Israel imekamilisha ujenzi wa barabara Gaza

Israel imekamilisha ujenzi wa barabara Gaza

Duuuuuh. Lada taaamini kama ningeona hata kapichaa
Nimesema kwamba zipo fani nyingi au tuseme vitengo vingi ndani ya jeshi; na kimojawapo ni kikosi cha ujenzi e.g. madaraja, barabara, viwanja n.k. Sasa ndg. yangu picha ntaitoa wapi?. Mm sina.
 
Kabisa, Wapalestina wanaporwa tena ardhi yao na dunia imebakia kimya.
Wameporwa tena? kwani ni Yao alafu sio Wapalestina ni Arabs immigrants from Egypt.. Hamna History yeyote inayosema Gaza ni ardhi ya Waarabu.. Ulislam ulivamia maeneo mengi middle east.. even Madina ulikuwa ni Jewish Business hub City.. Mudy alikimbilia kuomba hifadhani then akaondoka alipopata nguvu akajawaua na wengine wakakimbia, ndio wapumbavu wanadhania Israel anaonea watu ni chake even Allah anajua na kujidai yeye ndie alimpa Mussa...
 
Israel anapowaua Wapalestina na kuchukua Ardhi yao siyo fujo!
Nani alikufundisha Historia... wazani vita huwa zinazuka tu enh... Kosome Quran utajua hiyo ardhi ni ya Nani
 
Hii safi Sana unapiga,kubomoa na kujenga haya magaidi ya kiislamu hayana maana.
 
Hii safi Sana unapiga,kubomoa na kujenga haya magaidi ya kiislamu hayana maana.
Yes! Unapiga, unabomoa mazagazaga yao waliyojijengea hapo halafu unajenga kitu kilicho nyooka hapo na unakalia eneo hilo ili kuhakikisha ustaarabu na utulivu vinatamalaki. Daadek. 😳
 
Back
Top Bottom