Israel imeahidi kitita cha Tsh Bilioni 13.2 ($5M) kwa yeyote atakayesaidia kurudisha mateka kutoka Gaza

Washagundua Hamas hawana Mateka, Mateka wameshikiliwa na wadau ambao walikabidhiwa na Sinwar sasa Sinwar kadedishwa ni fursa iliyoje kuipoteza kwa wadau washika harufu ya pesa... and unaambiwa unapewa getpass kwenda nchi yeyote kuishi hata Vatican hahahahaha
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† it's just a shame

IDF wameshindwa Kazi Hiyo sindio tafsiri yake , Ule Ubora tuliokuwa tuna ambiwa kuwa Israel ni hatari uko wapi !!! Leo wanatolewa kamasi na Wana mgambo
Magaidi wamekufa zaidi ya elf 40 pamoja na viongozi wao wakuu
 
Wamewakaanga wapalestina ili wasirudie tena ugaidi wa Oct 7
 
Nyau inatapa tapa, yeye mwenyewe kakoswa na drones na bado. Ikiwa Kuna mashujaa duniani ni Hamas.

Hakuna mateka Tena, tuzungumzie mizoga tu
 
Magaidi wa Israel wana askari dhaifu sana ndo wanataka vita na Iran?
 
Nchi ya Palestina imevamiwa na majangili ambao ni Wayahudi toka Poland
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…