Israel imepata hasara. Hawawezi kuwaokoa mateka 230. Walitamani watoke na sinema nyengine ya Uganda

Israel imepata hasara. Hawawezi kuwaokoa mateka 230. Walitamani watoke na sinema nyengine ya Uganda

Japo waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu baada kuona ukweli amesema wameshazungumza na Hamas ili wawaachie mateka inaowashikilia. Hata hivyo kwa sasa Hamas hawawezi kukubali hadaa.
Mwanzoni mwa vita mwezi uliopita Israel walikataa masharti mepesi ili kuachiwa kwa mateka hao ambayo waliyapuuza wakiamini katika ukali wa silaha zake. Katikati ya vita nafasi ilitolewa tena kwa kuachiwa idadi fulani na bado wakapuuza.

Ilipofikia sasa si rahisi tena kwa mateka hao kupatikana hai. Hivyo Netanyahu atakuwa amebeba lawama kutoka kila upande wa dunia na kutoka kwa raia zake.

Ugumu wa kupatikana kwa mateka hao kwanza ni kuwa hawakuwekwa sehemu moja kama kambi ya wakimbizi. Waligawanywa vikundi vidogo vidogo kila kikundi na muangalizi wake. Katika hali ya kuwepo vifaru ndani ya Gaza haitakuwa rahisi kuwakusanya kutoka maeneo walipo kwa wepesi.

Kwa upande mwengine baada ya Israel kusababisha uharibifu mkubwa wa mali na miundombinu ya Gaza wapiganaji wa Hamas hawatopenda kutoa zawadi kwa Jeshi la Israel kwa kuwakabidhi mateka hao halafu wabaki wao wawindwe ili kuuliwa. Kama ni kuuliwa wao basi wataamua wafe pamoja na mateka wao ili kusitokee sinema nyengine ya kusifu ushujaa wa makomandoo wa IDF ambao tayari ukamandoo huo umeshaingia dosari.

Hali ikimalizika kwa namna hiyo ni wazi itakuwa Israel haikutimiza malengo yao yoyote. Fikra ya kuimega Gaza haitofanikiwa kwa namna kadhaa. Pamoja na kupingwa kwa fikra hiyo kutoka kwa washirika wa Israel baada ya kuona ukweli. Waungaji mkono wa Palestina watakuwa wakipata nguvu siku baada ya siku watakapoona shida zitakazowapata wapalestina milioni 2.3 kuminywa kwenye eneo dogo ambapo tayari watu wameanza kulalamika kuwa hawapati nafasi ya hata kulala vizuri kwenye migongo yao kutokana na msongamano kwenye maeneo waliyopelekwa.
Vp tamko la Hezbollah bado ijumaa haijafika 😂🤣🤣🤣🤣
 
Kawachangie wajane wenzio kwanza,

View attachment 2812338
Screenshot_20231113-131958.png

Mkuu vipi bunge la saudia limeidhinisha hii.
Adithi idadi:16,245 ya muwaiya Abu ibn Sufyan.??
 
Sasa kama Mayahudi wanapata hasara shida Iko wapi hasa Mkuu? Mimi nilidhani ingaliluwa furaha kubwa Kwa HAMAS na ulimwengu wa Kiarabu?
 
Japo waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu baada kuona ukweli amesema wameshazungumza na Hamas ili wawaachie mateka inaowashikilia. Hata hivyo kwa sasa Hamas hawawezi kukubali hadaa.
Mwanzoni mwa vita mwezi uliopita Israel walikataa masharti mepesi ili kuachiwa kwa mateka hao ambayo waliyapuuza wakiamini katika ukali wa silaha zake. Katikati ya vita nafasi ilitolewa tena kwa kuachiwa idadi fulani na bado wakapuuza.

Ilipofikia sasa si rahisi tena kwa mateka hao kupatikana hai. Hivyo Netanyahu atakuwa amebeba lawama kutoka kila upande wa dunia na kutoka kwa raia zake.

Ugumu wa kupatikana kwa mateka hao kwanza ni kuwa hawakuwekwa sehemu moja kama kambi ya wakimbizi. Waligawanywa vikundi vidogo vidogo kila kikundi na muangalizi wake. Katika hali ya kuwepo vifaru ndani ya Gaza haitakuwa rahisi kuwakusanya kutoka maeneo walipo kwa wepesi.

Kwa upande mwengine baada ya Israel kusababisha uharibifu mkubwa wa mali na miundombinu ya Gaza wapiganaji wa Hamas hawatopenda kutoa zawadi kwa Jeshi la Israel kwa kuwakabidhi mateka hao halafu wabaki wao wawindwe ili kuuliwa. Kama ni kuuliwa wao basi wataamua wafe pamoja na mateka wao ili kusitokee sinema nyengine ya kusifu ushujaa wa makomandoo wa IDF ambao tayari ukamandoo huo umeshaingia dosari.

Hali ikimalizika kwa namna hiyo ni wazi itakuwa Israel haikutimiza malengo yao yoyote. Fikra ya kuimega Gaza haitofanikiwa kwa namna kadhaa. Pamoja na kupingwa kwa fikra hiyo kutoka kwa washirika wa Israel baada ya kuona ukweli. Waungaji mkono wa Palestina watakuwa wakipata nguvu siku baada ya siku watakapoona shida zitakazowapata wapalestina milioni 2.3 kuminywa kwenye eneo dogo ambapo tayari watu wameanza kulalamika kuwa hawapati nafasi ya hata kulala vizuri kwenye migongo yao kutokana na msongamano kwenye maeneo waliyopelekwa.
Wew haya yote umeyajuaje? Hemu tuambie pia hao mateka leo wamekula nn lunch huko walikopelekwa kwenye vikundi vidogo vidogo?
 
Japo waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu baada kuona ukweli amesema wameshazungumza na Hamas ili wawaachie mateka inaowashikilia. Hata hivyo kwa sasa Hamas hawawezi kukubali hadaa.
Mwanzoni mwa vita mwezi uliopita Israel walikataa masharti mepesi ili kuachiwa kwa mateka hao ambayo waliyapuuza wakiamini katika ukali wa silaha zake. Katikati ya vita nafasi ilitolewa tena kwa kuachiwa idadi fulani na bado wakapuuza.

Ilipofikia sasa si rahisi tena kwa mateka hao kupatikana hai. Hivyo Netanyahu atakuwa amebeba lawama kutoka kila upande wa dunia na kutoka kwa raia zake.

Ugumu wa kupatikana kwa mateka hao kwanza ni kuwa hawakuwekwa sehemu moja kama kambi ya wakimbizi. Waligawanywa vikundi vidogo vidogo kila kikundi na muangalizi wake. Katika hali ya kuwepo vifaru ndani ya Gaza haitakuwa rahisi kuwakusanya kutoka maeneo walipo kwa wepesi.

Kwa upande mwengine baada ya Israel kusababisha uharibifu mkubwa wa mali na miundombinu ya Gaza wapiganaji wa Hamas hawatopenda kutoa zawadi kwa Jeshi la Israel kwa kuwakabidhi mateka hao halafu wabaki wao wawindwe ili kuuliwa. Kama ni kuuliwa wao basi wataamua wafe pamoja na mateka wao ili kusitokee sinema nyengine ya kusifu ushujaa wa makomandoo wa IDF ambao tayari ukamandoo huo umeshaingia dosari.

Hali ikimalizika kwa namna hiyo ni wazi itakuwa Israel haikutimiza malengo yao yoyote. Fikra ya kuimega Gaza haitofanikiwa kwa namna kadhaa. Pamoja na kupingwa kwa fikra hiyo kutoka kwa washirika wa Israel baada ya kuona ukweli. Waungaji mkono wa Palestina watakuwa wakipata nguvu siku baada ya siku watakapoona shida zitakazowapata wapalestina milioni 2.3 kuminywa kwenye eneo dogo ambapo tayari watu wameanza kulalamika kuwa hawapati nafasi ya hata kulala vizuri kwenye migongo yao kutokana na msongamano kwenye maeneo waliyopelekwa.
Ni kipi chanzo cha habari hiyo.
Anasema PM " vita itaendelea hata kama tutatengwa na ulimwengu wote"
Baada ya vita kuisha tutakuwa na wajibu wote wa usalama wa gaza"
Chanzo
Aljazira, BBC.
CNN
 
Naam umeandika vyema sana mkuu.

Haya tudadavulie yanayojiti Darfut hukk. Maana tumeshupaza shingi na mavita yasiyotuhusu na kuacha kipiga kelele dhidi ya vita zinazoendelea Afrika
Sisi tunafuata penye mziki mnene.Mziki uko Gaza waliko Hamas.
Moto umeripuliwa mpaka mwisho na hakuna mateka wala Hamas aliyepatikana.
Gaza kuna watu wana njaa tu na ujinga wa kupandikizwa.
 
Hamas na vikundi vingine vinavyopinga unyanyasaji, uporaji wa ardhi, mauaji, uonevu, ugaidi wa wazayuni haviwezi futika.
Kumbukeni hapo SA, MOZAMBIQUE, NAMIBIA, TANZANIA, nk nk.
Kila Mpalestina anayeuliwa, wengine kumi wanazaliwa, na wanapozaliwa tu wanafundishwa ADUI WAO NI ISRAEL
Wale walioumia, walionyanyasika na kupata madhara toka kwa Israel, mpaka wafe wataichukia na kupigana na Israel mpaka KIFO..
 
Wewe punguani kweli mweye uwezo wa kufanya hivyo ni Mungu tu isiwe na akili za kishoga.

Maandamano hayo Israel wanataka ndugu zako waliotrkwa wewe endelea kujitibu UTI
Sisi tunawapiga tu na wenzenu wote
 
Back
Top Bottom