Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,809
- 11,825
Washagundua Hamas hawana Mateka, Mateka wameshikiliwa na wadau ambao walikabidhiwa na Sinwar sasa Sinwar kadedishwa ni fursa iliyoje kuipoteza kwa wadau washika harufu ya pesa... and unaambiwa unapewa getpass kwenda nchi yeyote kuishi hata Vatican hahahahaha