Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Hivi wewe Wickama nimekufuatilia post zako zote Unajifanya muungwana kumbe wapi wewe ni Sawa na panya unang'ata na kupuliza!

Boko Aslaam aleykum,

Za siku nyingi ndugu yangu? Mimi na mzee MS tulikuwa tunarushiana mitego kupitia sigara za Julius. Lakini kama unavyoona huyu bwana mwenyewe kasema huwa anasoma between the LINES. Kagundua issue ya sigara ni kama bait (hahahaha). Sasa pamebaki kitu tena?

Boko suala sio kuuma na kupuliza. Suala ni kuwa siamini kuwa tuko kwenye forum hii ili kumfedhehesha mtu au watu. Bottomline tunatarajia tufurahie ule ushindani na Inshallah siku nakutana na wewe kwamba ndiye Boko basi tucheke na kunywa soda/kahawa sio kujuta.

Honestly, huwa na-admire sana Mzee MS anavyo-respond to challenges hata anapokwepa kama hii ya cigarettes. I normally laugh aloud and enjoy. Why not?. Haina maana sitofautiani naye. No.

Boko, nimekusikia na usisite kunirushia ujumbe au pronto correction kama napotoka. Mimi sio malaika.

Shukran sana.
 
Sawa Mzee MS,
Hebu tupumue kidogo. Utamu wa mnakasha ni kuulizana hata ambiguities. Huoni kama kuna a missing link? Walimnunulia baiskeli, mboga, kumpisha malazi, kumfundisha mavazi rasmi (kaptula-NO). What about cigarettes? Iam curious kujua ni wazee gani walikuwa staunch friends wa Julius lakini pia walikuwa smokers!!!! Haiwezekani kwamba kijiwe chote cha hawa wazee hakukuwa na smokers!!!! We know Julius was a confirmed smoker.

Tafadhali sheikh.

Ni jambo jema kuwa na Sheikh Mohamed Said hapa jamvini

Tumia vema hii fursa japo kiduchu, walau kwa kudadisi na kujifunza jambo toka kwa Bi.Mluguru

Kama vile kwanini wanae Abdul, Ali na Nyerere walikua hawasemezani kwa heri tena ni baada ya uhuru?

Kaa kitako upate kufahamu husoyajua wewe Wickama
 
Last edited by a moderator:
Kuna kitu kinaitwa Paranoia( heavily influenced by anxiety or fear, fear of unknown n.k ) samahani kukuingiza anga kama hizo.

Wewe ni miongoni mwa watu wenye paranoia. Yaani kuandika machapisho basi ishakuwa Mohamed Said kwasababu yeye ndiye anaandika machapisho pekee duniani. Nimeeleza wazi kabisa 'Sisi tumeelekeza' nimeonyesha wamiliki wa sentensi ni sisi. Jamani labda tuongee Kiyemi au kiyunani maana hili linashangaza.

Kuhusu Frustration za Mohamed Said ni kweli Mohamed anazo hasa akiangalia kuwa historia haijaandikwa kama anavyojua yeye. Hata mimi ningekuwa na frustration! Fikiria Mshume amemlisha Nyerere na familia yake na kumpa pesa za kununua kitoweo ili asiende kuomba mboga, leo familia yake haijulikani hivi hiyo haitoshi kuleta frustration kweli!

Unajitahidi sana kukwepa uhalisia wako na tabia yako ambayo kuificha hata huwezi. Kumbuka mtu hawezi kuwa na PARANOIA dhidi ya mwingine hivihivi unless umeshawahi kumfanyia kitendo cha kupelekea kukuchukulia hivyo. Ninakusoma sana nguruvi3 katika maandishi yako mengi ambayo unachangia humu jamvini may be ndio kilichonifanya kuwa na Paranoia dhidi yako kwani mawazo yako huwa yamejaa kejeli na dhihaka kwa waislamu na hata maeneo watokayo.
Ok let it go kwani hata utudhihaki na kutukejeli still hauwezi kuzuia mvua ya mabadiliko. Tutaendelea kupaza sauti na kuusema ukweli uliofukiwa miaka mingi kwa makusudi.
 
