Israel hostages looks happy and healthy

Israel hostages looks happy and healthy

Imole

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2021
Posts
1,438
Reaction score
4,053
Mateka waliochwa leo kutoka kwa hamas wameonekana wakiwa kwenye afya nzuri hali inayoashiria walikua sehemu salama na walikua wakiishi vizuri, tofauti na wapalestina waliochwa kutoka jela za waisrael ukiwaona tu unajua wametoka kwenye mateso.

Huu ni mfano bora kuwa waislamu ni watu wema, na Mazayuni mungu awalaani wao ndio chanzo cha matatizo yote haya.
 

Attachments

  • IMG_20250125_221621_895.jpg
    IMG_20250125_221621_895.jpg
    105.5 KB · Views: 2
  • IMG_20250125_221622_003.jpg
    IMG_20250125_221622_003.jpg
    114.5 KB · Views: 4
Hapa ndo walikua wakienda kwenye makabidhiano na red cross licha ya kuwa kwenye mikono ya hamas but they look very happy indeed
 

Attachments

  • VID_20250125_221731_352.mp4
    8.8 MB
Ila Israel hili suala la kusitisha vita limewaumiza sana. Unaweza kuona wanavyochelewesha kuwaachia mateka, na hata leo baada ya kuwaachia wakawapiga risasi!
Wale maluuni ni watu wa fujo hii ceasefire haitodumu kule lebanon wamesema hawatatoka ndani ya lebanon baada ya muda wa makubaliano kuisha maana yake hezbollah akirespond tu vita vinaanza upya yaani wao ni fujo fujo tu ila asiyejua anaona kama wao ndo hua wanaanzwa.
 
Baadae Wamkamate Netanyahu kwa uuaji wa halaiki Genocidal actions.

Kuna katoto ka Palestina kameuwawa 1hr before ceasfire. Inauma sana.
Tuyombe ceasefire iwe na mashiko, kuna watu wanateseka, hata kwa kuona picha tu za wanaoteseka.
 
Baadae Wamkamate Netanyahu kwa uuaji wa halaiki Genocidal actions.

Kuna katoto ka Palestina kameuwawa 1hr before ceasfire. Inauma sana.
Tuyombe ceasefire iwe na mashiko, kuna watu wanateseka, hata kwa kuona picha tu za wanaoteseka.
Mayahudi wao hawahitaji amani kwa sababu wanajiona so special wanataka wamdictate kila mtu aliyewazunguka usipokubaliana nao basi ni vita
 
Baadae Wamkamate Netanyahu kwa uuaji wa halaiki Genocidal actions.

Kuna katoto ka Palestina kameuwawa 1hr before ceasfire. Inauma sana.
Tuyombe ceasefire iwe na mashiko, kuna watu wanateseka, hata kwa kuona picha tu za wanaoteseka.
Lebanon ceasefire agreement inasema baada ya siku 60 wawe wameshaondoka ndani ya lebanon now wanasema hawataweza kuondoka lebabon after sixty days maana yake hezbollah akirespond vita inaanza tena
 
Kiukweli hilo jambo limenishangaza, mabinti wamenawiri sana tofauti na mateka wallioachiwa kutoka Israel wamekonda na wanaonekana kuwa na matatizo ya akili!
Wewe angalia thamani yao. Muisrael mmoja sawa na wapalestina 50! Yaani wamebadilishana waisrael 4 magaidi 200.
 
Back
Top Bottom