Israel imeshaichukua Rafah yote. Hakuna bataliani za Hamas wala mateka. Inaua tu bila kizuizi ikipingana na amri ya ICJ

Kwahiyo kama Rafah yote imechukuliwa na Israel manake vita vimefikia mwisho sasa hali ni shwari hakuna mapigano wala wanawake na watoto hawauliwi tena?
Maana kama Rafah imechukuliwa na Mayahudi ni tafsiri ya wazi kwamba Hamas wote wameuawa.
 
Mbona tunaona wanaokufa ni watoto na akinamama zaidi.
Au wewe kwa chuki zako huwaoni.
Yote hayo ni magaidi. Hao kina mama kwanini yanakubali kubebeshwa mimba na kuzaa terror breds na future terrorists?

Mamlukii
 
Kwahiyo kama Rafah yote imechukuliwa na Israel manake vita vimefikia mwisho sasa hali ni shwari hakuna mapigano wala wanawake na watoto hawauliwi tena?
Maana kama Rafah imechukuliwa na Mayahudi ni tafsiri ya wazi kwamba Hamas wote wameuawa.
Hapana mkuu. Kazi ndo inaanza - Bado sasa kazi nzito ya kuwafukua magaidi waliojichimbia kwenye mahandaki kama nungunungu au fuko.
 
Ukiona mtu anatetea sana mashoga basi ujue na yeye ni mmoja wao.
Mkuu, mbona unabadili gia angani? Mwenzako kasema kuonglea; lakini wewe unabadili na kusema kutetea. Au kuongelea na kutetea ni neno lenye maana moja?
 
Mvamizi ni mvamizi tu, hata awe na nguvu kiasi gani, pale sio kwake, end of the day ataondoka tu.
Aondoke aende wapi tena? Mbona hapo ndo kwake tayari? Ninyi ni mashahidi. Israel alipanunua toka 07 Oct. 2023 kwa kubadilishana na wayahudi 1200 + na bado waHAMAS wanaendelea tena kumwuzia Myahudi palipobaki. Wapalestina nao wamerogwa hawajamstukia HAMAS. Mbona kabla ya 07 Oct. Hapo Gaza walau to some extent palikuwa shwari?
Unasema eti at the end of the day... wakati kila siku iendayo kwa Mungu; Israel anazidi kumega na kupanua wigo? Labda ungelisema Israeli hatopata Hati Miliki
 
kwani waliovamia 1947 wakachukukuwa ardhi za watu kwa nguvu wakauwa mpaka leo watu, wao walitegemea nini ??
Ok. Haya sasa wakubaliane na matokeo vinginevyo warudi wakajipange tena upya. Hapo wamesha chemka mazima.
 
IC
ICJ ni kwaajili ya ya Wapumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…