Tayeb,
Ahsante na Amin.

Bi. Mluguru alikuwa shoga wa bibi yangu mzaa baba Bi. Zena biti Farijala.
Mama wa Kimanyema.

First generation Manyema aliyezaliwa Tanganyika kutokea Belgian Congo.
Nimepokea mengi kutoka kwake.

Huwezi kuamini favourite singer wake alikuwa Harry Belafonte kwa sababu
aliona movie yake ''Island in the Sun.''

Hii ilikuwa katika 1950s.

Mimi katika maneno ya Bi Mluguru ninayoyahifadhi na kuyaenzi ni maneno
aliyosema ilipomfikia taarifa kuwa kuna upasi baina ya wanae Abdu, Ali na
Nyerere...hawasemezani kwa kheri tena baada ya kwishapatikana uhuru.

Hili tuliwekee siku yake.

Wakti ukifika nitafurahi kusikia kisa kingine cha Bibi yetu. Tuseme Inshallah!
 
Wickama,
Haya yote ya baiskeli nk. nk. unataka nikujibu mimi?

Kwa nini nikujibu mimi?
Mie ni chanzo cha taarifa hizo au lipo jingine?

Mzee MS. Nimekuuliza wewe kwa vile huna roho ya mtutu. Basi tuendelee na mengine.
 
sokwe mjadala huu hauna lengo la udini kwa maana ya kubagua! La hasha.
Lengo la uzi huu ni kujaribu kuwapa haki sawa Wale MASHUJAA WOTE WALIFANIKISHA KUTULETEA UHURU KTK NCHI YETU!

Suala ni moja hapa!

Unapoongelea pirika za kupigania uhuru basi HUNA BUDI KUYATAJA MAKANISA NA MISKITI KTK HISTORIA HII.
Na hili linatokana na harakati hizo kufanywa na watu waliokuwa na imani hizo na pirika hizo kupitia ktk miskiti na makanisa!
Tatizo ni kwamba historia halisi IMEBATILISHWA!
Na kilicho batilisha historia hio ni mfumo mmoja unaotutafuna hapa TZ ULITWAO "MFUMO KRISTO"!
Hakuna ubaya wwt kutaja wapiganiaji wa uhuru wetu kuwa walikuwa ni waislamu au wakristo au wapagani!
Ubaya unakuja pale ambapo utataja imani hizi ili kuonyesha kuwa IMANI YAKO BORA KULIKO NYINGI KTK KUPIGANIA UHURU HUO!!
NA NDICHO ALICHO KIFANYA NYERERE!
Na kama umefuatilia mnakasha huu. Maalim Mohamed Said anajaribu kuuelezea ummah ya kuwa SI WAGALATIA PEKE YAO NDI9 WALIOSHIRIKI KTK PIRIKA HIZO!
LA HASHA! Na WAISLAMU PIA WALIKUWEMO LKN MFUMO KRISTO CHINI YA NYERERE UNAJARIBU KUMUONYESHA NYERERE PEKE YAKE KUWA NDIO SHUJAA!

Na utaona kuwa kuna wenye elimu ndogo wapo humu kuugeuza huu uzi kuwa ni wa kidini na SIO UZI UNAOTAKA KUONYESHA HISTORIA HALISI!

I will give you an example:-
We all know that "GURKAS" MOST OF THEM ARE BUDIST.
Why when there was a demonstration in london regards the "GURKAS" who fought alongside british army since second world war TO BE RECORGNISED,

NOBODY SAYS THAT WAS A RELIGIOUS DEMONSTRATION?

How come today when someone decided to show that MUSLIMS DECERVE TO BE RECORGNISED IN TANZANIAN FREEDOM HISTORIES THAT PEOPLE LIKE YOURSELF THINGS "ITS RELIGIOUS BASED THREAD?? WHY??

The only way I can conclude here is PEOPLE ARE JELOUS!

JELOUS OF KNOWING THAT MUSLIMS DID ENDEED PLAY A BIG PART IN TO THE STRUGLE TOWARDS OUR INDEPENDENCE.

