Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Wanajamvi. Amani ya mungu iwe juu yenu wote!
NAOMBA RADHI.

Mi nataka kutoka nje ya mada kidogo.

Unajua toka mwanzo bwana Nguruvi3 na mwenzake Mag3 wamekua wakipeenda sana kutumia maneno kama "inshallah" jazakallah" assalamu alaikum" na meengi ambayo kwa.watu wasio wajua unaweza kupumbaika Wakadhani hawa na WAISLAMU!
Kumbe maskini za mungu bado wako ktk ukafiri!
(Tafadhali msiseme ukafiri ni kashfa! La hasha! Hiki ni cheo)

Sasa mi ushauri wangu ni kuwa, kwa nini wasiingie jumla tu! Wakawa na wao ktk mufaizuun! Tena hasa huyu Nguruvi3 manake wabondei kumfundisha quraan ni kazi ya ziada lkn huyu anaonekana amekaa sana na wadigo! Zile lahja za kiislamu anazo tena kwa wingi tu!

Sasa mimi bwana Nguruvi3 nakukaribisha ktk UISLAMU bwana!

Huku kaka hakuna cha kubatizwa wala kunyweshwa sijui damu ya bwana wala ya mwana!

We ikifika ramadhani si unaona mwenyewe!? Mambo ni faluda. Mihamri. Vibibi, futari za nazi. Na mengi mengineyo!

Wachana na hayo ma kitimoto na uchafu mingine.
Au unasemaje?? Hata kama hujatiwa sunnah (hujatairi) unakaribishwa hivo hivo!
Tutakutahiri mbele ya safari.TENA BURE!
Na kama huna jiko! Basi nasema hadharani hapa kuwa gharama za harusi juu yangu.
Haya ofa hio utaikubali??
 
Last edited by a moderator:
Wala usipate taabu Ritz, nikipata muda nachungulia kidogo...mimi kwa bahati mbaya simo kwa wanaochambua maandiko takatifu, hapana, huko hunikuti kabisaaa...hayo aachiwe kahtaan. Ila huu mnakasha unanikumbusha mbaaali, kama miaka mitatu/minne hivi baada ya kupata uhuru... nilipopata bahati ya kufika jijini Dar es Salaam kuendelea na masomo ya juu. Amini usiamini, ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuwaona kwa macho watu niliokuwa nikisimuliwa tu kwenye hadithi na kuwasoma vitabuni; waswahili...

th
th
th
th


Siku hizi neno Mswahili lina maana tofauti na siku za nyuma na hasa kwa watu wa bara kwani hapo nyuma halikuwa tofauti na neno niggar au negro lilivyotumika kwa weusi huko Marekani. Lakini kwa watu weusi wa huko maneno hayo ni taboo kuyataja hadharani tofauti na hapa kwetu ambako neno mswahili limepata tafsiri mpya tena ya kujivunia. Sitaki kuanzisha mjadala ndani ya mjadala ila mtu akipitia kwa umakini michango ya wengi humu ndani mingi inathibitisha athari ya makuzi waliyoyapata utotoni.
Mag3 samahani naomba nikujibu kiduchu!

Huo upuuzi wako ulioandika hapo juu na mimi unanikumbusha mjinga mmoja anaitwa Amru bin Hisham(Abu Jahl)
huyu bwana akili zake hazina tofauti na akili zako kwasababu zifuatazo:

1. Huyu bwana siku moja walipanga kumuua mtume (S.A.W) wakakutana na wenzake pale Darul Nadwa kwa
mfano wa sasa hivi ni sawa na pale bungeni Dodoma,Abu Jahl(baba wa wajinga) akawaambia wenzake tumueni
Muhamad lakini tuongeni taratibu mungu wake asije akasikia malaika Jibril(Gabriel)akashuka na kumpa taarifa zote
mtume(S.A.W) upuuzi wote uliopangwa palee Darul Nadwa na hapo ndipo alipewa jina la Abu Jahl (baba wa wajinga)

2.Nimekufananisha na huyu bwana kwasababu nyinyi munapenda sana kuwadharau waislamu na hawa wazee
ambao leo hii sisi tunasoma historia halisi kupitia mzee MS ndio munaowafanyia tashtit/istiizai na kuwaita wanywa
kahawa,wazee wa vibarazani hayo sisi watoto wa madrasa tumesha yazoea kwa taarifa yako waislamu wale uliowazoea wa kipindi kile sio hawa wasasa hivi.

