Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Ningekua mimi ni huyu kiumbe 2013 ningeona haya na kunyoosha mikono juu kwa hizo bayana za Dr. kahtaan

Walishashindwa Makasisi kwa hizo hoja za Yesu mwana wa Maria/Maryam

Halafu wewe tena unarejesha mada hiyo kwa Dr kahtaan teh teh teh!

Si muda mrefu huyu mchungwaji 2013 ataingia kwenye dini yetu ya haki!

Waislam tuseme Insha Allah!

Insha Allah.
 
Last edited by a moderator:
mkuu kuna mambo mawili ningependa muyaache kabisakwaninni kikwazo kwa wengine kujiunga nanyi, moja la hicho chakula, na la pili amalo ni muhimu zaidi, kwani la kwanza mtu anaweza kukwepa kula istoshe sio lazima, lakini hili la pili linapelekea kuonekana shetani amewazidi nguvu, hili la kujilipua na wasio na hatia, huku mkiungana na kupeana sapoti kuendeleza ugaidi duniani,linawafanya binadamu kupoteza utu wake aliopewa na mungu, kama mnadhani halitokani na imani yenu basi muanzishe council kwa hao wenzenu wanaotumia njia hiyo kama sehemu ya ibada.japo napata hofu kuwa hakuna njia ya moja kwa moja ya nyinyi kuiona mbingu kiulaini zaidi, kama hiyo ya kufanya biashara na allah kupitia kuu roho za wengine kwa mnapovaa mabomu na kujilipua dhidi ya non believers. najua hata mkiwa-council hao al shababu hawatakubali kwani wana hamu na pombe ya peponi kwakuwa wamenyimwa hii ya duniani na hawana uhakika na njia nyingine ya kuiona mbingu. frankly speaking, hakuna kitu kinawaudhi wakristo na atheist woote ulimwenguni kama hicho cha ugaidi.

Unasemaje??
Yaani kwasababu leo UMEFAHAMU KUWA ULE MKATE WA BWANA NA MAVI MAKAVU NDIO UNASEMA KULA SIO LAZIMA SIO?
teh teh teh teh teh!
Sasa nikufahamishe kuwa MIMI NIMESOMA KWENYE SHULE ILIOKUWA CHINI YA KANISA! NA KWENYE KULA HUO MKATE LAZIMA KILA MTU ALE!

Wale wanaharamu hata mimi wamelisha huo mkate kwa sababu nilikuwa mdogo siujui! Yalaiti ningejua kuwa WANAKULA MAVI walahi ningemkata zote yule teacher wangu! Hana maana ati!

Na kila mara unarudia habari ya kuripuana!
Mimi nimekupa andiko KUTOKA KTK BIBLIA linalo KUAMRISHA WEWE UKAUE WATU WENGI TU!
Na je! Unafahamu MTU WA KWANZA KUJITOA MUHANGA NA KUUA ZAIDI YA WATU ALFU TATU YUKO NDANI YA BIBLIA??
UKITAKA ANDIKO NINALO KWENYE MOJA YA MIKOBA YANGU HAPA! WE ULIZA TU!!

Sasa Hebu nipe andiko kwenye QURAAN LINALO RUHUSU KURIPUANA MABOMU!

Halafu tuendelee,
Manake wewe inabidi nikupeleke kama mtoto wa miaka mitatu!
 
Ningekua mimi ni huyu kiumbe 2013 ningeona haya na kunyoosha mikono juu kwa hizo bayana za Dr. kahtaan

Walishashindwa Makasisi kwa hizo hoja za Yesu mwana wa Maria/Maryam

Halafu wewe tena unarejesha mada hiyo kwa Dr kahtaan teh teh teh!

Si muda mrefu huyu mchungwaji 2013 ataingia kwenye dini yetu ya haki!

Waislam tuseme Insha Allah!

