Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiua watoto lazima tutasema.Pamoja na hayo Israel sio kama ile mliyoisifia.Na wewe unaamini Iran anamuweza Israel ikiwa vita rasmi baina yao??.wewe jamaa huchelewagi kuandika Israel wanaua watoto na wamama
Hapana kiongozi mimi sijaisifia Israel na nachukia wanavyofanya gaza Kwa sasa wanaumiza watu ila kiuhalisia/ukweli Kwa pale middle east hakuna mtu anaemuweza huyo jamaa kivita/technologyWakiua watoto lazima tutasema.Pamoja na hayo Israel sio kama ile mliyoisifia.
Iko hali mbaya kiusalama.
Kibaya zaidi vita vyote vya middle east mara nyingi huchanganya raia na Askari wote wanapigwa tofauti kama vya Ukraine wanaotumia wengi ni Askari zaidiWakiua watoto lazima tutasema.Pamoja na hayo Israel sio kama ile mliyoisifia.
Iko hali mbaya kiusalama.
Hao wayahudi feki bila msaada wa kifedha na kiulinzi wa marekani na ulaya ni weupe hata Burundi wanajipigia..Hapana kiongozi mimi sijaisifia Israel na nachukia wanavyofanya gaza Kwa sasa wanaumiza watu ila kiuhalisia/ukweli Kwa pale middle east hakuna mtu anaemuweza huyo jamaa kivita/technology
Yaani hata kwamba ameshindwa na Hamas na Hizbullah bado hujaona kuwa hana hizo nguvu tena za kupigana na middle east.Hapana kiongozi mimi sijaisifia Israel na nachukia wanavyofanya gaza Kwa sasa wanaumiza watu ila kiuhalisia/ukweli Kwa pale middle east hakuna mtu anaemuweza huyo jamaa kivita/technology
Apo middle east hiyo Israel ndo anaesimama Kwa niaba ya hao wazungu wote kuanzia ulinzi na kila kitu na ndiye wanamuamini wenyewe apo muda wote kwa masilahi yao,Hao waarabu wengine ni vibaraka tu na wanabadilika muda wowote..kwa gharama yoyote lazima wampe kila kitu kumlinda Israel ndo maana nikasema apo middle east hakuna wa kusimamia na Israel vitaniHao wayahudi feki bila msaada wa kifedha na kiulinzi wa marekani na ulaya ni weupe hata Burundi wanajipigia..
Eti teknolojia!wameitoa wapi wakati kila kitu wanapewa msaada na wazungu wenzao..
Mpaakaaa wasemeee😄Bado hawajasema
Hiyo equation inaparaganyika safari hii baada ya Iran kuingia kati.Apo middle east hiyo Israel ndo anaesimama Kwa niaba ya hao wazungu wote kuanzia ulinzi na kila kitu na ndiye wanamuamini wenyewe apo muda wote kwa masilahi yao,Hao waarabu wengine ni vibaraka tu na wanabadilika muda wowote..kwa gharama yoyote lazima wampe kila kitu kumlinda Israel ndo maana nikasema apo middle east hakuna wa kusimamia na Israel vitani
Alianza uchokozi miaka mingi na watu walipokaa kimya akawaona ni mabwege.Israel asitafute huruma ya mataifa anachokoza