Israel imeshakubali kusitishwa vita, kinachosubiriwa ni jibu la Hamas

Israel imeshakubali kusitishwa vita, kinachosubiriwa ni jibu la Hamas

Mimi ni mkristu wa RC, lakini kwenye dini hapana sioni uhusiano, tena waislam wa kweli ni wastaarabu sana
kama hujui kaaa kimya , muislam asiye ijuwa dini kiundan ndo mstaarabu ila hii dini ili ikukae lzm ujitoe ufahama maana inafundisha chuki na mauaj
 
lakini matatizo ya akili si atakuwa nayo yule anayeua watu wenye njaa ?
Umeandika ni "watu wenye njaa/raia tu.Halafu hapohapo Israel wakashangaa kuwakuta Hamas bado wana silaha na wanapambana.Hivi hiwa unasomà ulichokiandika kabla ya kutuletea tusome?
 
Mtu anayepigania ushoga anakuwa na akili nyingi sana au vipi ??
nan anapigania ushoga ? wanapigania usawa katika jamii , je mashoga wanajifir@ wenyew si nyiny ndo mnawaharib halaf baadae kweny umma mnawatenga , HUKUMU ANATOA MUNGU SIO MWANADAMU WAACHENI ILA KAMA NI DHAMBI BAS KWA MUNGU WATAHUKUMIWA ILA SIO SISI WANADAMU NDO TUFANYE KAZ YA MUNGU
 
Kesho angalia idadi ya vifo
Hamna mateka anahitajika tena.
Israeli washasema hakuna Cease fire wala makubaliano na Magaidi.
Wanapukutisha wote.
We ali wazi sijui hizi habari unatoa wapi.
 
Mkristo akiijua dini vizuri anakuwa mwenye huruma na mwema sana kwa watu wote, muislamu akiijua vema dini ya uislamu anakuwa mtu mkatili na anayechukia watu na kuwaza kuwaletea madhara wasiokuwa wa dini yake muda wote.
 
Mkristo akiijua dini vizuri anakuwa mwenye huruma na mwema sana kwa watu wote, muislamu akiijua vema dini ya uislamu anakuwa mtu mkatili na anayechukia watu na kuwaza kuwaletea madhara wasiokuwa wa dini yake muda wote.
"Mkristo akiijua dini vizuri anakuwa mwenye huruma na mwema sana kwa watu wote, muislamu akiijua vema dini ya uislamu anakuwa mtu mkatili na anayechukia watu na kuwaza kuwaletea madhara wasiokuwa wa dini yake muda wote."

Na kuwaita Makafiri utadhani yeye ndiye Mungu.
Ref: Satanic Verses
 
Umeandika ni "watu wenye njaa/raia tu.Halafu hapohapo Israel wakashangaa kuwakuta Hamas bado wana silaha na wanapambana.Hivi hiwa unasomà ulichokiandika kabla ya kutuletea tusome?
Unajichanganya mwenyewe.
Hapo walipouliwa wenye njaa wakisubiri chakula ni Gaza City na walipouliwa askari wa Israel ni Khan Younis.
Hata Gaza City Hamas wapo na wana silaha lakini katika ile foleni hawakuwepo na Israel ilijua hilo
Ni jeuri tu na ajenda ya Israel ya kuua bila sababu ndio wakatekeleza unyama huo unaolaaniwa na kila mwenye akili.
 
Na ukiwa mkiristo moto unakungojea.

Usijaribu kuwatukana waislam vita ya Israel na Palestine Mayahudi siku zote ndio waliokuwa wanaanza kuwauwa waislamu wa palestina na kuwatesa ilifika mahali sasa wakasema basi, Israel haikuwa na eneo hata inch 1 katika ardhi ya palestina lakini leo wanataka ardhi yote waichukue wao baada ya kipande kidogo walichomilikishwa ni nchi US na Uingereza,

Jifunze hili siku zote: Ukiona muislamu anapigana jua haki yake imechukuliwa ama amedhulumiwa na kuonewa. fuatilia tokea dunia imeanza hakuna mahali muislamu alianzisha vita
Mnalishwa matango sana kuhusu historia ya Israel na Palestina jomba.

Kwamba wayahudi hawakuwa na nchi hadi mwaka '47 walipopata uhuru?

Historia ya Abraham, Mussa, Jackob, Suleiman na mwisho Jesus ni za kufikirika?

Kama zilitokea, hao wafalme na manabii walitawala dola gani?

Tunachokosea ama aina ya mafunzo tunayoyapokea ni kwamba uhalisia wa historia unafichwa kwa ajili tu ya imani za kidini.

Lakini sasa hivi tumerahisishiwa sana kupata maarifa kwa njia ya google ama Wikipidia!

Unafukunyua na kuielewa historia ya kweli ambayo hapo mwanzo hukupata kuijua ama ulipotoshwa katika kufundishwa.

Uzuri wa wenzetu huko, wameanza kutunza kumbu kumbu tangia 'pre history to date'!

Nikusihi sasa, fungua usome tawala zote zilizopita maeneo hayo ya mashariki ya kati (Israel ya leo) ili upate uuelewa ukweli wenyeji wa eneo hilo ni kina nani hasa.
 
nan anapigania ushoga ? wanapigania usawa katika jamii , je mashoga wanajifir@ wenyew si nyiny ndo mnawaharib halaf baadae kweny umma mnawatenga , HUKUMU ANATOA MUNGU SIO MWANADAMU WAACHENI ILA KAMA NI DHAMBI BAS KWA MUNGU WATAHUKUMIWA ILA SIO SISI WANADAMU NDO TUFANYE KAZ YA MUNGU

kwa hivyo wewe huikubali biblia au vipi ??
 
Unajichanganya mwenyewe.
Hapo walipouliwa wenye njaa wakisubiri chakula ni Gaza City na walipouliwa askari wa Israel ni Khan Younis.
Hata Gaza City Hamas wapo na wana silaha lakini katika ile foleni hawakuwepo na Israel ilijua hilo
Ni jeuri tu na ajenda ya Israel ya kuua bila sababu ndio wakatekeleza unyama huo unaolaaniwa na kila mwenye akili.
Ulisha laani jinsi Hamas walivyoua waisrael kabla mapambano hayo kuanza?
 
Mnalishwa matango sana kuhusu historia ya Israel na Palestina jomba.

Kwamba wayahudi hawakuwa na nchi hadi mwaka '47 walipopata uhuru?

Historia ya Abraham, Mussa, Jackob, Suleiman na mwisho Jesus ni za kufikirika?

Kama zilitokea, hao wafalme na manabii walitawala dola gani?

Tunachokosea ama aina ya mafunzo tunayoyapokea ni kwamba uhalisia wa historia unafichwa kwa ajili tu ya imani za kidini.

Lakini sasa hivi tumerahisishiwa sana kupata maarifa kwa njia ya google ama Wikipidia!

Unafukunyua na kuielewa historia ya kweli ambayo hapo mwanzo hukupata kuijua ama ulipotoshwa katika kufundishwa.

Uzuri wa wenzetu huko, wameanza kutunza kumbu kumbu tangia 'pre history to date'!

Nikusihi sasa, fungua usome tawala zote zilizopita maeneo hayo ya mashariki ya kati (Israel ya leo) ili upate uuelewa ukweli wenyeji wa eneo hilo ni kina nani hasa.
Umeandika

Historia ya Abraham, Mussa, Jackob, Suleiman na mwisho Jesus ni za kufikirika?

Unaweza kutuletea historia hizo nje ya biblia ??
 
Unaongelea askari watatu ambapo raia wa Palestine wanaendelea kupukutika Kama mchwa. Acha vita isimame mateka warudishwe then mtanange uendelee
Mnapigana na Raia?? Taifa teule la mungu Biden
 
Ukiwa muislam ni lazima uwe na matatizo ya akili
Wenye matatizo ya akili ni wale wanaomuabudia yule fundi seremala anae ning'inia pale msalabani na kichupi tu.
Sababu mungu hanyi wala hanywi divai, lakini fundi seremala alikua ana kula na kunywa divai, na mavi yakimuuma alikua anaenda maliwato kukata gogo.

Wenye matatizo ya akili ni wale wanaopingana na kiongozi wao mkuu kwenye dini yao (papa)

Papa anawaamuru wabanduane wanaume kwa wanaume wao huku wanampiga.
HAO NDIO WENYE MATATIZO YA AKILI.
 
Mnalishwa matango sana kuhusu historia ya Israel na Palestina jomba.

Kwamba wayahudi hawakuwa na nchi hadi mwaka '47 walipopata uhuru?

Historia ya Abraham, Mussa, Jackob, Suleiman na mwisho Jesus ni za kufikirika?

Kama zilitokea, hao wafalme na manabii walitawala dola gani?

Tunachokosea ama aina ya mafunzo tunayoyapokea ni kwamba uhalisia wa historia unafichwa kwa ajili tu ya imani za kidini.

Lakini sasa hivi tumerahisishiwa sana kupata maarifa kwa njia ya google ama Wikipidia!

Unafukunyua na kuielewa historia ya kweli ambayo hapo mwanzo hukupata kuijua ama ulipotoshwa katika kufundishwa.

Uzuri wa wenzetu huko, wameanza kutunza kumbu kumbu tangia 'pre history to date'!

Nikusihi sasa, fungua usome tawala zote zilizopita maeneo hayo ya mashariki ya kati (Israel ya leo) ili upate uuelewa ukweli wenyeji wa eneo hilo ni kina nani hasa.
Nimeshangaa sana kumbe unasoma habari za Wikipedia na google na kuja nazo hapa kama references, umesahau hizo Wikipedia na google zimeasisiwa na wazungu kwenye mitandao., dah kumbe uko mbali sana

Wikipedia sio msahafu ni mawazo ya mtu au watu kwa uelewa wao au kwa makusudi hueka watakavyo na duniani sijawahi ona mtu kaenda mahakamani na ushahidi wa Wikipedia kumbe wewe ni sifuri
 
Ukiwa muislam ni lazima uwe na matatizo ya akili
kuwaambia wengine hawana akili haimanishi wewe una akili...hata chizi jalalani anajiona mwamba kuliko jamaa aliyopo KFC akila vipaja,pole sana
 
Umeandika

Historia ya Abraham, Mussa, Jackob, Suleiman na mwisho Jesus ni za kufikirika?

Unaweza kutuletea historia hizo nje ya biblia ??
Nimeshakuelekeza mahali pa kupakua historia hizo bhana.
Muda wa kurudia kueleza kwa kirefu sina.
 
Back
Top Bottom