Hakuna mtu kasema waislamu ni mahodari kuliko wagalatia!

Au ni wao tu ndio walioshiriki peke yao!
Historia iandikwe kwa haki!

Thats all brother!
And when that happen, we can all chill and relax and may be you guys can drink that dodoma wine and we can have our sharbati and faluda as always!

Teh teh teh teh.
Dr. kahtaan

Huu Ulimbo Mubashar!! Nausoma huku nakunywa tende shake...teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Al.murad CHAMVIGA huyu kijana Nguruvi3 amekuwa akirusha rusha kashfa kama wale kina dada wa uswahilini! Kavaa kanga moja halafu natoa kichwa dirishani, anasema ovyo akiulizwa anasema "kwani umeskia nimetaja jina mie" mnikome babu ee!!

Kijana anaonekana amekulia kama sio kigogo! Basi tandika mikoroshoni pale!

Manake kule kuna wanafiki kama siafu!

Teh teh teh teh!
dr kahtaan
Namfahamu sana siku nyingi huyu kaka. Tatizo moja huwa ni mnafiki sana anajifanza kuufahamu uislamu hasa anapoona mambo yanamwia magumu utasikia akihoji uislamu haufundishi hivyo. Hata hapo kaja na kile alichookita ati ni MTAMA na kuwatoa wazee katika uislamu wao kisa walifanya matambiko. Nani kamuambia muislamu akifanya kosa hata la ukafiri anakuwa kafir? Huyu ni mtu wa ajabu sana kwani anasura mbili katika maandishi yake. Ok twende nae hivyo atleast watu tunapata kuufahamu ukweli kupitia kujikongogonga kwake.
 
Last edited by a moderator:
sokwe mjadala huu hauna lengo la udini kwa maana ya kubagua! La hasha.
Lengo la uzi huu ni kujaribu kuwapa haki sawa Wale MASHUJAA WOTE WALIFANIKISHA KUTULETEA UHURU KTK NCHI YETU!

Suala ni moja hapa!

Unapoongelea pirika za kupigania uhuru basi HUNA BUDI KUYATAJA MAKANISA NA MISKITI KTK HISTORIA HII.
Na hili linatokana na harakati hizo kufanywa na watu waliokuwa na imani hizo na pirika hizo kupitia ktk miskiti na makanisa!
Tatizo ni kwamba historia halisi IMEBATILISHWA!
Na kilicho batilisha historia hio ni mfumo mmoja unaotutafuna hapa TZ ULITWAO "MFUMO KRISTO"!
Hakuna ubaya wwt kutaja wapiganiaji wa uhuru wetu kuwa walikuwa ni waislamu au wakristo au wapagani!
Ubaya unakuja pale ambapo utataja imani hizi ili kuonyesha kuwa IMANI YAKO BORA KULIKO NYINGI KTK KUPIGANIA UHURU HUO!!
NA NDICHO ALICHO KIFANYA NYERERE!
Na kama umefuatilia mnakasha huu. Maalim Mohamed Said anajaribu kuuelezea ummah ya kuwa SI WAGALATIA PEKE YAO NDI9 WALIOSHIRIKI KTK PIRIKA HIZO!
LA HASHA! Na WAISLAMU PIA WALIKUWEMO LKN MFUMO KRISTO CHINI YA NYERERE UNAJARIBU KUMUONYESHA NYERERE PEKE YAKE KUWA NDIO SHUJAA!

Na utaona kuwa kuna wenye elimu ndogo wapo humu kuugeuza huu uzi kuwa ni wa kidini na SIO UZI UNAOTAKA KUONYESHA HISTORIA HALISI!

I will give you an example:-
We all know that "GURKAS" MOST OF THEM ARE BUDIST.
Why when there was a demonstration in london regards the "GURKAS" who fought alongside british army since second world war TO BE RECORGNISED,

NOBODY SAYS THAT WAS A RELIGIOUS DEMONSTRATION?

