Israel imepata hasara. Hawawezi kuwaokoa mateka 230. Walitamani watoke na sinema nyengine ya Uganda

Waponze wenzio. Israel inataka kuwatumia hao mateka kama kigezo cha kuwamaliza gaza, yani kuacha msururu wa makaburi, walemavu wa kutisha na umasikini uliotukuka.
Wewe punguani kweli mweye uwezo wa kufanya hivyo ni Mungu tu isiwe na akili za kishoga.

Maandamano hayo Israel wanataka ndugu zako waliotrkwa wewe endelea kujitibu UTI
 

Attachments

  • twidown.mp4
    4.2 MB
Wewe punguani kweli mweyewe uwezo wa kufanya hivyo ni Mungu tu isiwe na akili za kishoga.

Maandamano hayo Israel wanataka ndugu zako waliotrkwa wewe endelea kujitibu UTI
Mtaendelea kufa Gaza hadi akili zenu zirudi sahivi mnaondolewa kwa nguvu na kuswekwa barabarani bila msaada wowote, Hamas mbona haibuki kutoka shimoni kusaidia mji unachukuliwa na wenyewe dah
 
Endelea kusifia ujinga wakati Gaza inaendelea kugeuzwa vumbi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Kawachangie wajane wenzio kwanza,

 
Mwezi unakatika,Hamas hata kifaru hawana 🤣🤣🤣
 
Mbona huulizi kwann Marekani hakupeleka meli za kivita Darfur.??
Au tuambie kwann hakuna anayeleta uzi wa "Yanayoendelea Darfur"?
Majibu yatakufanya ubadilike.
Afrika ni shamba lao la malighafi.

Siwezi kujiuliza kwa niniMarekani haikupeleka meli za vita Darfur wakati inafadhili karibia magaidi wote waliopo ndani ya Afrika
 
Kuingia vitani ni panic tu
 
Kichwa chako kina ombwe kubwa lilijaa ka cabbage (ujinga) na ni mzigo kwa shingo
 
We jamaa sikuelewi akili yako kabisa, unakaa kushabikia watu wanauana kwa mbwembwe kabisa, ulitakiwa uwe unafunga na kusali kuomba vita viishe, wacha ulimbukeni na ujinga!
 
Mkuu huu uzi mwingine 🤣🤣🤣😂😂 mwaka huu utakufa mapema kwa stress wakati HAMAS wenzio wanakula bata Doha
 
Hakuna udhaifu.
Wewe ukitaka waue ila kichapo kipo pale pale.
 
Hadi sasa ripoti ya Hamas inasema mateka 60 wameuliwa kwa mashambulizi ya Israel. Na Israel analijua hilo moja ya jambo ambalo huwa si mshabiki wake ni kutumia mateka ili magaidi wapate nusura mara nyingi hu sacrifice wafe ili bargaining isiwepo
Yeah tunapiga tu hakuna cease fire
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…