gTurn
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 2,651
- 4,151
Connection ya Allah huwezi kuijua wew ambaye humtambui nabii Ayoub A S alipoteza kila kitu na ugonjwa akakimbiwa na kila Mtu, alichomuomba Allah ni ulimi angalau ulimi wake ubaki aweze kuomuomba je alikua ameachwa!? Wana wa Israel walifanyia unyama kila mtoto wa kiume alichinjwa na wao kukatwa viungo Kwa kupishanisha je Mungu alikua kawaacha,?Allah huyu huyu aliyekula kona wakati watu wake wanapewa kichapo
Most of you hamuelewi Mola anafanyaje kazi ndio maana mtu akipata shida kidogo anatapatapa mara Kwa waganga, mara anahama kanisa kiujumla ukiyapa thamani sana maisha ya Dunia utakua disappointed TU utake usitake, shetani ana umri mrefu zaidi kuliko wewe, na Hana matumaini zaid yako wew hivyo hajali maisha Yako.
Waislam katka history wameshatwangana vita nyingi mno na Kuna nyingine wamepigwa vibaya Kuna nyingine wamekimbiwa na baadhi ya wanajeshi vitani mpambano yakiendelea, Kuna nyingine walishinda Kwa wanajeshi wachache mno dhidi ya kundi kubwa. Hivyo kuachwa na Allah Hilo sahau huo ni mtihani Kam ilivyo mithani mingine Kama ugonjwa,umaskini, utajiri,elimu kubwa,kutokuwa na elimu,kuuguza usijekukata tamaa na rehma za Mwenyezi Mungu Kwa kua hajakujibu maombi Yako Kwa wakati Kwa kua yeye anajua zaidi ni muda Gani na majibu Gani unastahili muda upi Kuna wengine wanamaombi tofauti na unavyotarajia hivyo Mungu hujibu ulichoomba au hukuletea kilicho bora zaidi. Yapo mengi ya kuandika