Israel imeshakubali kusitishwa vita, kinachosubiriwa ni jibu la Hamas

Hamas ndio wa kuomba vita isitishwe na si israel. Hamas ni lazima wakubali, wakikataa wataendelea kupata kipigo cha mbwa koko, wao ndio walioanzisha vita, watanyukwa tu wakikataa mpango wa kusitisha vita
 
[emoji16][emoji16] kule Lushoto kuna sheikh tena alhaji alimuuliza wife kwanini umekubali kuolewa na kafiri? Few days later nikamkuta sheikh huyo huyo anapata huduma za kiafya kwenye zahanati inayomilikiwa na masista
 


UONGO HUU JEE ????


"Then I said, Alas, Sovereign Lord! How completely you have deceived this people and Jerusalem"

(Jeremiah 4:10)

"You deceived me, Lord, and I was deceived"

(Jeremiah 20:7)

"So now the Lord has put a deceiving spirit in the mouths of all these prophets of yours"

(1 Kings 22:23)

"So now the Lord has put a deceiving spirit in the mouths of these prophets of yours."

(2 Chronicles 18:22)
 
weka akiba mkuu tunajua unautukana uislamu kwa sababu ni dini ambayo huenda hujaisoma na kuifahamu, au ulifahamu vibaya ndio mana tunakuomba sana kama huna cha kuandika katika hili kukaa kimya inatosha. Mungu atuongoze In Sha Allah.
Hata huo ukristo hauelewi
 

 

2 Thessalonians 2:11


11 For this reason
God sends them a powerful delusion so that they will believe the lie
 
Hv nyie mna akili timamu kweli, kwan hamuon kuwa mada imeandikwa kishabiki ili kuikandamiza Israel.?

Israel ni nani kwako? Yesu hawamkubali, ukristo hawautambui. So, israel na wewe mna mahusiano gani labda!!
 
Israel ni nani kwako? Yesu hawamkubali, ukristo hawautambui. So, israel na wewe mna mahusiano gani labda!!
Sina mahusiano yoyote na Israel ila nmeongea kutokana na jns mtoa mada anavoleta mada zake
 
Ukiwa muislam ni lazima uwe na matatizo ya akili
Mi huyu namuona kilaza kabisa. Cjui anafurahia watoto wa kiarabu wanavyofyekwa hapo gaza. Lait angekuwa ni Sehem ya wakaz wa Gaza angekuwa kimya tu.
 
Mimi ni mkristu wa RC, lakini kwenye dini hapana sioni uhusiano, tena waislam wa kweli ni wastaarabu sana
Kwani kusema wewe ni muislamu na kuleta hoja yako hutaungwa mkono?
Kiufupi,hakuna muislamu kamili mwenye roho nzuri kabisa,wengi tulionao hawana nguvu,na wanajua wakileta za kuleta uwezo wa kuwadhibiti tunao ndio maana hawaonyeshi rangi zao halisi.
 
lakini matatizo ya akili si atakuwa nayo yule anayeua watu wenye njaa ?
kwan nyie trh 7 oct mliua watu walioshiba ? ndio maana jamaa anasena kuwa muislam inabid ujitoe akili kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…