Ahsanta,
 
Kijana usipende kuokota maneno kwenye vijiwe vya mbege unaleta JF.

Uislamu kunaubaguzi tena mbaya sana. Achana na hadisi za faizafoxy wewe angalia sasa hivi tu kunaubagu mbaya tena kati ya waislamu kwa waislam.
1. Angalia sudan tu walikuwa waarabu wanawaua waislamu weuisi. Na pale Khartoum utakuta waisla mweusi wanaishi sehemu mbovu.

2. Watu wanaofanya kazi uarabuni kama Kuwait Daktari Muislam Muarabu mkuwait alalipwa zaidi kuliko Daktari Muislam Mbantu.

3. Angalia hapo somalia wao wote waislamu lakini wanapigana miaka nenda rudi.

4 Al Qaida walikuwa wakitoaga pesa ya kuisaidia familia za wanaojilipua. Nawalikuwa wanawalipa hela ndogo watu weusi kuliko waarabu. Wala sio siri.

5. kilamtu anajua ugomvi wa sunni na shia. Wanalipuana kilasiku hapo Iraki. Tena kuona jinsi ilivyokua mbayaa we kawaangalie wairani huwa wanasiku wanamkumbukaga Ali alivyoteswa na waislamu wenzake kwakujitia bakora wenyewe kwenye migongo yao. Utakuta mibaba mizima inalia kwasababu ya uchungu wa mateso aliyopata Ali. Kitu kingine ambacho hata waislamu wengine hawajui nikwamba shia wanaamini Kuruani ilichakachuliwa ilikumuondoa ali kwenye kuruani kwasababu yeye ndie alitakiwa kumfuata mtume kwa ukubwa katita dini baada ya mtume kufa. Alafu watu wanatuambia kuruani haijaandikwa wakati shia wanasema imechakachuliwa
 
Uislamu kunaubaguzi tena mbaya sana. Achana na hadisi za faizafoxy wewe angalia sasa hivi tu kunaubagu mabya tena kati ya waislamu kwa waislam.
1. Angalia sudan tu walikuwa waarabu wanawaua waislamu weuisi. Na pale Khartoum utakuta waisla mweusi wanaishi sehemu mbovu.

2. Watuwabaofanya kazi uarabuni kama Kuwait Daktari Muislam Muarabu mkuwait alalipwa zaidi kuliko Daktari Muislam Mbantu.

3. Angalia hapo somalia wao wote waislamu lakini wanapigana miaka nenda rudi.

4 Al Qaida walikuwa wakitoaga prsa ya kuisaidia filia za wanaojilipua. Nawalikuwa wanawalipa hela ndogo watu weusi kuliko waarabu. Wala sio siri.

5. kilamtu anajua ugomvi wa sunni na shia. Wanalipuana kilasiku hapo Iraki. Tena kuona jinsi ilivyokua mbayaa we kawaangalie wairani huwa wanasiku wanamkumbukaga Ali alivyoteswa na waislamu wenzake kwakijitia bakora wenyewe kwenye migongo yao. Utakuta mibaba mizima inalia kwasababu ya uchungu wa mateso aliyopata Ali. Kitu kingine ambacho hata waislamu wengine hawajui nikwamba shia wanaamini Kuruani ilichakachuliwa ilikumuondoa ali kwenye kuruani kwasababu yeye ndie alitaliwa kumfuata mtume baada ya kufa. Alafu watu wanatuambia kuruani haijaandikwa wakati shia wanasema imechakachuliwa

We nguchiro! Unapoongea maneno kama haya! Unatuwekea na ushahidi kidogo!
Midomo inayotoa mapovu ni miingi mno humu jf!
Stori zako zoote hapo juu. Nyingi tunaziskia kila siku kwenye magazeti ya kigalatia! Na nimesema mara chungu mbovu! WAARABU SIO WAWAKILISHI WA UISLAMU!!!!!
Mbona nyie wagalatia vichwa maji namna hii!???
KATIKA WAISLAMU BILIONI 2 NA ZAIDI,
WAARABU NI ASILIMIA 15% TU!!

SASA MBONA HUSEMI HIO ASLIMIA 85% ILIYOBAKI??

Kama wewe umekwenda shule Ungefahamu kuwa asilimia kubwa ya waislamu ni INDONESIA AMBAO WAKO ZAIDI YA MILIONI 200!!
sasa je unajua namna gani maisha ya waindonesia yalivyo?? Namna gani wanavyo thamini au kudharau weusi??
Mishahara yao na weusi ni sawa??
Wanakula chakula gani??
Hupendekea nini??

NA HAKIKA 100% HUJUI CHOCHOTE KUHUSU HAWA WATU!

NA SIO WEWE TU! KARIBU WAGALATIA WOTE HAWAJUI HATA NAMNA YA KUUTUKANA UISLAMU!

LEO HII KUJISAFISHA KWA KUFUATA ANDIKO LENU WENYEWE HAMJUI!
KWELI UTAJUA SUNNI NA SHIA NI KITU GANI??

Mimi kujaribu kukuelekeza wewe CattleRustler NINI MAANA YA SUNNI AU SHIA! NI SAWA NA KUMFUMDISHA MTOTO WA CHEKECHEA ALJEBRA!.

Sisi ukristo tunaufahamu kuliko nyie mnavyo ufahamu uislamu! Na hilo ndio tatizo kubwa mno!

Mnatujazia server hapa kwa utumbo mnao urudia kila siku!

Hebu ingia kwa huyo padri wenu anaitwa GOOGLE Mtafute kipya!

Kama umekosa kakojoe ulale!
 
Last edited by a moderator:
Wanajamvi. Amani ya mungu iwe juu yenu wote!
NAOMBA RADHI.

Mi nataka kutoka nje ya mada kidogo.

Unajua toka mwanzo bwana Nguruvi3 na mwenzake Mag3 wamekua wakipeenda sana kutumia maneno kama "inshallah" jazakallah" assalamu alaikum" na meengi ambayo kwa.watu wasio wajua unaweza kupumbaika Wakadhani hawa na WAISLAMU!
Kumbe maskini za mungu bado wako ktk ukafiri!
(Tafadhali msiseme ukafiri ni kashfa! La hasha! Hiki ni cheo)

Sasa mi ushauri wangu ni kuwa, kwa nini wasiingie jumla tu! Wakawa na wao ktk mufaizuun! Tena hasa huyu Nguruvi3 manake wabondei kumfundisha quraan ni kazi ya ziada lkn huyu anaonekana amekaa sana na wadigo! Zile lahja za kiislamu anazo tena kwa wingi tu!

Sasa mimi bwana Nguruvi3 nakukaribisha ktk UISLAMU bwana!

Huku kaka hakuna cha kubatizwa wala kunyweshwa sijui damu ya bwana wala ya mwana!

We ikifika ramadhani si unaona mwenyewe!? Mambo ni faluda. Mihamri. Vibibi, futari za nazi. Na mengi mengineyo!

Wachana na hayo ma kitimoto na uchafu mingine.
Au unasemaje?? Hata kama hujatiwa sunnah (hujatairi) unakaribishwa hivo hivo!
Tutakutahiri mbele ya safari.TENA BURE!
Na kama huna jiko! Basi nasema hadharani hapa kuwa gharama za harusi juu yangu.
Haya ofa hio utaikubali??

Ndio maana nimetoka katik huu mjadala haya matusi hapo kwenye si mazuri hata.
 
Last edited by a moderator:
Wala usipate taabu Ritz, nikipata muda nachungulia kidogo...mimi kwa bahati mbaya simo kwa wanaochambua maandiko takatifu, hapana, huko hunikuti kabisaaa...hayo aachiwe kahtaan. Ila huu mnakasha unanikumbusha mbaaali, kama miaka mitatu/minne hivi baada ya kupata uhuru... nilipopata bahati ya kufika jijini Dar es Salaam kuendelea na masomo ya juu. Amini usiamini, ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuwaona kwa macho watu niliokuwa nikisimuliwa tu kwenye hadithi na kuwasoma vitabuni; waswahili...

th
th
th
th


Siku hizi neno Mswahili lina maana tofauti na siku za nyuma na hasa kwa watu wa bara kwani hapo nyuma halikuwa tofauti na neno niggar au negro lilivyotumika kwa weusi huko Marekani. Lakini kwa watu weusi wa huko maneno hayo ni taboo kuyataja hadharani tofauti na hapa kwetu ambako neno mswahili limepata tafsiri mpya tena ya kujivunia. Sitaki kuanzisha mjadala ndani ya mjadala ila mtu akipitia kwa umakini michango ya wengi humu ndani mingi inathibitisha athari ya makuzi waliyoyapata utotoni.

