Islamic Scholar anasema Waislamu wanaonewa wivu na dini zingine sababu ya Warembo Mabikra 72 watakaopewa Peponi

Islamic scholar anasema People are jealous of our 72 virgins, tazama mwenyewe video


View attachment 2961527

View attachment 2961522


FaizaFoxy hivi kwa wanawake wakifika huko akhera wao watafaidika na nini? au ndo watakuwa wanatolewa kama zawadi kwa wanaume? hatari sana. mimi kwa kweli hizi zawadi nazitaka sana.... ni kupiga mashine usiku mchana.......nachagua watoto wakali. akina Jagina na warembo wengine....piga sana mashine. makafir lazima yaone wivu kwa kweli.
 
Itakuwa na wao wanapewa raha maradufu wakati wanaingiliwa.
 
Ni kweli.

Hilo ndiyo fundisho lenye utata sana.

Na ndiyoinawapa molari waislamu wengi kuitafuta pepo.

Lakini, swali linakuja.
Kama mwanaume wa kiislamu ameahidiwa kufanya ngono na wanawake mabikra 72 huko peponi, Mwanamke wa kiislamu ameahidiwa nini?

Hili swali Hajjat FaizaFoxy huwa hataki kabisa kulisikia, mara nyingi huwa anatoka nduki!
 
Wanaomba wakifika huko wawe wanaume
 
Kwahiyo huyo mzee huko juu anaandaa vyumba na pombe za kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…