Kuna watu walikua wanasema Hizbollah hawavai gwanda wanavaa kiraia ayaWanaukumbi.
BREAKING: Israel imerejea kutoka kijiji cha Odaisseh nchini Lebanon kwa vifo MAJERUHI MAKUBWA baada ya wavamizi hao kukutana na jibu kali la Hezbollah.
View: https://x.com/iriran_military/status/1842370522643886275?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Umeona ile video ya kule juu!?Mnaanza kuleta edited clips
Yaani tarifa zinatoka Iran! Iran badala ya kuingia vitani kuisapoti Hizbollah, amehamia kwenye propaganda za uongo. Huko Israel inachanja mbuga sio kawaida.Wanaukumbi.
BREAKING: Israel imerejea kutoka kijiji cha Odaisseh nchini Lebanon kwa vifo MAJERUHI MAKUBWA baada ya wavamizi hao kukutana na jibu kali la Hezbollah.
View: https://x.com/iriran_military/status/1842370522643886275?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Aliyeanza kukataa uwepo wa mwenzake ni nani? Yaani mtake kunifuta niichukue nchi kwa nguvu halafu mje niwape kiulaini? Vujeni jasho kama nilivyovuja munipokonye😆😆Israel si akubali kutambua uwepo wa palestina , inakuwaje ana matatizo pekee wala hafanani na wenzie ukanda mzima.
Ila chanzo kikiwa UK au USA ndio unaona sawaChanzo ni Iran military, hizo propaganda, Mungu ibariki israel
Umesahau na al JazeeraIla chanzo kikiwa UK au USA ndio unaona sawa
Wanaukumbi.
BREAKING: Israel imerejea kutoka kijiji cha Odaisseh nchini Lebanon kwa vifo MAJERUHI MAKUBWA baada ya wavamizi hao kukutana na jibu kali la Hezbollah.
View: https://x.com/iriran_military/status/1842370522643886275?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hii ni kweli au uongoWanaukumbi.
BREAKING: Israel imerejea kutoka kijiji cha Odaisseh nchini Lebanon kwa vifo MAJERUHI MAKUBWA baada ya wavamizi hao kukutana na jibu kali la Hezbollah.
View: https://x.com/iriran_military/status/1842370522643886275?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Yariv Oppenheimer, Israeli politician:Poropaganda za msikitini
Yaani tarifa zinatoka Iran! Iran badala ya kuingia vitani kuisapoti Hizbollah, amehamia kwenye propaganda za uongo. Huko Israel inachanja mbuga sio kawaida.
Hezbollah walikuwa wanatumia mbinu ya vita inaitwa "appear strong than how you are". Israel ikapika dawa ya kutosha kwa Hezbollah, yaani kabla ya kuanza vita Hezbollah wakawa wameshafarakana wote, Israel inaingia na kutoka Lebanon na wakikaza vita hayo mapori hayarudi LebanonHuko Lebanoni upinzani ni mdogo sana kuliko Gaza, tusubiri matokeo ndo tunaamini kubwa hiki kinachosemwa ni kweli, hata hamasi ilikuwa ni hivi hivi baada ya muda vilio nikaanza eti wanaua watoto.
Pamoja na kwamba i stand with Hezbollah ila hapa we ustadhi chogo umetunywesha chai.Wanaukumbi.
BREAKING: Israel imerejea kutoka kijiji cha Odaisseh nchini Lebanon kwa vifo MAJERUHI MAKUBWA baada ya wavamizi hao kukutana na jibu kali la Hezbollah.
View: https://x.com/iriran_military/status/1842370522643886275?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hao kama mabasha zao marekani, humtegemea ndege, infantry holaIsrael anaua wanajeshi wake kijinga sana naona kama hawana mbinu za kivita kabisa na ikiwezekana warudi tu nyumbani kwao hao wanaowatafuta wamejitoa kwa lolote..
Hapo wamekamata maeneo au wamebomoa majumba kwa ndege?Msijifanye mnasahau haraka
View: https://x.com/AricToler/status/1842285462628483120
View: https://x.com/manniefabian/status/1842580399551119379
Watu washakamata maeneo nyie mnajipa moyo...
Wapalestina na waarabu ndiohawaitambuwi Israel wanataka kuifuta kwenye uso wa dunia,Israel wanachopinga ni wapalestina kuwa taifa kamili na wamefanya hivyo kwa sababu wapalestina hawajawakubali waisrael.Israel si akubali kutambua uwepo wa palestina , inakuwaje ana matatizo pekee wala hafanani na wenzie ukanda mzima.