Yani kama pana wajinga hapo ulipo basi wewe ni wa mwisho, na kama pana pahala pana wajinga dunia hii basi wewe ni wa mwisho kabisa kuliko hao, na kama kwa kitendo cha kutokujijua kwako kwamba unapaswa kuvifahamu vitabu vya M/Mungu basi nakupa pole na mambo haya ndo yanakufaa:-

1: hujifai
2: hutufai
3: wanaokufaa ni wale wasojijua kama hawajifai wala hawakufai,

Na mwisho nikupongeze kwa ukweli wako kwa kudhihirisha ujinga wako wa kutokutambua vitabu tajwa hapo juu,

Sasa wawezaje mkosoa ama mpa data mtu alokuzidia?!

Teh! teh! teh!
Au tuamini kauli ile ya akili ndogo/mfu kutaka kuongoza akili kubwa zenye viwango na hikma?

Kwi kwi kwi....!
 
Mbona Al-Qaida walikuwa wanawali familia za watu weusi wanaojilipua pesa ndogo kuliko waarabu wanaojilipua

Watu kama wewe huwa ni vilaza wa hali ya juu, watu wanaongelea "Islam role in Tanzania Freedom Struggle" wewe unatuletea utumbo wako.

Ngoja kina Al Akh kahtaan na Alhabib gombesugu wakukute hapa.
 
Last edited by a moderator:
Uislamu kunaubaguzi tena mbaya sana. Achana na hadisi za faizafoxy wewe angalia sasa hivi tu kunaubagu mbaya tena kati ya waislamu kwa waislam.
1. Angalia sudan tu walikuwa waarabu wanawaua waislamu weuisi. Na pale Khartoum utakuta waisla mweusi wanaishi sehemu mbovu.

2. Watu wanaofanya kazi uarabuni kama Kuwait Daktari Muislam Muarabu mkuwait alalipwa zaidi kuliko Daktari Muislam Mbantu.

3. Angalia hapo somalia wao wote waislamu lakini wanapigana miaka nenda rudi.

4 Al Qaida walikuwa wakitoaga pesa ya kuisaidia familia za wanaojilipua. Nawalikuwa wanawalipa hela ndogo watu weusi kuliko waarabu. Wala sio siri.

5. kilamtu anajua ugomvi wa sunni na shia. Wanalipuana kilasiku hapo Iraki. Tena kuona jinsi ilivyokua mbayaa we kawaangalie wairani huwa wanasiku wanamkumbukaga Ali alivyoteswa na waislamu wenzake kwakujitia bakora wenyewe kwenye migongo yao. Utakuta mibaba mizima inalia kwasababu ya uchungu wa mateso aliyopata Ali. Kitu kingine ambacho hata waislamu wengine hawajui nikwamba shia wanaamini Kuruani ilichakachuliwa ilikumuondoa ali kwenye kuruani kwasababu yeye ndie alitakiwa kumfuata mtume kwa ukubwa katita dini baada ya mtume kufa. Alafu watu wanatuambia kuruani haijaandikwa wakati shia wanasema imechakachuliwa
We khanatha fungua uzi mwingine kuhusu hayo uliyoandika hapo tukufundishe wewe mgala.
 
penye red; mwili ukitaka kitu hautakiwi kuvaa bomu na kuljilipua ili uue na wengine

lord jesus said: mathew 5 :11 "Heri yenu ninyi watu wakiwatukana, wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu.1Furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni. Hivyo ndivyo walivyowadhulumu manabii waliokuwako kabla yenu.


Unajua manabii wa Mungu walipata taabu sana kuwaelimisha watu kama wewe!
Unachambua kile tu unachotaka watu wakione! Hii kwa lugha ya wakoloni tunaiita "selective understanding"
Na ukijaribu kuelekezwa unachagua yale ya kuskia ambayo uyapendayo! Na hii inatwa "selective understanding"
Ukishakuwa na maradhi haya! Wewe na yule mwenye "learning difficulties" hakuna tofauti yyt!

