- Thread starter
- #21
Huyu mwamba alikuja na mbinu mpya ya kuto kuoa , kumbe demu anamangalia na kusema hiiiiiii hiiiiiiiKama hakufata nyendo za Ashraf Hakeem amekwisha!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mwamba alikuja na mbinu mpya ya kuto kuoa , kumbe demu anamangalia na kusema hiiiiiii hiiiiiiiKama hakufata nyendo za Ashraf Hakeem amekwisha!!
Bondia ni raia wa wapi?Huyu mwamba alikuja na mbinu mpya ya kuto kuoa , kumbe demu anamangalia na kusema hiiiiiii hiiiiiii
Hapo kimeumana lazma adate kudadekiHuyu mwamba alikuja na mbinu mpya ya kuto kuoa , kumbe demu anamangalia na kusema hiiiiiii hiiiiiii
NigeriaBondia ni raia wa wapi?
Ndio mkuuKwahiyo kila kona wanaume tumebanwa!!!
Amtikisie vibuyu, kwasasa hakuna njia nyingine. Wakina Akufo hawawezi shindwa kwenye suala la vibuyu!Nigeria
chapa ilaleHautaki kuoa unataka nini?
Haya mmetuweza, hata TEAM KATAA NDOA wanatafuta pa kujificha hali si swali mwanadada kachafuaNdio mkuu
Oh, okaychapa ilale
Nimekukubali ila ni ujinga wa hawa mastaa wetu wanapenda kushobokea ngozi nyeupe ila mwisho wa siku wanafirisika kasoro MWAMBA HAKIMchapa ilale
Nilivyo oa tu, maisha yangu yalibadilika yalikuwa magumu sana. Nilivyo acha mke nimerudi kama zamaniHaya mmetuweza, hata TEAM KATAA NDOA wanatafuta pa kujificha hali si swali mwanadada kachafua
safi sanaNilivyo oa tu, maisha yangu yalibadilika yalikuwa magumu sana. Nilivyo acha mke nimerudi kama zamani
Aliye kuwa mpenzi wa bingwa wa ngumu za ndondi wa uzito wa kati UFC Israel Adasanya anayeitwa Charlotte powdrell amaemburuta mahakamani bondia huyo akidai nusu ya mali yake kwa sababu ya kukaa muda mrefu kwenye mahusiano.
Wawili hao hawakuwahi kufunga ndoa mpaka wanaachana na hawakubahatika kupata mtoto kwa kipindi cha miaka minne ya mahusiano yao
Vipi hamkugawana nusu kwa nusu.Nilivyo oa tu, maishaisha yangu yalibadilika yalikuwa magumu sana. Nilivyo acha mke nimerudi kama zamani
we kojolea ilo shimoVipi kuhusu mahusiano ya muda mrefu?
Upo sahihi kwa kiasi kikubwa, yaani binti wa kizungu hawezi kukupenda hivi hivi. Hapa usiingize wale wabibi wa kizungu walio kata tamaaMwanamke wa kizungu (wengi wao)akimpenda Muafrika sababu kuu huwa ni mali basi.
Mahakaman bila chet amna kitu na bora jamaa akufunga ndoa saiv angekuwa analia chakushukuru alishtuka mapema.Safi maana wale sogea tuishi wakomen
Sana yan wanaingia ndoan kimachale..ndoa na mahusiano ya huko ulaya, marekani na nchi za wenzetu aiseee ni ngumu sana kwa wanaume