Yaani huko kwenye hiyo vita Yesu hayumo kabisa, hata alipozaliwa Waisrael walijua amekuja kuwakomboa dhidi ya utawala wa Warumi kumbe wapi yeye alikuja kwa ajili ya kumkomboa mwanadamu na dhambi na sio vita.Safi sana
Safi sana yesu inyoshee nchi yako mikono
Hiyo habari ya houthi kushikilia njia unayo peke yako. Mtuache tusafishe magaidi na muwe na huruma na wapalestina wanaangamiaVita bado ngumu hiyo mkuu.
Kadri Israel anavyozidi kuleta agression Palestina basi tension huongezeka middle east nzima.
Maana huko kaskazini mwa Israel hakukaliki mpaka leo walioondolewa hawajaruhusiwa kurudi kwa mashambulizi ya hizbollah.
Red sea nako meli hazipiti Houthi wameshikilia njia,bandari ya Israel ya Eilat mpaka leo haifanyi kazi.
Angalia nguvu ya unaejitetea kwake mengine yanahitaji busara tu. Sisi mbona tunaonewa na ccm ila hatuwafanyi kitu miaka yoteUtaitaje chuki ilhali watu wa Gaza walikua wakijitetea kwa vurugu za wayahudi tokea Agosti za kuchomewa mashamba!?
Au wewe ulitaka WaPalestina wachomewe mashamba na wavunjiwe nyumba wakae tu kimya!?
Hao watoto ndio hamas wajao fyeka tu wote. Lile tukio la oct7 watoto walikuemo na walifanya matukio. Na waliua watoto wa kiisrael kwani watoto wao waonewe hurumaUkiona wale watoto waliokuwa kwenye mashine wanaohamishwa ilikuwa inatia huruma, mimi sina huruma na hamas ila sasa watoto wale wanatia huruma sana. Ikibidi hamas wote wafyekwe lakini siyo watoto na wazee, watoto wana haki ya kuishi .
Ako ka kijani hakatakiwi kawepo kafyekelewe mbali pawe peupe tuView attachment 2985662
Hebu rudia kuangalia ramani halafu utafakari uweponwa hamas, gaza na Palestine kiujumla.
Halafu leta majibu
Ninayo pekeyangu au WEWE HUFUATILII HABARI!?Hiyo habari ya houthi kushikilia njia unayo peke yako. Mtuache tusafishe magaidi na muwe na huruma na wapalestina wanaangamia
Unaona ulivyo huna akili!?Angalia nguvu ya unaejitetea kwake mengine yanahitaji busara tu. Sisi mbona tunaonewa na ccm ila hatuwafanyi kitu miaka yote
Una ushahidi kuwa watoto walikuwepo!?Hao watoto ndio hamas wajao fyeka tu wote. Lile tukio la oct7 watoto walikuemo na walifanya matukio. Na waliua watoto wa kiisrael kwani watoto wao waonewe huruma
Tofauti ni nini watu hawafi hawatekwi hawaporwi mali au sababu tu ya ushabiki kwa waarabu ndio unakufanya upate muhemkoUnaona ulivyo huna akili!?
Unafananishaje udhalimu wa vyama vya siasa na uporaji wa ardhi!?
Kichwani uko timamu wewe!?
Safi kamata vitoto vyenye vimelea vya ugaaidi. Tafuta uone vitoto vilivyokua vinashangilia ugaidi wa hamas wacha visagike tu maana hakuna namna. Gaidi yake bunduki na mabomu na vitoto vyao. Pale visibaki vimeleaUna ushahidi kuwa watoto walikuwepo!?
Mbona unaongea PUMBA WE JAMAA!?
Mtoto wa miaka 10 wengine mpaka miaka miwili wamefanya kosa gani!?
-Israel kabla ya october 7 ilikua ikivunja nyumba Jenin na kuchoma mashamba ya wabedui.
-Israel kila mwaka hukamata watoto kuanzia umri miaka 6-12 na kuwaweka jela za jeshi pasi na mashtaka yeyote.
-Israel kila mwaka huvunja makazi ya Palestina westbank ili kutanua makazi ya walowezi wa kiyahudi.
Hivi watu kujitetea ni kosa!?
Mkristo mwenzako Sheriin Abu Akleh alipigwa risasi ya ubongo akiwa kazini na Askari wa IDF kimakusudi na wala hakufanya kosa lolote.
Mwaka huohuo kuna wanawake wawili wamepigwa risasi wakiwa katika kanisa kongwe la Palestina tena wamepigwa na SNIPER kwa kutumia assault rifle yani ni deliberate shooting.
Je walikosea nini wale wanawake!?
Kuna muda kama hauna hoja unaweza ukanyamaza kaka kuliko kuongea USENGE.
HUU UNAOONGEA NI USENGE.
Ukiambiwa we ni popoma usikatae.Tofauti ni nini watu hawafi hawatekwi hawaporwi mali au sababu tu ya ushabiki kwa waarabu ndio unakufanya upate muhemko
Unaona unavyozidi kuongea USENGE!?Safi kamata vitoto vyenye vimelea vya ugaaidi. Tafuta uone vitoto vilivyokua vinashangilia ugaidi wa hamas wacha visagike tu maana hakuna namna. Gaidi yake bunduki na mabomu na vitoto vyao. Pale visibaki vimelea
Mkuu toka 1949 mpaka leo hii mazungumzo hayakufana kwa lolote.Vita sio nzuri kabisa.
Ingawa Israeli wanaonekana kuwa wachokozi.
Lakini pia Hamas hakustahili kutumia njia za ugaidi kama njia pekee ya kujibu uonevu wa Israeli kwao.
Suluhisho la mazungumzo lilikuwa bora zaidi, kama wanavyo fanya sasa kuzitaka jumuiya za kimataifa kuingilia mgogoro wao na Israeli, wangefanya hivyo pia wakati Israeli ilipo kiuka haki za Wapalestina.
Uvamizi wao Israeli hiyo tarehe Saba naona imeleta shida zaidi kwa Wapalestina kuliko wangeamua kuweka madai yao Kidiplomasia.
Hasara iliyopatikana Gaza na Rafal sijui itachukua muda gani kuitibu.
Mtu aliye kuzidi nguvu unatakiwa kutumia akili kumdhibiti na sio nguvu.
Hasara itakuwa ya kwako.
Ndio la kujifunza hapo usianzishe vita na taifa lenye nguvu , lenye teknoloji, uchumi, washirika imara huku wewe unategemea huruma ya dunia wapige kelele wakusaidieKwa lugha nyepesi ni kwamba misaada, watu na vinginevyo haviwezi kuingia moja kwa moja Gaza mpakani Rafah bila ukaguzi na idhini ya Israel.
View attachment 2983888
Jeshi la Israel limechukua udhibiti wa mpaka wa Rafah na Misri.
Jana usiku, kwa idhini ya Baraza la Vita, Netanyahu aliagiza ifanyike operesheni huko Rafah. Masaa machache baadaye, vikosi vya Israel viliwatimua Hamas na kufanikiwa kupandisha bendera za Israel na kuondoa bendera za Hamas.
Hapo awali, Israel iliwaonya Wapalestina kuondoka eneo hilo kwa sababu ya operesheni ya kijeshi inayokaribia.
Hali ilivyo sasa bendera za hamas zimeshushwa, zinapandishwa za Israel
View attachment 2983891
Hali ilivyo kwenye mitaa
View attachment 2983869
View attachment 2983885
Wapalestina wangeachana na vita na israel hata hawajawahi kushinda wanaishia kuuawa kama kuku na waachane na madai ya mji wa Jerusalemu sioni kama watakuja kushindaKwa lugha nyepesi ni kwamba misaada, watu na vinginevyo haviwezi kuingia moja kwa moja Gaza mpakani Rafah bila ukaguzi na idhini ya Israel.
View attachment 2983888
Jeshi la Israel limechukua udhibiti wa mpaka wa Rafah na Misri.
Jana usiku, kwa idhini ya Baraza la Vita, Netanyahu aliagiza ifanyike operesheni huko Rafah. Masaa machache baadaye, vikosi vya Israel viliwatimua Hamas na kufanikiwa kupandisha bendera za Israel na kuondoa bendera za Hamas.
Hapo awali, Israel iliwaonya Wapalestina kuondoka eneo hilo kwa sababu ya operesheni ya kijeshi inayokaribia.
Hali ilivyo sasa bendera za hamas zimeshushwa, zinapandishwa za Israel
View attachment 2983891
Hali ilivyo kwenye mitaa
View attachment 2983869
View attachment 2983885
Umeongea point ila mapopoma ya kidini hayatakuelewaVita sio nzuri kabisa.
Ingawa Israeli wanaonekana kuwa wachokozi.
Lakini pia Hamas hakustahili kutumia njia za ugaidi kama njia pekee ya kujibu uonevu wa Israeli kwao.
Suluhisho la mazungumzo lilikuwa bora zaidi, kama wanavyo fanya sasa kuzitaka jumuiya za kimataifa kuingilia mgogoro wao na Israeli, wangefanya hivyo pia wakati Israeli ilipo kiuka haki za Wapalestina.
Uvamizi wao Israeli hiyo tarehe Saba naona imeleta shida zaidi kwa Wapalestina kuliko wangeamua kuweka madai yao Kidiplomasia.
Hasara iliyopatikana Gaza na Rafal sijui itachukua muda gani kuitibu.
Mtu aliye kuzidi nguvu unatakiwa kutumia akili kumdhibiti na sio nguvu.
Hasara itakuwa ya kwako.
Kwa mtazamo wako unaona Palestina wafanyeje ili waweze kuishi kwa amani katika nchi yao?Mkuu toka 1949 mpaka leo hii mazungumzo hayakufana kwa lolote.
Kamfuatilie jamaa ambaye alikua mkuu wa PLO YASSER ARAFAT.
Huyu jamaa alikua akienda makao makuu ya UNO kila mara na walimlaghai kwa kumwambia aache mapigano na ayalaani kama ya ugaidi ndipo watafikiria kuitambua Palestina kama taifa.Yani ndipo watafikiria.
Jamaa wa watu kafanya kama anavyotakiwa kufanya ila hakuna lolote lililotokea,Israel aliendelea kupewa silaha huku akipora ardhi sio tu Palestina hadi NJE YA PALESTINA.
Mazungumzo hayakuwahi kuwa njia sahihi.
Kwa mtazamo wangu kitumike chombo cha kimataifa kuweka usuluhishi wa Palestina na Israel na kuwe na two states solution ambacho hiko chonbo hakitakuwa na mkono wa USA/EU.Kwa mtazamo wako unaona Palestina wafanyeje ili waweze kuishi kwa amani katika nchi yao?
Kama Arafat alishindwa nini kifanyike ?