Unamuita Jesus" LORD"

Sasa Hebu tazama andiko lako hapa uone je! Yesu ni Mungu!?

Yakobo 1:13). Mungu hajaribiwi na Shetani.-
(Mat 4:1). Lakini Yesu alijaribiwa na Iblisi.

(Isaya 40:28).Mungu hachoki.
(Yoh. 4:6)Lakini Yesu-alichoka

(Ezekiel 28:8-9).Mungu hauwawi
(Matendo 5:30)Lakini Yesu aliuwawa

Mungu hafi (Daniel 6:26).
Lakini Yesu alikufa (Mat. 27:50)

(1Wafalme 8:39)Mungu anajua kila kitu.Lakini Yesu hakujua kila kitu (mti wa mtini).(Mat. 21:18-19)-Ilhali haukuwa msimu wa matunda-

(Marko 11:13)Mungu hali, lakini Yesu aliona njaa na akala.(Marko 11:12; Luka 11:37-38, 24:42-43)

(Zaburi 121:3-4).Mungu hasinzii.-
Lakini Yesu alilala fofofo.(Marko 4:37-38; Mat. 8:23-25)

Sasa njoo na maneno ya padri sasa!
Ohh yesu alijifanya mungu mtu ili afe! Bla..bla..bla..
KWA MUJIBU WA ANDIKO LAKO MUNGU HAWEZI KUWA NA SIFA YA MWANADAMU!!

Halafu nyie wagalatia mna tabia ya kupindua pindua maneno ili mfanikishe tu hayo mnayo yataka,
Ni kigeugeu kama hicho kitabu chenu!
Hebu onja kidogo mchakachuo wenu hapa:-
.
Michael binti wa Saul hakupata mtoto mpaka kifo chake.(2 samweli 6:23)

Michael binti wa Saul alikuwa na wavulana watano (2 Samweli 21:8)

Benjamin alikuwa na watoto watatu. (1 Mambo ya Nyakati 7:6)

Benjamin alikuwa na watoto watano. (1 Mambo ya Nyakati 8:1-2.

Harun alikufa huko Hor. (Hesabu 33:38)

Haruni alikufa huko Mosera (Kumb. 10:6)

Yehoremu alishikilia kutawala wakati akiwa na umri wa mika 32 alifariki katika miaka 40,(2 Mambo ya Nyakati 21:5) (2 Mambo ya Nyakati 21:20).

Baada ya kifo chake mtoto wake mdogo alishikilia serikali na alikuwa na umri wa miaka 42 wakati ule.(2 Mambo ya Nyakati (22:1-2).

Kana kwamba mwana mdogo alikuwa miaka miwili zaidi kuliko baba mzazi! (9. Mat 5:17; Mat 5:38-40; Hebrew 7:12).

Sungura hucheua (Mambo ya Walawi 11:6). Lakini ukweli ni kwamba Sungura hacheui kabisa.

Yuda aliyemsaliti Yesu alivitupa vile vipande vya fedha alivyopewa kwa udhalimu wake huo, kisha alijinyonga na

wakuu wa Makuhani wakavichukua vipande vya fedha na wakanunulia shamba la kuzikiwa watu (Mat 27:5-7).

Lakini (Matendo 1:18), inasema kwamba Yuda mwenyewe alinunua konde kwa ijara aliyoipata kwa udhalimu wake huo na kisha akaanguka na kupasuka na matumbo yake yote yakatoka.

Yesu alifyolewa na wanyang’anyi wawili aliposulubiwa pamoja nao. (Marko 15:32 ; Mat. 27:44).

Lakini katika Luka 23:39-40, inasema kuwa mnyang’anyi mmoja ndiye aliyemfyolea Yesu.

Yuda alijinyonga.(Mat. 27:5).

Lakini katika Matendo 1:18, imeandikwa kwamba alianguka na kupasuka matumbo yake

Mwanadamu aliumbwa baada ya uumbaji wa wanyama.(Mwanzo 1:25-26).

Lakini katika (Mwanzo 2:18-20), inaonekana mwanadamu aliumbwa kwanza.

Mwandishi wa Torati siye Nabii Musa mwenyewe.

Basi Musa mtumishi wa bwana akafa huko katika nchi ya Moabu kwa neno la Bwana. (Kumb. 34:5).

