Magaidi wamekufa zaidi ya elf 40 pamoja na viongozi wao wakuuππππ it's just a shame
IDF wameshindwa Kazi Hiyo sindio tafsiri yake , Ule Ubora tuliokuwa tuna ambiwa kuwa Israel ni hatari uko wapi !!! Leo wanatolewa kamasi na Wana mgambo
Wamewakaanga wapalestina ili wasirudie tena ugaidi wa Oct 7Mayahudi ni bure kabisa! Baada ya kufanya uharibifu mkubwa wa kubomoa majengo na kuua watu hovyo, bado mpaka leo eti wameshindwa kutambua walipo ndugu zao!!
Hopeless kabisa! Hilo dau la hela sasa si wangelitangaza tangu mwanzo! Badala ya kutumia nguvu nyingi, kuliko akili!
Nchi ya Palestina imevamiwa na majangili ambao ni Wayahudi toka PolandUjue sio kazi rahisi kudhibiti makundi unayoyaita ya wapigania Uhuru ambayo yapo ndani ya nchi iliyo huru i.e. ni Ironical kusema kwamba unapigania Uhuru ilhali upo ndani ya nchi Huru. Makundi hayo huko kwingine ndo wanayaita makundi ya kigaidi. Mtindo wao wa mapambano ni ule wa chini ya magugu "Guerrilla warfare." kama ilivyo kwa HAMAS ni tofauti na kupigana na jeshi linaloeleweka/rasmi kama ilivyo kwa Hezbollah. Hilo lipo karibu dunia nzima e.g. huko Mexico, Serikali toka muda mrefu inapambana na magenge ya wauza madawa ya kulevya lakini bado haijafanikiwa. Kwa mantiki hiyo hatushangai kwa Israel.
Most wanted
kwa mayahudi wewe ni takataka tu.