How come today when someone decided to show that MUSLIMS DECERVE TO BE RECORGNISED IN TANZANIAN FREEDOM HISTORIES THAT PEOPLE LIKE YOURSELF THINGS "ITS RELIGIOUS BASED THREAD?? WHY??

The only way I can conclude here is PEOPLE ARE JELOUS!

JELOUS OF KNOWING THAT MUSLIMS DID ENDEED PLAY A BIG PART IN TO THE STRUGLE TOWARDS OUR INDEPENDENCE.

Hakuna mtu kasema waislamu ni mahodari kuliko wagalatia!

Au ni wao tu ndio walioshiriki peke yao!
Historia iandikwe kwa haki!

Thats all brother!
And when that happen, we can all chill and relax and may be you guys can drink that dodoma wine and we can have our sharbati and faluda as always!

Teh teh teh teh.

Dr. kahtaan,

Naona unamtia majiti huyo sokwe tehe tehe tehe!

Tena yale ya rohoni!
 
Last edited by a moderator:
Unajitahidi sana kukwepa uhalisia wako na tabia yako ambayo kuificha hata huwezi. Kumbuka mtu hawezi kuwa na PARANOIA dhidi ya mwingine hivihivi unless umeshawahi kumfanyia kitendo cha kupelekea kukuchukulia hivyo. Ninakusoma sana nguruvi3 katika maandishi yako mengi ambayo unachangia humu jamvini may be ndio kilichonifanya kuwa na Paranoia dhidi yako kwani mawazo yako huwa yamejaa kejeli na dhihaka kwa waislamu na hata maeneo watokayo.
Ok let it go kwani hata utudhihaki na kutukejeli still hauwezi kuzuia mvua ya mabadiliko. Tutaendelea kupaza sauti na kuusema ukweli uliofukiwa miaka mingi kwa makusudi.
Mujitahid CHAMVIGA.

Kumbe umeishamsoma huyu jama siku zote namwambia wapambane na CCM siyo kupambana na Waislam watashindwa vibaya na kudhalilika.

Toka karne ya saba watu wanaukejeli na kuufanyia dhiaka, matusi, lakini leo hii karne ya 21 Waislam wapo bilioni 2.04 duniani sasa wewe ukileta kejeli si unajisumbua bure.

Lakini hawa wametajwa kwenye Qur'an wala hawatupi shida.
 
Last edited by a moderator:
Sheikh Chamviga; Hili ni suala la Mtizamo. Katika threads zilizotangulia tulishawahi kumuuliza mzee MS kuwa jee huoni kuwa kusimulia mbele ya hadhara nani alikuwa anampa Julius kitu kama chakula, malazi, nk ili kujenga hoja kuwa hakurudisha fadhila kwa familia stahiki wakati hukumpokea wewe ni katika tabia ambazo hata imani yako ya dini hairuhusu? majibu yake hayakuleta suluhu. Alisema ilikuwa lazima yaandikwe hayo ili historia iwe kamili.

Sasa elewa mzee MS ana haki ya mtizamo wake. Kwa kigezo hicho pia mtu mwingine ana haki ya kuiona tabia ya Mzee MS (sustained focus of ridicule and blame on a dead person for own misfortunes) kama tunda la FRUSTRATION. Hapo ndipo Nguruvi kaelekea.

Kuna mengi sana ya kuzungumza dhidi yake mwalimu Nyerere katika makosa yake. Sijaona ubaya kwa mtu uliyemsaidia sehemu ya kulala hata na chakula akaja kukusaliti na kusababisha mauaji yako kuzungumza mema uliyomtendea na asiyajali. Na kama watu wataliona hili la kusema kili ulichokisema kumsaidia mtu ati unamsimanga akashindwa kulaumu kukusababishia uhai wako bila shaka huo ni ukosaji wa fadhila. Nawaashangaa sana kuona Mohamed Said kutaja fadhila nyerere alizozisaliti ni Frustration huku mkiacha kuzungumzia makosa yake. Be fair a little bit my brothers.
 
