafoxy.

Sisi tunafaidika mno kwa karima hii toka kwako,na wengi mno wanakufuatilia na kufunguka macho kwa bayana zako.

Ahsanta.

Gombesugu,
Angalia watu hawa walivyokuwa na khiyana.

Dk. Kyaruzi kapata kuandika kama mara mbili tatu katika gazeti maisha yake ya siasa.
Kitu cha kustaajabu akijinasibisha ati yeye ndiye aliyemuachia Nyerere chama yaani TAA.

Angalia watu hawa nyoyo zao zilivyokuwa dhaifu.

Hakupata kumtaja Schneider Abdillah Plantan, Hassan bin Amir, Hamza Mwapachu wala
Abdu Sykes.

Ajabu ya Rahman...

Lakini mimi nilipopata taarifa kuwa Dr. Kyaruzi kafa niliandika taazia kueleza mchango wake
katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
 
Samahan Nguruvi3,naomba kuuliza swali...

Una chuki binafsi na Moh Said??Kwa kweli nikikusoma naona waz waz ajenda fulan iliyojificha,kikauli,kimaono na kimafuhum kwa ujumla,Tupo kwenye mjadala au tupo kwenye kutambiana??
Slow down Comrade,because you are speedin
Bwana Nguruvi,
Haya turudi kwenye ulingo.Lakini kaa ukijua wapo pia waliisifia kitabu changu na kwa kweli ni wengi tena
wataalamu wa historia na ndiyo sababu kila siku niko ndani ya pipa nakata mawingu leo niko

Chicago, kesho naamkia New York kesho kutwa niko New Jersey (hapa ni pua na mdomo),
mtondogoo niko Washington tena hawa ni watu binafsi wananialika kwao.

(Nimeswali Ijumaa John Hopkins University, Washington nikuletee picha).
Nadhani chuo hiki unajua sifa zake.

Hapo hakuna kulala...

Na si kama tunakubaliana kila kitu la hasha ila wamevutiwa na kule mimi kuandika historia
mpya ambayo wao sasa wanaisomesha katika madarasa yao.
Kwa hawa wenzetu kuliambia darasa lake kuwa ''I happen to have met Mohamed Said
etc. etc.'' kwao ni sifa.Unajua Nguruvi nilipewa madarasa kusomesha nilipokuwa Marekani na profesa wa African
History kakaa nyuma ya darasa na wanafunzi ananisikiliza...

Allah muweza kaka...
Historia ya Abdulwahid Sykes na Nyerere imewashangaza wengi duniani.

Msidhani ni nyie tu hapa JF ndiyo inakuchanganyeni.
........
 
Eiyer,
Unaelekea wewe ni mgeni hapa barzani.

Hilo swali lishajibiwa siku nyingi sana.

Harakati za uhuru zilibebwa na Waislam na Uislam ndiyo ilikuwa itikadi
yenyewe.

Ukitaka zaidi soma kitabu changu, ''Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes...''

Kitabu kinapatikana Tanzania Publishing House na Ibn Hazim Media Centre Msikiti wa
Mtoro na Manyema.

Sheikh Mohamed Said hawa vikaragosi kama Eiyer wasikupotezee wakati wako!
Huyu hana ajualo zaidi ya kwenda kuimba kanisani na kunyweshwa damu ya bwana!
Kitu kingine nachokuomba ni kuwa hawa vinyangarika wengine wenye kutoa matusi wala huna haja ya kuwajibu kitu!
You have your reputations and honour and you have a lot to loose by talking to this lawless individuals!
Mimi sikuwakilishi hapa wala sisemi kwa niaba yako lkn yale mambo ya uswahilini niachie mimi na jamaa zangu wengine humu!
We tupe elimu tu! Manake sisi wengine tuna ihitaji kwa sana!
Ahsante.
 
Last edited by a moderator:

Nguruvi na Wanabarza Wote,
Nimefungua uzi mpya wa Dk. Vedasto Kyaruzi.

Nimeufungua uzi huu makhsusi kumjibu Nguruvi anaenisingizia
ati mimi nimemfuta Dk. Kyaruzi katika historia ya uhuru wa
Tanganyika.

In Sha Allah someni kwa furaha na changieni kwa raha.
 
Usitake kupotosha hiyo quote uliyokuja nayo inaeleza habari zingine kabisa wala haipo kwenye kitabu cha Mohamed Said.

Kumbe haujasoma kitabu umeamua kubisha tu.

Kitabu cha Mohamed Said. Kimemtaja Cecil Matola, Rawson Watts, Ibrahim Hamis, Zibe Kidasi. Ali Said Mpima, Kleist, hawa ndiyo waasisi wa TAA.



Sheikh Mohamed Said,

Salaam Al Akhiy.

Tafadhali kipata fursa tujuze je huyu Bwana Rawson Watts,ndie mwanae alikua Dr Watts aliekua na Clinic pale Tanga/Ngamiani Barabara ya 6 !?

Maana huyu Bwana alikua Sahib mkubwa mno wa Mzee wangu,na mara zoote tukienda Tanga lazim twende kumuona naye akija nyumbani lazim aje kwetu.

Mara ya mwisho nakumbuka tulikwenda kumuona pale Muhimbili wakti akiumwa na tulikua tukenda kumwangalia pale.

Nakumbuka mara ya mwisho tuliwakuta rafikize wa karibu wa hapo mjini wako pale Hospital kumuuguza;Mosadique Azan aka Zungu,Mohammed Azan,Mpuya Rupia,Paul Rupia,Mbarouk Mwandoro,Ramadhan Madabida,Harith Kibwana Mwapachu na wengineo...lakini muda si mrefu akafariki maskini!

Wajua mie mara nyingi hupitiwa kuuliza majambo/jambo papo kwa papo.

Sasa ndo leo nasoma hiyo bayana kwa Shariff Ritz,nami natanabahi na kujaribu kuunganisha dots...kama ndie yeye mwanae basi utakuwa umenifungua macho pia kwa hili!?

Kuhusu huyo Dr Kyaruzi,wala mie siistaajabu kwa hayo ulonena...ama kwa hakika hawa jamaa zetu wana udhaifu wa nyoyo na mapungufu mangi mno!

Ahsanta.

Cc;Ritz
 
The big show, tatizo ni kuwa ume ignore hoja zangu zote zinazohusiana na mjadala. Ulichokifanya ni kunyofoa mstari mmoja na kuufanyia kazi kwasababu una fit hoja ulioyokuwa nayo na conclusion yake.

Lazima uelewe Nyerere alishaathirika sana na kutengwa kwasababu ya imani yake.
Waliofanya hayo ni akina Mashado Platan, sheikh Amir n.k. tena walifanya hadharani na kila mwanahistoria anajua hilo wakiwemo wanahistoria nusu, hisia n.k.
.
Nyerere alivumilia sana hadi mwaka 1967 ambapo kundi hilo la waasi lililiokuwa na agenada ya kisiasa lilipofikia hatua ya juu sana. Hakuna kiongozi wa dola yoyote anayeweza kuvumilia hilo.

Pili, kuanzishwa kwa Bakwata kulikuwa chini ya usimamizi wa Waislam wenyewe. Hilo utakataa kwasababu mnaamini kuwa ili uwe muislam lazima uwe kama hawa wanaohubiri vurugu na mauji akinaa mzee, Ponda na Ilunga.

Nikisema naambiwa sina sababu za kuhukumu mwislam, lakini nyinyi mna sababu za kuita wenzenu Mkafir. Ninasema Bakwata ilundwa kwa usimamizi wa waislam wenyewe na ili endeshwa na waislam.
Kama ilikuwa kwa remote hilo ni jambo jingine. Ukweli ni kuwa viongozi wake( akiwemo Mohame Said) walisukuma mbele agenda za Bakwata na Serikali.

Kilichowaondoa Bakwata si ubaya ni baada ya kukosa ulaji.
Bakwata ni suala la ualaji na hapo kila mmoja akaanzisha kamati yake wengine kamati za mitaa, wengine za Dar n.k. Hivyo Bakwata ilisimamiwa na hawa akina Mohamed Said at a certain point in time.

Nimesema kama Nyerere alifanya hivyo kwa njia unazodhani hazikuwa sahihi nafasi ya kusahihisha hilo ilikuwa ifanywe na JK an Mwinyi. Haiwezekani jambo afanye Nyerere lionekane binafsi lakini linapotakiwa kurekebishwa tunaambiwa walichaguliwa na kila mtu. Nyerere alichaguliwa na kila mmoja kama wao na hawana excuse.

