Israel imeshakubali kusitishwa vita, kinachosubiriwa ni jibu la Hamas

Israel imeshakubali kusitishwa vita, kinachosubiriwa ni jibu la Hamas

Nimeshangaa sana kumbe unasoma habari za Wikipedia na google na kuja nazo hapa kama references, umesahau hizo Wikipedia na google zimeasisiwa na wazungu kwenye mitandao., dah kumbe uko mbali sana

Wikipedia sio msahafu ni mawazo ya mtu au watu kwa uelewa wao au kwa makusudi hueka watakavyo na duniani sijawahi ona mtu kaenda mahakamani na ushahidi wa Wikipedia kumbe wewe ni sifuri
Sifuri wewe wa sema. Kubwabwaja bila references ni kufoka.
Weka historia na vielelezo, kwani shida nini?
 
lakini matatizo ya akili si atakuwa nayo yule anayeua watu wenye njaa ?
Ni bora kua na matatizo ya akili kuliko kua SHOGA
Ushoga ni laana,wayahudi laana inawaumiza na inawachanganya vibaya sana mpaka wanaua watoto,wazee na wanawake wasio na hatia
 
[emoji16][emoji16] kule Lushoto kuna sheikh tena alhaji alimuuliza wife kwanini umekubali kuolewa na kafiri? Few days later nikamkuta sheikh huyo huyo anapata huduma za kiafya kwenye zahanati inayomilikiwa na masista
Siku ukikutana na Masheikh wa hivyo waulize hivi:-

Nini Maana ya Kafir?
Akikujibu kwa Maelezo mengi yakubali kisha muulize hivi:-
Mimi kama nimeamua mwenyewe nikiona Nyota angani inang'aa kisha kama inasogea na kupotea je nitakuwa Kafir?
Akikijubu ndio basi mwambie asome Aya hii An-Najn 53:1
Waislam wanasema Qurani ni Maneno ya Allah so Akiishoma hiyo Aya kwa ufasaha mwambie Allah nae ni kafiri.

Kuwa Makini Maandishi ya Kiarabu yapo sawa ila tafsiri wanadanganya ili waislam wasijue ukweli kuwa ndio makafiri..
Aya An-Najn Tafsiri ya Abdullah & Kassim :- Quran 53:1 - Anaapa Mwenyezi Mungu aliyetukuka kwa Nyota zinapozama na hazionekani.

(yaani kageuza neno halisi ni Nyota ziangukazo ujinga wa Allah zinaanguka kwnenda wapi hajui? ukichunguza ni vile vimondo huwa vinakazita angani kwa kung'aa kisha vinapungua nuru same kama cheche) inamaana zikionekana Allah anaziapia... upagani huu na Arabs before Muslim ndio waliitwa wapagani na Mudy kwa kuabudu hizo Nyota Allah anamwambia Mudy yeye ndie Mungu wa hizo Nyota kwahiyo arabs upagani wao waliupata kwa Allah na llah anawatoto mabinti mmoja anaitwa Manat,Arat na
 
Sifuri wewe wa sema. Kubwabwaja bila references ni kufoka.
Weka historia na vielelezo, kwani shida nini?
Nimechoka sana eti references zako unatoa Wikipedia, haya endelea ... ku-google
 
Nimechoka sana eti references zako unatoa Wikipedia, haya endelea ... ku-google
Leo amesikika Blinken akitoa tamko hilo hilo la kuwasubiri Hamas watoe jibu.
 
Katika hali ya kuchanganyikiwa na vita vya Gaza Israel imeelezwa kukubali kimsingi vita visitishwe ili irejeshewe mateka wake.

Hali ya kuchanganyikiwa kwa Israel kumeonekana hapo juzi ambapo iliwamiminia mabomu mazito kutoka angani na kuwapiga kwa risasi watu zaidi ya mia waliokuwa wakisubiri misaada huko kaskazini ya Gaza.

Kingine kinachowachanganya ni kuona maeneo yote waliyopita na kudhani wamewamaliza Hamas wamegundua bado yana wapiganaji hao wenye silaha na wanaoendelea kuleta maafa kwa askari wake.

Leo Jumamosi IDF imetangaza kupoteza askari wake watatu eneo la Khan Younis ambalo jeshi hilo lilikwishatoa tangazo la kudhibiti eneo hilo.

Maafisa wa ngazi za juu wa ikulu ya Marekani wamesema kimsingi Israel imeshakubali kusitishwa kwa vita kati yake na Hamas kwa muda wa wiki sita.Kipindi hicho kitaambatana na kuachiwa huru kwa mateka wa Israel wanaoendelea kushikiliwa na Hamas

Baada ya kueleza hayo afisa mmoja kati yao akaongeza kuwa mpira sasa uko kwa Hamas.

Six-week ceasefire ‘basically accepted’ by Israel, waiting on Hamas, US official says

US: Israel Has Agreed To The Framework For A Gaza Cease-fire, Now Awaiting Hamas' Decision

World
 
Back
Top Bottom