Last edited by a moderator:
Ni jambo jema kuwa na Sheikh Mohamed Said hapa jamvini

Tumia vema hii fursa japo kiduchu, walau kwa kudadisi na kujifunza jambo toka kwa Bi.Mluguru

Kama vile kwanini wanae Abdul, Ali na Nyerere walikua hawasemezani kwa heri tena ni baada ya uhuru?

Kaa kitako upate kufahamu husoyajua wewe Wickama

Sheikh Tayeb,

Nilinunua kitabu cha mzee MS hapa Tanga many years ago. La maana ni kuwa anayoyasimulia humu JF tulimshauri yawe na ushahidi usio shaka, ambalo sio jambo gumu kwake. MS kanufaika sana na critical outlooks za baadhi yetu ku-shape matoleo yajayo ya kazi zake. Wala sidhani kama sifa kavukavu za wapenzi (za komaa mzee wetu....) zimemsaidia kumjulisha kipi cha kuboresha au kusahihisha kwenye kazi zake.

Tayeb, nakushukuru kwa ushauri wako. Ahsante.
 
Last edited by a moderator:
dr kahtaan
Namfahamu sana siku nyingi huyu kaka. Tatizo moja huwa ni mnafiki sana anajifanza kuufahamu uislamu hasa anapoona mambo yanamwia magumu utasikia akihoji uislamu haufundishi hivyo. Hata hapo kaja na kile alichookita ati ni MTAMA na kuwatoa wazee katika uislamu wao kisa walifanya matambiko. Nani kamuambia muislamu akifanya kosa hata la ukafiri anakuwa kafir? Huyu ni mtu wa ajabu sana kwani anasura mbili katika maandishi yake. Ok twende nae hivyo atleast watu tunapata kuufahamu ukweli kupitia kujikongogonga kwake.
"Man Sharaaf naf'sahu, fahuwa rasul." ~ Mufti Barubaru.
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru kwa ufafanuzi wako ila waliosahaurika ni waislamu pekee Yao? Na Kama sio kwann kusiwe na Uzi mmoja tu? Japokuwa umejaribu kutoa ufafanuzi lakini inaonyesha watu wengi wapo kishabiki/Imani zaidi Kama huyo mheshimiwa anavyodai unanitia majiti!
 
Sokwe,
Waliosahaulika ni Waislam wengi sana na Wakristo wachache.

lakini kwa kuwa historia ya uhuru wa Tanganyika ilitawaliwa na
Waislam kusahauliwa huko kumewatoa Waislam katika historia
nzima.
 
Kuna mengi sana ya kuzungumza dhidi yake mwalimu Nyerere katika makosa yake. Sijaona ubaya kwa mtu uliyemsaidia sehemu ya kulala hata na chakula akaja kukusaliti na kusababisha mauaji yako kuzungumza mema uliyomtendea na asiyajali. Na kama watu wataliona hili la kusema kili ulichokisema kumsaidia mtu ati unamsimanga akashindwa kulaumu kukusababishia uhai wako bila shaka huo ni ukosaji wa fadhila. Nawaashangaa sana kuona Mohamed Said kutaja fadhila nyerere alizozisaliti ni Frustration huku mkiacha kuzungumzia makosa yake. Be fair a little bit my brothers.

Chamviga,
Ili mtu aone simulizi ni masimango au vinginevyo ni lazima achambue namna
jambo lenyewe lilivyohadithiwa.

Ikiwa ni lazima naweza nikaweka tena suala la ukarimu wa Abdu Sykes, Dossa
Aziz, Mzee Mshume si kwa Nyerere peke yake bali hata kwa watu wengine
katika TAA na TANU.
 
Wakti ukifika nitafurahi kusikia kisa kingine cha Bibi yetu. Tuseme Inshallah!

Tayeb,
In Sha Allah.

Nitakueleza jinsi mimi na rafiki yangu Ebby Sykes (mtoto wa Abdulwahid Sykes)
tulivyokuwa tukipewa hela na Bi. Mluguru ya kwenda kununua kaukau hoteli na jinsi
tulivyokuwa tukilinywa togwa la Bi. Mluguru biti Mussa.
 
Kuna mengi sana ya kuzungumza dhidi yake mwalimu Nyerere katika makosa yake. Sijaona ubaya kwa mtu uliyemsaidia sehemu ya kulala hata na chakula akaja kukusaliti na kusababisha mauaji yako kuzungumza mema uliyomtendea na asiyajali. Na kama watu wataliona hili la kusema kili ulichokisema kumsaidia mtu ati unamsimanga akashindwa kulaumu kukusababishia uhai wako bila shaka huo ni ukosaji wa fadhila. Nawaashangaa sana kuona Mohamed Said kutaja fadhila nyerere alizozisaliti ni Frustration huku mkiacha kuzungumzia makosa yake. Be fair a little bit my brothers.

Chamviga; Mchango wako ni mzuri. Awali (Threads ya Yericko...) tulifikia mahali na mzee MS tukakubaliana kila mtu kuwa na msimamo wake katika hili unaloita kusimanga. Binafsi, sina mashaka kabisa ni kusengenya kama utafuata katika sahih hadiths. Na kosa halifanywi ili kusahihisha kosa. Kusita kwangu na analysis yako ni kwa vile sina mahali naposoma ambapo nakuta mwandishi alishawahi kumfanyia fadhila Julius, kisha Julius akamgeuka. Pili, basi tuwekewe angalu wosia au rai ya hao watoa vyakula,malazi,baiskeli wakimpa mwandishi mamlaka ya kuwafichua wao na majina yao na fadhila zao kwa mgeni wao wakati kumbe hatuoni wahusika katika uhai wao wakilalamika kuhusu gharama zao juu ya mgeni huyu.
 
Last edited by a moderator:
Hivi babu yangu aliyepigana vita ya maji maji Mbona sijaona jina lake likitambuliwa Kwenye historia ya nchi hii au Hata inayosimuliwa na MS, au kwa vile babu yangu hakusoma,...? Hata yeye alimbeba Nyerere kwa baiskeli akiieneza TANU,,, Mbona yeye hamumtaji.? Au kwa vile Hana jina la shehe au la ubatizo....?.... Hebu acheni ulalamishi wa kijinga, hivi kila mtanganyika akielezea historia ya ukoo wake ulivyopigania uhuru lakini hawajakumbukwa patatosha kweli hapa,... Kuweni na akili kidogo basi Hata za kuazima zinaruhusiwa ikiwa zako hazitoshi.
 
Sheikh Tayeb,

Nilinunua kitabu cha mzee MS hapa Tanga many years ago. La maana ni kuwa anayoyasimulia humu JF tulimshauri yawe na ushahidi usio shaka, ambalo sio jambo gumu kwake. MS kanufaika sana na critical outlooks za baadhi yetu ku-shape matoleo yajayo ya kazi zake. Wala sidhani kama sifa kavukavu za wapenzi (za komaa mzee wetu....) zimemsaidia kumjulisha kipi cha kuboresha au kusahihisha kwenye kazi zake.

Tayeb, nakushukuru kwa ushauri wako. Ahsante.

Wanasema ukitaka kumficha mswahili jambo weka katika maandishi!

Unaweza ukasoma kitabu chake lakini husifahamu maana!

Na ndio maana anaendelea kutusimulia simulizi nyengine ambazo mimi na wewe hatujapata kuzifahamu hapo kabla!

Au wewe hutaki kupata faida kwanini Abdu, Ali na Nyerere walikua hawasemezani kwa heri tena baada ya kupatikana kwa uhuru?

Hapo hapahitaji hayo makhanatha yako ya "koma mzee"
 
Tayeb,
In Sha Allah.

Nitakueleza jinsi mimi na rafiki yangu Ebby Sykes (mtoto wa Abdulwahid Sykes)
tulivyokuwa tukipewa hela na Bi. Mluguru ya kwenda kununua kaukau hoteli na jinsi
tulivyokuwa tukilinywa togwa la Bi. Mluguru biti Mussa.

Inshallah!
 
Back
Top Bottom