Kushindwa kwao kushughulikia matatizo ya Bakwata ni kuelewa ukweli kuwa sababu zilizounda Bakwata bado zipo na sasa ndio kabisa. Heri ya wakati huo zikifanyika harakati sasa hivi wapuuzi wanasimama na misahafu wakihimiza kuchinja watu na wanapewa pass mark. Please big show watu wasimame kidete waseme huu ni Uislam na huu si Uislam huo ndio ukweli ambao Uislam unasisitiza(nisahihishwe kama siko sahihi).
Hatuwezi kuwa na watu wamejificha katika matambaa machafu ya taaluma tuwaone mashaujaa wakati hao hao wal



Brother Nguruvi3,

La hasha kaka,mimi sijanyofoa na kudonoa donoa hoja yako kwa kukidhi matakwa ya kile ambacho nimekuwa nakihitaji kutoka kwako,hilo walisema wewe,

Jambo jingine nalojifunza kutoka kwako Nguruvi3 ni kwamba gari yako indicator ama imekufa au haipo kabisa,kwa maana huwa hata inapokata kona haioneshi ishara kwamba hapa sasa inataka kukata kona,Hii hoja ya nyerere na bakwata hapo awali uilkubali na hapa sasa nakuona unaikingia kifua na kukanusha ya kwamba bakwata ilianzishwa na waislam wenyewe,hali ya kuwa pale mwanzo ulikiri kwamba ilianzishwa na nyerere kwa ngao ya kuwapa chambo baadhi ya mapandikiz yake kina bwana nasibu,hoja hii si ngeni kwako,kwan hapo mwanzo ulipewa kisa kizima cha kuundwa kwake labda kama umesahau sema tukiweke tena hapa upate kujikumbusha kiduchu,

Nguruvi3,Julius kambarage,Ali hassan mwinyi,mkapa,kikwete wote ni wanasiasa,wameingia kwenye uongoz kwa ngao ya katiba n mfumo maalum ambao wote wameapa kuutetea,kwan hili hulijui??

Sasa unapata wapi uhalali wa kusema kwamba kama nyerere alikosea katika hilo basi ilistahili mwinyi ama kikwete walirekebishe hilo,kwanin usiseme kwamba mkapa alitakiwa kulirekebisha hilo??kwanin unachagua mtu wa kumvisha paka kengele??


Kama nyerere hakuwa muislam na alidirik kushiriki uovu kama ule,kwanin mkapa asingeamua kutafuta namna ya kumaliza mgogoro ule na badala yake wewe unasema mwinyi na kikwete walikuwa wako wapi??,,unataka sasa kuwaingiza katika vita ya kusimama hapo kuupigania uislam rasmi??maana hamkawii,kusema kwamba kwa kuwa bwana fulani ni muislam basi sasa ameamua kulivalia njuga hili ili kuweza kuweka sawa mambo ya iman yake,ili hali sisi hatukumchagua kwa lengo la kuisimamia dini,najua mengi yatazungumzwa katika hilo,lakini nilishakujib kaka kuhusu hilo,

Bakwata iko affiliated na chama cha mapinduz tokea zama za kuasisiwa kwake,na hivo vyombo viwili pamoja na serikali huwa vinategemeana katika kuwapo kwake na kunawiri kwake usitegemee kama chombo kimoja kinaweza ona uhalali wa chombo kingine kuanguka,


Kitu unachopaswa kukifaham kuhusu ishu hii ni kwamba,mfumo ulioisimika bakwata madarakani ni mfumo ulioshika mizizi na ni mfumo unaolinda maslahi ya wale wanaotaka kuendeleza unyonyaji na kuwafumba watu wasiufaham ukweli,


Kwa wao kushindwa kuisimiaimaia bakwata sio hoja ya kuwaaminisha wanajamii wa kitanzania ya kwamba nyerere alikuwa sahhihi kuanzisha jumiya hiyo
 
Last edited by a moderator:
The big show, tatizo ni kuwa ume ignore hoja zangu zote zinazohusiana na mjadala. Ulichokifanya ni kunyofoa mstari mmoja na kuufanyia kazi kwasababu una fit hoja ulioyokuwa nayo na conclusion yake.

