Israel inawasihi China kusaidia mateka waachiwe na Hamas

Wakristo wananyanyaswa hata Iraq, Iran, Pakistan, Misri, Indonesia na hata Sudan na kote huko hamna waisraeli.
Leta ushahidi wa wao kunyanyaswa kwenye hizo nchi.
 
huyo binti amekamatwa mateka ni myahudi aliyezaliwa na mama wa kichina. Israel wanajali sana raia wao.
 
huyo binti amekamatwa mateka ni myahudi aliyezaliwa na mama wa kichina. Israel wanajali sana raia wao.
Maelezo ya nini wakati yanajieleza hizo propaganda mnalishwa nyie msiojielewa wangekuwa wanawajali October 7 wangewashambulia na Apache kisha wanawasingizia Hamas na yale magari yote wanataka wayazike.
 
nchi ndogo kama Israeli, imezungukwa na waislamu ambao ni maadui zao pande zote. Lakini hakuna wa kuinua pua. Wapalestina waliokufa wanafikia kama 21,000 halafu kuna watu wanaamini kuwa yahudi ameshindwa.
 
nchi ndogo kama Israeli, imezungukwa na waislamu ambao ni maadui zao pande zote. Lakini hakuna wa kuinua pua. Wapalestina waliokufa wanafikia kama 21,000 halafu kuna watu wanaamini kuwa yahudi ameshindwa.
Maadui wake ni nchi gani tutajie. Yemen tu peke yake anampiga Israel yaani kuuwa watoto na wagonjwa mnamsifia malengo ya vita kashindwa mateka wake leo mwezi wa 3 kashindwa kuwakomboa,
 
nchi ndogo kama Israeli, imezungukwa na waislamu ambao ni maadui zao pande zote. Lakini hakuna wa kuinua pua. Wapalestina waliokufa wanafikia kama 21,000 halafu kuna watu wanaamini kuwa yahudi ameshindwa.
Unashindwa nin kujua nchi zinazowazunguka Israeli, tiari USA ameshaaziweka kati na wao wamekubali mfano Jordan na misri
 
Tofauti ya Israel na panya road ni kuwa, panya road wanatumia mapanga Israel wanatumia ndege na vifaru, lkn kiufanisi hakuna tofauti wote wahuni watupu hakuna cha intelejensia wala mavi ya intelejensia.. Ushujaa wao unaishia kupiga watu misikitini kule west bank, lkn kwenye uwanja wa vita mavi matupu..
 
Wakristo wananyanyaswa hata Iraq, Iran, Pakistan, Misri, Indonesia na hata Sudan na kote huko hamna waisraeli.
Mbona muongo we jamaa???
Mataifa yote ulotaja Yana makanisa na Xmas inasherehekewa.
 
nchi ndogo kama Israeli, imezungukwa na waislamu ambao ni maadui zao pande zote. Lakini hakuna wa kuinua pua. Wapalestina waliokufa wanafikia kama 21,000 halafu kuna watu wanaamini kuwa yahudi ameshindwa.
Lebanon keshaishambulia Israel Mara kibao tu.
 
Your browser is not able to display this video.

ona gaidi anafikiri IDF hawamuoni, sasaivi yupo zake huko na mabikira 72.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…