Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Nenda kwenye forum yaNauliza nyuzi za mtindo huu nafanyeje kuzisave??
Mungu yupi?, kama huyo mungu ali angamiza sodama na gomora, atashindwa leo?, mungu wa bibilia buana, si ndiye alipigana mieleka na yakobo na mungu aka chezea ki chapo?Kila mmoja anamuita mwenzie gaidi. Cha kushangaza zaidi ni kuwa Iran haipakani na Israel lakini ina chuki tu dhidi ya Taifa hilo. Lakini hatushangai kwasababu maandiko matakatifu yaneshabainisha hii chuki na mwishowe Iran itajiunga na Urusi na Uturuki pamoja na nchi zingine za kiislamu kija kuivamia Israeli ili kutimiza azna yao ya kuifuta duniani. Lakini natokeo tatari yamesgaamuliwa. Maana badala ya kwenda kupigana wataenda kuzikwa wote ktk nchi ya Israel kwa pigo la Mungu
Unanionea tu, sijasema mimi😅Kuna watu walikua wanasema Hizbollah hawavai gwanda wanavaa kiraia aya
Paschal qamara
Lior
Kujeni muone gwanda za hizbollah.
palestina na waarabu ndo wakubali kumtambua myahudi kwenye ardhi yake ya asili..ukanda mzima ni waislamu ambao wanaitaka al aqsa kwa nguvu, al aqsa kulikua na hekalu la wayahudi ambalo wanataka kulijenga upya..mziki ndo upo hapo sasa.Israel si akubali kutambua uwepo wa palestina , inakuwaje ana matatizo pekee wala hafanani na wenzie ukanda mzima.
Hii mbona ni Russia Ukraine War nilishaiona hata youtube ipo. uongo wa Quran mnaleta kwa raia?Muisrael mweusi anaripoti kutoka IMPOMU
View: https://x.com/arnoudvdoorn/status/1842479755708273130?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hauna akili...Kila mmoja anamuita mwenzie gaidi. Cha kushangaza zaidi ni kuwa Iran haipakani na Israel lakini ina chuki tu dhidi ya Taifa hilo. Lakini hatushangai kwasababu maandiko matakatifu yaneshabainisha hii chuki na mwishowe Iran itajiunga na Urusi na Uturuki pamoja na nchi zingine za kiislamu kija kuivamia Israeli ili kutimiza azna yao ya kuifuta duniani. Lakini natokeo tatari yamesgaamuliwa. Maana badala ya kwenda kupigana wataenda kuzikwa wote ktk nchi ya Israel kwa pigo la Mungu
Unataka Mungu awabariki mashoga..au na wewe ni.....? au basi..Chanzo ni Iran military, hizo propaganda, Mungu ibariki israel
unataka tulete uongo wa bible ?Hii mbona ni Russia Ukraine War nilishaiona hata youtube ipo. uongo wa Quran mnaleta kwa raia?
Hii mbona ni Russia Ukraine War nilishaiona hata youtube ipo. uongo wa Quran mnaleta kwa raia?
Hayo mapipa yameshindwa kumsaidia Russia mwenyewe.🤣🤣🤣🤣Acha hasira. Mziki unakuja lazima supapawa wenu anyee debe
View: https://x.com/GlobeEyeNews/status/1842251647629812130
Unauhakika na unachokurupuka kupiga mayowe?Hayo mapipa yameshindwa kumsaidia Russia mwenyewe.🤣🤣🤣🤣
Safi sana wacha na wao waonje joto ya jiwe.Muisrael mweusi anaripoti kutoka IMPOMU
View: https://x.com/arnoudvdoorn/status/1842479755708273130?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hakuna mahali ambapo viongozi waandamizi na makamanda wakuu wameuawa kirahisi na Israel kama wa Hezbollah, hata Hamas wameleta upinzani walau
Kila mmoja anamuita mwenzie gaidi. Cha kushangaza zaidi ni kuwa Iran haipakani na Israel lakini ina chuki tu dhidi ya Taifa hilo. Lakini hatushangai kwasababu maandiko matakatifu yaneshabainisha hii chuki na mwishowe Iran itajiunga na Urusi na Uturuki pamoja na nchi zingine za kiislamu kija kuivamia Israeli ili kutimiza azna yao ya kuifuta duniani. Lakini natokeo tatari yamesgaamuliwa. Maana badala ya kwenda kupigana wataenda kuzikwa wote ktk nchi ya Israel kwa pigo la Mungu
Hizi ble blee zinamaana gani aisee!?Hezbollah walikuwa wanatumia mbinu ya vita inaitwa "appear strong than how you are". Israel ikapika dawa ya kutosha kwa Hezbollah, yaani kabla ya kuanza vita Hezbollah wakawa wameshafarakana wote, Israel inaingia na kutoka Lebanon na wakikaza vita hayo mapori hayarudi Lebanon
Mnajifariji kwa ubomoaji majengo!?Msijifanye mnasahau haraka
View: https://x.com/AricToler/status/1842285462628483120
View: https://x.com/manniefabian/status/1842580399551119379
Watu washakamata maeneo nyie mnajipa moyo...
😂😂🙌🙌Unanionea tu, sijasema mimi😅