Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Sifuri wewe wa sema. Kubwabwaja bila references ni kufoka.Nimeshangaa sana kumbe unasoma habari za Wikipedia na google na kuja nazo hapa kama references, umesahau hizo Wikipedia na google zimeasisiwa na wazungu kwenye mitandao., dah kumbe uko mbali sana
Wikipedia sio msahafu ni mawazo ya mtu au watu kwa uelewa wao au kwa makusudi hueka watakavyo na duniani sijawahi ona mtu kaenda mahakamani na ushahidi wa Wikipedia kumbe wewe ni sifuri
Weka historia na vielelezo, kwani shida nini?