"Islamic State," have killed at least 36 people in an overnight attack in eastern Congo


Hayo unayoyataja hayafanywi na dini, ni mambo ya sera za nchi kama ambavyo Tanzania iliwahi kufukuza Wanyarwanda wazawa sijui kule Kagera....wengine walikua wameishi zaidi ya miaka 45
Lakini hili la nyie kujilipua kwa weusi wenzenu kisa mwarabu mnayemuabudu ni ujuha sana...tena waarabu wanawachukia sana weusi.
 
Mkuu hoja ya msingi, Yale maandiko aliyo quote kwenye kitabu chenu ni kweli ama amekosea? Haya mambo ya maisha ya kila siku yapo kwenye jamii zote duniani, kama amekosea kosoa Ili na mm nisiyeelewa nijifunze
 
Mkuu hoja ya msingi, Yale maandiko aliyo quote kwenye kitabu chenu ni kweli ama amekosea? Haya mambo ya maisha ya kila siku yapo kwenye jamii zote duniani, kama amekosea kosoa Ili na mm nisiyeelewa nijifunze
Kitabu chetu kipi ?
 
Kwamba kwasababu hivyo matendo maovu hayafanywi na dini bali serikali ya Kenya ndiyo yamekuwa halali ?
 
Hiyo comment ndiyo kitabu changu ?
Wee kwepa kwepa tu, yeye ame quote maandiko ya kitabu chenu wewe unakimbilia kwenye hoja ya ukabila Kenya nk. Wewe jibu au kosoa kwenye comment no 6, hayo maandiko ndiyo magaidi wanatumia kujilipua na kuuwa watu Ili kuyatekeleza. Je, ni kweli Kuna maandiko hayo au kawasingizia nisaidie kupambana naye?
 
Leo hii wewe ukiua mtu kwasababu ya chuki za ukabila, halafu mimi nikaua kwasababu ya dini unadhani kwenye ulimwengu wa watu waliostaarabika tutakuwa na utofauti wowote ule ? Mantiki rahisi kabisa imekupita.
 
Kwamba kwasababu hivyo matendo maovu hayafanywi na dini bali serikali ya Kenya ndiyo yamekuwa halali ?

Dini gani inawatia mzuka wa kujilipua ndani ya waafrika wenzenu, ni ujuha aisei hehehe ila mna laana nyie.
 
DRC ina majanga mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…