Mwandishi wa Kitabu cha Mathayo si Mathayo mwenyewe ambaye ni mwanafunzi wa Yesu.(Mat. 9:9).

Msipo angalia mtakufa makafir na adhabu ya Mungu ni kali sana!
KAHTAAN UNATISHA...
NA KAMA HAWATAUONA UKWELI HUU JAHANNAM NI MAREJEO YAO. EE...MUNGU WASAIDIE WAJA WAKO WAUONE UKWELI.
 
Mbona Al-Qaida walikuwa wanawali familia za watu weusi wanaojilipua pesa ndogo kuliko waarabu wanaojilipua

Jina lako linanitatiza kutambua jinsia yako!

Na hili pia linakuwa ni tatizo hata kwenye hizo nyumba zenu za ibada! Mchungwaji avae suruali na mwanakondoo magdalena na yeye avae suruali!!

Andiko lako ninakukataza kuongea bila kufikiri! Lkn wapi!

Mtu kama wewe yesu amekufananisha na mnyama mmoja mchafu sana!

Hebu soma andiko linasema nini kuhusu wanao ropoka;-

Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu, litiapo bilauri rangi yake ishukapo taratibu; mwisho wake huumakama-nyoka; Huchoma kama fir.a.
Macho yako yatakuwa mambo mageni; na 😀(moyo wako utatoa yaliyopotoka)😀

,Naam , utakuwakama-alalaye katikati ya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.-Utasema,wamenichapa wala sikuumia, wamenipiga wala sina habari, Nitaamka lini, nitazidi kuitafuta tena.(Mithali 23:31-35).


Wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kulia, huota ndoto, hulala, hupenda usingizi.
.Naam, mbwa hao wana choyo-sana, hawashibi kamwe; na hao ni wachungaji wasioweza kufahamu neno, wote pia wamegeuka-upande, wazifuate njia zao wenyewe kila mmoja kwa faida yake toka pande zote. Husema, njooni nitaleta divai,na tunywe-sana-kileo na kesho itakuwa lama leo sikukuu kupita kiasi

.(Isaya 56:10-12).

Sasa umeona huyo mnyama hapo juu!
Akiingia msikini sisi tuanauwa! Kwa hio kwa mujibu wa andiko we kaa mbali na msikiti kabisa.
Manake ni najisi MPAKA JIONI!!
 
Uislamu kunaubaguzi tena mbaya sana. Achana na hadisi za faizafoxy wewe angalia sasa hivi tu kunaubagu mbaya tena kati ya waislamu kwa waislam.
1. Angalia sudan tu walikuwa waarabu wanawaua waislamu weuisi. Na pale Khartoum utakuta waisla mweusi wanaishi sehemu mbovu.

2. Watu wanaofanya kazi uarabuni kama Kuwait Daktari Muislam Muarabu mkuwait alalipwa zaidi kuliko Daktari Muislam Mbantu.

3. Angalia hapo somalia wao wote waislamu lakini wanapigana miaka nenda rudi.

4 Al Qaida walikuwa wakitoaga pesa ya kuisaidia familia za wanaojilipua. Nawalikuwa wanawalipa hela ndogo watu weusi kuliko waarabu. Wala sio siri.

5. kilamtu anajua ugomvi wa sunni na shia. Wanalipuana kilasiku hapo Iraki. Tena kuona jinsi ilivyokua mbayaa we kawaangalie wairani huwa wanasiku wanamkumbukaga Ali alivyoteswa na waislamu wenzake kwakujitia bakora wenyewe kwenye migongo yao. Utakuta mibaba mizima inalia kwasababu ya uchungu wa mateso aliyopata Ali. Kitu kingine ambacho hata waislamu wengine hawajui nikwamba shia wanaamini Kuruani ilichakachuliwa ilikumuondoa ali kwenye kuruani kwasababu yeye ndie alitakiwa kumfuata mtume kwa ukubwa katita dini baada ya mtume kufa. Alafu watu wanatuambia kuruani haijaandikwa wakati shia wanasema imechakachuliwa
Wewe kauzu kweli unachanganya uarabu na uislam, wewe kila muarabu kwako ni muislam.

Vita vinavyoendelea Congo mbona vitapiganwa na Wakirsto watupu. Kagame, Kabila, Museveni, hawa wote marais wakirsto vipi dini yao ndiyo imewatuma wapigane vita wagombanie madini.
 
