Israel imerejea kutoka kijiji cha Odaisseh nchini Lebanon kwa vifo MAJERUHI MAKUBWA baada ya wavamizi hao kukutana na jibu kali la Hezbollah

Israel imerejea kutoka kijiji cha Odaisseh nchini Lebanon kwa vifo MAJERUHI MAKUBWA baada ya wavamizi hao kukutana na jibu kali la Hezbollah

Walibana mwishoe wameachia 🤣 🤣 🤣 🤣
1728152657847.png



The Israeli Defense Forces admit Iranian missiles hit two air bases, but Israeli planes and air force capabilities were undamaged, the IDF spokesman said.

📌Subscribe to @SputnikInt
 
Kila mmoja anamuita mwenzie gaidi. Cha kushangaza zaidi ni kuwa Iran haipakani na Israel lakini ina chuki tu dhidi ya Taifa hilo. Lakini hatushangai kwasababu maandiko matakatifu yaneshabainisha hii chuki na mwishowe Iran itajiunga na Urusi na Uturuki pamoja na nchi zingine za kiislamu kija kuivamia Israeli ili kutimiza azna yao ya kuifuta duniani. Lakini natokeo tatari yamesgaamuliwa. Maana badala ya kwenda kupigana wataenda kuzikwa wote ktk nchi ya Israel kwa pigo la Mungu
Mungu yupi?, kama huyo mungu ali angamiza sodama na gomora, atashindwa leo?, mungu wa bibilia buana, si ndiye alipigana mieleka na yakobo na mungu aka chezea ki chapo?
 
Israel si akubali kutambua uwepo wa palestina , inakuwaje ana matatizo pekee wala hafanani na wenzie ukanda mzima.
palestina na waarabu ndo wakubali kumtambua myahudi kwenye ardhi yake ya asili..ukanda mzima ni waislamu ambao wanaitaka al aqsa kwa nguvu, al aqsa kulikua na hekalu la wayahudi ambalo wanataka kulijenga upya..mziki ndo upo hapo sasa.
 
Kila mmoja anamuita mwenzie gaidi. Cha kushangaza zaidi ni kuwa Iran haipakani na Israel lakini ina chuki tu dhidi ya Taifa hilo. Lakini hatushangai kwasababu maandiko matakatifu yaneshabainisha hii chuki na mwishowe Iran itajiunga na Urusi na Uturuki pamoja na nchi zingine za kiislamu kija kuivamia Israeli ili kutimiza azna yao ya kuifuta duniani. Lakini natokeo tatari yamesgaamuliwa. Maana badala ya kwenda kupigana wataenda kuzikwa wote ktk nchi ya Israel kwa pigo la Mungu
Hauna akili...
 
Hakuna mahali ambapo viongozi waandamizi na makamanda wakuu wameuawa kirahisi na Israel kama wa Hezbollah, hata Hamas wameleta upinzani walau
 
Kila mmoja anamuita mwenzie gaidi. Cha kushangaza zaidi ni kuwa Iran haipakani na Israel lakini ina chuki tu dhidi ya Taifa hilo. Lakini hatushangai kwasababu maandiko matakatifu yaneshabainisha hii chuki na mwishowe Iran itajiunga na Urusi na Uturuki pamoja na nchi zingine za kiislamu kija kuivamia Israeli ili kutimiza azna yao ya kuifuta duniani. Lakini natokeo tatari yamesgaamuliwa. Maana badala ya kwenda kupigana wataenda kuzikwa wote ktk nchi ya Israel kwa pigo la Mungu

Askari wa Jamaa zako wamewekewa papuchi wanapigana Lebanon


View: https://www.instagram.com/reel/C1sJUnZrzEq/?utm_source=ig_web_copy_link
 
Hezbollah walikuwa wanatumia mbinu ya vita inaitwa "appear strong than how you are". Israel ikapika dawa ya kutosha kwa Hezbollah, yaani kabla ya kuanza vita Hezbollah wakawa wameshafarakana wote, Israel inaingia na kutoka Lebanon na wakikaza vita hayo mapori hayarudi Lebanon
Hizi ble blee zinamaana gani aisee!?
Ilhali wanajeshi wa IDF 300 washalambishwa mchanga.
Au kulipua majengo ndio ushindi!?
Na usitudanganye kuwa Israel wanaingia na kutoka hapo Lebanon.
 
Back
Top Bottom