Israel kuishambulia Iran leo usiku, Marekani yaja juu

Israel kuishambulia Iran leo usiku, Marekani yaja juu

Israel ikilipiza kisasi madhara watakayopata Iran ni mara 10 ya waliyopata israel. Tuombe tu wasishambulie vinu vya nyuklia. Irsni naye atajibu kwa kushambulia vinu vya israel.
Wenzio wanatetemeka we bado una mahaba ya kitoto
 
Vita anayoweza Israel ni kuweka mabomu kwenye ndege na kurusha mabomu ardhini tena wala hachagui anaua raia wa kawaida yani anashambulia makazi.

Umeona jinsi Iran alivyokuwa mstaarabu juzi aliposhambulia Israel? Hajapiga maeneo ya wananchi bali amepiga kambi za jeshi.

Sasa ole wake Israel ajikoroge apeleke hizo mabomu ya angani kwa raia wa Iran, ole wake akapige nyumba za makazi ya watu kule Iran; kitakachompata Israel ataenda kuomba msaada wa hifadhi kule Gaza.
Kusema Israel anashambulia tu hovyo ni uwongo mkubwa!!

Hamas na Hezbolah wanajificha katikati ya raia, wakiwatumia raia kama ndiyo ngao yao, na hilo ndilo linalosababisha maafa ya raia.

Israel, hakuna hata sehemu moja ambapo au askari au ofisi za jeshi au silaha zao, wanaweka kwenye makazi ya watu.

Waarabu hawajali uhai wa watoto wala wanawake au watu wasio askari, ndiyo maana wanajificha katikati yao ili kama ni kufa, basi wafe raia kuliko wapiganaji.
 
Israel atashambulia saa ngapi?..hatulali tunasubiri breaking news
 
Labda wanaota Israel hi ya babda ya kuku ikafyatue risasi Iran 😄 Hivi mtoa mada unawasaidiavIsrael kuota au
 
Vip mauwa katuma saaiii saa 1 asubui muIran kajiandaa kupokea mauwa jehova awasaidie watume mauwa. kama awezi basi tutamuona mungu w IRAN ndio mwenyenguvu anapiga gaza Syria Lebanon Yemen pia ni km2000+ na Iran ivyoivyo km2000+ sasa mbona aendi iran kuwa anawaonea uruma iran wamama na watoto kule amna jesh amna viongozi kuwa ajui wanapokaa sumu yoteee inatokea iran uyo ndio mkuu wa makundi yote unayopambana nayo kwann usiwekeze nguvu kule kukata umeme wote. Yumkin awa wengine wangejifia kunann anwkijua kipo kule adi West wote wanaogopa chezea Iran uyo mjomba ndio mawahudi OG awa wengine ni mchongo tu vitabu vya din vinatuelekeza uyu muiran atakuja kushindwa na mudaidin sababu kuuu ndio hii anaitafuta mwenywe sasa kuodhi maeneo makatifu. Wazungu awawawezi awa wataajiingiza ktk kifo n watakbia tu.
 
Kwa mujibu wa tovuti mbali mbali za kimataifa zimesema kuwa kuna uwezekano wa Israel KUISHAMBULIA IRAN leo usiku kama Kujibu shambulio la Iran la apo juzi.

Inasemekana Israel tayari umeanza mipango ya kuishambulia Iran leo huku kukiwa na hofu ya Israel KUISHAMBULIA visima vya mafuta vya Iran pamoja na vinu vyake vya NYUKLIA.

Raia joe Biden wa marekani ameionya Israel isivishambulie vinu vya NYUKLIA vya Iran na badala yake ijibu kama Ilivyopigwa Ili kutokupelekea kuzunguka Kwa vita rasmi.

Israel inadaiwa imeshamaliza vikao toka juzi juu ya kujibu shambulio la Iran na vyombo vya kijasusi vya marekani vimedai Israel ataishambulia Iran masaa machache yajayo.

Soma Pia: Rais Biden wa Marekani asema hakuna chochote kitachotokea nchini Iran leo
Uongooo. Israel hana tabia za warabu wa buza
 
Iran taifa teule
israel ajichanganye tu apige hata nzi mmoja pale iran ndo atakubali
qm2qe
 
