Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We si ni Atheist au kuna muda dishi lako huwa linacheza [emoji848]Wewe nae huko kwa yesu hakuna kuoa wala kuolewa ni kuimba tu nan aje huko , ofa ya huku ni kubwa na ni nzuri sana , jitafakarini[emoji848]
Na imeharibu mipango yake kwa sehemu kubwa sana kuliko yaliyokuwa marajio yake.Ila Shetani amefanikiwa sana kwenye hii imani.hii dini alianzisha pope kwa malengo yake
Yaani alllah huko aliko kwa sasa atakuwa hadi masikio yameziba kwa kelele zinazopigwa na mabikira maelfu na wanaume waislamu maelfu wapalestina waliouawa na Hamas wanaobamizana vitandani mabikira wakilia kwa utamu na wanaume wakilia kwa utamuNdio maana wanajilipua
Pia na mimi niulize wajibu vitoto vichanga vya kiume mfano vilivyouawa Gaza kliniki hospitali Gaza vikiwa na mama zao migongoni vitapewa nini huko kwa allah? Kwa mujibu wa Allah na kuruaniWANAUME WAMEAHIDIWA MADEMU 72 HUKO AKHERA. JE WANAWAKE WAMEAHIDIWA NINI????????????????????????????
Dishi ni nini mkuuWe si ni Atheist au kuna muda dishi lako huwa linacheza [emoji848]
Tunawaonea wivu kwa ajili ya hili: hebu onaIslamic scholar anasema People are jealous of our 72 virgins, tazama mwenyewe video
View attachment 2961527
View attachment 2961522
Labda pepo ya kwa "MACHENI"FaizaFoxy hivi kwa wanawake wakifika huko akhera wao watafaidika na nini? au ndo watakuwa wanatolewa kama zawadi kwa wanaume? hatari sana. mimi kwa kweli hizi zawadi nazitaka sana.... ni kupiga mashine usiku mchana.......nachagua watoto wakali. akina Jagina na warembo wengine....piga sana mashine. makafir lazima yaone wivu kwa kweli.
Yaani jamaa anajivunia mambo kama hayo, kweli dini zina matatizoIslamic scholar anasema People are jealous of our 72 virgins, tazama mwenyewe video
View attachment 2961527
View attachment 2961522
Huyo mwigizaji anaitwa nani vile?MPOKEE YESU LEO ATAKUWEKA HURU View attachment 2961538
waisilamu wengi ni weupe sana vichwani tofauti na wenzao wa kristo
Duuuh aiseee
Itakuwa mchanganyiko, ni raha sana.Halafu Shehe hajasema hao mabikra 72 ni Weusi Waarabu Wazungu au Wachina?
Amina.MPOKEE YESU LEO ATAKUWEKA HURU View attachment 2961538