Ndio maana nimetoka katik huu mjadala haya matusi hapo kwenye si mazuri hata.

Viwango vyako vya kujibu hoja vilikuishia labda umeazima tena pahala, acha sababu hapa,
Suna/kutahiriwa ni katika matusi kwa lugha yako?

Hujalazimishwa kukaa katika mjadala huu, nenda katika majukwaa mengine, ntawashauri mods wakufungulie uzi wa porojo na fitna mgala wewe,
 
kahtaan,

Mimi naongelea comment ya faizafoxy kuusu uislam na amani wakati matatizo ya sunni na shia yameanza baada tu muahamed kufa.
 
kahtaan,

Mimi naongelea comment ya faizafoxy kuusu uislam na amani wakati matatizo ya sunni na shia yameanza baada tu muahamed kufa.

Ndio nakujibu!
Wewe Andiko la imani yako hulijui!
Vipi utaweza kujua habari ya SHIA NA SUNNI!
Hebu nikuulize maswali mawili tu!

Kwa mujibu wa andiko lako
1.Nini maana ya utatu mtakatifu?

2.Na je kuna taifa la kikristo lilishawahi kula kinyesi?

Hebu jibu fasta hapa kabla hujatuchafulia uzi!
 
Ritz, kahtaan.

Ukristo, uislamu , dini zote zimeua watu sana. Lakini ukristo umepitia reformation. Ndio maana hata nchi zenye asili ya kikristo hazitaki ukristo kwenye mambo ya serekali kwasababu watu walishirikisha ubongo kuangalia ukristo wakaona ibaki kuwa kitu cha mtu binafsi.
 
kahtaan,

Mimi naongelea comment ya faizafoxy kuusu uislam na amani wakati matatizo ya sunni na shia yameanza baada tu muahamed kufa.
Hizo itirafu za Waislam zipo na Qur'an imesema wazi inapotokea mkaitirafiana basi rudini kwenye Quran na Sunna.

Umeishajiuliza kwa nini Shia na Sunna hawana matatizo nchi zingine wanaishi pamoja isipokuwa Iraq na Iran?

Hawa nagombanishwa na makafiri wasipate kuwa wamoja kutokana na mafuta yao na utajiri.

Tanzania kuna Shia na Shuni, Kenya, Uganda, Marekani, Uingereza. Karibia dunia nzima lakini hawapigani.
 
Ritz, kahtaan.

Ukristo, uislamu , dini zote zimeua watu sana. Lakini ukristo umepitia reformation. Ndio maana hata nchi zenye asili ya kikristo hazitaki ukristo kwenye mambo ya serekali kwasababu watu walishirikisha ubongo kuangalia ukristo wakaona ibaki kuwa kitu cha mtu binafsi.

Kweli kabisa! Chochote ambacho kimetengenezwa na kubuniwa na MWANAADAMU LZM KINAHITAJI REFORMATION (maregebisho)

Hizo reformation ndio huo mchakachuo ambao umesababisha leo ULIBERALI UWE HALALI KTK MAKANISA!

Na kesho mtafanya maregebisho mengine na mtaanza kuoa watoto wenu mlio wazaa!

SISI DINI YETU TOKA IMEKUJA MPAKA KESHO KIYAMA HAITOBADILIKA!.

Ni DINI ALITULETEA MUUMBA NA KITOKACHO KWA MUNGU HAKINA HAJA YA KUREGEBISHWA!

Asante kwa kuwa mkweli.
 
Hizo itirafu za Waislam zipo na Qur'an imesema wazi inapotokea mkaitirafiana basi rudini kwenye Quran na Sunna.

Umeishajiuliza kwa nini Shia na Sunna hawana matatizo nchi zingine wanaishi pamoja isipokuwa Iraq na Iran?

Hawa nagombanishwa na makafiri wasipate kuwa wamoja kutokana na mafuta yao na utajiri.

Tanzania kuna Shia na Shuni, Kenya, Uganda, Marekani, Uingereza. Karibia dunia nzima lakini hawapigani.

Shariff Ritz huyu kijana unampeleka kwenye bahari ndefu hii! Huyu anataka aliff kwa kijti!
Tartiibu shariff.
Ahsant
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom