Mpaka leo hii Kenya inaendelea kubagua, kunyanyapaa na kunyanyasa maelfu ya raia wake wenye asili ya Nubia hadi kupelekea serikali kukataa kuwapa watoto uraia punde wanapozaliwa, ili wakiwa wakubwa washindwe kufurahia haki zao za msingi kama watoto wa Luo na Kikuyu. Aina hii ya ujuha huwezi kuukuta kabisa hata Somalia.
Mkuu hoja ya msingi, Yale maandiko aliyo quote kwenye kitabu chenu ni kweli ama amekosea? Haya mambo ya maisha ya kila siku yapo kwenye jamii zote duniani, kama amekosea kosoa Ili na mm nisiyeelewa nijifunzeMpaka leo hii Kenya inaendelea kubagua, kunyanyapaa na kunyanyasa maelfu ya raia wake wenye asili ya Nubia hadi kupelekea serikali kukataa kuwapa watoto uraia punde wanapozaliwa, ili wakiwa wakubwa washindwe kufurahia haki zao za msingi kama watoto wa Luo na Kikuyu. Aina hii ya ujuha huwezi kuukuta kabisa hata Somalia.
Kitabu chetu kipi ?Mkuu hoja ya msingi, Yale maandiko aliyo quote kwenye kitabu chenu ni kweli ama amekosea? Haya mambo ya maisha ya kila siku yapo kwenye jamii zote duniani, kama amekosea kosoa Ili na mm nisiyeelewa nijifunze
Soma comment number 6Kitabu chetu kipi ?
Hiyo comment ndiyo kitabu changu ?Soma comment number 6
Kwamba kwasababu hivyo matendo maovu hayafanywi na dini bali serikali ya Kenya ndiyo yamekuwa halali ?Hayo unayoyataja hayafanywi na dini, ni mambo ya sera za nchi kama ambavyo Tanzania iliwahi kufukuza Wanyarwanda wazawa sijui kule Kagera....wengine walikua wameishi zaidi ya miaka 45
Lakini hili la nyie kujilipua kwa weusi wenzenu kisa mwarabu mnayemuabudu ni ujuha sana...tena waarabu wanawachukia sana weusi.
Wee kwepa kwepa tu, yeye ame quote maandiko ya kitabu chenu wewe unakimbilia kwenye hoja ya ukabila Kenya nk. Wewe jibu au kosoa kwenye comment no 6, hayo maandiko ndiyo magaidi wanatumia kujilipua na kuuwa watu Ili kuyatekeleza. Je, ni kweli Kuna maandiko hayo au kawasingizia nisaidie kupambana naye?Hiyo comment ndiyo kitabu changu ?
Leo hii wewe ukiua mtu kwasababu ya chuki za ukabila, halafu mimi nikaua kwasababu ya dini unadhani kwenye ulimwengu wa watu waliostaarabika tutakuwa na utofauti wowote ule ? Mantiki rahisi kabisa imekupita.Wee kwepa kwepa tu, yeye ame quote maandiko ya kitabu chenu wewe unakimbilia kwenye hoja ya ukabila Kenya nk. Wewe jibu au kosoa kwenye comment no 6, hayo maandiko ndiyo magaidi wanatumia kujilipua na kuuwa watu Ili kuyatekeleza. Je, ni kweli Kuna maandiko hayo au kawasingizia nisaidie kupambana naye?