Lazima uelewe Nyerere alishaathirika sana na kutengwa kwasababu ya imani yake.
Waliofanya hayo ni akina Mashado Platan, sheikh Amir n.k. tena walifanya hadharani na kila mwanahistoria anajua hilo wakiwemo wanahistoria nusu, hisia n.k.
.
Nyerere alivumilia sana hadi mwaka 1967 ambapo kundi hilo la waasi lililiokuwa na agenada ya kisiasa lilipofikia hatua ya juu sana. Hakuna kiongozi wa dola yoyote anayeweza kuvumilia hilo.

Pili, kuanzishwa kwa Bakwata kulikuwa chini ya usimamizi wa Waislam wenyewe. Hilo utakataa kwasababu mnaamini kuwa ili uwe muislam lazima uwe kama hawa wanaohubiri vurugu na mauji akinaa mzee, Ponda na Ilunga.

Nikisema naambiwa sina sababu za kuhukumu mwislam, lakini nyinyi mna sababu za kuita wenzenu Mkafir. Ninasema Bakwata ilundwa kwa usimamizi wa waislam wenyewe na ili endeshwa na waislam.
Kama ilikuwa kwa remote hilo ni jambo jingine. Ukweli ni kuwa viongozi wake( akiwemo Mohame Said) walisukuma mbele agenda za Bakwata na Serikali.

Kilichowaondoa Bakwata si ubaya ni baada ya kukosa ulaji.
Bakwata ni suala la ualaji na hapo kila mmoja akaanzisha kamati yake wengine kamati za mitaa, wengine za Dar n.k. Hivyo Bakwata ilisimamiwa na hawa akina Mohamed Said at a certain point in time.

Nimesema kama Nyerere alifanya hivyo kwa njia unazodhani hazikuwa sahihi nafasi ya kusahihisha hilo ilikuwa ifanywe na JK an Mwinyi. Haiwezekani jambo afanye Nyerere lionekane binafsi lakini linapotakiwa kurekebishwa tunaambiwa walichaguliwa na kila mtu. Nyerere alichaguliwa na kila mmoja kama wao na hawana excuse.

Kushindwa kwao kushughulikia matatizo ya Bakwata ni kuelewa ukweli kuwa sababu zilizounda Bakwata bado zipo na sasa ndio kabisa. Heri ya wakati huo zikifanyika harakati sasa hivi wapuuzi wanasimama na misahafu wakihimiza kuchinja watu na wanapewa pass mark. Please big show watu wasimame kidete waseme huu ni Uislam na huu si Uislam huo ndio ukweli ambao Uislam unasisitiza(nisahihishwe kama siko sahihi).
Hatuwezi kuwa na watu wamejificha katika matambaa machafu ya taaluma tuwaone mashaujaa wakati hao hao wal



Brother Nguruvi3,

La hasha kaka,mimi sijanyofoa na kudonoa donoa hoja yako kwa kukidhi matakwa ya kile ambacho nimekuwa nakihitaji kutoka kwako,hilo walisema wewe,

Jambo jingine nalojifunza kutoka kwako Nguruvi3 ni kwamba gari yako indicator ama imekufa au haipo kabisa,kwa maana huwa hata inapokata kona haioneshi ishara kwamba hapa sasa inataka kukata kona,Hii hoja ya nyerere na bakwata hapo awali uilkubali na hapa sasa nakuona unaikingia kifua na kukanusha ya kwamba bakwata ilianzishwa na waislam wenyewe,hali ya kuwa pale mwanzo ulikiri kwamba ilianzishwa na nyerere kwa ngao ya kuwapa chambo baadhi ya mapandikiz yake kina bwana nasibu,hoja hii si ngeni kwako,kwan hapo mwanzo ulipewa kisa kizima cha kuundwa kwake labda kama umesahau sema tukiweke tena hapa upate kujikumbusha kiduchu,

Nguruvi3,Julius kambarage,Ali hassan mwinyi,mkapa,kikwete wote ni wanasiasa,wameingia kwenye uongoz kwa ngao ya katiba n mfumo maalum ambao wote wameapa kuutetea,kwan hili hulijui??

Sasa unapata wapi uhalali wa kusema kwamba kama nyerere alikosea katika hilo basi ilistahili mwinyi ama kikwete walirekebishe hilo,kwanin usiseme kwamba mkapa alitakiwa kulirekebisha hilo??kwanin unachagua mtu wa kumvisha paka kengele??