We ushtuki yahudi na ushoga wapiwapi ktk vitabu atujawai soma yahudi ana iyo tabia izi tabia za wazungu w ulaya na ndio ao wamesambaa America kasikazini kusini kwetu Africa ndio wanasambaza mambo ya ushoga pwani yote walipo wazungu na ushoga umekuwa kwa kasi nenda LAMU mombasa kaone wazungu walivojaa wa Italy na ndio seem imealibika zaid na ushoga apo kenya nanndio seem inawazungu wengi zaid kenya. kabla yake lamu ilikuwa kitonvu cha masharifu w dini y uislam ambao ndio wamesambaz dini eneo kubwa la Africa mashariki adi mikoani wanatumwa walimu wadini awarudi tena kwao wanatoka wasomi mume na mke ndio unaona wagunya wapo kwetu tz awa wajukuu wa waliozambazs dini pwani kwetu. Lkn Leo chakusikitisha LAMU inatoa mashoga wanasambaa mombasa tanga nakwengineko Zanzibar nako ivyoivyo wazungu wamejaa sana ndio nao kama mamlaka azina macho Zanzibar nayo itafika kama lamu uko mbele wazungu wakuchungwa sana wawapo ktk jamii yetu tunapoishi wazungu wao awasambazi dini wala awana chuki na kislamu awa lengi waislam apana wao wanazambaza ushoga kwa dunia bila kujali imani zetu iwe cristian usiwe na dini Muslimu yeye ajali dini hoja hii nawapa chunguzeni nanyinyi kisha mje mnipinge kwa hoja. Tafuteni nchi ktk Africa ambazo zimeruusu ushoga angalieni na idadi y wazungu ktk izo inch lazima utagundua kuna wazungu weng👀i apa kwetu tunapinga aya mambo lkn zanzibar wazungu wengi wapo free sana ingefaa wawe wanachunguzwa maeneo yote yapwani seem za utalii kote kuchunguzwe maeneo yao ama tutakuja kiujita ktk ali ngumu kama taifa na.kimaamuzi kuusu awa watu mana wanazidi kuwa wengi lkn akuna mipango imala kuchunguza kwann alii inadhidi waje n mkakaki wakuzuiya viashilia vyote.
 
Nikajua Israel hajibu tu bali ni golden chance ya kuungana na mabwana zake Marekani kuimaliza Iran kama wafuasi wa Yesu wanavyodai kwamba alisubiriwa Iran kuingia kwenye mfumo.

So far Iran ndiye mbabe wa Mashariki ya Kati maana ameishambulia Israel bila huruma, badala ya Israel kutangaza vita rasmi yeye anatangaza kulipiza kisasi kichovu.
Yesu amekujaje hapo?. Akili za kibikira 72 utazijua tu
 
Israel ikilipiza kisasi madhara watakayopata Iran ni mara 10 ya waliyopata israel. Tuombe tu wasishambulie vinu vya nyuklia. Irsni naye atajibu kwa kushambulia vinu vya israel.
Kwanini Iran apate madhara zaidi,na Israel ipte madhara kidogo?
 
Ulisema angeshambulia jana usiku. Ujue wenzako tumekesha tukisubiria.
 
Kwa mujibu wa tovuti mbali mbali za kimataifa zimesema kuwa kuna uwezekano wa Israel KUISHAMBULIA IRAN leo usiku kama Kujibu shambulio la Iran la apo juzi.

Inasemekana Israel tayari umeanza mipango ya kuishambulia Iran leo huku kukiwa na hofu ya Israel KUISHAMBULIA visima vya mafuta vya Iran pamoja na vinu vyake vya NYUKLIA.

Raia joe Biden wa marekani ameionya Israel isivishambulie vinu vya NYUKLIA vya Iran na badala yake ijibu kama Ilivyopigwa Ili kutokupelekea kuzunguka Kwa vita rasmi.

Israel inadaiwa imeshamaliza vikao toka juzi juu ya kujibu shambulio la Iran na vyombo vya kijasusi vya marekani vimedai Israel ataishambulia Iran masaa machache yajayo.

Soma Pia: Rais Biden wa Marekani asema hakuna chochote kitachotokea nchini Iran leo
Hizo "tovuti mbalimbali" unazozipitia hazina mrejesho, au walikua wanaotea (wishful thinking)tu?
 
Kwa mujibu wa tovuti mbali mbali za kimataifa zimesema kuwa kuna uwezekano wa Israel KUISHAMBULIA IRAN leo usiku kama Kujibu shambulio la Iran la apo juzi.

Inasemekana Israel tayari umeanza mipango ya kuishambulia Iran leo huku kukiwa na hofu ya Israel KUISHAMBULIA visima vya mafuta vya Iran pamoja na vinu vyake vya NYUKLIA.

Raia joe Biden wa marekani ameionya Israel isivishambulie vinu vya NYUKLIA vya Iran na badala yake ijibu kama Ilivyopigwa Ili kutokupelekea kuzunguka Kwa vita rasmi.

Israel inadaiwa imeshamaliza vikao toka juzi juu ya kujibu shambulio la Iran na vyombo vya kijasusi vya marekani vimedai Israel ataishambulia Iran masaa machache yajayo.

Soma Pia: Rais Biden wa Marekani asema hakuna chochote kitachotokea nchini Iran leo
Hataishambulia iran as Taifa!; Ilaha kichwa Cha ayatola na chawa zake Lebanon na Yemeni wasubiri kugeuzwa kifusi kama gaza!
Huyu Hashem Safieddine katangulizwa mapema....
 
Back
Top Bottom