In sha Allah
 
Last edited by a moderator:
mkuu kuna mambo mawili ningependa muyaache kabisakwaninni kikwazo kwa wengine kujiunga nanyi, moja la hicho chakula, na la pili amalo ni muhimu zaidi, kwani la kwanza mtu anaweza kukwepa kula istoshe sio lazima, lakini hili la pili linapelekea kuonekana shetani amewazidi nguvu, hili la kujilipua na wasio na hatia, huku mkiungana na kupeana sapoti kuendeleza ugaidi duniani,linawafanya binadamu kupoteza utu wake aliopewa na mungu, kama mnadhani halitokani na imani yenu basi muanzishe council kwa hao wenzenu wanaotumia njia hiyo kama sehemu ya ibada.japo napata hofu kuwa hakuna njia ya moja kwa moja ya nyinyi kuiona mbingu bila kama hiyo ya kuvaa mabomu na kujilipua dhidi ya non believers. najua hata mkiwa-council al shababu hawatakubali kwani wana hamu na pombe ya peponi kwakuwa wamenyimwa hii ya duniani. frankly speaking, hakuna kitu kinawaudhi wakristo na atheist kama hicho cha ugaidi

Usiogope kuingia kwenye Uislam kwa maneno ya kusikia toka kwa watu kua Uislam ni ugaidi!

Kumbuka kuna Uislam na Muislam, hata wewe unaweza ukawa gaidi lakini hiyo haina maana IMANI yako unayoifuata ni Gaidi.

Hakuna andiko linalosema Uislam ni Ugaidi.

Joseph Kony na NLRA anafanya Ugaidi wa kutisha sana, je tuhukumu imani yake ndio Ugaidi?

Mimi nakukaribisha sana katika Uislam, ikiwezekana ni PM kama unaona haya hapa jamvini lakini nia yako unataka kumfurahisha ALLAH kwa kuingia kwenye dini ya haki.

Tafadhali njoo kwenye Uislam, husisikie maneno ya kubumba toka kwa watu.
 
mkuu kuna mambo mawili ningependa muyaache kabisakwaninni kikwazo kwa wengine kujiunga nanyi, moja la hicho chakula, na la pili amalo ni muhimu zaidi, kwani la kwanza mtu anaweza kukwepa kula istoshe sio lazima, l

Ndugu 2013 nakusihi ujaribu kuelewa kuwa MIMI SIKO HAPA KUJARIBU KUSHINDANA ILA NAJARIBU KUKUONYESHA YALIO YA HAKI!
Na wewe uatakapo epuka na adhabu ya moto Hio ni Faida kwako!
mkuu 2013 NAOMBA NIKUULIZE HAPA! Hivi kweli toka mwanzo wa malumbano yangu mimi na wewe na USHAHIDI WOOTW HUO NI KWELI KABISA HUJAONA KASORO YA HIO IMANI YA KIKRISTO?? NA NI KWELI KABISA UNADHANI UKIENDELEA KUABUDU UNACHOKIABUDU UTAINGIA KTK UZIMA WA MILELE??
Ndugu yangu ktk humanity! Nakuomba UOKOE NAFSI YAKO NA ADHABU YA MUNGU! WE HUONI MILIONS OF CHRISTIAN WANAUWACHA UKRISTO KILA SIKU NA KUINGIA KTKT UISLAMU?

WE UNADHANI WOTE HAO KTK NCHI TOFAUTI HAWANA BUSARA?? AU HAWAJUI BIBLIA KAMA WEWE?? WAKIWEMO MA PADRE NA WACHUNGAJI NA MA ATBISHOPS!!

Ohh 2013 I WISH IF I COULD OPEN MY HEART AND YOU CAN SEE WHAT I SAW!! I DO WISH!

Lkn at the end of the day, UAMUZI NI WAKO, NA WEWE KESHO UKIAMUA KUINGIA KTKT DINI YA HAKI, Y A KUABUDU MUNGU MMOJA TU, mimi silipwi wala sidhani kama tutawahi kukutana, Mungu ndio ajuae mwisho wangu na wako!

