field marshall1
JF-Expert Member
- Sep 17, 2017
- 1,171
- 2,732
Nimewahi kusikiliza online TV inaitwa Zanzibar Kamili, kuna mahojiano ya huyo anayeitwa Ismael Jussa ( Nadhani nimetaja jina lake la pili vizuri), huyo Jussa wakati akifanya uchambuzi wa vitabu, kuna sehamu amesema kuwa Nyerere alikuwa anawakandamiza viongozi wa ZNZ kuanzia wakati wa vuguvugu la Jumbe, Salmin Amour, na wengine, halafu akarejea kuwa pia alihusika wakati wa mapinduzi na wakati wa mauaji ya Karume.
Ninavyoelewa Karume aliuawa na Kanali Humudi na sababu wanazijua fika, kusema Nyerere kahusika ili aendelee kuinyonya ZNZ inahitaji ushahidi ambao kimsingi huyo Jussa na hiyo TV Kamili ya ZNZ wanapaswa kuuleta.
Kuna mengi yanaongewa ambayo yametiwa chumvi na hilo kundi la Jussa na wenzake akiwemo yule anayeitwa OMO, badala ya kufanya kazi ya kuijenga nchi ya Zinjibari anazunguka huko na huko kuichafua Serikali na Rais wa ZNZ.
Kuna kipindi kimoja Jussa alikaririwa akisema kuwa Waarabu hawakuhusika na biashara ya watumwa, akawatupia lawama wananchi Waafrika weusi, aka-justify kuwa Zanzibar ilikaliwa kwanza na Waarabu....yaani ndiyo first people. Wengine wote, yaani Waafrika weusi walikuja kutoka Bara na kuwa huwezi kutenganisha ZNZ na Uislaam, yaani Serikali na dini ni kitu kimoja....Ni ya kweli hayo?
Eti kuna mtu mweusi alikuwa akimiliki watumwa ndiyo moja ya justification kwamba kila mtu alihusika na biashara ya utumwa, lakini akikataa kuwa waarabu siyo wahusika...atuthibitishie hayo.
Lingine alisema kuwa Waingereza walishindwa kwenye vita vya SUEZ CANAL na misri ndiyo maana walikuwa na hasira na ZNZ, Wakati kila mtu anajua kuwa Egypt ilipigwa na mfereji ukafunguliwa kwa meli zote zipite hapo hadi leo hakuna anayethubutu kuufunga tena....Hata hajui hiyo ilikuwa ile vita iliyoitwa " Six day war" au Yom Kippur. Kwanini anatudanganya?
Kuna mengi ambayo anahitaji kuthibitisha....mpelekeni polisi akathibitishe, ila safari hii msimvunje miguu tena.
Kwanini mnaruhusu non-credible sources of information katika nchi hii iendelee kueneza uongo wa mtu mmoja au wawili wajinga
Ninavyoelewa Karume aliuawa na Kanali Humudi na sababu wanazijua fika, kusema Nyerere kahusika ili aendelee kuinyonya ZNZ inahitaji ushahidi ambao kimsingi huyo Jussa na hiyo TV Kamili ya ZNZ wanapaswa kuuleta.
Kuna mengi yanaongewa ambayo yametiwa chumvi na hilo kundi la Jussa na wenzake akiwemo yule anayeitwa OMO, badala ya kufanya kazi ya kuijenga nchi ya Zinjibari anazunguka huko na huko kuichafua Serikali na Rais wa ZNZ.
Kuna kipindi kimoja Jussa alikaririwa akisema kuwa Waarabu hawakuhusika na biashara ya watumwa, akawatupia lawama wananchi Waafrika weusi, aka-justify kuwa Zanzibar ilikaliwa kwanza na Waarabu....yaani ndiyo first people. Wengine wote, yaani Waafrika weusi walikuja kutoka Bara na kuwa huwezi kutenganisha ZNZ na Uislaam, yaani Serikali na dini ni kitu kimoja....Ni ya kweli hayo?
Eti kuna mtu mweusi alikuwa akimiliki watumwa ndiyo moja ya justification kwamba kila mtu alihusika na biashara ya utumwa, lakini akikataa kuwa waarabu siyo wahusika...atuthibitishie hayo.
Lingine alisema kuwa Waingereza walishindwa kwenye vita vya SUEZ CANAL na misri ndiyo maana walikuwa na hasira na ZNZ, Wakati kila mtu anajua kuwa Egypt ilipigwa na mfereji ukafunguliwa kwa meli zote zipite hapo hadi leo hakuna anayethubutu kuufunga tena....Hata hajui hiyo ilikuwa ile vita iliyoitwa " Six day war" au Yom Kippur. Kwanini anatudanganya?
Kuna mengi ambayo anahitaji kuthibitisha....mpelekeni polisi akathibitishe, ila safari hii msimvunje miguu tena.
Kwanini mnaruhusu non-credible sources of information katika nchi hii iendelee kueneza uongo wa mtu mmoja au wawili wajinga