Israel imepokea ndege za kijeshi kutoka USA

Unaongelea umesoma theology au siyo??? Tufuate nini, theolojia na hisia au uhalisia wa neno la Mungu??? Na suala hapa so kufurahia umwagikaji damu. Ni uhalisia wa mini kimesemwa kati ya tabaka hizi mbili na Mungu. Yesu alisema akiwaambia Israel; "...kwa kuwa Siku zitakuja, adui zako watakapokujengea boma, likuzunguke; watakuzingira na kukuhusuru pande zote; watakuangusha chini wewe na watoto wako ndani yako, wasikuachie jiwe juu ya jiwe, kwa sababu hukutambua majira ya kujiliwa kwako"
Lk 19:41-44
Sasa swali kwako; HUO WAKATI MUNGU ATAKUWA WAPI???
Lakini pia, ukisoma ufunuo kwa habari ya wale watakatifu ambao idadi yao itatokana na kukatwa vichwa kutokana na mateso ya kuitetea Injili, kwa nini Mungu Aache hivyo??
Na nikukumbushe tu kwamba wanaopigana hapo Mashariki ya Kati sio watu; ni 'MUNGU' na 'mungu' wa watu hao na habari ya Yesu naamini kwa wao wote ni mambo wasiyoyaamini ila pia MUNGU hajaondoa jicho lake juu ya Israeli hata sasa japo walimkataa Yesu . TUMIA VIZURI ELIMU YAKO YA DINI (MAANA ELIMU YA BIBLIA SIYO ROHO MTAKATIFU) NA USITAKE KUPOTOSHA WATU LAKINI PIA KUANDIKA VITABU SIYO LEGALITY YA KUTUPOTOSHA.
 

No! It is more Than That, me and you have an irreconcilable difference, n here is the problem

I DONT KNOW, AND I KNOW I DONT KNOW. As for you, YOU DONT KNOW, BUT YOU DONT KNOW, THAT YOU DONT KNOW.

At a miserable sitution such as this, I can try till the cows come home, It will not make a dent! Am sorry, I got other important things to do!
 
Then go and do them brother/sister...but next time come up with Biblical Points and not theological concepts/perspectives, they are not "The Holy Ghost"
 
ukibakwa na mfilisti utamfanyeje?
kwa taarifa yako mm sijipendekezi kwenye makabila ya watu eti nianze kuwapenda nani kasema ila nyie ambao mnawapenda hadi mnasema atakaye walaani na yy amelaaniwa how comes kwa mfano? eti nilaaniwe kisa muisraeli ? haipo akilini mm naamini hata awe muisraeli gani akifanya makosa ni jehanamu tu mungu hana mzaha sasa hebu nijibu swali langu ww kondoo SASA HIVI MUISRAELI KATOKEA KAKUBAKA WW UTAFANYAJE KWA KUWA MNAWASHOBOKEA SANA!
 
Hivi Bwana alishawahi kuvunja lile agano la milele na Israel? Halafu kumbe siku hizi akili za Bwana zinachunguzika? Maana naona watu wanamuelezea kana kwamba wanazijua tabia zake zote. Halafu pia hivi kumbe siku hizi Bwana siyo Bwana wa majeshi na visasi kwa wale wanaotesa wateule wake au kuwanyang'anya milki yao? Nauliza tu.
 
Na Babu yako mtemi Milambo au chifu Nyumanyika waliacha wapi mahekalu yao....mnaacha ya kwenu mnazungumzia ya wenzenu, yakwenu je wanayazungumzia hao waphilist siju kina Nani...
 
Akishajua hayo yanamsaidiaje ktk mfumo wake wa maisha ya kila na dhiki aliyonayo....
 
Wayahudi wanamtambua kristo kama nani?
Ukristo una nafasi yoyote kwa wayahudi ?
Wayahudi wanaamini katika utatu mtakatifu ?
Msaada wa majibu ya maswali haya.
 
Huo ubabe wao hapo mashariki ya kati Marekani iko nyuma yao na wamekua wakipokea msaada wa kifedha( in billions) na kijeshi kutoka Marekani kwa miongo kadhaa sasa ndo maana ana jeuri mpaka ya kukiuka maazimio ya UN na anaua wapelistina wanyonge daily maana anajua yupo anayemlinda hivyo hicho kiburi Chao kinalindwa na wakubwa ila wao binafsi kusimama wenyewe hawawezi.
 
. Israeli hawamtambui yesu...full stop...otherwise hujui historia...ww ni shabiki wa kuskia
 
Bwana yupi unamaanisha?
 
Wewe ni miongoni mwa kondoo waliopotea.
 
Israel hawawezi kuvunja huo msikiti. Marekani kuwapatia misaada kama hii Israel ni kawaida.
Msikiti ndugu yangu kuvunjwa ni lazima ili matukio mengine yawezekutokea, maana mpinga kristo ili aje full lazima pawepo na HQ yake na ambapo masjidi aqswa ulipo so kubomolewa na LAZIMA.
 
Sidhani kama kuna kitabu cha mungu kinaaamuru mtu au kikundi cha watu kutumia mabavu waliyonayo kumwaga damu za wengine kwa misingi ya kisiasa na maslahi ya kidunia lakini wakitumia jina la mwenyezimungu kama kivuli chao.... Eeh mola wetu watie moyo wa ujasiri, subira na ahueni wote waonewao juu ya ulimwengu kwa kutumia kivuli cha jina lako... Aamiin

MUNGU HAKUTUTUMA KUUWANA
 
Sawa mfia DINI.
Utaenda mbinguni.
Benjamin Neta.......... ni mkristo mwenzio ila sijui thehebu lake ni lipi.
Israel ni Taifa la kikristo...!!
Dini zimeletwa, wa TZ tupendane.
Sipati picha tunge tawaliwa na wahindi, wachina au MIANMAR.
I guess, Ungekua Mhindu au Budha.
 
Aisee kumbe kuna wayahudi humu!!,
Ukristo na uyahudi kumbe vina mahusiano sawa!!
Benjamin Neta... .. ni mkristo afu ni myahudi!!
Afu kumbe Israel ni Taifa la Kikristo.
But, mbona Mh. B. Neta.....anasema israel ni taifa la kuyahudi.?
Ufafanuzi please.
 
Aisee kumbe kuna wayahudi humu!!,
Ukristo na uyahudi kumbe vina mahusiano sawa!!
Benjamin Neta... .. ni mkristo afu ni myahudi!!
Afu kumbe Israel ni Taifa la Kikristo.
But, mbona Mh. B. Neta.....anasema israel ni taifa la kuyahudi.?
Ufafanuzi please.
Uyahudi(JUDAISM) sio sawa na Ukristo(CHRISTIANITY). Wayahudi wanatumia zaidi Torati (Torah) kama kitabu cha mwongozo, lakini pia wana vitabu vyao vingi tu vikiwemo vingine vilivyo katika Biblia kama Zaburi na Mithali.

Kibaya zaidi Wayahudi wanapinga sana mambo yoyote yanayomhusisha Yesu Kristo kama Mwokozi wa ulimwengu. Hata hivyo bado kuna Wana wa Israel ambao ni Wayahudi lakini ni Wakristo(JEWISH CHRISTIAN).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…