Nakukaribisha WITH MY open heart ktk UISLAMU!

THANK YOU.
 
Ndugu 2013 nakusihi ujaribu kuelewa kuwa MIMI SIKO HAPA KUJARIBU KUSHINDANA ILA NAJARIBU KUKUONYESHA YALIO YA HAKI!
Na wewe uatakapo epuka na adhabu ya moto Hio ni Faida kwako!
mkuu 2013 NAOMBA NIKUULIZE HAPA! Hivi kweli toka mwanzo wa malumbano yangu mimi na wewe na USHAHIDI WOOTW HUO NI KWELI KABISA HUJAONA KASORO YA HIO IMANI YA KIKRISTO?? NA NI KWELI KABISA UNADHANI UKIENDELEA KUABUDU UNACHOKIABUDU UTAINGIA KTK UZIMA WA MILELE??
Ndugu yangu ktk humanity! Nakuomba UOKOE NAFSI YAKO NA ADHABU YA MUNGU! WE HUONI MILIONS OF CHRISTIAN WANAUWACHA UKRISTO KILA SIKU NA KUINGIA KTKT UISLAMU?

WE UNADHANI WOTE HAO KTK NCHI TOFAUTI HAWANA BUSARA?? AU HAWAJUI BIBLIA KAMA WEWE?? WAKIWEMO MA PADRE NA WACHUNGAJI NA MA ATBISHOPS!!

Ohh 2013 I WISH IF I COULD OPEN MY HEART AND YOU CAN SEE WHAT I SAW!! I DO WISH!

Lkn at the end of the day, UAMUZI NI WAKO, NA WEWE KESHO UKIAMUA KUINGIA KTKT DINI YA HAKI, Y A KUABUDU MUNGU MMOJA TU, mimi silipwi wala sidhani kama tutawahi kukutana, Mungu ndio ajuae mwisho wangu na wako!

Nakukaribisha WITH MY open heart ktk UISLAMU!

TJANK YOU.

Kahtaan,
Allah atakulipa kwa jitihada zako In Sha Allah.
Amin.

Wanaukumbi,
Nimeona kuna wanajamvi wengi sana wanapenda kufanya majadiliano
katika uwanja wa ''comparative religion'' hata katika mada ambazo kwa
kawaida isingelikuwa hivyo.

Nawawekea hapa mada niliyotoa Chuo Kikuu Cha Johannesburg, Afrika
Kusini mwaka 2006 kuhusu somo hilo, mada ambayo nillitoa tena Islamic
Propagation Centre International (IPCI), Durban kwa mwaliko maalum wa
IPCI.

Katika mada hii kuna mengi ya kujifunza khasa kuhusu jinsi serikali, viongozi
wa dini na wanachi wa kawaida wanavyoguswa na kile kinachojulikana kama
''mihadhara
ya kashfa.''
 
Kahtaan,
Allah atakulipa kwa jitihada zako In Sha Allah.
Amin.

Wanaukumbi,
Nimeona kuna wanajamvi wengi sana wanapenda kufanya majadiliano
katika uwanja wa ''comparative religion'' hata katika mada ambazo kwa
kawaida isingelikuwa hivyo.

Nawawekea hapa mada niliyotoa Chuo Kikuu Cha Johannesburg, Afrika
Kusini mwaka 2006 kuhusu somo hilo, mada ambayo nillitoa tena Islamic
Propagation Centre International (IPCI), Durban kwa mwaliko maalum wa
IPCI.

Katika mada hii kuna mengi ya kujifunza khasa kuhusu jinsi serikali, viongozi
wa dini na wanachi wa kawaida wanavyoguswa na kile kinachojulikana kama
''mihadhara
ya kashfa.''

Sheikh Mohamed Said ahsante kwa dua zako!
Aamin ya rab!
Na wewe Allah akuongeze baraka na siha njema kwa kutupa elimu ghali kabisa ambayo wengi wetu tulikuwa hatuijui!

Na pia NAKUOMBA RADHI kwa kutokuweza kuwavumulia hawa walio ugeuza uzi huu kuwa wa kidini!

Na matokeo yake uzi umetoka kwenye reli kabisa! Lkn we ni mzee wetu unaeona hapa kuwa wakati mwingine inabidi tutoke nje ya mada ili kujaribu kuwaelekeza hawa binaadamu wenzetu wanapokwenda mrama!

Nakuomba radhi kwa mara nyingine.

Jazakallah kheir fee daaraiyn!
Amiin.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu 2013 nakusihi ujaribu kuelewa kuwa MIMI SIKO HAPA KUJARIBU KUSHINDANA ILA NAJARIBU KUKUONYESHA YALIO YA HAKI!
Na wewe uatakapo epuka na adhabu ya moto Hio ni Faida kwako!
mkuu 2013 NAOMBA NIKUULIZE HAPA! Hivi kweli toka mwanzo wa malumbano yangu mimi na wewe na USHAHIDI WOOTW HUO NI KWELI KABISA HUJAONA KASORO YA HIO IMANI YA KIKRISTO?? NA NI KWELI KABISA UNADHANI UKIENDELEA KUABUDU UNACHOKIABUDU UTAINGIA KTK UZIMA WA MILELE??
Ndugu yangu ktk humanity! Nakuomba UOKOE NAFSI YAKO NA ADHABU YA MUNGU! WE HUONI MILIONS OF CHRISTIAN WANAUWACHA UKRISTO KILA SIKU NA KUINGIA KTKT UISLAMU?

WE UNADHANI WOTE HAO KTK NCHI TOFAUTI HAWANA BUSARA?? AU HAWAJUI BIBLIA KAMA WEWE?? WAKIWEMO MA PADRE NA WACHUNGAJI NA MA ATBISHOPS!!

Ohh 2013 I WISH IF I COULD OPEN MY HEART AND YOU CAN SEE WHAT I SAW!! I DO WISH!

Lkn at the end of the day, UAMUZI NI WAKO, NA WEWE KESHO UKIAMUA KUINGIA KTKT DINI YA HAKI, Y A KUABUDU MUNGU MMOJA TU, mimi silipwi wala sidhani kama tutawahi kukutana, Mungu ndio ajuae mwisho wangu na wako!

Nakukaribisha WITH MY open heart ktk UISLAMU!

THANK YOU.

Dr. Hamisi Hussein - Tuwasaidie waislamu 1.avi - YouTube
Dr. Paul Hamisi Hussein - ISLAM TO CHRISTIANITY 1.mpg - YouTube
Rev. Adam Haji Mohammed - Ogopa Mungu - YouTube
wengine link zao hapa
Healing AIDS and HIV - Sheik Mohammed Amen (Muslim Testimony) - YouTube
Wahabbi Muslim's Conversion / The Quran Dilema - Al Fadi / CBN (Muslim Testimony) - YouTube
Lebanese Muslim Who Hated Christians and Jews Met Jesus / From Jihad to Jesus - Jerry Rassamni - YouTube
Muslims
mkuu ningeomba uwafuatilie hao walioritadi then uniambiye nikitu gani unakiona wanazusha. binafsi nahisi huyo shekh paul hussein utakuwa unamjua zaidi wakati alipokuwa katika uislamu
 
Ndugu zangu Waislaam,

Wamejiingiza watu humu kwenye mjadala na kuubadili kuwa ni wakidini na si wahistoria tena. Nasi tumeingia kichwa kichwa.

Naomba turudi kwenye mada.

Wanafanya makusudi, dawa yao ni kuwawacha bila kuwajibu pindi wanapotoka nje ya mada au tumuwache mmoja tu awashughulikie, napendekeza Kahtaan abaki nao hao akiwapa za uso, wengine tujikite kwenye mada.

Wanacheza na emotions zetu.


Naunga Mkono hoja,

Ulamaa Kahtan endelea na hao wanaoharibu mjadala huku sisi wengine tukiendelea kufyonza ilm
 
Unasemaje??
Yaani kwasababu leo UMEFAHAMU KUWA ULE MKATE WA BWANA NA MAVI MAKAVU NDIO UNASEMA KULA SIO LAZIMA SIO?
teh teh teh teh teh!
Sasa nikufahamishe kuwa MIMI NIMESOMA KWENYE SHULE ILIOKUWA CHINI YA KANISA! NA KWENYE KULA HUO MKATE LAZIMA KILA MTU ALE!

Wale wanaharamu hata mimi wamelisha huo mkate kwa sababu nilikuwa mdogo siujui! Yalaiti ningejua kuwa WANAKULA MAVI walahi ningemkata zote yule teacher wangu! Hana maana ati!

Na kila mara unarudia habari ya kuripuana!
Mimi nimekupa andiko KUTOKA KTK BIBLIA linalo KUAMRISHA WEWE UKAUE WATU WENGI TU!
Na je! Unafahamu MTU WA KWANZA KUJITOA MUHANGA NA KUUA ZAIDI YA WATU ALFU TATU YUKO NDANI YA BIBLIA??
UKITAKA ANDIKO NINALO KWENYE MOJA YA MIKOBA YANGU HAPA! WE ULIZA TU!!

Sasa Hebu nipe andiko kwenye QURAAN LINALO RUHUSU KURIPUANA MABOMU!

Halafu tuendelee,
Manake wewe inabidi nikupeleke kama mtoto wa miaka mitatu!


Nakusoma sana Al akhiy,

Hivi,hapo ulipo una mikoba mingapi??

Teh teh teh,wewe bwana khabari zako ni pevu kweli kweli
 

Teh teh teh teh!
Mkuu wangu leo umenifanya nicheke kwa sauti kubwa mno!
Unajua hii ndio mara ya kwanza kuskia kinyaruanda na kiswahili kwa pamoja!
Thanks for that!
In regards to speech! Hivi kweli wewe 2013 unataka kusema kuwa haya maneno ya huyu jamaa huyaoni kuwa ni uzushi 100%??

Amasema yeye kasoma shule moja na USAMA BIN LADEN! teh teh teh teh!

Halafu USAMA AKAGEUKA KUWA MWALIMU!!

Halafu anasema akitaka kusafiri huwa AMEMTENGENEZA JINI WAKE AITWAE ASSAFAR!! Halafu ikifika wakati wa kusafiri anazunguka nyuma ya nyumba HALAFU ANAITA ILE MIZIMU YA UKOO WAKE!!
Sasa KAMA YEYE KATENGENEZA JINI "ASSAFAR" KWA NINI AITE MIZIMU TENA??
Yaani mara KAISHA MSAHAHU GHAFLA "ASSAFAR!!"??
Teh teh teh teh teh!

Halafu mkuu hebu fikiri kidogo! Wewe hata kama huna elimu hii je! unadhani JINI NI BISCUTI? Au km mkate!?
Basi unaamua tu KUTENGENEZA??
teh teh teh teh teh!

Hebu ngoja nikupe faida kidogo!

Jinni ni VIUMBE KAMA MIMI NA WEWE!
Na ktk hao MAJINI WAKO WAZURI NA WABAYA KM SISI BINAADAMU!

Na Mungu anasema ktk QURAAN;-
Quraan 51; 56

وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنْسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ

I created the jinn and humankind only that they might worship Me.

Mungu kaumba binaadamu na kaumba majini kwa lengo moja tu! Nalo ni kumuabudu yeye!

Sasa huyo mchungwaji anapose AMETENGENEZA JINI lbd atusaidie kutufundisha hapa ALITUMIA MATERIAL GANI??

Na hizo video zingine maneno yao mengi ni UPAKO UPAKO TU! KUELEWEKA INATAKIWA NA WEWE UKAE KI UPAKO UPAKO!
Na mimi na UPAKO kama vile WEWE NA FALUDA! Hata kuifahamu huifahamu!
Na mimi hivohivo!
Teh teh teh teh!
You make me laugh a lot today!.
Thanks.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh teh!
Mkuu wangu leo umenifanya nicheke kwa sauti kubwa mno!
Unajua hii ndio mara ya kwanza kuskia kinyaruanda na kiswahili kwa pamoja!
Thanks for that!
In regards to speech! Hivi kweli wewe 2013 unataka kusema kuwa haya maneno ya huyu jamaa huyaoni kuwa ni uzushi 100%??

Amasema yeye kasoma shule moja na USAMA BIN LADEN! teh teh teh teh!

Halafu USAMA AKAGEUKA KUWA MWALIMU!!

Halafu anasema akitaka kusafiri huwa AMEMTENGENEZA JINI WAKE AITWAE ASSAFAR!! Halafu ikifika wakati wa kusafiri anazunguka nyuma ya nyumba HALAFU ANAITA ILE MIZIMU YA UKOO WAKE!!
Sasa KAMA YEYE KATENGENEZA JINI "ASSAFAR" KWA NINI AITE MIZIMU TENA??
Yaani mara KAISHA MSAHAHU GHAFLA "ASSAFAR!!"??
Teh teh teh teh teh!

Halafu mkuu hebu fikiri kidogo! Wewe hata kama huna elimu hii je! unadhani JINI NI BISCUTI? Au km mkate!?
Basi unaamua tu KUTENGENEZA??
teh teh teh teh teh!

Hebu ngoja nikupe faida kidogo!

Jinni ni VIUMBE KAMA MIMI NA WEWE!
Na ktk hao MAJINI WAKO WAZURI NA WABAYA KM SISI BINAADAMU!

Na Mungu anasema ktk QURAAN;-
Quraan 51; 56

وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنْسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ

I created the jinn and humankind only that they might worship Me.

Mungu kaumba binaadamu na kaumba majini kwa lengo moja tu! Nalo ni kumuabudu yeye!

Sasa huyo mchungwaji anapose AMETENGENEZA JINI lbd atusaidie kutufundisha hapa ALITUMIA MATERIAL GANI??

Na hizo video zingine maneno yao mengi ni UPAKO UPAKO TU! KUELEWEKA INATAKIWA NA WEWE UKAE KI UPAKO UPAKO!
Na mimi na UPAKO kama vile WEWE NA FALUDA! Hata kuifahamu huifahamu!
Na mimi hivohivo!
Teh teh teh teh!
You make me laugh a lot today!.
Thanks.
yohana 16: 6 Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu.7 Naye akiisha kuja, huyo atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu.8 Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi;9 kwa habari ya haki, kwa sababu mimi naenda zangu kwa Baba, wala hamnioni tena;10 kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.
iweje majini wamuabudu mungu ili hali bibilia inasema wamekwisha hukumiwa?

mathayo:
18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. 19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; 20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
waefeso 6:10 Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake. 11 Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani. 12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. 13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.14 Basi simameni, hali mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani, 15 na kufungiwa miguu utayari tupatao kwa Injili ya amani; 16 zaidi ya yote mkiitwaa ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu. 17 Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu; 18 kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote;
Je, Shetani Ni Kiumbe Halisi? | Biblia Inasema Nini?
majini ni mashetani na ushirika na majini ni uchawi
 
Nakusoma sana Al akhiy,

Hivi,hapo ulipo una mikoba mingapi??

