Islamic Scholar anasema Waislamu wanaonewa wivu na dini zingine sababu ya Warembo Mabikra 72 watakaopewa Peponi

Islamic Scholar anasema Waislamu wanaonewa wivu na dini zingine sababu ya Warembo Mabikra 72 watakaopewa Peponi

Wanawake wa kiislamu wao wameahidiwa nini?
Iko hv,
Peponi Kuna wanawake wa sampuli mbili
1.wanawake walioumbwa wao wapo peponi wakisubir waumini watakaofaulu ili waolewe nao ndo hao mabikra ambao hawajawah guswa na mwanaume yeyote Wala kuonekana.
2wanawake ambao tulioishi nao duniani ,hawa wao ambaye atafanikiwa kuingia peponi ataubwa kwa umbo jengne lisilo kuwa Hili Kias kwamba hamna kubleed Wala Aina yoyote ya uchafu, na wataolewa na wanaume wa peponi au Kama mke na mume watafanikiwa kuingia peponi Basi watabaki kuwa mke na mume milele.
NB:1.sisi waislamu tunaamini dunia Ni gereza ambalo typo ili kufanya matendo mema tuu ili tukifa ndo tukaishi, na huwa nashangaa mtu Anastaajabu eti peponi watu wanafanya tendo ? Ndivyo maana ndo sehemu ilowekwa kwa ajili ya starehe na maisha ya milele,
Kama wew unaamini umeumbwa upate tabu duniani na huko pia upate tabu duuh pole Sana.
2.chochote unachosikia kuhusu pepo jua Ni vtu havijawahi kuonekana Wala kuskika kwahyo usivitafakari kwa upeo mdog wa akili yako.
 
Iko hv,
Peponi Kuna wanawake wa sampuli mbili
1.wanawake walioumbwa wao wapo peponi wakisubir waumini watakaofaulu ili waolewe nao ndo hao mabikra ambao hawajawah guswa na mwanaume yeyote Wala kuonekana.
2wanawake ambao tulioishi nao duniani ,hawa wao ambaye atafanikiwa kuingia peponi ataubwa kwa umbo jengne lisilo kuwa Hili Kias kwamba hamna kubleed Wala Aina yoyote ya uchafu, na wataolewa na wanaume wa peponi au Kama mke na mume watafanikiwa kuingia peponi Basi watabaki kuwa mke na mume milele.
NB:1.sisi waislamu tunaamini dunia Ni gereza ambalo typo ili kufanya matendo mema tuu ili tukifa ndo tukaishi, na huwa nashangaa mtu Anastaajabu eti peponi watu wanafanya tendo ? Ndivyo maana ndo sehemu ilowekwa kwa ajili ya starehe na maisha ya milele,
Kama wew unaamini umeumbwa upate tabu duniani na huko pia upate tabu duuh pole Sana.
2.chochote unachosikia kuhusu pepo jua Ni vtu havijawahi kuonekana Wala kuskika kwahyo usivitafakari kwa upeo mdog wa akili yako.
Mambo Jambo. Stori za kuunga unga.

Binafsi sijawahi kuwaamini mashehe wala manabii na porojo zao.
 
Iko hv,
Peponi Kuna wanawake wa sampuli mbili
1.wanawake walioumbwa wao wapo peponi wakisubir waumini watakaofaulu ili waolewe nao ndo hao mabikra ambao hawajawah guswa na mwanaume yeyote Wala kuonekana.
2wanawake ambao tulioishi nao duniani ,hawa wao ambaye atafanikiwa kuingia peponi ataubwa kwa umbo jengne lisilo kuwa Hili Kias kwamba hamna kubleed Wala Aina yoyote ya uchafu, na wataolewa na wanaume wa peponi au Kama mke na mume watafanikiwa kuingia peponi Basi watabaki kuwa mke na mume milele.
NB:1.sisi waislamu tunaamini dunia Ni gereza ambalo typo ili kufanya matendo mema tuu ili tukifa ndo tukaishi, na huwa nashangaa mtu Anastaajabu eti peponi watu wanafanya tendo ? Ndivyo maana ndo sehemu ilowekwa kwa ajili ya starehe na maisha ya milele,
Kama wew unaamini umeumbwa upate tabu duniani na huko pia upate tabu duuh pole Sana.
2.chochote unachosikia kuhusu pepo jua Ni vtu havijawahi kuonekana Wala kuskika kwahyo usivitafakari kwa upeo mdog wa akili yako.
Duh, na wewe unaamini kabisa huu ugoro, huu ujinga mnaopata kutoka Ngano za kale umeharibu kabisa akili zenu
 
Back
Top Bottom