Israel leo yapiga vibaya Gaza, Ukingo wa Magharibi na Syria huku Marekani ikipeleka ndege 45 za silaha nchini humo

Mashimo yako chini ya ardhi, unaondoa kwanza nyumba
Mkuu, kwani unadhani hawajui?? Wanatafuta gear ya kuonewa huruma eti hospitali, shule, misikiti na blaa-blaa nyingi. Majengo na miundo mbinu yoyote hujengwa au huweza kukarabatiwa lakini Uhai hautengenezwi, haununuliwi bali hulindwa kwa gharama sana.
Kwa hiyo ni kweli kwa mfano mwizi anayefukuzwa halafu akarukia ndani uani kwa mtu, watu wenye hasira kali huweza kuvunja geti ili wampate "mtu wao". Je, wewe unalalamika geti limevunjwa au unamtoa haraka ili kuepusha maafa zaidi?
= Mashimo yako chini ya ardhi, unaondoa kwanza nyumba✅✔️
 
H Hauchoki na hizi story za kipuuzu hizi we ****?
 
ukraine anapigana Vita na mtu anaejielewa na anabusara . Hamas wao wanafurusha maroketi sehemu yeyote na kuteka wazee, watoto n. k,
 
ukraine anapigana Vita na mtu anaejielewa na anabusara . Hamas wao wanafurusha maroketi sehemu yeyote na kuteka wazee, watoto n. k,
Ukipigana na mbabe hutakiwi kupigana kama unapigana ndondi chini ya WBC.
Siku moja Tyson alipoona refa anajifanya kama haoni akamkata mtu sikio akalitema sakafuni.
 
Hebu pita pale kwa mnama upate kilo moja na faru john, nakuja kulipa
 
ukraine anapigana Vita na mtu anaejielewa na anabusara . Hamas wao wanafurusha maroketi sehemu yeyote na kuteka wazee, watoto n. k,
Yani Israel wapi kapiga silaha mbona hutujaona hata bastola, tunaona anavunja majumba, shule, misikiti, makanisa na Hospital sa huyu Israel anabusara au akili zako zimepinda.
 
Mashambulio mengine kama hayo yameendelea kule nchini Syria ambako Israel inasema nchi hiyo inaiunga mkono Hamas.
Huko Syria si ndiko kwenye kambi za kijeshi za Marekani
 
Kwa hiyo Mungu anasapoti Wapalestina kuuawa, n Mungu wa Israel pekee na sio Mungu wa Afrika, ....
 
Huko Syria si ndiko kwenye kambi za kijeshi za Marekani
Tuzungumze au tujikite katika hoja ya Israel kufanya mashambulio huko Syria kwa madai kwamba Syria inaunga mkono kundi la HAMAS. Hayo mengine hayatuhusu kwa sasa.
 
Sa vipi.missile zitoke chini ya majumba au hospital hivi uliwahi kuishi hospital za wajinga au
Hasira za nini kiongozi; are you part of the cinflict - mimi na ijinga wangu sina guts za kus - side upande wowote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…