Teh teh teh,wewe bwana khabari zako ni pevu kweli kweli

Ya sheikh THE BIG SHOW hapa ndugu yangu nina mikoba kama fundi vitanda!
Teh teh teh teh! Manake wakati mwingine nikiwa na haraka huwa natoa dawa kwenye mkoba tofauti halafu nikimpa hio dozi mgonjwa basi wengine huzirai kwanza!
Halafu akipata fahamu hataki hata kuniona tena!

Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
yohana 16: 6 Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu.7 Naye akiisha kuja, huyo atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu.8 Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi;9 kwa habari ya haki, kwa sababu mimi naenda zangu kwa Baba, wala hamnioni tena;10 kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.
iweje majini wamuabudu mungu ili hali bibilia inasema wamekwisha hukumiwa?

mathayo:
18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. 19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; 20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
waefeso 6:10 Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake. 11 Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani. 12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. 13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.14 Basi simameni, hali mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani, 15 na kufungiwa miguu utayari tupatao kwa Injili ya amani; 16 zaidi ya yote mkiitwaa ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu. 17 Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu; 18 kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote;
Je, Shetani Ni Kiumbe Halisi? | Biblia Inasema Nini?
majini ni mashetani na ushirika na majini ni uchawi

Kijana 2013 unapotumia Maandiko ambayo UNAAMINI NI YA MUNGU!
Basi jaribu kuyatendea haki! Na kamwe usiongezw chumvi zako!
Utalaaniwa!

Ktk hio yohana 16 : 6 HAKUNA SEHEMU MUNGU ANASEMA MAJINI WAMEISHA HUKUMIWA!! Hio UMESEMA WEWE 2013!!

Na HAKUNA SEHEMU KWENYE BIBLIA INASEMA MAJINI NI MASHETANI!!

Lzm ufahamu kuwa SIO MAJINI WOTE NI MASHETANI lkn MASHETANI WOTE WANATOKANA NA MAJINI!

Kama hujaelewa hapo juu Niulize! LKN USISEME UONGO JUU YA YESU!
Unaweza kudhurika!
 
Last edited by a moderator:
Naunga Mkono hoja,

Ulamaa Kahtan endelea na hao wanaoharibu mjadala huku sisi wengine tukiendelea kufyonza ilm

@Dr Kahtani .namimi nashauri abaki nao awape darsa kidogo wakileta mchezo awachape hinzirani khamsu wa ishirini
 
Ya sheikh THE BIG SHOW hapa ndugu yangu nina mikoba kama fundi vitanda!
Teh teh teh teh! Manake wakati mwingine nikiwa na haraka huwa natoa dawa kwenye mkoba tofauti halafu nikimpa hio dozi mgonjwa basi wengine huzirai kwanza!
Halafu akipata fahamu hataki hata kuniona tena!

Teh teh teh teh!
Dawa ya nguchuro kama wapo wengi kupiga moto msitu wote kudadaki.

Teh teh teh.
 
Last edited by a moderator:
Kijana 2013 unapotumia Maandiko ambayo UNAAMINI NI YA MUNGU!
Basi jaribu kuyatendea haki! Na kamwe usiongezw chumvi zako!
Utalaaniwa!

Ktk hio yohana 16 : 6 HAKUNA SEHEMU MUNGU ANASEMA MAJINI WAMEISHA HUKUMIWA!! Hio UMESEMA WEWE 2013!!

Na HAKUNA SEHEMU KWENYE BIBLIA INASEMA MAJINI NI MASHETANI!!

Lzm ufahamu kuwa SIO MAJINI WOTE NI MASHETANI lkn MASHETANI WOTE WANATOKANA NA MAJINI!