Kama nyerere hakuwa muislam na alidirik kushiriki uovu kama ule,kwanin mkapa asingeamua kutafuta namna ya kumaliza mgogoro ule na badala yake wewe unasema mwinyi na kikwete walikuwa wako wapi??,,unataka sasa kuwaingiza katika vita ya kusimama hapo kuupigania uislam rasmi??maana hamkawii,kusema kwamba kwa kuwa bwana fulani ni muislam basi sasa ameamua kulivalia njuga hili ili kuweza kuweka sawa mambo ya iman yake,ili hali sisi hatukumchagua kwa lengo la kuisimamia dini,najua mengi yatazungumzwa katika hilo,lakini nilishakujib kaka kuhusu hilo,

Bakwata iko affiliated na chama cha mapinduz tokea zama za kuasisiwa kwake,na hivo vyombo viwili pamoja na serikali huwa vinategemeana katika kuwapo kwake na kunawiri kwake usitegemee kama chombo kimoja kinaweza ona uhalali wa chombo kingine kuanguka,


Kitu unachopaswa kukifaham kuhusu ishu hii ni kwamba,mfumo ulioisimika bakwata madarakani ni mfumo ulioshika mizizi na ni mfumo unaolinda maslahi ya wale wanaotaka kuendeleza unyonyaji na kuwafumba watu wasiufaham ukweli,


Kwa wao kushindwa kuisimiaimaia bakwata sio hoja ya kuwaaminisha wanajamii wa kitanzania ya kwamba nyerere alikuwa sahhihi kuanzisha jumiya hiyo
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi na Wanabarza Wote,
Nimefungua uzi mpya wa Dk. Vedasto Kyaruzi.

Nimeufungua uzi huu makhsusi kumjibu Nguruvi anaenisingizia
ati mimi nimemfuta Dk. Kyaruzi katika historia ya uhuru wa
Tanganyika.

In Sha Allah someni kwa furaha na changieni kwa raha.



Sheikh Mohamed Said,

Tafadhali nakusihi wala usiwapatilize hawa majaaluta!

Hivi wewe Al Akhiy,unakhis Bin-Adam yupi mwenye akili na maarifa yake timamu kwenye dunia hii atakaye kaa kitako aache shughuli zake na kumsikiliza huyo Nguruvi3!?

Hizi tafran na distractions ndo wao watakavyo ili kuleta zahma watu wasisome huu uhondo utumwagiao na labda huu mnakasha ufungwe!

Wapuuze,wajibu pale tu inapolazim/inapostahiki.

Ahsanta.

Cc;Maulana Dr Kahtaan
 
Wickama,
Labda nami nikuulize kitu.

Hivi Kanisa Katoliki walipokuwa wanawapiga vita akina Yusuf Chembera, Salum Mpunga, Suleiman Masudi
Mnonji na sheikh wao Mohamed Yusuf Badi wakati wa kujenga TANU Lindi mwaka 1955 na kuwafananisha
wazalendo hawa na ''wapenda vita wa Maji Maji'' walikuwa wanafanya hivi kama nani?

Vipi ushangae kuwaona Waislam wakiijenga TANU kama Waislam.
Hivi hujiulizi mbona historia ya TANU maaskofu hawaonekani?

Hivi hakuna maelezo katika hili?


Mzee MS,

Aslaam aleykum na kisha shikamoo ndugu yangu habari muda mrefu.

Ukisoma nilichomjibu nnguu utagundua namwambia jambo jepesi sana. binadamu kukataa kutawaliwa na kudhulumiwa ni katika FITRA aliyotupa Allah SWT. Kwa fitra hiyo ndio maana Che Guevara (sio Muislam) akaja Kongo kupigana na wabelgiji. Mahtma Ghandi aliitumia kupambana na waingereza. Hapondipo nilipoanzia.

Kanisa katoliki tofauti na uislamu ni taasisi ambayo imefaidika na kutegemea sana dola tawala. Hiyo ipo katika historia ya kanisa lenyewe. Desturi hii haijaisha na ndio maana kanisa katoliki ni dhebu pekee lilijitalia kiti cha hadhi ya namna fulani UN. Wewe unasema masuala ya masheikh wa Ruvuma, nakukaribisha kuchunguza lengo halisi la Mussolini kuivamia Ethiopia 1935 na idadi ya waethiopia waliokufa pale majeshi ya kiitalia yakihaha kuitafuta "arc of the covenant" ambayo kuna hisia kubwa sana kuwa ilikwenda Abyssinia wakati wa mwiso mwisho wa utawala Solomon. Search (Ethiopia, arch of covenant, Musolini).

Kujibu swali lako halisi ni kwamba kanisa kama taasisi iliyokuja na kufaidika na utawala wa kikoloni haikutegemewa ligeuke na kuongoza mapambano dhidi ya mkoloni. Mimi nashauri tusilichimbe sana hili kwa vile hata masheikh wetu nao hawakufanya jitihada zisizo na shaka kutokomeza utumwa katika hii ardhi yetu japo waliuona na hata hao wachuuzi waliswali nao, lakini wazee wetu waliuzwa mbele yao. Badala yake tunakuja kuona mtu kama sultani wa zenj analazimishwa na waingereza kuweka saini ya kuridhia kusimamisha biashara ya utumwa kwenye eneo lake.

Hapa Mzee MS lazima tutenge kati ya sera za taasisi za dini kama Kanisa au misikiti na Watanganyika wakiristo au waislamu waliokuwa pia na moyo wa uzalendo na uchungu na nchi yao itakuwa vibaya tukiwachanganya.

Umesema nashangaa waislamu kuijenga TANU. Hapana. Nilishangaa waislamu kutotoka TANU kama BLOCK ili kui-support AMNUT. Hili jambo linaashiria kulikuwa mgawanyiko mkubwa katika waislamu wengine wakilitazama jambo zima kama waislamu na wengine wakilitazama jambo hilo hilo kama wazalendo na tofauti zingaliko hadi leo. Kuna waislamu hawachelewi kuwaita hadi kuwaua wenzao kuwa ni MAKAFIRI kwa vile suruali inagusa viatu na wengine wanatoa talaka wakijua mke kakubali kuhesabiwa.

Umeniuliza mbona maaskofu hawamo katika historia hii. Hii inalingana kama masheikh wetu walivyo wachache kwenye kukemea utumwa Pangani au Zenj enzi hizo. Hawa ni watu mwisho wa siku wanatawaliwa sana na maslahi yao. Nadhani nimeshakujibu. Nitashukuru kama paper yako iko online unipe link niisome nahisi ina mambo mengi mazuri.

Mawazo ya Nguruvi ya kuwaenzi watu kama kina Bibi titi kwenye baadhi ya hizi taasisi nadhani sio mabaya jaribu kulifuatilia.
 
Nguruvi na Wanabarza Wote,
Nimefungua uzi mpya wa Dk. Vedasto Kyaruzi.

Nimeufungua uzi huu makhsusi kumjibu Nguruvi anaenisingizia
ati mimi nimemfuta Dk. Kyaruzi katika historia ya uhuru wa
Tanganyika.

In Sha Allah someni kwa furaha na changieni kwa raha.

Mzee MS
umefanya jambo zuri, tumshukuru pia Nguruvi kukugusa mpaka
kumfungulia uzi Mkatoliki huyu. Tuko pamoja.
 
Brother Nguruvi3,

La hasha kaka,mimi sijanyofoa na kudonoa donoa hoja yako kwa kukidhi matakwa ya kile ambacho nimekuwa nakihitaji kutoka kwako,hilo walisema wewe,

Jambo jingine nalojifunza kutoka kwako Nguruvi3 ni kwamba gari yako indicator ama imekufa au haipo kabisa,kwa maana huwa hata inapokata kona haioneshi ishara kwamba hapa sasa inataka kukata kona,Hii hoja ya nyerere na bakwata hapo awali uilkubali na hapa sasa nakuona unaikingia kifua na kukanusha ya kwamba bakwata ilianzishwa na waislam wenyewe,hali ya kuwa pale mwanzo ulikiri kwamba ilianzishwa na nyerere kwa ngao ya kuwapa chambo baadhi ya mapandikiz yake kina bwana nasibu,hoja hii si ngeni kwako,kwan hapo mwanzo ulipewa kisa kizima cha kuundwa kwake labda kama umesahau sema tukiweke tena hapa upate kujikumbusha kiduchu,

Nguruvi3,Julius kambarage,Ali hassan mwinyi,mkapa,kikwete wote ni wanasiasa,wameingia kwenye uongoz kwa ngao ya katiba n mfumo maalum ambao wote wameapa kuutetea,kwan hili hulijui??

