Israel kwawaka moto.Hezbollah katumia aina mpya ya silaha

Israel kwawaka moto.Hezbollah katumia aina mpya ya silaha

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Baada ya makambi ya jeshi la Israel kushambuliwa wananchi wote wametakiwa kukaa karibu na mahandaki yao kuhofia maroketi zaidi.
Hali hiyo imetokea kwenye maeneo kadhaa ya Israel hasa kaskazini baada ya Hizbullah kurusha aina mpya ya maroketi ambayo yana ufanisi zaidi katika kupiga eneo lengwa.
Maroketi yaliyotumika kwa mara ya mwanzo kulenga ndani ya Israel ni yale ya FAD- 1 na FAD- 2.
 
Baada ya makambi ya jeshi la Israel kushambuliwa wananchi wote wametakiwa kukaa karibu na mahandaki yao kuhofia maroketi zaidi.
Hali hiyo imetokea kwenye maeneo kadhaa ya Israel hasa kaskazini baada ya Hizbullah kurusha aina mpya ya maroketi ambayo yana ufanisi zaidi katika kupiga eneo lengwa.
Maroketi yaliyotumika kwa mara ya mwanzo kulenga ndani ya Israel ni yale ya FAD- 1 na FAD- 2.
Israel imetoa ushahidi kwenye mtandao x wa mossad hakuna kambi yake yoyote iliyopigwa ni moto tu wakupiga vinyumba na vichaka kwa hiyo wafia dini acheni ushabiki wa uwongo na unafiki
 
Israel imetoa ushahidi kwenye mtandao x wa mossad hakuna kambi yake yoyote iliyopigwa ni moto tu wakupiga vinyumba na vichaka kwa hiyo wafia dini acheni ushabiki wa uwongo na unafiki
Pole wewe inasikilizwa Mossad atakwambia ukweli? Aaibike kwanini wamevamia ofisi za aljazeera westbank leo? Tafuta taarifa ndugu pitia kwa wastani taarifa 3 mpaka 5 kutoka pande mbili ndio ufanye conclusion
 
Vita ni vita mura unachukiaje Israeli kushambuliwa mbona wenyewe wakipiga huko Lebanon na Gaza mnakenua meno nje.
Wazipige kwlikwli yaani mpk mmojawapo aseme basi inatosha....na kule kwa mjomba Putin naye aendelee kutandika kwlikwli....wachina tu ndo wanatuangusha wao wanajiimarisha kiuchumi tu....kipindi hiki ndo alitakiwa na yy akazunguke kale kakisiwa kukachukua tuone yule polisi wa kidunia akienda kupambana na kule...bado tena mjomba kiduku naye angeendeleza majaribio yake ya Kila siku tuone show show kule kwa wavimba macho....
 
Israel imetoa ushahidi kwenye mtandao x wa mossad hakuna kambi yake yoyote iliyopigwa ni moto tu wakupiga vinyumba na vichaka kwa hiyo wafia dini acheni ushabiki wa uwongo na unafiki
Ona sasa kama kawaida yenu kukana ukweli.
Tumeona video kibao kambi ikiungua.
Na hadi waandishi wa habari wamekatazwa kurekodi.
Hii dunia ya utandawazi hakuna mtu utamdanganya kijana.
 
Wazipige kwlikwli yaani mpk mmojawapo aseme basi inatosha....na kule kwa mjomba Putin naye aendelee kutandika kwlikwli....wachina tu ndo wanatuangusha wao wanajiimarisha kiuchumi tu....kipindi hiki ndo alitakiwa na yy akazunguke kale kakisiwa kukachukua tuone yule polisi wa kidunia akienda kupambana na kule...bado tena mjomba kiduku naye angeendeleza majaribio yake ya Kila siku tuone show show kule kwa wavimba macho....
China anacheza nafasi ya kuwaimarisha washirika kiuchumi.
Hiyo Russia iko imara kiuchumi licha ya vikwazo ni matokeo ya usaidizi wa China.
 
Baada ya makambi ya jeshi la Israel kushambuliwa wananchi wote wametakiwa kukaa karibu na mahandaki yao kuhofia maroketi zaidi.
Hali hiyo imetokea kwenye maeneo kadhaa ya Israel hasa kaskazini baada ya Hizbullah kurusha aina mpya ya maroketi ambayo yana ufanisi zaidi katika kupiga eneo lengwa.
Maroketi yaliyotumika kwa mara ya mwanzo kulenga ndani ya Israel ni yale ya FAD- 1 na FAD- 2.
Kwasasa wanachokifanya Hisbullah hakitasikika wala kuonekana kwasababu Israel imeshatawala kwenye vyombo vingi vya habari lakini kadri madhara yanayosababishwa na mashambulizi ya Hisbullah yanapoongezeka ndipo ukweli utakapodhihiri.
 
1727038848535.png

Hapo ni eneo la Kiryat Balik karibu na Haifa mipango miji wakiondoa kifusi haraka kutokana na kombora la Hizbulah.Pale chini kuna alama kama ya damu na ngua za mhanga.
Uharibifu huo unalingana kama ule unaoonekana Gaza mara kwa mara.
 
Back
Top Bottom