Kama hujaelewa hapo juu Niulize! LKN USISEME UONGO JUU YA YESU!
Unaweza kudhurika!
ISLAMIC vs. CHRISTIANITY | NEW HOPE MINISTRY
1 Yoh 3:8
" atendaye dhambi ni wa Ibilisi kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi mwana wa Mungu alidhihirishwa ili azivunje kazi za Ibilisi.

penye green
2 wakorintho 13 Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.
14 Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao.
1yohana2 21 Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo, yeye amkanaye Baba na Mwana.22 Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia. 23 Ninyi basi, hilo mlilolisikia tangu mwanzo na likae ndani yenu. Ikiwa hilo mlilolisikiatangu mwanzo linakaa ndani yenu, ninyi nanyi mtakaa ndani ya Mwana, na ndani ya Baba. 24 Na hii ndiyo ahadi aliyotuahidia, yaani, uzima wa milele.
kumbuka waliopewa kitabu*

luka 11
20 Lakini, ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajilia.21 Mtu mwenye nguvu aliyejifunga silaha zake, alindapo nyumba yake, vitu vyake vi salama;22 lakini mtu mwenye nguvu kuliko yeye atakapomwendea na kumshinda, amnyang'anya silaha zake zote alizokuwa akizitegemea, na kuyagawanya mateka yake.23 Mtu ambaye si pamoja nami yu kinyume changu; na mtu asiyekusanya pamoja nami hutawanya.24 Pepo mchafu amtokapo mtu, hupitia mahali pasipo maji, akitafuta mahali pa kupumzika; asipoona, husema,25 Nitairudia nyumba yangu niliyotoka.26 Hata afikapo, akaiona imefagiwa na kupambwa, ndipo huenda akachukua pepo wengine saba, walio waovu kuliko yeye mwenyewe, wakaingia na kukaa humo; na mtu yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza.27 Ikawa alipokuwa akisema maneno hayo, mwanamke mmoja katika mkutano alipaza sauti yake, akamwambia, Heri tumbo lililokuzaa, na matiti uliyonyonya.28 Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika.
1yohana 3:
24 Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.
 
Dawa ya nguchuro kama wapo wengi kupiga moto msitu wote kudadaki.

Teh teh teh.
4 1yohana 3:14 Kila amchukiaye ndugu yake ni mwuaji: nanyi mnajua ya kuwa kila mwuaji hana uzima wa milele ukikaa ndani yake.

1yohana 2:
15 Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia.16 Na dunia inapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele.17 Watoto, ni wakati wa mwisho; na kama vile mlivyosikia kwamba mpinga Kristo yuaja, hata sasa wapinga Kristo wengi wamekwisha kuwapo. Kwa sababu hiyo twajua ya kuwa ni wakati wa mwisho.18 Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.
 
Assalaamu alaykum kwa woote ambao wanahusika na maamkizi mema kama haya, poleneni wale ambao kwa namna moja ama nyingine mmekuwa mkinitaraji kuchangia na bahati nbaya kutokana zilizo nje ya uwezo wangu haikuwa hivyo,

Pia kwa wale wapinzani nakuombeni sana utulivu jamvini ili tuweze kupata peana ilmu na tafakuri za kina,

Ahsanteni.
 
4 1yohana 3:14 Kila amchukiaye ndugu yake ni mwuaji: nanyi mnajua ya kuwa kila mwuaji hana uzima wa milele ukikaa ndani yake.

1yohana 2:
15 Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia.16 Na dunia inapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele.17 Watoto, ni wakati wa mwisho; na kama vile mlivyosikia kwamba mpinga Kristo yuaja, hata sasa wapinga Kristo wengi wamekwisha kuwapo. Kwa sababu hiyo twajua ya kuwa ni wakati wa mwisho.18 Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.


Ohh wauwaji hawapati uzima wa milele!

Kijana acha longalonga! Hebu nipe andiko linalosema kuwa WAKRISTO WATAPATA UZIMA WA MILELE ili na mimi mnibatize!
Manake tunawakumbusha lkn bado wagumu kuelewa!
We si unasema umeahidiwa uzima wa milele!?
Leta andiko !
 
Back
Top Bottom