Wakina nani wanakuja kiongozi?Wanakuja wenyewe mkuu
Hii ikija Tanzania sijui TEAM KATAA NDOA watakimbilia wapiAlikua haombi za kusukia? Za kulipa umeme na maji, kwanini yeye asimlipe kaka bondia
Mwanamke hata azaliwe jupiter bado tabia zitakuwa sawa na aliye zaliwa nantumboSUMMARY
Charlotte Powdrell, aliyekuwa mchumba wa bondia Israel Adesanya amemburuta mahakamani Israel Adesanya [mwanamasumbwi] akitaka alipwe nusu ya mali za mwanamasumbwi huyo kwa madahi kwamba alidumu naye katika uchumba kwa muda mrefu (miaka minne). Wanawake Mungu anawaona!!
Huyo mwanamke ana vinasaba vya kiuuaji kabisa!Mwanamke hata azaliwe jupiter bado tabia zitakuwa sawa na aliye zaliwa nantumbo
Ikija Tanzania zitaandaliwa mbinu za counter-attack!Hii ikija Tanzania sijui TEAM KATAA NDOA watakimbilia wapi
Atafute hela zake huyu keng...Huyo mwanamke ana vinasaba vya kiuuaji kabisa!
Hebu tupe hiyo counter attackIkija Tanzania zitaandaliwa mbinu za counter-attack!
Kama hakufata nyendo za Ashraf Hakeem amekwisha!!Aliye kuwa mpenzi wa bingwa wa ngumu za ndondi wa uzito wa kati UFC Israel Adasanya anayeitwa Charlotte powdrell amaemburuta mahakamani bondia huyo akidai nusu ya mali yake kwa sababu ya kukaa muda mrefu kwenye mahusiano.
Wawili hao hawakuwahi kufunga ndoa mpaka wanaachana na hawakubahatika kupata mtoto kwa kipindi cha miaka minne ya mahusiano yao
Yakitufikia mbinu zitapatikana hapo hapo, kwasasa zikiwa declared tutaharibu mambo!Hebu tupe hiyo counter attack
Kwahiyo kila kona wanaume tumebanwa!!!Safi maana wale sogea tuishi wakome