Sasa unapata wapi uhalali wa kusema kwamba kama nyerere alikosea katika hilo basi ilistahili mwinyi ama kikwete walirekebishe hilo,kwanin usiseme kwamba mkapa alitakiwa kulirekebisha hilo??kwanin unachagua mtu wa kumvisha paka kengele??


Kama nyerere hakuwa muislam na alidirik kushiriki uovu kama ule,kwanin mkapa asingeamua kutafuta namna ya kumaliza mgogoro ule na badala yake wewe unasema mwinyi na kikwete walikuwa wako wapi??,,unataka sasa kuwaingiza katika vita ya kusimama hapo kuupigania uislam rasmi??maana hamkawii,kusema kwamba kwa kuwa bwana fulani ni muislam basi sasa ameamua kulivalia njuga hili ili kuweza kuweka sawa mambo ya iman yake,ili hali sisi hatukumchagua kwa lengo la kuisimamia dini,najua mengi yatazungumzwa katika hilo,lakini nilishakujib kaka kuhusu hilo,

Bakwata iko affiliated na chama cha mapinduz tokea zama za kuasisiwa kwake,na hivo vyombo viwili pamoja na serikali huwa vinategemeana katika kuwapo kwake na kunawiri kwake usitegemee kama chombo kimoja kinaweza ona uhalali wa chombo kingine kuanguka,


Kitu unachopaswa kukifaham kuhusu ishu hii ni kwamba,mfumo ulioisimika bakwata madarakani ni mfumo ulioshika mizizi na ni mfumo unaolinda maslahi ya wale wanaotaka kuendeleza unyonyaji na kuwafumba watu wasiufaham ukweli,


Kwa wao kushindwa kuisimiaimaia bakwata sio hoja ya kuwaaminisha wanajamii wa kitanzania ya kwamba nyerere alikuwa sahhihi kuanzisha jumiya hiyo



Al Murid THE BIG SHOW,

Salaam.

Kipata fursa tafadhali muulize huyo Nguruvi3,anapodai yakuwa kulikua na harakati za "kumpindua" yule Nyerere wao kutoka kwa Wazee Wetu/Waislam...je kuna ushahidi wowote wa kuthibitisha hayo,khasa katika hao Wazee Wetu aliowataja hapo huyo Nguruvi3!?

Kama kuna "ushahidi" wowote,je walifikishwa mahakama zipi/ipi na walipatwa na hatia zipi au kuhukumiwa wapi,lini na kwa lipi!?

Au ndo uleule mwendelezo wa Dictator Nyerere wa kujitisha na kivuli chake mwenyewe na huku akitafuta excuse ya kuzidi kuwaangamiza na kuwaparaganyisha Waislam!?

Tunajua kulikua hakuna Criminal case/offence yoyote iliyowahi kufunguliwa dhidi ya hao Wazee Wetu aliowataja huyo Nguruvi3 hapo...lakini hata kama ingekuwepo itathibishwa vipi yakuwa haikua ni uonevu tu na one sided story za MfumoKristo/Nyerere!?
Itakuwaje nchi ilokua ya single party system tena chini ya Dictator,khalaf iwe na credibility kwenye judicial system yake!?

Yaani kwa kifupi,ni kama vile leo tukisikia yakuwa ati North Korea imekamata "Waasi" waliotaka kumpindua "Kiongozi" wa Nchi...na "Mahakama" ya nchi hiyo "imethibitisha" hayo na kuwahukumu hao Waasi miaka 800 kila mmoja!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 
Ndugu Wickama subiri kejeli na matusi hutakayopata.. ingawaje maneno yako ni ya busara. Nguruvi3 Asante sana kwa darasa lako tunapata shule ya maana.

Ndugu yangu Alinda;

Kutukanwa hapa JF kwa mimi hakutaisha leo. Waliosoma nyuzi za kina Yericko Nyerere wanayajua sana haya. Nakushukuru sana. Tuko pamoja.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom