Israel imepata hasara. Hawawezi kuwaokoa mateka 230. Walitamani watoke na sinema nyengine ya Uganda

Israel imepata hasara. Hawawezi kuwaokoa mateka 230. Walitamani watoke na sinema nyengine ya Uganda

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Japo waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu baada kuona ukweli amesema wameshazungumza na Hamas ili wawaachie mateka inaowashikilia. Hata hivyo kwa sasa Hamas hawawezi kukubali hadaa.
Mwanzoni mwa vita mwezi uliopita Israel walikataa masharti mepesi ili kuachiwa kwa mateka hao ambayo waliyapuuza wakiamini katika ukali wa silaha zake. Katikati ya vita nafasi ilitolewa tena kwa kuachiwa idadi fulani na bado wakapuuza.

Ilipofikia sasa si rahisi tena kwa mateka hao kupatikana hai. Hivyo Netanyahu atakuwa amebeba lawama kutoka kila upande wa dunia na kutoka kwa raia zake.

Ugumu wa kupatikana kwa mateka hao kwanza ni kuwa hawakuwekwa sehemu moja kama kambi ya wakimbizi. Waligawanywa vikundi vidogo vidogo kila kikundi na muangalizi wake. Katika hali ya kuwepo vifaru ndani ya Gaza haitakuwa rahisi kuwakusanya kutoka maeneo walipo kwa wepesi.

Kwa upande mwengine baada ya Israel kusababisha uharibifu mkubwa wa mali na miundombinu ya Gaza wapiganaji wa Hamas hawatopenda kutoa zawadi kwa Jeshi la Israel kwa kuwakabidhi mateka hao halafu wabaki wao wawindwe ili kuuliwa. Kama ni kuuliwa wao basi wataamua wafe pamoja na mateka wao ili kusitokee sinema nyengine ya kusifu ushujaa wa makomandoo wa IDF ambao tayari ukamandoo huo umeshaingia dosari.

Hali ikimalizika kwa namna hiyo ni wazi itakuwa Israel haikutimiza malengo yao yoyote. Fikra ya kuimega Gaza haitofanikiwa kwa namna kadhaa. Pamoja na kupingwa kwa fikra hiyo kutoka kwa washirika wa Israel baada ya kuona ukweli. Waungaji mkono wa Palestina watakuwa wakipata nguvu siku baada ya siku watakapoona shida zitakazowapata wapalestina milioni 2.3 kuminywa kwenye eneo dogo ambapo tayari watu wameanza kulalamika kuwa hawapati nafasi ya hata kulala vizuri kwenye migongo yao kutokana na msongamano kwenye maeneo waliyopelekwa.
 
Israel siyo wajinga kiasi hicho, wao wanajua wanachokifanya, umeongea kweli mateka watakuwa wametawanywa katika vikundi, changamoto itakayouwa mateka ni ukosefu wa chakula, huko watakuwa wanagawana kipande Cha mkate na magaidi, Israel kama ingeona haiwezi huo mziki ingetumia USA ashinikize mpaka mateka wapatikane.

Mpaka kuingia vitani inajua inachokifanya na matunda yake yataonekana, pia ukumbeke Kuna magaidi ya Hamas yameshadakwa mengi sana na wanafanyiwa interrogation, madogo wengine wameshaanza kutoa Siri za Hamas kutumia ambulance na hospital, hata walipo mateka watasema tu.

Mateka watapatikana wengi wakiwa wamekufa, Hamas ndo kwaheri, baada ya vita kuisha lazima bunge la Israel lishinikize Netanyahu, waziri wa ulinzi, waziri wa vita, mkuu wa mossad, mkuu wa shibet wajiuzuru kwenye nafasi zao kwa kushindwa kuzuia shambulizi la Hamas la 7 October 2023.
 
Israel siyo wajinga kiasi hicho, wao wanajua wanachokifanya, umeongea kweli mateka watakuwa wametawanywa katika vikundi , changamoto itakayouwa mateka ni ukosefu wa chakula, huko watakuwa wanagawana kipande Cha mkate na magaidi, Israel kama ingeona haiwezi huo mziki ingetumia USA ashinikize mpaka mateka wapatikane, mpaka kuingia vitani inajua inachokifanya na matunda yake yataonekana, pia ukumbeke Kuna magaid ya Hamas yameshadakwa mengi sana na wanafanyiwa interrogation, madogo wengine wameshaanza kutoa Siri za hamas kutumia ambulance na hospital, hata walipo mateka watasema tu, mateka watapatikana wengi wakiwa wamekufa , Hamas ndo kwaheri , baada ya vita kuisha lazima bunge la Israel lishinikize Netanyahu , waziri wa ulinzi, wazili wa vita, mkuu wa mossad, mkuu wa shibet wajiuzuru kwenye nafasi zao kwa kushindwa kuzuia shambulizi la Hamas la 7 October 2023.
Na kushindwa kuwaokoa mateka.Na kuitia nchi hasara kubwa bila faida yoyote.
 
Na kushindwa kuwaokoa mateka.Na kuitia nchi hasara kubwa bila faida yoyote.
Israel katumia hawa mateka kama kigezo cha kuifuta Hamas ukanda wa Gaza. Kwa sasa Israel anapigana vita kwa kisingizio cha kuokoa raia wake, ila kiukweli, Israel ni kama kasema liwalo na liwe kwa hawa raia, lengo kuu ya hii vita ni Hamas waondoke au waishe hapo ukanda wa Gaza.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Japo waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu baada kuona ukweli amesema wameshazungumza na Hamas ili wawaachie mateka inaowashikilia. Hata hivyo kwa sasa Hamas hawawezi kukubali hadaa.
Mwanzoni mwa vita mwezi uliopita Israel walikataa masharti mepesi ili kuachiwa kwa mateka hao ambayo waliyapuuza wakiamini katika ukali wa silaha zake. Katikati ya vita nafasi ilitolewa tena kwa kuachiwa idadi fulani na bado wakapuuza.

Ilipofikia sasa si rahisi tena kwa mateka hao kupatikana hai. Hivyo Netanyahu atakuwa amebeba lawama kutoka kila upande wa dunia na kutoka kwa raia zake.

Ugumu wa kupatikana kwa mateka hao kwanza ni kuwa hawakuwekwa sehemu moja kama kambi ya wakimbizi. Waligawanywa vikundi vidogo vidogo kila kikundi na muangalizi wake. Katika hali ya kuwepo vifaru ndani ya Gaza haitakuwa rahisi kuwakusanya kutoka maeneo walipo kwa wepesi.

Kwa upande mwengine baada ya Israel kusababisha uharibifu mkubwa wa mali na miundombinu ya Gaza wapiganaji wa Hamas hawatopenda kutoa zawadi kwa Jeshi la Israel kwa kuwakabidhi mateka hao halafu wabaki wao wawindwe ili kuuliwa. Kama ni kuuliwa wao basi wataamua wafe pamoja na mateka wao ili kusitokee sinema nyengine ya kusifu ushujaa wa makomandoo wa IDF ambao tayari ukamandoo huo umeshaingia dosari.

Hali ikimalizika kwa namna hiyo ni wazi itakuwa Israel haikutimiza malengo yao yoyote. Fikra ya kuimega Gaza haitofanikiwa kwa namna kadhaa. Pamoja na kupingwa kwa fikra hiyo kutoka kwa washirika wa Israel baada ya kuona ukweli. Waungaji mkono wa Palestina watakuwa wakipata nguvu siku baada ya siku watakapoona shida zitakazowapata wapalestina milioni 2.3 kuminywa kwenye eneo dogo ambapo tayari watu wameanza kulalamika kuwa hawapati nafasi ya hata kulala vizuri kwenye migongo yao kutokana na msongamano kwenye maeneo waliyopelekwa.
Naam umeandika vyema sana mkuu.

Haya tudadavulie yanayojiti Darfut hukk. Maana tumeshupaza shingi na mavita yasiyotuhusu na kuacha kipiga kelele dhidi ya vita zinazoendelea Afrika
 
Japo waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu baada kuona ukweli amesema wameshazungumza na Hamas ili wawaachie mateka inaowashikilia. Hata hivyo kwa sasa Hamas hawawezi kukubali hadaa.
Mwanzoni mwa vita mwezi uliopita Israel walikataa masharti mepesi ili kuachiwa kwa mateka hao ambayo waliyapuuza wakiamini katika ukali wa silaha zake. Katikati ya vita nafasi ilitolewa tena kwa kuachiwa idadi fulani na bado wakapuuza.

Ilipofikia sasa si rahisi tena kwa mateka hao kupatikana hai. Hivyo Netanyahu atakuwa amebeba lawama kutoka kila upande wa dunia na kutoka kwa raia zake.

Ugumu wa kupatikana kwa mateka hao kwanza ni kuwa hawakuwekwa sehemu moja kama kambi ya wakimbizi. Waligawanywa vikundi vidogo vidogo kila kikundi na muangalizi wake. Katika hali ya kuwepo vifaru ndani ya Gaza haitakuwa rahisi kuwakusanya kutoka maeneo walipo kwa wepesi.

Kwa upande mwengine baada ya Israel kusababisha uharibifu mkubwa wa mali na miundombinu ya Gaza wapiganaji wa Hamas hawatopenda kutoa zawadi kwa Jeshi la Israel kwa kuwakabidhi mateka hao halafu wabaki wao wawindwe ili kuuliwa. Kama ni kuuliwa wao basi wataamua wafe pamoja na mateka wao ili kusitokee sinema nyengine ya kusifu ushujaa wa makomandoo wa IDF ambao tayari ukamandoo huo umeshaingia dosari.

Hali ikimalizika kwa namna hiyo ni wazi itakuwa Israel haikutimiza malengo yao yoyote. Fikra ya kuimega Gaza haitofanikiwa kwa namna kadhaa. Pamoja na kupingwa kwa fikra hiyo kutoka kwa washirika wa Israel baada ya kuona ukweli. Waungaji mkono wa Palestina watakuwa wakipata nguvu siku baada ya siku watakapoona shida zitakazowapata wapalestina milioni 2.3 kuminywa kwenye eneo dogo ambapo tayari watu wameanza kulalamika kuwa hawapati nafasi ya hata kulala vizuri kwenye migongo yao kutokana na msongamano kwenye maeneo waliyopelekwa.
Ila katika udhaifu aliowahi kuuonesha Israel kwenye issue ya kuwakomboa Mateka, hii imetia fora. Israel hajawahi kushindwa namna hii kwenye suala la kuwakomboa watu wake wanaoshikiliwa na vikundi kama Hamas. Ni Mataifa mawili (2) tu Duniani (Israel na Urusi)huwa hawana utamaduni wa kukubali matakwa ya Watekaji. Safari hii kama anawataka wakiwa hai watu wake waliotekwa na Hamas itabidi wakubali kukaa mezani, endapo mambo yataendelea kuwa kama yalivyo.
 
Israel siyo wajinga kiasi hicho, wao wanajua wanachokifanya, umeongea kweli mateka watakuwa wametawanywa katika vikundi, changamoto itakayouwa mateka ni ukosefu wa chakula, huko watakuwa wanagawana kipande Cha mkate na magaidi, Israel kama ingeona haiwezi huo mziki ingetumia USA ashinikize mpaka mateka wapatikane.

Mpaka kuingia vitani inajua inachokifanya na matunda yake yataonekana, pia ukumbeke Kuna magaidi ya Hamas yameshadakwa mengi sana na wanafanyiwa interrogation, madogo wengine wameshaanza kutoa Siri za Hamas kutumia ambulance na hospital, hata walipo mateka watasema tu.

Mateka watapatikana wengi wakiwa wamekufa, Hamas ndo kwaheri, baada ya vita kuisha lazima bunge la Israel lishinikize Netanyahu, waziri wa ulinzi, waziri wa vita, mkuu wa mossad, mkuu wa shibet wajiuzuru kwenye nafasi zao kwa kushindwa kuzuia shambulizi la Hamas la 7 October 2023.
Naandika jina lako vita ikiisha nitakuuliza "yako wapi uliyoyasema"
Kuuwa watoto kwenye incubators ndiyo ushujaa wa magaidi wa Israel.??
 
Naam umeandika vyema sana mkuu.

Haya tudadavulie yanayojiti Darfut hukk. Maana tumeshupaza shingi na mavita yasiyotuhusu na kuacha kipiga kelele dhidi ya vita zinazoendelea Afrika
Mbona huulizi kwann Marekani hakupeleka meli za kivita Darfur.??
Au tuambie kwann hakuna anayeleta uzi wa "Yanayoendelea Darfur"?
Majibu yatakufanya ubadilike.
 
Japo waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu baada kuona ukweli amesema wameshazungumza na Hamas ili wawaachie mateka inaowashikilia. Hata hivyo kwa sasa Hamas hawawezi kukubali hadaa.
Mwanzoni mwa vita mwezi uliopita Israel walikataa masharti mepesi ili kuachiwa kwa mateka hao ambayo waliyapuuza wakiamini katika ukali wa silaha zake. Katikati ya vita nafasi ilitolewa tena kwa kuachiwa idadi fulani na bado wakapuuza.

Ilipofikia sasa si rahisi tena kwa mateka hao kupatikana hai. Hivyo Netanyahu atakuwa amebeba lawama kutoka kila upande wa dunia na kutoka kwa raia zake.

Ugumu wa kupatikana kwa mateka hao kwanza ni kuwa hawakuwekwa sehemu moja kama kambi ya wakimbizi. Waligawanywa vikundi vidogo vidogo kila kikundi na muangalizi wake. Katika hali ya kuwepo vifaru ndani ya Gaza haitakuwa rahisi kuwakusanya kutoka maeneo walipo kwa wepesi.

Kwa upande mwengine baada ya Israel kusababisha uharibifu mkubwa wa mali na miundombinu ya Gaza wapiganaji wa Hamas hawatopenda kutoa zawadi kwa Jeshi la Israel kwa kuwakabidhi mateka hao halafu wabaki wao wawindwe ili kuuliwa. Kama ni kuuliwa wao basi wataamua wafe pamoja na mateka wao ili kusitokee sinema nyengine ya kusifu ushujaa wa makomandoo wa IDF ambao tayari ukamandoo huo umeshaingia dosari.

Hali ikimalizika kwa namna hiyo ni wazi itakuwa Israel haikutimiza malengo yao yoyote. Fikra ya kuimega Gaza haitofanikiwa kwa namna kadhaa. Pamoja na kupingwa kwa fikra hiyo kutoka kwa washirika wa Israel baada ya kuona ukweli. Waungaji mkono wa Palestina watakuwa wakipata nguvu siku baada ya siku watakapoona shida zitakazowapata wapalestina milioni 2.3 kuminywa kwenye eneo dogo ambapo tayari watu wameanza kulalamika kuwa hawapati nafasi ya hata kulala vizuri kwenye migongo yao kutokana na msongamano kwenye maeneo waliyopelekwa.
ostaz si nasikia dini yako ya kigaidi ndio dini ya kweli, sasa mbona unatuletea uwongo wako hapa jf, hii peleka kwa magaidi wenzio huko msikitini, Netanyahu shujaa kiboko cha magaidi wanaojificha kwa allah

Neta hawezi ongea na panya walio chini ya ardhi, Israel sio Tanzania ostaz hawawezi vunja miiko waliojiwekea wa kutobagain na magaidi, vita imekuwa ngumu kwenu magaidi sasahivi ni kujitungia uwongo tu kila dakika

Anachowaza Neta ni kuimiliki gaza, na sio ujinga wenu huo, mmekuwa mkipiga kelele ceasefire dunia nzima, mmekuwa mkitengeneza video za kuonesha watoto wanauliwa mara wanawake nani hasikie hayo? kaaeni hivyo chini ya ardhi panya nyie allau akbarriiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom