ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Bila shaka na ww utakuwa miongoni mwa hao wapumbavu ninao wasema wanao amini hizo hadithi za kusadidika.Ukijua wapumbavu wenyewe mmoja wao unamuangalia kwenye kioo utajibu nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka na ww utakuwa miongoni mwa hao wapumbavu ninao wasema wanao amini hizo hadithi za kusadidika.Ukijua wapumbavu wenyewe mmoja wao unamuangalia kwenye kioo utajibu nini?
Uchumi wa Israel ni karibu Dola billion 500.Wakuu Salaam,
Naomba kuuliza kuhusu Taifa la Israel, hiv hawa jamaa pesa za kuendesha vita vyote hivyo wanapata wapi? Hamas, Hizbolah, Houth, Iran ,makundi mengine Syria , Iraq kama tu vita ya 78 dhidi ya Nduli tuliyumba mpk leo....wao wanaendesha vipi Nchi? Sioni wako na resources za maana kama mafuta, misitu, makaa ya mawe hata viwanda, Nchi yao ndogo na msinambie anasaidiwa na US, US kumpa kila kitu kuna namna anasimama peke yake, hzo F35 et al , na missile, drone n.k ni gharama sana kutengeneza na kutumia, nategemea uchambuzi makin kutoka kwenu.
Wanapewa na mashoga na mabasha zao wamerekani.Wakuu Salaam,
Naomba kuuliza kuhusu Taifa la Israel, hiv hawa jamaa pesa za kuendesha vita vyote hivyo wanapata wapi? Hamas, Hizbolah, Houth, Iran ,makundi mengine Syria , Iraq kama tu vita ya 78 dhidi ya Nduli tuliyumba mpk leo....wao wanaendesha vipi Nchi? Sioni wako na resources za maana kama mafuta, misitu, makaa ya mawe hata viwanda, Nchi yao ndogo na msinambie anasaidiwa na US, US kumpa kila kitu kuna namna anasimama peke yake, hzo F35 et al , na missile, drone n.k ni gharama sana kutengeneza na kutumia, nategemea uchambuzi makin kutoka kwenu.
Marekani na Israel wanategemea. Wayahudi ndiyo sponsor mkubwa wa vyama viwili vikubwa vya Marekani. Soma kuhusu AIPAC ndiyo utaelewa.Wanapewa misaada kutoka nje. Marekani anawatumia silaha na ana budget ya kuwafund kila mwaka.
Hezbollah na hamas wao wanakuwa funded na nchi kama qatar, iran na matajiri wengine wa kiarabu wanaowafund kwa siri kama watu binafsi.
kama huamiini msaada mkubwa wa myahudi unatoka US sisi tukwambie nini uelewe?Wakuu Salaam,
Naomba kuuliza kuhusu Taifa la Israel, hiv hawa jamaa pesa za kuendesha vita vyote hivyo wanapata wapi? Hamas, Hizbolah, Houth, Iran ,makundi mengine Syria , Iraq kama tu vita ya 78 dhidi ya Nduli tuliyumba mpk leo....wao wanaendesha vipi Nchi? Sioni wako na resources za maana kama mafuta, misitu, makaa ya mawe hata viwanda, Nchi yao ndogo na msinambie anasaidiwa na US, US kumpa kila kitu kuna namna anasimama peke yake, hzo F35 et al , na missile, drone n.k ni gharama sana kutengeneza na kutumia, nategemea uchambuzi makin kutoka kwenu.
Soma na ufahamu kuhusu AIPAC unafahamu wanaopata pesa.Wakuu Salaam,
Naomba kuuliza kuhusu Taifa la Israel, hiv hawa jamaa pesa za kuendesha vita vyote hivyo wanapata wapi? Hamas, Hizbolah, Houth, Iran ,makundi mengine Syria , Iraq kama tu vita ya 78 dhidi ya Nduli tuliyumba mpk leo....wao wanaendesha vipi Nchi? Sioni wako na resources za maana kama mafuta, misitu, makaa ya mawe hata viwanda, Nchi yao ndogo na msinambie anasaidiwa na US, US kumpa kila kitu kuna namna anasimama peke yake, hzo F35 et al , na missile, drone n.k ni gharama sana kutengeneza na kutumia, nategemea uchambuzi makin kutoka kwenu.
Wewe unadhani mimi ni mweupe kichwani na maarifa, kama ulivyo wewe?Ebu tutajie aina ya ndege ya kivita inayo tengenezwa na Israel.
Eti anatengeneza ndege na kuiuzia Urusi na china hivi una akili?
We ni tahira Israel inayoua wapalestina kila siku itakuwa huyo mungu nae hajitambuiJiongeze! Ukipigana na Israel unataka kupigana na Mungu mwenyewe! Kila nyumba na vyumba vina mlango! Mungu akitaka kuja duniani mlango wa kuingilia ni Israel! Israel ndo mlango wa Mungu kuingia duniani! Kwahiyo kama wewe ni muumini wa Mungu wa kweli na sio yule mungu anayekaa katika mfumo wa sayari (solar system) anayeabudiwa mungu jua, au yule mungu anayekaa kuzimu ambaye anaabudiwa na makabira karibu yoote duniani, inabidi uiombee Israel 🇮🇱. Mungu wa Israel 🇮🇱 ndo Mungu wa walokole ndo Mungu wa kweli!