Hamna kitu zamani tuliaminishwa upuuzi mwingi sana kuhusu hawa mazayuni media zote zilikuwa zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu zamani tuliaminishwa upuuzi mwingi sana kuhusu hawa mazayuni media zote zilikuwa zao.
Leta ushahidi wa wao kunyanyaswa kwenye hizo nchi.Wakristo wananyanyaswa hata Iraq, Iran, Pakistan, Misri, Indonesia na hata Sudan na kote huko hamna waisraeli.
Wanaukumbi.
Maneno mengi majingambo ya Netanyahu na wenzake wamekimbilia China kuomba msaada wa mateka wake huko Gaza, Hamas wao wapo kimya wanatoa kichapo tu huko Gaza.
🇮🇱🇨🇳 ISRAEL PLEADS CHINA TO HELP FREE HOSTAGE
Netanyahu has reportedly asked Xi to assist in freeing Israeli hostage Noa Argamani, captured during Hamas' October 7 attack.
“There is a girl here with a Chinese mother, and I personally ask that you… involve yourself in her case, because her mother is not only pleading for Noa’s life, but also for her own. ” (Noa’s mother is currently battling cancer)
Source: South China Morning Post
===============
🇮🇱🇨🇳 ISRAEL YAWASIHI CHINA KUSAIDIA UTEKAJI BILA MALIPO
Netanyahu ameripotiwa kumtaka Xi kusaidia katika kumwachilia mateka wa Israel Noa Argamani, aliyetekwa wakati wa shambulio la Hamas Oktoba 7.
"Kuna msichana hapa na mama wa Kichina, na ninakuuliza wewe mwenyewe ... ujihusishe katika kesi yake, kwa sababu mama yake sio tu kwamba anasihi maisha ya Noa, lakini pia maisha yake mwenyewe. ” (Mamake Noa kwa sasa anaugua saratani)
Chanzo: South China Morning Post
View: https://x.com/marionawfal/status/1739602601291767954?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Maelezo ya nini wakati yanajieleza hizo propaganda mnalishwa nyie msiojielewa wangekuwa wanawajali October 7 wangewashambulia na Apache kisha wanawasingizia Hamas na yale magari yote wanataka wayazike.huyo binti amekamatwa mateka ni myahudi aliyezaliwa na mama wa kichina. Israel wanajali sana raia wao.
Maadui wake ni nchi gani tutajie. Yemen tu peke yake anampiga Israel yaani kuuwa watoto na wagonjwa mnamsifia malengo ya vita kashindwa mateka wake leo mwezi wa 3 kashindwa kuwakomboa,nchi ndogo kama Israeli, imezungukwa na waislamu ambao ni maadui zao pande zote. Lakini hakuna wa kuinua pua. Wapalestina waliokufa wanafikia kama 21,000 halafu kuna watu wanaamini kuwa yahudi ameshindwa.
huyo binti amekamatwa mateka ni myahudi aliyezaliwa na mama wa kichina. Israel wanajali sana raia wao.
Unashindwa nin kujua nchi zinazowazunguka Israeli, tiari USA ameshaaziweka kati na wao wamekubali mfano Jordan na misrinchi ndogo kama Israeli, imezungukwa na waislamu ambao ni maadui zao pande zote. Lakini hakuna wa kuinua pua. Wapalestina waliokufa wanafikia kama 21,000 halafu kuna watu wanaamini kuwa yahudi ameshindwa.
Mbona muongo we jamaa???Wakristo wananyanyaswa hata Iraq, Iran, Pakistan, Misri, Indonesia na hata Sudan na kote huko hamna waisraeli.
Lebanon keshaishambulia Israel Mara kibao tu.nchi ndogo kama Israeli, imezungukwa na waislamu ambao ni maadui zao pande zote. Lakini hakuna wa kuinua pua. Wapalestina waliokufa wanafikia kama 21,000 halafu kuna watu wanaamini kuwa yahudi ameshindwa.
Makanisa yapo ila wakristo wananyanyaswa sana na waislamu katika nchi hizo.Mbona muongo we jamaa???
Mataifa yote ulotaja Yana makanisa na Xmas inasherehekewa.
Leta ushahidi wa wao kunyanyaswa kwenye hizo nchi.
View attachment 2856363
ona gaidi anafikiri IDF hawamuoni, sasaivi yupo zake huko na mabikira 72.
Makanisa yapo ila wakristo wananyanyaswa sana na waislamu katika nchi hizo.
Hzo propaganda zenu tushazizoea![]()
Explaining Christian Persecution in Muslim Countries
What is it about Islam that is so antagonistic toward Christianity? Why do Christians fare so poorly in Muslim countries?www.catholic.com